No video

KUMEKUCHA MBETO AMJIBU JUSSA SAKATA LA MH MAZRUI MBONA HAKUSHIRIKI MKUTANO WENU KUNA NENO

  Рет қаралды 10,274

Tifu Tv

Tifu Tv

Күн бұрын

#tifutv
web.
x.com/tifutvza...
www.tiktok.com...
www.instagram....

Пікірлер: 84
@BonifaceBuliba
@BonifaceBuliba Ай бұрын
Mbetto ameshikwa kweli naona amekuwa mweusi hakika Jussa ni Professional Mbung'o.
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Bwana. Mazroui Mungu amhifadhi akisifu hakuna teno unaweza kusifu hata kwa maaduwi zako, anaijuwa siasa vizuri pia ni mtu mwenye heshma na adabu na UWAMINIFU mkubwa kama Waziri hapo Unguja.Yalomkuta Kwa CCM siyo madogo. Watu wanakaa kwa HADHARI.
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l Ай бұрын
Sawasawa.
@Hilali-ff5ul
@Hilali-ff5ul Ай бұрын
Duhh kwel ccm ime kwisha mpka mbeto una mtaka mazrui😂
@HassanAhmed-di9jq
@HassanAhmed-di9jq Ай бұрын
Mboto sikiliza walikuwepo zaidi ya mazurui wakatoka nabado hatujatetereka si tatizo hata akitoka ss bado tupo palepale tuuu ccm hamna lolote
@mshiraziahmad9633
@mshiraziahmad9633 Ай бұрын
Kumbe jussa ndio dawa yenu
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Ай бұрын
😂😂😂
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j Ай бұрын
Wee mnyamwezi wacha unafik. Mazurui alikua hayupo siku ile. Na mikutano mingi huwa si sana Mazurui kuwepo. Usiropoke tu. Wasifu Mawaziri wenu wa ccm au wanaboronga? Mazurui ni ACT na tunawaambia 2025 tutafanya mazuri sana na mfano ndio huo waziri wetu Mazurui. Wazanzibari maisha magumuuuu. Mwinyi mwiziiiii mbona na yeye haji kujibu unamjibia wewe.?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Mazrui ni kiongozi anayejitambua, huwezi kumfananisha na jussa au omo
@osmanha6915
@osmanha6915 Ай бұрын
Ila CCM haijitambuwi
@masoudkhamisthaiboxing1011
@masoudkhamisthaiboxing1011 Ай бұрын
Sindano zinafanya kazi tena ya wiki tu je dozi ikiwa marambili kwa wiki ingekuwaje ?
@seifmohamed8725
@seifmohamed8725 Ай бұрын
Katika viongozi mambumbu katika c.c.n zanzibar hakuna kama mbeto na dimwa kiwango chao ni sawa na baraka shamte na hamza hasan
@jombadulla
@jombadulla Ай бұрын
mbeto na dimwa hawajui kuongea mdomo tu mwingi, mazrui anaweza kuongea vile ni technic tu, alf Yule ni wazir samtime inamfanya awe vile
@Grataaaaa
@Grataaaaa Ай бұрын
​abisa umenena
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l Ай бұрын
Mnajuwa ccm hawana sera wala ilani na hawana mpango wa kuwafanyia wananyi wakala milo 3 na kuishi ktk nchi ya haki.sasa kinacho tendeka wakipata jambo hulishikilia ili act wazalendo wasiwe na muda ya kutumia zile dakika zao ktk majukwa mnazan ccm hawajuwi km mazurui papa havulik kwa dema.hufanya hivyo yale masaa walio pangiwa ktk mkutano yaende ktk kubishana upuuzi.ushauri wangu act wapige kazi
@suleimanseif3290
@suleimanseif3290 Ай бұрын
Takataka hii sisi letu moja tu ni malaka kamili
@harithmohd6318
@harithmohd6318 Ай бұрын
Ccm hakuna mtu mwnye akili na kama yupo baci hakuna mweny marifa nyot nyny pangu pakavu tia mchuz mali uteleze inshaallah 2025 tunawakabiz zanzibar viongoz wenye akili marf uweledi wa kazi na so nyny majuha
