TONNY WA CHERRY AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA/KUAMBUKIZWA UKIMWI/KUKONDA/UGUMU WA KUISHI NA MWENYE VVU

  Рет қаралды 45,631

Carrymastory

Carrymastory

23 күн бұрын

KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA

Пікірлер: 220
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 21 күн бұрын
Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢
@elizabethmwaseba8164
@elizabethmwaseba8164 21 күн бұрын
Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine
@athanasmasmami5389
@athanasmasmami5389 20 күн бұрын
😂😂
@kwisa4899
@kwisa4899 11 күн бұрын
Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..
@janethzacharia7967
@janethzacharia7967 15 күн бұрын
Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww
@salmabasil385
@salmabasil385 10 күн бұрын
Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe
@user-fi7ky7ub6s
@user-fi7ky7ub6s 12 күн бұрын
Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤
@jacklinepeter4158
@jacklinepeter4158 18 күн бұрын
Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 21 күн бұрын
Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 18 күн бұрын
Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani
@ibrahim.kelvin
@ibrahim.kelvin 21 күн бұрын
This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.
@rosehaule6765
@rosehaule6765 17 күн бұрын
Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 15 күн бұрын
Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo
@charlesmtitu5606
@charlesmtitu5606 21 күн бұрын
Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh
@frankrobertkomba2318
@frankrobertkomba2318 21 күн бұрын
Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha
@user-re2em2zd2u
@user-re2em2zd2u 20 күн бұрын
@@frankrobertkomba2318very true
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 20 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MS.independent8934
@MS.independent8934 13 күн бұрын
Upo sahihii 💯
@estherkimario7940
@estherkimario7940 19 күн бұрын
Jaman umetoka mzima kwel😭
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 13 күн бұрын
Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 19 күн бұрын
Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 16 күн бұрын
Pole
@BlessedLady-by5hz
@BlessedLady-by5hz 12 күн бұрын
Atakupenda????
@user-qq5rx1bl7e
@user-qq5rx1bl7e 21 күн бұрын
Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa
@shanikiwele3111
@shanikiwele3111 20 күн бұрын
Dah kweli umepungua Alton jmn😢
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 15 күн бұрын
Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini
@tinajohn6296
@tinajohn6296 12 күн бұрын
​@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 19 күн бұрын
Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢
@hanamakamba373
@hanamakamba373 21 күн бұрын
Pole❤
@maryamm7765
@maryamm7765 21 күн бұрын
Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 21 күн бұрын
Kwel
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 18 күн бұрын
Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe
@user-re2em2zd2u
@user-re2em2zd2u 20 күн бұрын
Huyu kaka anaonekana anaumia sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 күн бұрын
Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake
@user-el7ut2qk4e
@user-el7ut2qk4e 20 күн бұрын
Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.
@isakahissa4130
@isakahissa4130 19 күн бұрын
Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 19 күн бұрын
​@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine
@aminamasalu6988
@aminamasalu6988 20 күн бұрын
Tonny anaonekana ana maumivu
@user-cr8pr3kn3c
@user-cr8pr3kn3c 20 күн бұрын
Yani hata sura yake imepoteza nuru
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 56 минут бұрын
Kweli kabisa mwe
@user-rm1sr3if9n
@user-rm1sr3if9n 19 күн бұрын
Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 19 күн бұрын
Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin
@naah884
@naah884 19 күн бұрын
Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 19 күн бұрын
Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 19 күн бұрын
@@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 күн бұрын
​@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?
@samwelrobeth7763
@samwelrobeth7763 3 күн бұрын
​@@allyahahmed1091😂😂😂😂😂
@ReenKey-d5q
@ReenKey-d5q 15 күн бұрын
Dah!pole sana kaka
@user-vz6kk8id2f
@user-vz6kk8id2f 20 күн бұрын
Huyu kaka anamaumivu jmn
@annamussa185
@annamussa185 17 күн бұрын
Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo
@godfreykasilingi4041
@godfreykasilingi4041 15 күн бұрын
Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .
@user-ey5mv1yz3s
@user-ey5mv1yz3s 20 күн бұрын
Duuh, aisee haya maisha mmh,
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 21 күн бұрын
Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅
@WemaMchomvu
@WemaMchomvu 20 күн бұрын
Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 18 күн бұрын
Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito
@AlliNasra
@AlliNasra 14 күн бұрын
Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.
@aminamaulid7371
@aminamaulid7371 19 күн бұрын
Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???
@DinahAnthony
@DinahAnthony 19 күн бұрын
Kwakwel me Nilitaka waachane
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 15 күн бұрын
Kwanini jamani
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 16 күн бұрын
Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini
@user-is7ot7bq9x
@user-is7ot7bq9x 20 күн бұрын
Duh mtihani
@Fahilarashid
@Fahilarashid 17 күн бұрын
Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮
@deborahissaya1601
@deborahissaya1601 21 күн бұрын
Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota
@user-re2em2zd2u
@user-re2em2zd2u 20 күн бұрын
😂😂😂
@dcampafrica
@dcampafrica 18 күн бұрын
Ila debora
@eberykabage2999
@eberykabage2999 5 күн бұрын
😅
@EmmanuelKawawa
@EmmanuelKawawa 10 күн бұрын
Mbona kwangu haina sauti
@anneyrommoka9024
@anneyrommoka9024 6 күн бұрын
Wanawake wakichaga mpooooooo????
@Patricianicholaus24
@Patricianicholaus24 16 күн бұрын
Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki
@aminaelibrahimu4792
@aminaelibrahimu4792 10 күн бұрын
Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 19 күн бұрын
Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 57 минут бұрын
Jamani mkaka wa watu mwe mpka katunga wimbo unaitwa uwongo ukute ndugu zake waliomba mpka Mungu akawasikia u
@agriparose3942
@agriparose3942 17 күн бұрын
Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment
@user-bo2yf5hw7s
@user-bo2yf5hw7s 15 күн бұрын
Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo
@faridamapogolo2892
@faridamapogolo2892 2 күн бұрын
Hata ukihitaji dawa kwake pia majibu yake mmh
@IreneMwanaa-zo2wz
@IreneMwanaa-zo2wz 18 күн бұрын
Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!
@salmauae2261
@salmauae2261 20 күн бұрын
isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 18 күн бұрын
😭😭Yani inauma sana
@gracebuhatwa6359
@gracebuhatwa6359 10 күн бұрын
Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee
@qayllahkusaga1207
@qayllahkusaga1207 4 күн бұрын
Tony lov u bro
@irenemlay9769
@irenemlay9769 19 күн бұрын
Duuu tunakuogopa aisee
@mixboysofredorfamily6210
@mixboysofredorfamily6210 19 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 15 күн бұрын
Sasa why umuogope😢😂
@irenemlay9769
@irenemlay9769 15 күн бұрын
@@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake
@kwisa4899
@kwisa4899 11 күн бұрын
ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote
@azharrtxj8773
@azharrtxj8773 4 күн бұрын
😂😂
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 16 күн бұрын
Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅
@KudratMkangama
@KudratMkangama 17 күн бұрын
Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹
@Amina-ig3jw
@Amina-ig3jw 13 күн бұрын
😅😅😅
@bushbabytz
@bushbabytz 19 күн бұрын
huo ufala siwezi ufanya
@vesitinarevocatus7333
@vesitinarevocatus7333 21 күн бұрын
Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry
@user-vr8fx4vg2r
@user-vr8fx4vg2r 21 күн бұрын
Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa
@anifamickidard4555
@anifamickidard4555 21 күн бұрын
Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote
@Unju-q4e
@Unju-q4e 10 күн бұрын
blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality
@angeladegens7139
@angeladegens7139 13 сағат бұрын
Iove you Tonny🎉
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 15 күн бұрын
Yaan kaka kaumia.huyu😢😢
@athanasmasmami5389
@athanasmasmami5389 20 күн бұрын
Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nanaleetz
@nanaleetz 19 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 15 күн бұрын
Il watu mna nini?😂😂😂
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 21 күн бұрын
Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 21 күн бұрын
Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅
@YvonnegipsonGipson
@YvonnegipsonGipson 21 күн бұрын
😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 21 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana
@zawadgunza2093
@zawadgunza2093 20 күн бұрын
😅😅😅
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 19 күн бұрын
Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana
@VeronicaSteven-of1qe
@VeronicaSteven-of1qe 15 күн бұрын
Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂
@mariagrayson5414
@mariagrayson5414 8 күн бұрын
Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde
@thebroski9763
@thebroski9763 5 күн бұрын
Pole mpendwa 🙏
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 15 күн бұрын
Kwan mlipata.watoto wangap.nae
@kennedymaster2000
@kennedymaster2000 19 күн бұрын
Itakuwa amepewa ngom
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 4 күн бұрын
Mmh mtu kakupenda na hali hiyo na umemuacha😂😂😂
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 17 күн бұрын
Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa
@JeniferMassawe-lu3de
@JeniferMassawe-lu3de 21 күн бұрын
Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara
@felistersanga7903
@felistersanga7903 11 күн бұрын
Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana
@JeremiahJohn-tt2ij
@JeremiahJohn-tt2ij 10 күн бұрын
Bileke bigende bindi bilozaa😢😢
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 19 күн бұрын
This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%
@leadflavour_tz
@leadflavour_tz 14 күн бұрын
😅😂😂
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 13 күн бұрын
Kabisaaaa
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c 11 күн бұрын
Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 10 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c acha umalaya period
