No video

#TBC1

  Рет қаралды 13,100

TBConline

TBConline

Күн бұрын

Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa 98.01% ya mradi wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere ambalo kukamilika kwake kutazalisha Megawati 2115 za umeme
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK

Пікірлер: 56
@SalumuChikoi
@SalumuChikoi Ай бұрын
Nashukuru nami ni mmoja kati ya watu walioshiliki katika ujenzi kwa mikono yangu
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Ай бұрын
MAGUFULI….MAGUFULI…MAGUFULI
@mathiasmichael9915
@mathiasmichael9915 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki huko uliko Rais DK JPM
@JohanessMarwa
@JohanessMarwa Ай бұрын
Hilo ni jambo Jema sana kwa Taifa letu kiuchumi na hata kiusalaama. Napongeza serikali kwa Hilo. Kikubwa wasimamizi wote wanao husika na watakao husika wasimamie kwa kuzingatia uweredi na uzarendo🤝🤝👍👍 Johaness Marwa Toka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT Ай бұрын
HAKIKA NI FURAHA Kubwa kuona jinsi Taifa letu likipiga hatua kuuuuubwa tangu tupate uhuru hadi Leo. Wazazi wetu na waasisi wa Taifa hili, pamoja na viongozi wote, Wabarikiwe sana. Pongezi nyingi Kwa JPM na Kwa mama Samia Aliyeachiwa kijiti na kukimbiza Kwa mbio zoote hadi hapa. Mama Samia Suluhu Hassani Ubarikiwe sana. 🙏🙏🇹🇿🤠
@johanesemmanuel4655
@johanesemmanuel4655 Ай бұрын
Pongezi kwa serikali yetu,mungu wabariki viongozi Wetumpka wakiongozwa na raisi Wetu mama Dr.Samia Suruhu Hassan.Mungu ibariki Tanzania,mungu Ibariki Afrika.Amen
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 Ай бұрын
ALLAH AMPE KAULI THABIT....SIKU YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI TULIAMBIWA KUNA DARAJA KUBWA LITAJENGWA HAPA KUBWA LITAKALO UNGANISHA MIKOA MIWILI NA NAWATANI WAKE WAZARAMO MTAKUJA KUFANYA UTALII NA KUPIGA PICHA ZA NDOA HAPA...AISEE NIKWEL YA ALLAH MPE KAULI THABIT...MUHIMU DUA TU NDIO FAIDA YAKE,,,NA UKIWASHA TAAA UJUE THAWABU HUMFATA ..NAPIA HONGERA MH.RAIS KWA KUKAMILISHA HILO MALIPO NI THAWABU NA PEPO KWAKO...
@anastazialushika
@anastazialushika Ай бұрын
Karibuni sana Rufiji karibu Julius nyerere hydro powe project,
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Ай бұрын
Walau nimeshiriki kwa kiwango kikubwa kwenye ujenzi wa huu mradi kama operator.. kazi nzuri kwa serekali
@magorymara5515
@magorymara5515 Ай бұрын
Mbona wanatuonyesha sehem moja tu na si kote kulikojaa maji
@user-qd9uq2xt9r
@user-qd9uq2xt9r Ай бұрын
Kazi nzuri op
@erickmollel-zv2eu
@erickmollel-zv2eu 24 күн бұрын
Asnte kwa utumishi wako kwa kujenga nchi yetu
@zawadimwangupili4518
@zawadimwangupili4518 Ай бұрын
Tunamshukuru Mungu na viongozi wetu Mungu awabariki
@GilbertKhitambala
@GilbertKhitambala 17 сағат бұрын
Fikra za mwalimu Nyerere muanzilishi wa mradi huu na JPM aliye thubutu kuendeleza mradi huu hakika waliona mbali.
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb Ай бұрын
Mashallah mungu yayibariki tz na viongozi wake
@shaibchigwere4645
@shaibchigwere4645 Ай бұрын
Engineer wa power house yuko good kwa kuyelezea
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b Ай бұрын
Rip jpm,sijakosea kumpa mwanangu jina lako
@stevensosipita
@stevensosipita Ай бұрын
R.I.P DKT JOHN POMBE MAGUFULI MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI
@oscarfilimbi3282
@oscarfilimbi3282 Ай бұрын
Hakika mungu ampe pumziko la milele yule kiumbe wake JOHN POMBE MAGUFULI,uthubutu na kulisimamia aliloamini bila hofu.
@kanoleausi4204
@kanoleausi4204 29 күн бұрын
Msisahau kumshukuru , na kumpongeza Mama Samia pia. haikuwa rahisi kukamilisha hiyo KAZI.
@simulizitanzania2571
@simulizitanzania2571 Ай бұрын
Karibu zimekuwa Nyingi mno aseeee
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j Ай бұрын
Kazi iendelee samia mi 🖐 tena 💞
@khamissaleh921
@khamissaleh921 Ай бұрын
Jpm ashukuriwe alikubali kuvunja UJINGA WA WAZUNGU NA AKARHIBUTU KUJENGA DAM YA SELOUS .
@joachimluhamo3042
@joachimluhamo3042 Ай бұрын
Mlisema mtapunguza bei za umeme ngoja tusubili tuone
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw Ай бұрын
Pongezi kwa serikali pamoja nawewe vumiliya mwasha unatangaza vizuri
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 Ай бұрын
Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania
@MikidadiSalim-xk9dc
@MikidadiSalim-xk9dc 26 күн бұрын
Alhamdulillaih...Allahu Akbaru....
@LuckymusykiLuckymusyoki
@LuckymusykiLuckymusyoki Ай бұрын
Dada unajua kazi yako
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 Ай бұрын
Asante Kwa kuendelea kufatilia Wekeza Tanzania
@dahirgaraar360
@dahirgaraar360 Ай бұрын
Well done sister vumilia. Its good to have these development information. Keep it up. God bless you.
@daslamonline4665
@daslamonline4665 Ай бұрын
Mtakamilisha huko mtahamia kwenye miundombinu mitaani migao iendelee kama kawa
@vinenswilliam3534
@vinenswilliam3534 Ай бұрын
Huo ufunguo kwa nje ya mlango 😅
@WilliamSamwel-vh5op
@WilliamSamwel-vh5op Ай бұрын
Nyinyi ni matapeli tu miaka minga yapita mnatengenezatu
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 Ай бұрын
HIYO ASILIMIA 2 MWAKA UTAISHA
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 Ай бұрын
AISEE NACHO ONA MM HAPO NI MITAMBO MINGI SANA.... AMBAYO NI YAKISASA KABISAA KAZI KUBWA SANA IMEFANYIKA ALLAH AWALIPE WEMA NA PEPO....MH.MAGUFULI UTAISHI SANA,,NIKI KUMBUKA MM ILE HUTUBA YA SIKU YA KWANZA LEO IMEKUWA KWELI MUNGU PEKEE NDIE ANAJUA CHA KULIPA,,PIA RAIS SAMIA HONGERA KWA HILO KAZI UMEIFANYA
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 Ай бұрын
Kama bei ya umeme haitopungua hili bwawa litakuwa kazi bure
@killy_hoffman2698
@killy_hoffman2698 Ай бұрын
mpka sasa bei ya umeme ni nafuu cha muhimu ni kupata umeme wa uhakika kwanza
@ZeProDJay
@ZeProDJay Ай бұрын
Buku unapata units 8 ukiwa kwenye mfumo wa tarrif 0 bado bei ni nafuu kuliko hata vifurushi vya simu hiyo buku ni siku 1 tu salio linakata..
@user-ub3xh7ug6c
@user-ub3xh7ug6c Ай бұрын
Nafuu ip​@@killy_hoffman2698
@user-ub3xh7ug6c
@user-ub3xh7ug6c Ай бұрын
Nafuu ip​@@killy_hoffman2698
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk Ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🌹👏
@khamissaleh921
@khamissaleh921 Ай бұрын
Hawa wasemaji sio type ya wanawake wenye mvuto kwa kuleta mvuta wa biashara Nb tafuteni wanawake walio na nguvu ya kumvutia mtu sio hawa hata sauti sio NZURI
@wilcoxdaniel9825
@wilcoxdaniel9825 Ай бұрын
Who writes this kind of nonsense ? This is an engineering project. Not a beauty contest
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Jpm
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani Ай бұрын
Karibu sana zipo nyingi.dakika nne😂
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Vumilia mm huwa ni shabiki yako sana natamani siku moja nikuone live. Mm na mke wangu.
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 Ай бұрын
Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw Ай бұрын
@@vumiliamwasha191 Asante dadayangu
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Wewe ni Mwisilamu wake wanne ruksa
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
@@edsonnelson4464 acha izo bana.
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT Ай бұрын
​@@vumiliamwasha191Ubarikiwe sana sana. Unatufikisha mbali tusikofika Kwa macho TU tunaona mengi viganjani na SEBURENI... 🎉🎉❤
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Tunasubiri bei ya umeme ishuke, maaana mwanzilishi ambaye ni Jpm alisema bei itashuka ili tupikie umeme tuachane na mkaa
@emmanuelmalifedha3391
@emmanuelmalifedha3391 Ай бұрын
Hiyo mashine na tisa mbona inatoa 166.4MW? maana najua efficient haiwezi kuwa 100% but hiyo ni chini ya asilimia 70.... kuna nini hapo mtujuze kidogo
@matheobaha773
@matheobaha773 Ай бұрын
Rpm yke n ndogo hata hivyo ukiangalia
@magorymara5515
@magorymara5515 Ай бұрын
Kama siyo macho ya camera kushindwa kuonyesha ukubwa wa hicho kifaa basi nyie mtakuwa kuna jambo mmeliona ambalo lipo tofauti na ufafanuz wa jamaa
@Madizizi
@Madizizi Ай бұрын
Kila siku 98% tumechoka kusubiri
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 36 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 32 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 160 МЛН
#TBC1:NYOTA WA WIKI : WAFAHAMU WAKONGWE WA TABORA GIRLS
26:18
Why UK 🇬🇧 is going Bankrupt? : Detailed Economic Case Study
20:37
Think School
Рет қаралды 1,4 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 36 МЛН