Napenda saaanaaaa mahubiri ya mchungaji Mmbaga kwa sababu ndani ya mahubiri ana story nzuri sana, yaaani naweka gb 15 zinaishia kwake🙏
@nobetiamos41162 жыл бұрын
Unapofundisha nabalikiwasana
@neemamaganga9774 Жыл бұрын
Amina mtumishi huwa ninakufuatilia sana. Mimi nilishashindwa kuwasikiliza wasabato kwakuwa zamani nilikuwa ninapenda kuwa nao karibu kwakuwa wenzetu wanafundishwa sana biblia. Ila changamoto yao wanakiburi mno ukiwa nao mahubiri yao yanahusu tu siku. Lakini wengi wao wanazungumzia siku tu ila kwa matendo mengine maovu huwa hawana hofu kwenye kutenda. Mungu atusaidie kuona boriti kwenye macho yetu.
Amen,be blessed pastor. Your sermons delivers me always.
@wilsonKukali-ij2gf Жыл бұрын
Ameni pastor mi hufatilia mafunzo yako walai Mungu akubariki
@kinyasofilms51122 жыл бұрын
Good bless you father Good job nimejifunza pakubwasana na nitaenderea kufatilia chaneliyako napenda unavo fundisha ukweri wachungajiwengi wasasa wanaogopa kufundisha ukwerii ubalikiwe Sana na nakuombea mwishowako uwe mzurii 💞💞💞
@nicepallangyo1860 Жыл бұрын
Amina pastor nimebarikiwa sana somo linanihusu Mungu anisaidie nibadilike
@andreajohn3897 Жыл бұрын
Pr ujumbe huu ni wa Baraka Sana Mungu atusaidie sote tujitadhimini upya kwa changamoto ya Kiburi
@MARIE-iy4bx Жыл бұрын
Hubarikiwa sana na mahubiri ya mmbaga,na kujenga Imani yangu
@germinuspastory82782 жыл бұрын
Oh Mungu wangu ama kweli tunazidi kupata Elimu mpya inayotufungua macho karibu katika kila hubiri tunabarikiwa sana barikiwa sana Pastor Mmbaga na jina la BWANA Mungu litukuzwe ssna
@margrethkaserikali14582 жыл бұрын
Nabarikiwa sana.Mungu azidi kukufunulia zaidi na zaidi ili tukue kiroho🙏
@AugustinWOKOVU Жыл бұрын
Amen Pastor, hata hiyo unazungumuzia hapa, sisi wasabato tumekuwa wanafiki sana, hata pia wachungaji wengi dhambi hii ni ndani mwao. Augustin toka Goma, DRC
@pascalnicolaus69862 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho yako 'Mungu azidi kukutumia zaid mtumish wa Mungu
@mwanaidimasatu-ie9ts Жыл бұрын
Mungu akubalik mchungaji akika ata Mimi nausingizisana
@NaftaliZaphania-ql9wk Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana pastor,hata kama hatujuani,kwa hakika sijawaiamini pastor mwingine lakini mahubiri yako nayaamini Sana napenda kuyadownload ,natamani uniombee pia
@jeremiaisowe44432 жыл бұрын
Amen Mungu naomba unipe kuelewa nisikutende dhambi
@tulimwaipopo-eq3be6 ай бұрын
Uko vizuri sana mchungaji wangu
@florencenekesa82432 жыл бұрын
Amen 🙏🙏 barikiwa sana mchungaji kwa neno bora sana,Mungu tusaidie
@barakajohn2647 Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana mchungaji mbaga Kwa mahubili ya kiroho
@bongosofas5821 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji,napata kijifunza mengi
@richardenocy8443 Жыл бұрын
Tunataman Aya mahubiri yafike kwa makansa yetu yatabadilisha maisha yetu ya ukirsto wetu wa kiburi Mungu akutumie vyema mchungaji
@hellenratemo2813 Жыл бұрын
Amen am soo blessed nice courageous message God bless you pastor
@amozmwaz1494 Жыл бұрын
Nimebarikiwa na neno mungu azidi kukufunulia zaidi amen
@floraa49282 жыл бұрын
Mafundisho mazur sana jaman barikiwa baba tufundishe tusipotee
@williammussa56212 жыл бұрын
Huyu pastor Ukimsikiliza kwa kufikiria utaelewa mambo vzuri mno
@pendophilipo131 Жыл бұрын
kuptia wew nimebdilka, barikiwa Sana.!
@beatriceomino62662 жыл бұрын
Mungu niondolea kiburi kwa maisha
@abigaelmwadena226211 ай бұрын
Ameen barikiwa sana Mutumish wa Mungu
@jacquelineyona22472 жыл бұрын
Mfalme wetu YESU KRISTO na asifiwe Sana milele na milele. Ninajisikia kuendelea kumpenda MUNGU wetu Sana Kwa sababu yako Mchungaji Mbaga. Huwa na furahiya sana tena sana ninapo kuwa nasikia jinsi MUNGU wetu anavyo kuwa na kutumiya Kwa Muhubiri ujumbe wake. Na ubarikiwe na Bwana wetu YESU KRISTO na MUNGU wetu awabariki Sana na wale pia ambao wanafanya Tuwe naona na kusikia haya Mahubiri mazuri ya BWANA wetu YESU KRISTO.
@feadamanyiri5492 Жыл бұрын
Barikiwa or mafundisho mazuri
@leokadiamwamba77322 жыл бұрын
Asante kwa mahubiri mungu akuinue zaidi
@user-sd6bo1xs2z7 ай бұрын
Nimeji funza mengi nimebarikiwa pastor neno limeisha in suspicious way no prayers 🙏
@priscapili49382 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi nimejifunza neno la mungu limeingia moyoni
@user-el7qc9mq5x5 ай бұрын
Pastor nimekuelewa sana
@user-cd1tj1fy7d6 ай бұрын
Mchungaji mungu akubariki neno
@williumngowi20252 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana Mtumishi wa MUNGU.. masomo yako hunibariki Sana.
@rastarasim5810 Жыл бұрын
Amen ,,,,,,,,mahubiri yananifunza mengi na naendelea kujifunza Kila siku.
@user-cc5mj2xu8e4 ай бұрын
Pastor nakupenda san Huwa napata nguvu ninaposikia mahubir Yako barkiwa sana
@twinaweloyceissack60762 жыл бұрын
Binafsi nakuelewa, nakupenda, nabarikiwa napata furaha na sijawahi kuchoka kukusikiliza. Bwana akutunze mtumishi wa Mungu
@nkololokwetu1438 Жыл бұрын
Ameeen🙏
@linzah75634 ай бұрын
Mbona somo limeishia njiani mchungaji
@user-ih7rz4rf3i8 ай бұрын
barikiwa mwanangu David.
@halimaamuli19782 жыл бұрын
Mafundisho yenye manufaa🙏🙏🙏🙏, ubarikiwe sana pastor
@veerynganyu7766 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana unatuludisha kwenye mstari
@francismasha7286 Жыл бұрын
Mimi naeka bando zaidi ya 15 tena naomba Mungu aniwezeshe nizidishe mana nabarikiwa kwa mahubiri yake kwani naona Mungu atanibadilisha kupitia mahubiri yake
@happinessnjarabi21362 жыл бұрын
Mungu akubari mtumishi wa Mungu.
@bahatijohn19582 жыл бұрын
Asant sana Pr nashukur nimejifunza vitu muhm sana barikiwa
@frolapaulfrola5647 Жыл бұрын
Nabarikiwa na masomo yako
@asgricie52304 ай бұрын
Asante mchungaji kwa fundisho hili
@kombeonaumishenaritv642 Жыл бұрын
Aminaa pr
@IsackaAnderson3 ай бұрын
pastor naomba uje mbeya
@theopisterbulamu94972 жыл бұрын
Aminaa ubarikiwe uko na Akili nyingi, napia mwalimu mzuri
@lucynyigana28012 жыл бұрын
Mchungaji ubarikiwe kwa mafundisho yako napatafaraja na matumaini juu ya maneno haya🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@MonicaGervas-fs4ndАй бұрын
Amen San mola akupiganie katka Kaz yako
@rosembwambo6352 жыл бұрын
Barikiwa pr Mungu akupe uwez mkubwa
@victoriajames61902 жыл бұрын
Tukiacha iki kiburi basi YESU ATAKUJA IVI KARIBUN., MUNGU AKUBARIKI PASTOR na azidi kukufunulia maono mengine ili tuzidi kupona zaidi na zaidi AMINA
@DoriceMoffat-hw4mt3 ай бұрын
Nimeipenda hubir yako
@marthadaniel49042 жыл бұрын
Amen ubarikiwe san Mchungaji
@richardstephen6402 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri pastor mbaga
@onesmoelias85092 жыл бұрын
Amina nmebalikiwa kwa somo zuri hakika mungu atuondolee kibur
@user-oj7eg1dx1b6 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@dominicmapujila84342 жыл бұрын
Hakika ni Mungu ameongea kupitia kinywa chako yanipasa kutubu Barikiwa sana
@soleswihale22572 жыл бұрын
Ahsante kwa Mahubiri mazuri
@sporahmwaikambo13452 жыл бұрын
Asante Pr. kutusema ukweli, tumekuwa wanafiki katika Ukristo
@gracewambura35734 ай бұрын
Ubarikiwe Na bwana mtumshi Wa baba
@karatagodfrey98992 жыл бұрын
Mch ubarikiwe sana
@kwambokakwamboka8382 Жыл бұрын
God bless,watched u from galf
@user-ts9ib7vb1e5 ай бұрын
Andante Baba sema tupone
@vailetyjaphety75422 жыл бұрын
Amina sana muchungaji ubarikiwe
@DoriceMoffat-hw4mt3 ай бұрын
Pst.david mmbaga
@haloonofficial59492 жыл бұрын
Mahubiri yako yananifunza nakuniludisha kwenye msitari kila siku mungu akubariki mchungaji
@rhinakiza2 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu kila siku na kila saa
@strongmummy5802 жыл бұрын
Ukweli mtubu Asante Sana tubarikiwe pamoja
@sylviesaidi57409 күн бұрын
Unibariki san jamani pastor David ubarikiwa sn😂
@azariakajiru2385 Жыл бұрын
Tumeelewa Asante san
@upendoeliudi51962 жыл бұрын
Aminaa barikiwa sana pastor Mmbaga
@MSDQIEDS-ru1px Жыл бұрын
Munguakubariki
@jamaliuisso92032 жыл бұрын
Pr. Nashukuru kwa somo lako na Mungu azidi kupitisha mafundisho yake kwako ila nilikuwa naomba clip nyingine inayomalizia somo hili tafadhali
@eustina8372 жыл бұрын
Asnte kwa mahubir
@user-yb5jg2in7s5 ай бұрын
Amen pastor
@user-nt7jc1ns3k6 ай бұрын
Amen mchungaji
@atupakisyekyando8902 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Baba
@elizabethshigangalivuze91872 жыл бұрын
Bwana yesu atusaidie sana..
@kabuwoorutasi4182 жыл бұрын
Asante sana pastor ! Nimejifunza sana mungu akubariki
@kananisarafe85822 жыл бұрын
Pr hao umetufunza ni kweli kabisa,sisi wadventiste inatupashwa kubadirika.
@alldoniemmanuel64512 жыл бұрын
Amén ubalikiwe sana
@joycekasimbazi98172 жыл бұрын
Amen nashukuru mchungaji
@radiahassan3232 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mazuri 🙏
@josekipara51652 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana postor
@GeofreyEmmanuel-b4t20 күн бұрын
Mie nipo mza ila mafundisho yako yananibaliki mno mpaka nataman nikuone live mchungaji for sure ninakupenda mmnooo
@lennyfrank5 ай бұрын
Ameen Ameen
@esthermasatu23862 жыл бұрын
Ameeen ameen pastor
@julianacharles9828 Жыл бұрын
Pastor hata Mimi siku nikikuona leive nitakukimbilia tu. Nitaomba uniguse tu na mkono wako juu ya kichwa changu. Sitakubali usiniguse pastor.
@jamesphilipo8441 Жыл бұрын
🙏🙏
@MaggieG2762 жыл бұрын
Asante kwa mahubiri haya.Barikiwa
@etridaelias75362 жыл бұрын
Asante
@maroaweigesa36692 жыл бұрын
Kiburi huadhiri Sana
@japhetdanniel24132 жыл бұрын
Mungu atusaidie ila imeishi njiani
@anastaziafrancis1912 жыл бұрын
Mungu tusaidie watoto wako
@estherkusaga91812 жыл бұрын
Makanisa yetu,Leo yanagongana kwa sababu ya kiburi cha kiroho,tunacharuana CIC kwa sis hatusaidiani tunaangushana na kusengenyana tu Mungu atuhurumiee sana
@estherkusaga91812 жыл бұрын
Mlefi somo hili ndo masomo mazito sana na wengi hatujui hata wachungaji wa kisabato waliowengi mmmh ni majanga sema tupone piga kelele,hichi kiburi kinatumaliza Mungu atusaidie mnoo.
@furahajoseph56922 жыл бұрын
Ameen
@furahajoseph56922 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@user-ih7rz4rf3i8 ай бұрын
Amen Amen Amen!
@atukuzwepeter94512 жыл бұрын
Baba anguu naomba kuuulz kuna mtu anaweza kusoma bible nzima toka mwanzo ad ufunuo na kiimalz yotee ba kuelewaa
@kumbushomlamka48972 жыл бұрын
Mungu atukuzwe
@marandoopiyo7883 Жыл бұрын
Amina
@vailetheanyambilile97492 жыл бұрын
🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿 Ubarikiwe Mtumishi wa Bwana