TUKIO LA KUTISHA LINAKUJA-UMEJIANDAA?-PR. MMBAGA

  Рет қаралды 137,375

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Жыл бұрын

WENGI HAWAJU WAJIANDAE VIPI. WEWE ANGALIA SOMO HILI KWA FAIDA YAKO

Пікірлер: 241
@mandagohuja6729
@mandagohuja6729 Жыл бұрын
MUNGU akubariki pastor, huwezi kujua tu, lakini ukweli ni kwamba umekuwa mbaraka kwangu Sana, I was not an Adventist but today am an Adventist sehemu kubwa ni kupitia mahubiri yako nikajikuta nautambua ukweli na kuacha njia nilizokuwa nazo
@beatricekatunzi3721
@beatricekatunzi3721 Жыл бұрын
Mimi sio msabato lakini jamani Pr Mbaga umeniponya na unaendelea kunilea kiroho, Asante sn
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu atukuzwe
@charleskibugachannel2210
@charleskibugachannel2210 Жыл бұрын
Amina
@lydiahsarange7430
@lydiahsarange7430 Жыл бұрын
Karibu sana nyumbani mwa bwana
@barakamaduhu9581
@barakamaduhu9581 Жыл бұрын
Amina sana🙏🙏
@jacklinennko8517
@jacklinennko8517 Жыл бұрын
Mimi sio msabato ila nimejifunza vitu vingi Sana katika mafundisho yako na nakupenda maana ni kama huna dhehebu na hutetei dhehebu wala din ila unaisema kweli ya Mungu .ubarikiwe sana
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
🙏
@simonlomayani5743
@simonlomayani5743 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa ata Mimi sio msabato lakin anibarikigi sana sana huyu atetei siku wala dhehebu anamhubiri YESU KRISTO
@maryjosephat2885
@maryjosephat2885 11 ай бұрын
​@@MahubiriPrMmbaga msaada tafadhar wa mawasiliano na mchungaji nina shida
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 10 ай бұрын
tunasikiliza neno la Mungu sio dhehebu
@DAVIDMAGHANGA
@DAVIDMAGHANGA 3 ай бұрын
Hakuna msabato Kwa ufalme wa MUNGU ila kuna Wana wa MUNGU alie hai
@franciskaranja4015
@franciskaranja4015 Жыл бұрын
Mchungaji mungu akubaliki umekua ukinxaidia xana since Covid19 iaze umkua baraka kwangu xana,,,,,napenda mahumbiri TV kuliko vyote mtadaoni,,,
@josekibuthu622
@josekibuthu622 Жыл бұрын
Mimi ninechoka na Sunday worshipers nawa join very soon
@blessedme767
@blessedme767 Жыл бұрын
Karibu sana.
@elizaswai332
@elizaswai332 Ай бұрын
Karibu sana sana
@n.dvillagirl3272
@n.dvillagirl3272 Жыл бұрын
Paster Mungu wako anashangaza leo nime barikiwa kimiujiza wala sijaamini kama nikweli 🙏❤️❤️❤️
@vincentchotta-pd1zw
@vincentchotta-pd1zw Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mchungaji, na tunabarikiwa kupitia wewe. Natumaini kuwa siku moja tutashiriki katika ufalme wa Mungu.
@annaabraham8647
@annaabraham8647 Жыл бұрын
Assnte kwq ujumbe mzuri. Tujiandae twende na yesu.
@hedijohn-nb9nq
@hedijohn-nb9nq Жыл бұрын
Mchungaji mmbaga mungu akutie nguvu zaidi na zaidi na akuzdishie miaka mingi
@upendobaina2171
@upendobaina2171 3 ай бұрын
Hakuna mch anayenibariki na kuniweka karibu na MUNGU kama wewe.MUNGU akutie nguvu.amen.
@bluelionboyhistory6591
@bluelionboyhistory6591 Жыл бұрын
Sasa Moyo wangu unafuraha na shauku kubwa maana naona kabisa Bwana yuko karibu kurejea; Wapenzi tufanye kazi upesi kelele inagonga tuwe tayari kumpokea Amina
@josphat1780
@josphat1780 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki ni JOSPHAT KARITHI nko Kenya.
@jaredmayaka2993
@jaredmayaka2993 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha tu nicheke aki mimi nilipewa mfuta na kitambaaaa lakini nimetezeka maisha yangu yote hata family yangu ikapoteza vitu vyote but since i started following pastor David Mmbaga na pastor Mohamed Mgase i have see the hand of GOD. My prayer today is GOD to deliver people from that churches Amen God for being there for and you're my fighter
@onesmoelias2285
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Ameeeeee
@hildapaul5422
@hildapaul5422 Жыл бұрын
Vitambaa vimeteketeza maisha yako
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa, Kuna Maja ga yanakuja makubwa sana hapa Tanzania na Duniani Kwa ujumla. Kwa sbb nimeiona wachungaji kama watatu wa kilokole wakiyatabiri haya haya ambayo na wewe unayasema. Mungu akubariki pastor Mbaga pamoja na Familia Yako. Naomba Kila unapoomba nami unioombee. Asante.
@sperusmoraa488
@sperusmoraa488 Жыл бұрын
Great pastor be blessed with your family
@lucywensilaus6264
@lucywensilaus6264 Жыл бұрын
Nimebalikiwa sana na mahubili mtumishi
@yunesondicho4498
@yunesondicho4498 Жыл бұрын
Hii Mahuburi ni kama ni ya kwangu. Barikiwa sana pastor Mungu akuvunulie sana
@Neemakilimba
@Neemakilimba Жыл бұрын
Ameen Mtumish nakuelewa mno Eee Mungu nimedhamiria kukutumikia ,Nipe Nguvu ya kusoma Neno lako,Nipe Nguvu yakuomba
@neemabisendo5392
@neemabisendo5392 Жыл бұрын
Natak jambo moja tu maishani mwangu, Nikuone ufalme wa mbinguni ... Ee mwenyezimungu nisaidie🙏😔
@hellenfifi8952
@hellenfifi8952 Жыл бұрын
Mpendwa hata mimi natamani sana tukaze mwendo na Mungu atusaidie
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj 3 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi Mungu ananifundisha kupitia ww
@stevemugingi-sv8rg
@stevemugingi-sv8rg Жыл бұрын
Mungu akutumikishe hadi mbinguni,upate taji isiyo haribika,kweli kwa nyakati izi neema ya yesu kristu itufunike sote na atuondoleye yeriko ambayo Ime asirisha maisha yetu kwa Jina la yesu.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@lorainnelarryson3626
@lorainnelarryson3626 Жыл бұрын
Asante kwa mahubiri mazuri, Mungu aendelee kutupa roho wake Mtakatifu atuongoze.
@user-co8cs9tm2o
@user-co8cs9tm2o 5 ай бұрын
Barikiwa sana pastor wangu songa. Mbele Taji zakungoja Amen 🙏
@AgripinaTarimo-rd6tq
@AgripinaTarimo-rd6tq Жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa hekima aliyoweka ndani yako. Ujumbe mzuri sana ,mungu tusaidie kuifikilia toba na kumpendeza.
@sophiasamiji932
@sophiasamiji932 Жыл бұрын
Nafurahia mahubiri Yako nabarikiwa Mungu akizidishie baraka na akupatie haja za moyo wako
@mariahaloyce5190
@mariahaloyce5190 Жыл бұрын
Hufurahi sana ninaposikiliza mahubiri Toka kwako.Mungu akutumie kuokoa watoto wa Mungu.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 Жыл бұрын
Mungu akabaliki kuigeuza mioyo ya wasabato wamjue Mungu wawaloke.