@MwigaAdam
@MwigaAdam Ай бұрын
Viongozi wengi wa CCM Ssiwaelewi ni watu ambao hawana hoja,hawajui kijibi hoja,hawajibidishi kusoma Wala kuenda na wakati
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j Ай бұрын
Mbetto na wewe mwambie Mwinyi ajibu mwenyewe hoja za Jussa. Sio unajibu wewe.
@OmarMassoud-xy3ot
@OmarMassoud-xy3ot Ай бұрын
Yani ccm sisi ni watu wapumbavu sana katika hi chin mnavichekeshoa na bado ndozi hina tibu ACT yooooo
@muhammadiabassi656
@muhammadiabassi656 Ай бұрын
Kumbe yanawauma ya jussa jussa wape daw hao mmbo bado
@ahmadSeif860
@ahmadSeif860 Ай бұрын
Uyu mbetto kwani ni kijana au ni mzee? Naona sura haielewek kama polepole!!
@delasdiego6537
@delasdiego6537 Ай бұрын
Ww mpuuzi sana kama unajua ccm tunavyoichukia kiukwer tu jiandaeni tena na mauaji ila ujinga ujinga wenu sasa basssssssssi
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 Ай бұрын
mbeto kwan kura ni zahir ?? Ukipiga hisab zanzibar kuna ccm wengi tu lakin kila uchaguzi ukija minapigwa na chini je kura ni dhahir ??
@salimbinshaks1385
@salimbinshaks1385 Ай бұрын
Ccm bawana akili bora kuku lakini kaongea aliloliona rais alililolifanya
@maisarirajab4846
@maisarirajab4846 Ай бұрын
Kwani kila anaekusifia huwa ndio anakupenda kweli ccm hamna jipya munasubiri mtu akosee ndio mupate mada
@saidsalum1419
@saidsalum1419 Ай бұрын
Mazrui ni mwarabu mbona
@ConfusedBalkhHound-on2mx
@ConfusedBalkhHound-on2mx Ай бұрын
Yan huyu mtu mweusi hana adabu hata kidogo
@SaidAbdala-f7p
@SaidAbdala-f7p Ай бұрын
Hakuna kitu hapo. Huyu ni. Netanyahu mweusi.
@Grataaaaa
@Grataaaaa Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MwigaAdam
@MwigaAdam Ай бұрын
Tunasubir siku ambayo Mazrui atakayopokelewa na CCM na kupewa kadi
@BimkubwaOthman
@BimkubwaOthman Ай бұрын
Nikweli kama kuongea lolote alipaswa aende mwenyewe. Mazruii😂😂😂
@user-hj4zt1kw4i
@user-hj4zt1kw4i Ай бұрын
Sasa mchukueni Mazrui halafu wekeni uchaguzi uliohuru. Msiweke mazombi yenu halafu muone kama mtaambulia kitu.
@KhadijaHussein-qn2ge
@KhadijaHussein-qn2ge Ай бұрын
Tafuteni Cha kutudanganyia siomaji Barbara mara umeme mara shule mara masoko zimepitwa na wakati
@rashidissa5887
@rashidissa5887 Ай бұрын
Hata mimi mwanaACT kwa hili nna shaka na makamo wangu Jusa.Mazrui alipaswa kuwepo kwenye mkutano atupashe. Lipo jambo
@w4058
@w4058 Ай бұрын
Hakupaswa kuwapo hapo na nyi msijifanye wizi wa fadhila wacheni kutaka kumdhalilisha Mazrui hebu kuweni waungwana
@w4058
@w4058 Ай бұрын
Ingekuwa wewe uko kwenye nafasi kama ya kwake ungemsifu hivyo na zaidi kuliko alivyofanya mmeka kama wafinyu wa akili
@w4058
@w4058 Ай бұрын
Sipotezi tima yangu kusikiliza mwanamume mzima kujibu jibu wasting my time
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np Ай бұрын
yani hiliii halina akilii ataa kidog ccm inakosaa mvuto kwa watu km hawaa boraa mabodi alikua kichwa
@ConfusedBalkhHound-on2mx
@ConfusedBalkhHound-on2mx Ай бұрын
Ww ni shetani mweusi
@user-ud4rk1vw7l
@user-ud4rk1vw7l Ай бұрын
