KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA
Пікірлер: 220
@ashurajengela392621 күн бұрын
Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢
@elizabethmwaseba816421 күн бұрын
Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine
@athanasmasmami538920 күн бұрын
😂😂
@kwisa489911 күн бұрын
Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..
@janethzacharia796715 күн бұрын
Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww
@salmabasil38510 күн бұрын
Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe
@user-fi7ky7ub6s12 күн бұрын
Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤
@jacklinepeter415818 күн бұрын
Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini
@ukhutfatumah115421 күн бұрын
Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian
@fahadfaraj647418 күн бұрын
Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani
@ibrahim.kelvin21 күн бұрын
This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.
@rosehaule676517 күн бұрын
Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi
@darlenesalum366715 күн бұрын
Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo
@charlesmtitu560621 күн бұрын
Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh
@frankrobertkomba231821 күн бұрын
Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha
@user-re2em2zd2u20 күн бұрын
@@frankrobertkomba2318very true
@user-ur7pw9ek6s20 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MS.independent893413 күн бұрын
Upo sahihii 💯
@estherkimario794019 күн бұрын
Jaman umetoka mzima kwel😭
@miriamdavis389313 күн бұрын
Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu
@user-pp9mp1pz9f19 күн бұрын
Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢
@rosemilingi786016 күн бұрын
Pole
@BlessedLady-by5hz12 күн бұрын
Atakupenda????
@user-qq5rx1bl7e21 күн бұрын
Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa
@shanikiwele311120 күн бұрын
Dah kweli umepungua Alton jmn😢
@darlenesalum366715 күн бұрын
Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini
@tinajohn629612 күн бұрын
@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue
@user-pp9mp1pz9f19 күн бұрын
Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢
@hanamakamba37321 күн бұрын
Pole❤
@maryamm776521 күн бұрын
Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu
@Zainab-sq1tc21 күн бұрын
Kwel
@Judy-dy4zt18 күн бұрын
Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe
@user-re2em2zd2u20 күн бұрын
Huyu kaka anaonekana anaumia sana
@GeorgeAkasha-zx2rj18 күн бұрын
Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake
@user-el7ut2qk4e20 күн бұрын
Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.
@isakahissa413019 күн бұрын
Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa
@NeemaSamson-ti8pc19 күн бұрын
@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine
@aminamasalu698820 күн бұрын
Tonny anaonekana ana maumivu
@user-cr8pr3kn3c20 күн бұрын
Yani hata sura yake imepoteza nuru
@joycekasimbazi981756 минут бұрын
Kweli kabisa mwe
@user-rm1sr3if9n19 күн бұрын
Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha
@user-pp9mp1pz9f19 күн бұрын
Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin
@naah88419 күн бұрын
Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅
@allyahahmed109119 күн бұрын
Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko
@user-pp9mp1pz9f19 күн бұрын
@@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana
@GeorgeAkasha-zx2rj18 күн бұрын
@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?
@samwelrobeth77633 күн бұрын
@@allyahahmed1091😂😂😂😂😂
@ReenKey-d5q15 күн бұрын
Dah!pole sana kaka
@user-vz6kk8id2f20 күн бұрын
Huyu kaka anamaumivu jmn
@annamussa18517 күн бұрын
Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo
@godfreykasilingi404115 күн бұрын
Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .
@user-ey5mv1yz3s20 күн бұрын
Duuh, aisee haya maisha mmh,
@JELSONMAUKI21 күн бұрын
Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅
@WemaMchomvu20 күн бұрын
Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton
@joycekasimbazi981718 күн бұрын
Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito
@AlliNasra14 күн бұрын
Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.
@aminamaulid737119 күн бұрын
Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???
