Safi sana Tanzania ...Kura yangu Mama Samia Unayo 2025..Watendaji kueni Wazalendo sio mkiingia hapo Waziri Mkuu aje akute Mnachota
@MalamboSelijusiАй бұрын
Mtangazaji kiswahili kinakukwepa sana
@JacksonMtese-gn4soАй бұрын
A country on a move honera Rais
@MabulaLusewaАй бұрын
Kazi iendelee
@JacksonMtese-gn4soАй бұрын
Hongera a country on a move
@frankmakyao7657Ай бұрын
Picha nzuri kama hizi zichapichwe na zitumoke kwenye majadilio ya madafutari na vitabu vya kiada badala ya kuweka picha za miziki!
@MalamboSelijusiАй бұрын
Jengo zuri kweli
@abdallahomary515Ай бұрын
B 4
@emmanuelsulle911Ай бұрын
Mama hajatoa hela hizo ni Kodi za Watanzania
@Nadir_AbdullahАй бұрын
Na yeye kama raisi wa inchi anahakikisha kwaba hizo hela itarudi kwa watanzani tena,ni matumizi bora na sahihi,mama samia pia kaendeleza kazi ya raisi magufuli kwa hio anastahili pongezi na yeye ni raisi wa kwanza mwanamke kutawala nchi❤
@andrewkissava9184Ай бұрын
Ivi watanzania mbona wajinga hivo hatalini mtabaki wajinga msio jitambua ,eti hongera samia kwa lipi kalifanya kwasababu hizo ni fedha za walipa kodi wa nchi hii halafu kwa ujinga mtu anasema hongera samia na huku ameuza bandari zetu,mbuga za wanyama,aridhi yetu ,misitu madini yetu anaharibu tanganyika yetu hakika watanganyika mmerogwa naona
@user-xd7bi5lv9sАй бұрын
Wewe ni mpumbavu unadaganywa na wahuni,unataka akifanya vizuri wasimsifie mbona rudhuku ya vyama wanazo pewa wahuni hao wa chadema hamsemi kama mtumizi mabaya ya Kodi za watanzania, wewe mpumbavu mvuta bangi,rais anahangaika kujenga Barbara nyie mnazitumia kuandamana mnaakili kweli,wanawadaganya nyie wapumbavu wakati wao wanakula rudhuku za Kodi zetu halafu wanawadanya maadamane badala ya kufanya kazi,wao wapo kazini kusaka rudhuku.
@AthamanRamadhaniАй бұрын
Acha usenge,una uhakika gani,Samia mitano tena tunampenda na tunatamba naye hutaki ama nchi au jinyonge sisi tutakuja tu kuzika,kwendraa huko tuache na Samia wetu
@user-cf4cs9qp1kАй бұрын
Pumbavu wewe, unafikir kuongoza nchi ni kama unavyoongoza mkewako, jinga wewe, muache mama yetu afanye kazi. Ndenda tu upande SGR nadhani utaelewa tu
@natafutamatatizo4382Ай бұрын
HAYO NI MAJENGO TU, HAYASAIDII MAISHA YA MWANAADAMU.
@Nadir_AbdullahАй бұрын
Kwenda oko
@AthamanRamadhaniАй бұрын
Pole sanaa kama unadhani kuna Rais atakuletea hela badala ya maendeleo