Рет қаралды 1,185
Watoto Maureen na mwenzie walipokonga nyoyo za waumini wakati wa tukio la kuwekwa wakfu na kusimikwa askofu Eusebio Samwel Kyando wa jimbo la Njombe hapo tarehe 14 Januari 2024, walipoimbisha wimbo uitwao "Ndipo niliposema tazama nimekuja" ikiwa ni utunzi wa Marehemu John Mgandu, Organist katika Video hii ni A.J.Myonga, na waimbaji ni Ukwakata Shirikisho Jimbo la Njombe.