Mnyamwezi Mmakomde ndio waliofika mwanzo Unguja kuliko wewe uliokuja kufuta Barbara za darajani ukadhani umefika Ulaya .
@kassim1262
@kassim1262 Ай бұрын
Nyinyi ccm ndio munatufanya wznzb km wtoto au wjinga pua km chura wznzbar ndio tunaopiga kura co mazurui kura ymazuruia nimoja lkn wznzbar niwengi kuliko mazurui ukitka kuamini hilo tuombe mungu ifike 2025 km hmujaua wtu nakujeruhi bc ushindi hmunao 😅😅😅
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Ай бұрын
Kwani kusifu maendeleo ndio kuasi chama?Wewe huna haki ya kuongea kuhusu Mazrui,mwachie mwenyewe atamke atakayo.Wacheni uchochezi na fitina
@Jal210
@Jal210 Ай бұрын
ACT wapimbavu sana
@selemaninyundo3363
@selemaninyundo3363 8 күн бұрын
Pumbavu ww unaetombwa kwakudanganywa kazi
@selemaninyundo3363
@selemaninyundo3363 8 күн бұрын
Pumbavu ww unaetombwa kwakudanganywa kazi
@osmanha6915
@osmanha6915 Ай бұрын
Kwa iyo mbeto ndio pimbi?
@adilhabib8988
@adilhabib8988 Ай бұрын
Pumvavuuuu
@GenttileZanzibar
@GenttileZanzibar Ай бұрын
Hamna kt hp jichwa kama take nan anotaka ccm
@AbdallahJuma-wb8lq
@AbdallahJuma-wb8lq Ай бұрын
Wewe,mwenyewe,unajisuta,mznz,Gani,anataka,ccm
@NoufelSalim
@NoufelSalim Ай бұрын
Huyu kichwa chake ni mzigo tu wa shingo😂
@laisamaujud1157
@laisamaujud1157 Ай бұрын
Muongo sio mikutano yote mazurui anakuwepo ikisha wema haudandiwi
@ZANAMBER
@ZANAMBER Ай бұрын
Hunajipya ww ondoweni hii njaa kwanza hamu lolote jichwa kubwa akili kidogo
@Grataaaaa
@Grataaaaa Ай бұрын
Napita nkucheka
@user-rv1vn9zj5w
@user-rv1vn9zj5w Ай бұрын
Wewe mjinga mzanzibar na ccm sahau
@user-cy2hc2og6l
@user-cy2hc2og6l Ай бұрын
Bunju bunju tu 😃😃😃
@Grataaaaa
@Grataaaaa Ай бұрын
Huyu mwamba kama ashakula kijiti vile
@kassim1262
@kassim1262 Ай бұрын
😅😂😂😂😂
@yakoubfaki2026
@yakoubfaki2026 Ай бұрын
Kwani kutumia Google serekali inalipa,
@hasbunakhamis487
@hasbunakhamis487 Ай бұрын
Skuelew unachosema
@user-te9to1nc5t
@user-te9to1nc5t Ай бұрын
Kumbe wewe pimbi kweli kweli ... kwa uchimi gani wa zanzibar hadi kuwa na mfumo kama huo.. mfumo huu unahitajika kwa nchi zenye uchumi mkubwa sio kama zanzibar yetu ambayo uchimi wake ni mdogo sana kugharamia mfumo kama huo.. hii ni dalili Tosha serekali imeshindwa kudhibiti fedha za walipa kodi masikini....
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go Ай бұрын
Jambo kubwa ambalo CCM mnapigwa bao ni mamlaka kamili ya Zanzibar hapo ndio mnapigwa bao Wazanzibari Tunataka nchi yetu yenye mamlaka kamili na kila sehemu duniani tuitwe kwa jina letu Wazanzibari sio Watanzania
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Ай бұрын
Its very stupidity ideal!
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 Ай бұрын
ANANUKA POMBE👁️👀👁️🤣🤣🤣
@w4058
@w4058 Ай бұрын
Hakuna sakata lolote msitupozee muda
@masoudsalum
@masoudsalum Ай бұрын
Uchumi nzima ni trioni moja pamoja na bakuli hizo trions duh
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 Ай бұрын