@DinahAnthony19 күн бұрын
Kwakwel me Nilitaka waachane
@darlenesalum366715 күн бұрын
Kwanini jamani
@AishaHaji-jn7sg16 күн бұрын
Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini
@user-is7ot7bq9x20 күн бұрын
Duh mtihani
@Fahilarashid17 күн бұрын
Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮
@deborahissaya160121 күн бұрын
Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota
@user-re2em2zd2u20 күн бұрын
😂😂😂
@dcampafrica18 күн бұрын
Ila debora
@eberykabage29995 күн бұрын
😅
@EmmanuelKawawa10 күн бұрын
Mbona kwangu haina sauti
@anneyrommoka90246 күн бұрын
Wanawake wakichaga mpooooooo????
@Patricianicholaus2416 күн бұрын
Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki
@aminaelibrahimu479210 күн бұрын
Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok
@user-eo4hd8xu6d19 күн бұрын
Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.
@joycekasimbazi981757 минут бұрын
Jamani mkaka wa watu mwe mpka katunga wimbo unaitwa uwongo ukute ndugu zake waliomba mpka Mungu akawasikia u
@agriparose394217 күн бұрын
Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment
@user-bo2yf5hw7s15 күн бұрын
Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo
@faridamapogolo28922 күн бұрын
Hata ukihitaji dawa kwake pia majibu yake mmh
@IreneMwanaa-zo2wz18 күн бұрын
Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!
@salmauae226120 күн бұрын
isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤
@Judy-dy4zt18 күн бұрын
😭😭Yani inauma sana
@gracebuhatwa635910 күн бұрын
Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee
@qayllahkusaga12074 күн бұрын
Tony lov u bro
@irenemlay976919 күн бұрын
Duuu tunakuogopa aisee
@mixboysofredorfamily621019 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum366715 күн бұрын
Sasa why umuogope😢😂
@irenemlay976915 күн бұрын
@@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake
@kwisa489911 күн бұрын
ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote
@azharrtxj87734 күн бұрын
😂😂
@jeunajuatv81716 күн бұрын
Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅
@KudratMkangama17 күн бұрын
Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹
@Amina-ig3jw13 күн бұрын
😅😅😅
@bushbabytz19 күн бұрын
huo ufala siwezi ufanya
@vesitinarevocatus733321 күн бұрын
Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry
@user-vr8fx4vg2r21 күн бұрын
Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa
@anifamickidard455521 күн бұрын
Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote
@Unju-q4e10 күн бұрын
blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality
@angeladegens713913 сағат бұрын
Iove you Tonny🎉
@MwanjiNzala-mo5ni15 күн бұрын
Yaan kaka kaumia.huyu😢😢
@athanasmasmami538920 күн бұрын
Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂
@verobecamfipa865519 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nanaleetz19 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum366715 күн бұрын
Il watu mna nini?😂😂😂
@rukiaiddyyahaya950621 күн бұрын
Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali
@estherminnahboaz695621 күн бұрын
Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅
@YvonnegipsonGipson21 күн бұрын
😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu
@rukiaiddyyahaya950621 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana
@zawadgunza209320 күн бұрын
😅😅😅
@verobecamfipa865519 күн бұрын
Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana
@VeronicaSteven-of1qe15 күн бұрын
Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂
@mariagrayson54148 күн бұрын
Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde
@thebroski97635 күн бұрын
Pole mpendwa 🙏
@MwanjiNzala-mo5ni15 күн бұрын
Kwan mlipata.watoto wangap.nae
@kennedymaster200019 күн бұрын
Itakuwa amepewa ngom
@rubbymusa19714 күн бұрын
Mmh mtu kakupenda na hali hiyo na umemuacha😂😂😂
@lilianestephanie788117 күн бұрын
Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa
@JeniferMassawe-lu3de21 күн бұрын
Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara
@felistersanga790311 күн бұрын
Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana
@JeremiahJohn-tt2ij10 күн бұрын
Bileke bigende bindi bilozaa😢😢
@allyahahmed109119 күн бұрын
This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%