@laliaelulu1815
@laliaelulu1815 Жыл бұрын
Tunazidi kupata ujasiri wa kukimbia nguvu za miungu ya kigeni kupitia wew baba 😢 Asante sana Nakupata vizur Kutoka Canada,
@gideonivutha-bc1oz
@gideonivutha-bc1oz 6 ай бұрын
Niwachache wakuhubiri siku za mwisho ...mchungaji GOD BLESS YOU
@geophreykikoti192-sb5be
@geophreykikoti192-sb5be 3 ай бұрын
Pastor Ubarikiwe Umenikumbusha habari za yule Jamaa alikuja kutapeli akidai wewe na Baba yake mdogo
@gustavenintunze6466
@gustavenintunze6466 Жыл бұрын
Asante Mungu kwa neno lako, E Mungu bariki wengi waelewe maneno haya matamu na ya ukweli
@hellenbarnaba9069
@hellenbarnaba9069 Жыл бұрын
Amina 🙏 Mungu atukuzwe Sana kwa maonyo makuu ya siku za mwisho. Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu.
@josephkirimi5453
@josephkirimi5453 Жыл бұрын
Nashindwa mapasta wanao omba bila kuinua mikono iliyotakata wanalielewa neno la Mungu aje. Maana biblia inaeleza vizuri katika 1 Timothy 2:8.
@jaredmongeri645
@jaredmongeri645 Жыл бұрын
Nimebarikiwa na kubadirishwa sana kupitia kwa huduma yako.Mungu wa neema akubariki sana. Naskia wito kufanya kazi ya mungu. Niombee niweze nipate nguvu na ujasiri ninaohitaji.
@neemapaul7873
@neemapaul7873 Жыл бұрын
Amen Mungu aendelee kukutumia kulihubir neno lake
@saimonmossi4515
@saimonmossi4515 Жыл бұрын
Mungu azidi kukutumia pastor, lakini sisi tunaousikiliza huu ujumbe roho wa BWANA atusaidie tuutumie kukua kiroho na kuwa wakristo kwelikweli.Barikiwa sana.
@SatoMisungi
@SatoMisungi Ай бұрын
Mungu akubariki Pastor utumike mpaka uzeeni
@damariskimaiga364
@damariskimaiga364 Жыл бұрын
May God bless you pastor. You don't know, you are My mentor powerful message Damaris kimaiga from Kenya.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@joycemugaka3039
@joycemugaka3039 Жыл бұрын
Mungiu akubariki Sana mjungaji maa unatisaidia kujiandaaa vyema ,na kila nikiingia Kwa UTB Kwa somo la ko cha Kwanza mungu Anjali letea funzo mpya ndio chakula changu cha roho nashukuru saana umeokoa maisha yangu nimekua jaziliKwa upande wamungu bila hofu
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@denonode6546
@denonode6546 Жыл бұрын
Ansate pastor tangu nilipokufahamu umejifusha mengi Sana umenisaidia katika kiroho Mungu akubariki na hii SoMo nzuri ya leo , nkuomba uzidi kuniombea .
@hildansombo1437
@hildansombo1437 Жыл бұрын
Ninabarikiwa saana kila ninapolisikiliza neno la Mungu aliloweka ndani yako na unalihubiri kupitia kinywa chako ni la uwazi na ukweli mtupu Mungu na atusaidie tulisikie, tulielewe na tutakasike tukaufikie mwisho mwema. Naamini toba ni mlango mwema Ameen
@yusuphshimei
@yusuphshimei Жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor mbaga unafanya roho yangu inenepe kila siku ufahamu wangu unazidi kuongezeka siku hadi siku
@amonsekajingo6996
@amonsekajingo6996 7 ай бұрын
This is a great message Pr MbagaI wish every individual christian would get and understand it well. God bless u. It is very timely! God help us all!
@user-gv3mk3jd9y
@user-gv3mk3jd9y 9 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji napenda sana mafundisho yako
@emmanueltwahirwa2712
@emmanueltwahirwa2712 Жыл бұрын
Jambo pasta Mbaga, n’a hitaji uniweke katika maombi. Kila niki fwata mahubiri, n’a hisi kama Mungu ana niongelesha kitu fulani. Mungu azidi ku ku Linda n’a ku kubariki ku pindukiya🙏
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu akutendee
@evelinedayday4000
@evelinedayday4000 Жыл бұрын
Pastor mbaga mi naomba number yako maana niko na shida kubwa sana ya maombi sikuizi nashindwa kabisa kuomba kwaajiri ya familia yangu naomba nisaidie number yako au namna ya kukupata kama uko dar salamu nije kuonana na wewe please Pastor naomba🙏
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 8 ай бұрын
Amina pr nabarikiwa sana
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 8 ай бұрын
Amen
@marysteven3543
@marysteven3543 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana pasita 🙏,, kiukweli unanibariki sana
@harerimanaleonce8153
@harerimanaleonce8153 Жыл бұрын
Mungu Aendeleye kukujaza hekima pastor niko Burundi (mkowa wa kati mwa inchi ya burundi) nakufuata sana
@amonmnzava6522
@amonmnzava6522 Жыл бұрын
Amina Mungu akubariki sana umenibariki sana naona ushindi
@eliyachacha2
@eliyachacha2 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atubariki sote
@fatema6865
@fatema6865 6 ай бұрын
Barikiwa zaid pastor nakuelewa sana
@salomevestinamichael1458
@salomevestinamichael1458 Жыл бұрын
Amina Pr tunatamani kwenda nyumbani,usemeni ukweli Yesu anakuja tena.Nabarikiwa sana
@peterdavid20149
@peterdavid20149 Жыл бұрын
Tangu tangazo la Mungu la kuangamiza miungu ya misri, ukiangalia historia misri haikusimama imara tena na ndio kilichosababisha watu waanze kuondoka kuelekea kusini na magharibi mwa bara la Africa. Wabantu walielekea magharibi na wakushi na wanilotic wakaelekea pembe na kusini, umoja wao ulikufa, nchi mama ya kemet misri ya sasa ikaporwa na wageni toka kaskazini hadi leo wakakuta magofu,maiti zilizokaushwa na mapiramidi mirefu. Miungu zaidi ya 24 ya kemet misri ilibaki ukiwa hata sasa. Pastor Mungu akubariki sana
@godlovemapunda774
@godlovemapunda774 Жыл бұрын
Hata me nisha pewa mafuta na maji Mungu anisaidie izo roho zishindwe ktk jna la Yesu Amen
@marynanok7720
@marynanok7720 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi wa Mungu nimebarikiwa na your preaches
@baricklutandula9776
@baricklutandula9776 Жыл бұрын
Asante sana Mungu kwa neno hili, ni kwa neema tu tunayapata haya maneno, eee Mungu mjalie pastor aendelee kutuelekeza, amen🙏
@danielmwita1989
@danielmwita1989 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pr
@harerimanaleonce8153
@harerimanaleonce8153 Жыл бұрын
Mungu Apewe sifa kwa kutuma kwa sisi mhubili na mahubili kama haa ufunuo wa ajabu
@user-ei6sq6li5u
@user-ei6sq6li5u 7 ай бұрын
Barikiwa pasta,masomo yako yananibariki sana
@williammusambai3702
@williammusambai3702 Жыл бұрын
Mchungaji unanena ukweli mjungu,Yesu wa Tongereni ni county jirani ya Bungoma na kakamega.Mungu akusitishie heri zake.
@neserianpaul
@neserianpaul Жыл бұрын
Asante Kwa mafundisho ya moto sana umenifumbua mengi
@ushindimatayo123
@ushindimatayo123 Жыл бұрын
Ahsante mtumishi wa BWANA kwa ujumbe bora wa MUNGU nahiwehivyo.🙏🙏🙏
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
Pastor @mbaga Mungu azidi kukubariki hakika umebariki watu wengi
@leilahjaye6413
@leilahjaye6413 Жыл бұрын
Amen, Thank you pastor,
@louiskas-su3iu
@louiskas-su3iu Жыл бұрын
Asante mungu kwa neno lako,pasta mungu akuzidishie kwa kazi unalotenda
@funakoshtadash6163
@funakoshtadash6163 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu aliye hai
@julietnelima3253
@julietnelima3253 Жыл бұрын
Amen pastor 🙏🙏 mahubiri yako hunipa moyo wa kuyaskiza kila wakati..yana mafunzo mazuri sana sana ubarikiwe
@beatricenyiro5913
@beatricenyiro5913 Жыл бұрын
Amen be blessed man of God
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 Жыл бұрын
Shukran sana mtumishi wa Allah kwa ujumbe mzuri kwangu mimi ni furaha kubwa la ujio huo
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@harrisonodiwa7248
@harrisonodiwa7248 Жыл бұрын
Nimebarikiwa na baadhi ya mahubiri yameguza maisha yangu hasa unyonge wa maombi.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@upendotv2776
@upendotv2776 Жыл бұрын
Amina PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na azidi kukutumia kwa mapenzi yake
@nafikaahadi3380
@nafikaahadi3380 Жыл бұрын
Ameeeeeeen n Ameeeeen Pastor,Roho Mtakatifu azidi kukulinda na kukutia nguvu
@Mutabazi22
@Mutabazi22 Жыл бұрын
Amen 🙏 I’m blessed 😇 by this God bless you
@byusaajumapili6750
@byusaajumapili6750 Жыл бұрын
Ubarikiwe mchugaaji kwa neno hili umenitiya nguvu Mungu hakubariki zahidi Na zahidi
@pendomollel-oy7gm
@pendomollel-oy7gm Жыл бұрын
Mungu aendelee kukufunika pr uzidi kutufunulia na kutuimarisha
@margaretwanjiru9096
@margaretwanjiru9096 Жыл бұрын
Umenifundisha mengi sana Pastor .....May God bless you
@hawamusumba431
@hawamusumba431 Жыл бұрын
Amen amen 🙏 be blessed pst mahubiri tv my bst tv
@justerkamala3933
@justerkamala3933 Жыл бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe sanaa
@ombenimgonja4318
@ombenimgonja4318 Жыл бұрын
Mungu asifiwe nabarikiwa sana nakilahubiri lako
@florencekawira2212
@florencekawira2212 Жыл бұрын
Nitangojea ujio wa Yesu kukiwa na inshara na zikiwa hazipo. Wathibitishe wasithibitishe nitanwamini huyo mkombozi wangu
@videyandrew1909
@videyandrew1909 Жыл бұрын
Amina.. Mwenyez Mungu akulinde pastor
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Ishara zimeshatoka kibao na bado Zima endelea kuonyeshwa nchi na nchi
@eustina0
@eustina0 Жыл бұрын
Mungu atuhurumie kwa hili tujue wajibu wetu🙏🙏🙏🙏
@sanfanrioba258
@sanfanrioba258 Жыл бұрын
Be blessed pastor,
@ValentinKanyumba-hd8pd
@ValentinKanyumba-hd8pd Жыл бұрын
Asante postor Mimi nimeberikiwa Sana Mungu akanibariki Sana
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
Ni ukweli mtupu pastor Yani unaomba mbambo ndo kwanza yanazidi kuharibika I will kick off the devil let me stand on the line in the Name of Jesus
@apostlezizi
@apostlezizi Жыл бұрын
Nakuelewa sana pastor,barikiwa mno
@perisbosibori8524
@perisbosibori8524 Жыл бұрын
Thank you LORD because we're more than conquerors even though in a world which is surely in great turmoil. GOD bless you so much and give you long life Pastor Mmbaga for the work well done.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@ntambaraenock1823
@ntambaraenock1823 Жыл бұрын
Pastor Mmbaga mungu akutukuze Na akupe nguvu Kbs, Niko Rwanda kigali
@luciahebel8493
@luciahebel8493 Жыл бұрын
Amina
@UserUser-gq1ir
@UserUser-gq1ir Жыл бұрын
Mungu atusaidie sana kutambua nyakati tulizo nazo
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Mtakatifu za mwisho zimeshapit ni mda wa mnyakuo umefika, na watu wako so busy na dunia
@paschalymlangale8964
@paschalymlangale8964 Жыл бұрын
Mungu aturehemu. Amina
@wiza2309
@wiza2309 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishibwa Mungu
@ChristiankabingwaGarda-ie9bw
@ChristiankabingwaGarda-ie9bw Жыл бұрын
Mungu akubariki daima muchungaji unibariki sana
@judithmakoye6592
@judithmakoye6592 Жыл бұрын
Barikiwa Pastor Mmbaga
@elishanyamsha8085
@elishanyamsha8085 Жыл бұрын
Amina, pr very powerful massage
@UserUser-gq1ir
@UserUser-gq1ir Жыл бұрын
Asante pastor
@marykainyu4191
@marykainyu4191 Жыл бұрын
Asate sana mchuganji nakufuatolia nikiwa saudi kutoka Kenya ukiomba nitaje jina niweze kilusimama kama Estar
@alicemwaka3762
@alicemwaka3762 Жыл бұрын
Emeeeeen Asante sana mchungaji Mungu wa Mbingini
@alicemwaka3762
@alicemwaka3762 Жыл бұрын
Akubariki sana
@kabembokijigo6454
@kabembokijigo6454 Жыл бұрын
Amina na barikiwa mchungaji
@user-kq7uw3ss6x
@user-kq7uw3ss6x Жыл бұрын
Aksante mtumishi
@rodahadhiambo3637
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa kukutumia kutuambia mengi ,nakua kiroho Kila siku
@siporajemes773
@siporajemes773 Жыл бұрын
Kwahilo la kukanguliwa naona yuko sawa tu Yesu mwana wa Mungu alikua akiona anataka kumponda mawe alikimbia
@zanashtv5479
@zanashtv5479 Жыл бұрын
Mungu ni mwema...Amiina🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@alicesidi9601
@alicesidi9601 Жыл бұрын
Amen Amen be blessed
@vickyayo8712
@vickyayo8712 Жыл бұрын
Asante YESU,kwa kutupatia mtu huyu
@vickyayo8712
@vickyayo8712 Жыл бұрын
Ameen
@sumunianna-en8yw
@sumunianna-en8yw Жыл бұрын
Pastor nakuomba uhubiri kuhusu ushoga mambo yamekua magumu sana 😭😭😭😭MUNGU bariki vizazi vyetu tuongoze jmn
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Somo hilo hapo kzfaq.info/get/bejne/l65dgK91x9nWlGQ.html
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Жыл бұрын
Mungu akubaliki Sanaa hii dunia ina shida kubwa ni mungu tu
@emmanuelrubete9008
@emmanuelrubete9008 Жыл бұрын
Asante pr mbaga
@AdolpheBIRAGI
@AdolpheBIRAGI Жыл бұрын
God bless you Pastor
HATMA YA DUNIA NA  MANABII WA UONGO Na  Pr  David Mmbaga
55:34
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 14 М.
SIRI HII ITAKUPA AMANI HATA KAMA UNAPITIA NINI?
17:49
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 38 М.
Ushuhuda wa mama kifaru akisimulia Rev.Dr.Eliona Kimaro
17:16
KKKT - DMP Usharika Wa Mbezi Beach
Рет қаралды 315 М.
FAHAMU VIASHIRIA VYA KUWEPO KWA HESHIMA KATIKA MAHUSIANO
16:41
Mwl. JOYCE KISHA
Рет қаралды 3 М.
KWA NINI BAADHI YA WATU HUFANIKIWA NA WENGINE HAWAFANIKIWI?
50:39
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 107 М.
VIZUIZI VIKUBWA VYA BARAKA MAISHANI MWAKO
47:46
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 194 М.
NEEMA MUHIMU YA NYAKATI ZA MWISHO. PR. David Mmbaga
52:17
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 29 М.