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 10 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo
@annakbunga8377
@annakbunga8377 20 күн бұрын
Kwani ungekaa kimya ingekuwaje
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 19 күн бұрын
Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 19 күн бұрын
​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 19 күн бұрын
​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo 21 күн бұрын
Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana
@JescaEzekieli-vd9ly
@JescaEzekieli-vd9ly 21 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 20 күн бұрын
😂😂😂
@azizauheche5944
@azizauheche5944 13 күн бұрын
😂😂
@lydiajuma01
@lydiajuma01 19 күн бұрын
Mapenz usenge
@user-uv3hy1yj3j
@user-uv3hy1yj3j 16 күн бұрын
Mapenzi matamu bana
@zuwenahassan3624
@zuwenahassan3624 21 күн бұрын
Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 17 күн бұрын
Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 21 күн бұрын
Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali
@Khadija-ne8ul
@Khadija-ne8ul 21 күн бұрын
Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi
@doymatata4702
@doymatata4702 20 күн бұрын
Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 18 күн бұрын
@@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 18 күн бұрын
@@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua
@user-hm1nt4mj4n
@user-hm1nt4mj4n 21 күн бұрын
Kiki tu
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 12 күн бұрын
Hata siamin nyie😢
@user-yn3kg8ip2h
@user-yn3kg8ip2h 12 күн бұрын
Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo
@gracebuhatwa6359
@gracebuhatwa6359 10 күн бұрын
Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 21 күн бұрын
😳😳🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂
@Official83640
@Official83640 21 күн бұрын
Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 21 күн бұрын
@@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 15 күн бұрын
​@@Official83640mmmh
@cathyjb4339
@cathyjb4339 7 күн бұрын
Hamna huyu kaka anapitia maumivu anaonekana. Ona alivyokonda hata anavuocheka sio cheko la kawaida ni la maumivu.
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 12 күн бұрын
Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine
@rehemamoyo4182
@rehemamoyo4182 21 күн бұрын
Amechit Cherry
@Humanity21216
@Humanity21216 19 күн бұрын
We umemuona akicheat?
@user-db1uy6hv9q
@user-db1uy6hv9q 21 күн бұрын
Jamani ww siulihojiwa wasafi ukasema hujaambukizwa
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 21 күн бұрын
😅😊
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 19 күн бұрын
Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini
@vee4296
@vee4296 17 күн бұрын
Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?
@deomassawetz
@deomassawetz 16 күн бұрын
Tumia Airphone
@mwaminishakalili4120
@mwaminishakalili4120 14 күн бұрын
Simu lako taka bwana😂😂😂
@greenermichael2057
@greenermichael2057 10 күн бұрын
Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia
@esthermalamsha2847
@esthermalamsha2847 9 күн бұрын
Ni shida
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 17 күн бұрын
Kimekuramba😂
@LubnaGeorge-re4yp
@LubnaGeorge-re4yp 18 күн бұрын
Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk
@cathyjb4339
@cathyjb4339 7 күн бұрын
Hapana alimpenda, we unaweza ku-risk maisha yako yaani posibility ya kupata ugonjwa kwa sababu ya kiki? Hata namna anam-cover up hafunguki kwa ubaya juu ya huyo dada, namna amepungua unaona he was in Love. Japo inafikaga kipindi mapenzi yanaishaga na maisha lazima yaendelee.
@onekisstv8412
@onekisstv8412 16 күн бұрын
Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au
@petetyohana
@petetyohana 11 күн бұрын
Jicho lilifumba kwa muda
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 14 күн бұрын
Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka
@happyalbert5089
@happyalbert5089 21 күн бұрын
Du!
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 20 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@rehemamoyo4182
@rehemamoyo4182 21 күн бұрын
Wakwanza
@juditholotu7249
@juditholotu7249 11 күн бұрын
Mungu atakupa mke mwingine
@SalimaBuneku
@SalimaBuneku 21 күн бұрын
😂😂😂😂
@ramadhanhassan9308
@ramadhanhassan9308 20 күн бұрын
Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 19 күн бұрын
We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 19 күн бұрын
Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 19 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 19 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 күн бұрын
Hii comment 100%
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l 18 күн бұрын
Chalii wa pugu hahhahaha
@franciscomalimi8070
@franciscomalimi8070 12 күн бұрын
Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 50 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 33 МЛН
PENZI LA CHERRY (ANAYEISHI NA VVU) NA TONY LAVUNJIKA??
3:27
Wasafi Media
Рет қаралды 4 М.
Breaking News from JKIA, Ruto in big trouble
9:57
Rogers Kakasungura
Рет қаралды 4,7 М.
БАТЯ И ТЁЩА😂#shorts
0:58
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 5 МЛН
КАРОЧЕ НЕУДОБНАЯ СИТУАЦИЯ😱🔥 #shorts
0:45
ПОПОВИЧИ
Рет қаралды 7 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
0:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
Вилка для консервов 🥒
0:51
Сан Тан
Рет қаралды 2,5 МЛН