@leadflavour_tz14 күн бұрын
😅😂😂
@user-sb7lz9xp4v13 күн бұрын
Kabisaaaa
@user-iy7xy1np7c11 күн бұрын
Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako
@allyahahmed109110 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c acha umalaya period
@allyahahmed109110 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo
@annakbunga837720 күн бұрын
Kwani ungekaa kimya ingekuwaje
@NeemaSamson-ti8pc19 күн бұрын
Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya
@hajistshariast633519 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@hajistshariast633519 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@SaimonKazimoto-xt1zo21 күн бұрын
Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana
@JescaEzekieli-vd9ly21 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s20 күн бұрын
😂😂😂
@azizauheche594413 күн бұрын
😂😂
@lydiajuma0119 күн бұрын
Mapenz usenge
@user-uv3hy1yj3j16 күн бұрын
Mapenzi matamu bana
@zuwenahassan362421 күн бұрын
Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke
@lilianestephanie788117 күн бұрын
Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko
@Chakol123-k7s21 күн бұрын
Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali
@Khadija-ne8ul21 күн бұрын
Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi
@doymatata470220 күн бұрын
Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO
@Chakol123-k7s18 күн бұрын
@@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua
@Chakol123-k7s18 күн бұрын
@@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua
@user-hm1nt4mj4n21 күн бұрын
Kiki tu
@mwashamleo999612 күн бұрын
Hata siamin nyie😢
@user-yn3kg8ip2h12 күн бұрын
Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo
@gracebuhatwa635910 күн бұрын
Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni
@ruqaiamohammed34521 күн бұрын
😳😳🙆🏾♂️🙆🏾♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶♀️🚶♀️🚶♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂
@Official8364021 күн бұрын
Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂
@ruqaiamohammed34521 күн бұрын
@@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara
@darlenesalum366715 күн бұрын
@@Official83640mmmh
@cathyjb43397 күн бұрын
Hamna huyu kaka anapitia maumivu anaonekana. Ona alivyokonda hata anavuocheka sio cheko la kawaida ni la maumivu.
@mwashamleo999612 күн бұрын
Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine
Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini
@vee429617 күн бұрын
Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?
@deomassawetz16 күн бұрын
Tumia Airphone
@mwaminishakalili412014 күн бұрын
Simu lako taka bwana😂😂😂
@greenermichael205710 күн бұрын
Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia
@esthermalamsha28479 күн бұрын
Ni shida
@VeronicaRugoyi17 күн бұрын
Kimekuramba😂
@LubnaGeorge-re4yp18 күн бұрын
Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk
@cathyjb43397 күн бұрын
Hapana alimpenda, we unaweza ku-risk maisha yako yaani posibility ya kupata ugonjwa kwa sababu ya kiki? Hata namna anam-cover up hafunguki kwa ubaya juu ya huyo dada, namna amepungua unaona he was in Love. Japo inafikaga kipindi mapenzi yanaishaga na maisha lazima yaendelee.
@onekisstv841216 күн бұрын
Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au
@petetyohana11 күн бұрын
Jicho lilifumba kwa muda
@rukaya-jg7hj14 күн бұрын
Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka
@happyalbert508921 күн бұрын
Du!
@samiraabdimahamed444920 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@rehemamoyo418221 күн бұрын
Wakwanza
@juditholotu724911 күн бұрын
Mungu atakupa mke mwingine
@SalimaBuneku21 күн бұрын
😂😂😂😂
@ramadhanhassan930820 күн бұрын
Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili
@fatihiyadossa37519 күн бұрын
We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu
@verobecamfipa865519 күн бұрын
Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭
@hajistshariast633519 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@hajistshariast633519 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@GeorgeAkasha-zx2rj18 күн бұрын
Hii comment 100%
@user-so3gy2io8l18 күн бұрын
Chalii wa pugu hahhahaha
@franciscomalimi807012 күн бұрын
Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary