#TBC1

  Рет қаралды 10,998

TBConline

TBConline

22 күн бұрын

Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa 98.01% ya mradi wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere ambalo kukamilika kwake kutazalisha Megawati 2115 za umeme
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK

Пікірлер: 49
@mimiraia2531
@mimiraia2531 19 күн бұрын
MAGUFULI….MAGUFULI…MAGUFULI
@SalumuChikoi
@SalumuChikoi 20 күн бұрын
Nashukuru nami ni mmoja kati ya watu walioshiliki katika ujenzi kwa mikono yangu
@mathiasmichael9915
@mathiasmichael9915 16 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki huko uliko Rais DK JPM
@JohanessMarwa
@JohanessMarwa 20 күн бұрын
Hilo ni jambo Jema sana kwa Taifa letu kiuchumi na hata kiusalaama. Napongeza serikali kwa Hilo. Kikubwa wasimamizi wote wanao husika na watakao husika wasimamie kwa kuzingatia uweredi na uzarendo🤝🤝👍👍 Johaness Marwa Toka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@anastazialushika
@anastazialushika 13 күн бұрын
Karibuni sana Rufiji karibu Julius nyerere hydro powe project,
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb 13 күн бұрын
Mashallah mungu yayibariki tz na viongozi wake
@zawadimwangupili4518
@zawadimwangupili4518 13 күн бұрын
Tunamshukuru Mungu na viongozi wetu Mungu awabariki
@johanesemmanuel4655
@johanesemmanuel4655 20 күн бұрын
Pongezi kwa serikali yetu,mungu wabariki viongozi Wetumpka wakiongozwa na raisi Wetu mama Dr.Samia Suruhu Hassan.Mungu ibariki Tanzania,mungu Ibariki Afrika.Amen
@francomwacha2262
@francomwacha2262 19 күн бұрын
Walau nimeshiriki kwa kiwango kikubwa kwenye ujenzi wa huu mradi kama operator.. kazi nzuri kwa serekali
@magorymara5515
@magorymara5515 19 күн бұрын
Mbona wanatuonyesha sehem moja tu na si kote kulikojaa maji
@user-qd9uq2xt9r
@user-qd9uq2xt9r 19 күн бұрын
Kazi nzuri op
@shaibchigwere4645
@shaibchigwere4645 11 күн бұрын
Engineer wa power house yuko good kwa kuyelezea
@stevensosipita
@stevensosipita 13 күн бұрын
R.I.P DKT JOHN POMBE MAGUFULI MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI
@joachimluhamo3042
@joachimluhamo3042 19 күн бұрын
Mlisema mtapunguza bei za umeme ngoja tusubili tuone
@simulizitanzania2571
@simulizitanzania2571 4 күн бұрын
Karibu zimekuwa Nyingi mno aseeee
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b 20 күн бұрын
Rip jpm,sijakosea kumpa mwanangu jina lako
@hassanfeiswal5454
@hassanfeiswal5454 18 күн бұрын
Well done sister vumilia. Its good to have these development information. Keep it up. God bless you.
@LuckymusykiLuckymusyoki
@LuckymusykiLuckymusyoki 19 күн бұрын
Dada unajua kazi yako
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 19 күн бұрын
Asante Kwa kuendelea kufatilia Wekeza Tanzania
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw 19 күн бұрын
Pongezi kwa serikali pamoja nawewe vumiliya mwasha unatangaza vizuri
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 19 күн бұрын
Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 14 күн бұрын
ALLAH AMPE KAULI THABIT....SIKU YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI TULIAMBIWA KUNA DARAJA KUBWA LITAJENGWA HAPA KUBWA LITAKALO UNGANISHA MIKOA MIWILI NA NAWATANI WAKE WAZARAMO MTAKUJA KUFANYA UTALII NA KUPIGA PICHA ZA NDOA HAPA...AISEE NIKWEL YA ALLAH MPE KAULI THABIT...MUHIMU DUA TU NDIO FAIDA YAKE,,,NA UKIWASHA TAAA UJUE THAWABU HUMFATA ..NAPIA HONGERA MH.RAIS KWA KUKAMILISHA HILO MALIPO NI THAWABU NA PEPO KWAKO...
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 20 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🌹👏
@daslamonline4665
@daslamonline4665 17 күн бұрын