Masoud hawa jamaa CCM ,wanafikiri kwamba watu wote wa Zanzibar wanauwelewa mdogo sana wa kutafakari mambo kumbe sivyo ilivyo.sisi Zanzibar hatukupaswa kuwa hapa tulipo kimaendeleo ni maendeleo madogo sana ukilinganisha na nchi nyingine za visiwa kama sisi, hata uchumi wetu ni mdogo sana katika nchi za Visiwa ndio sisi wengine tunaumizwa na hilo tulipaswa kuwa mbali zaidi ndio baadhi ya sisi Wazanzibar tunaona nyinyi CCM mumeshindwa kuongoza visiwa hivi kwa kuvipeleka mbele kimaendeleo tukashindana na nchi nyingine za visiwa kama Morishazi ,Capved na nchi nyingine zisizokuwa za visiwa . Trilioni tano bajeti wakati trilioni tatu za kukopa sisi wengine inatuuma Zanzibar .
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np Ай бұрын
fanyeni mkutano na nyie tuone km mtapat watu km walee
@IdirisaKhamis
@IdirisaKhamis Ай бұрын
Mh hapa hamna kitu
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 Ай бұрын
Mh kura ni siri kwa maana yk
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo Ай бұрын
Pumbavu kweli
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Ай бұрын
"WANA CCM WANA AKILI" WANAKUBALI UKOLONI WA TANGANYIKA Baadhi ya Wana CCM wa Zanzibar wana akili ya Wizi wa Kura na Mauwaji ya Waislam wa Zanzibar. Waliuwa Waislam 21 wa Unguja na Pemba ili Hussein Ali awe Kiongozi baada Kuchagua Dodoma na Pombe kwa faida ya Kanisa Katoliki pq
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Ай бұрын
Nyerere ameipanga vizuri sana zanzibari ikamezwa kimacho macho wala haitapata uhuru kama alivyo wapa mwengerza hapo 63
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Ай бұрын
CHAMA CHA MAPINDUZI NA NEMBO YA BENDERA YAKE✝️ @alialamoudi9729 Disemba 10, 1963 ilikuwa ni UHURU WA WAZANZIBARI.🙏☪️ LAKINI Januari 12, 1964 ilikuwa ni UHURU WA WAKIRISTO✝️
@kassim1262
@kassim1262 Ай бұрын
Ccm wtnganyika wanalinda chama chao ccm wznzb wnalinda maslahi yamatumbo yao wnaletwa nawtnagnyika kuja kuilinda ccm znzbr 😂😂😂😂
@selemaninyundo3363
@selemaninyundo3363 8 күн бұрын
Akili zenu ziko chupini tu kutomba cc wenzenu mukiwapa kadi mukidanganya kazi wakati mamazenu nababazenu hawana pumbavu zenu kwendraa
@selemaninyundo3363
@selemaninyundo3363 8 күн бұрын
Kwataarifa fupi mara hii mukimwaga damu twawachemsha kama supu yakongoro ujinga ujinga sasa basi vijana tumeamua
@user-ud4rk1vw7l
@user-ud4rk1vw7l Ай бұрын
Mboto achana na huyo GORLANA ameishiwa . Kapata kichochoro Cha kuishi hata huko kwao hajulikani . Maskini Jusa pole sana .
@kassim1262
@kassim1262 Ай бұрын
Nyinyi wenyewe kwenu hmujuilikani mumetok tanganyika kuja kuilinda ccm znzbr munajiita wznzbar znzbr hkuna ccm ndio maana ccm haijawahi kushinda znzbr hata viongozi wccm wnakiri hilo 😂😂😂
LUKUVI NGORONGORO  AUSEMA UJUMBE ALIOAGIZWA NA RAIS SAMIA
5:54
Mwananchi Digital
Рет қаралды 8 М.
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 21 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 111 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 18 МЛН
MAZRUI AWASHA MOTO MZITO NYARUGUSU
8:55
RVS Online Tv
Рет қаралды 4,6 М.
IMEVUJA! CHANZO CHA MGOGORO WA MAZRUI NA ACT-WAZALENDO HIKI HAPA
7:17
CUF ONLINE TV TZ
Рет қаралды 13 М.
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 21 МЛН