Mtakamilisha huko mtahamia kwenye miundombinu mitaani migao iendelee kama kawa
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j 20 күн бұрын
Kazi iendelee samia mi 🖐 tena 💞
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 16 күн бұрын
Jpm
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 3 күн бұрын
HIYO ASILIMIA 2 MWAKA UTAISHA
@WilliamSamwel-vh5op
@WilliamSamwel-vh5op 5 күн бұрын
Nyinyi ni matapeli tu miaka minga yapita mnatengenezatu
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 17 күн бұрын
Karibu sana zipo nyingi.dakika nne😂
@vinenswilliam3534
@vinenswilliam3534 13 күн бұрын
Huo ufunguo kwa nje ya mlango 😅
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 19 күн бұрын
Tunasubiri bei ya umeme ishuke, maaana mwanzilishi ambaye ni Jpm alisema bei itashuka ili tupikie umeme tuachane na mkaa
@Madizizi
@Madizizi 20 күн бұрын
Kila siku 98% tumechoka kusubiri
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 14 күн бұрын
AISEE NACHO ONA MM HAPO NI MITAMBO MINGI SANA.... AMBAYO NI YAKISASA KABISAA KAZI KUBWA SANA IMEFANYIKA ALLAH AWALIPE WEMA NA PEPO....MH.MAGUFULI UTAISHI SANA,,NIKI KUMBUKA MM ILE HUTUBA YA SIKU YA KWANZA LEO IMEKUWA KWELI MUNGU PEKEE NDIE ANAJUA CHA KULIPA,,PIA RAIS SAMIA HONGERA KWA HILO KAZI UMEIFANYA
@khamissaleh921
@khamissaleh921 7 күн бұрын
Jpm ashukuriwe alikubali kuvunja UJINGA WA WAZUNGU NA AKARHIBUTU KUJENGA DAM YA SELOUS .
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 18 күн бұрын
Kama bei ya umeme haitopungua hili bwawa litakuwa kazi bure
@killy_hoffman2698
@killy_hoffman2698 17 күн бұрын
mpka sasa bei ya umeme ni nafuu cha muhimu ni kupata umeme wa uhakika kwanza
@ZeProDJay
@ZeProDJay 16 күн бұрын
Buku unapata units 8 ukiwa kwenye mfumo wa tarrif 0 bado bei ni nafuu kuliko hata vifurushi vya simu hiyo buku ni siku 1 tu salio linakata..
@user-ub3xh7ug6c
@user-ub3xh7ug6c 10 күн бұрын
Nafuu ip​@@killy_hoffman2698
@user-ub3xh7ug6c
@user-ub3xh7ug6c 10 күн бұрын
Nafuu ip​@@killy_hoffman2698
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 20 күн бұрын
Vumilia mm huwa ni shabiki yako sana natamani siku moja nikuone live. Mm na mke wangu.
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 19 күн бұрын
Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw 19 күн бұрын
@@vumiliamwasha191 Asante dadayangu
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 19 күн бұрын
Wewe ni Mwisilamu wake wanne ruksa
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 19 күн бұрын
@@edsonnelson4464 acha izo bana.
@emmanuelmalifedha3391
@emmanuelmalifedha3391 20 күн бұрын
Hiyo mashine na tisa mbona inatoa 166.4MW? maana najua efficient haiwezi kuwa 100% but hiyo ni chini ya asilimia 70.... kuna nini hapo mtujuze kidogo
@matheobaha773
@matheobaha773 20 күн бұрын
Rpm yke n ndogo hata hivyo ukiangalia
@magorymara5515
@magorymara5515 19 күн бұрын
Kama siyo macho ya camera kushindwa kuonyesha ukubwa wa hicho kifaa basi nyie mtakuwa kuna jambo mmeliona ambalo lipo tofauti na ufafanuz wa jamaa
@khamissaleh921
@khamissaleh921 7 күн бұрын
Hawa wasemaji sio type ya wanawake wenye mvuto kwa kuleta mvuta wa biashara Nb tafuteni wanawake walio na nguvu ya kumvutia mtu sio hawa hata sauti sio NZURI
@wilcoxdaniel9825
@wilcoxdaniel9825 Күн бұрын
Who writes this kind of nonsense ? This is an engineering project. Not a beauty contest
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 38 МЛН
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 51 МЛН
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 2,6 МЛН
JAKAYA KIKWETE AZISHAURI SIMBA NA YANGA
7:30
Wasafi Media
Рет қаралды 9 М.