Wachambuzi wa nchi hii wengi ni mamuruki hawajielewi,,yani tulileta kina ngoma,babar,jobe fred etc wakasema tumejaza wazee,saizi tumeleta under 24 wanasema bado wadogo hawatafanya chochote yan wachambuz wa bongo wengi wao ni kama malaya tu hawaelew wanachokizungumza
@bone1025 күн бұрын
Hakuna wachambuzi hao wote vilaza hivi kweli game ile ya muungano wakina mashaka hawawezi cheza hata hawajiulizi kuwa Simba inamashindano madogo kama muungano ambayo kalabaka,mashaka wanacheza
@MamboMbuli6 күн бұрын
Wandishi Yale mukiyosema kuhusu umri Simba wamezingatia🎉
@olaislukumay22085 күн бұрын
Huyo mchambuzi mpumbavu sana
@giliussiwila65175 күн бұрын
Waandishi hamna jema Kwa simba
@ShamtheMpogoro5 күн бұрын
Hiyo feitoto aletwe Simba kwa gharama yoyote. Wanachama tuppo tayari kuchangia pesa.
@JumanneRajabu-bg4ch5 күн бұрын
Kaka awa wachezaji wazulitu
@salimmalaka2565 күн бұрын
UKIONA MCHEZAJI KAMA DEBORA ANATOKA TIMU NDOGO LAKINI ANACHAGULIWA TIMU YA TAIFA UJUWE KAWATIA ADABU SANA WAFUNGAJI WA TIMU KUBWA SIO BURE HAPO SIMBA WAMEPATIYA TENA SANA ❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ummymuya.20605 күн бұрын
OYEEEEEEEEE!💃💃💃
@noeljohn86945 күн бұрын
😂😂 huyo mtangazaji ni muruki Comparable ni unafiki tu, mbona hatuzungumzii yanga walio chukua mvp wa Tanzania kutoka Simba Chama
@righitkileo6 күн бұрын
Acha dharau wewe njoo wewe usajili bac maana mjuaji sana wenqine wajinqa
@saidsoudamiri40545 күн бұрын
Kocha wa Argentina aliyebeba world cup alikua ndio mashindano yake ya mwanzo na alibeba world cup
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx6 күн бұрын
Shida unafiki yanga wachambuzi wengi inawapoteza baleke au Dube wamefanyanini kimataifa kama siyo unafiki bazi ya wachambuzi
@bone1025 күн бұрын
Wachambuzi wanaichukia Simba mzee na siku zote Dunian watu wanachukia kitu kilicho bora
@lukamwalongo96095 күн бұрын
Simba wamejitahidi kuboresha kukosi hongera kwa mo jamani
@user-md7sd3hk6l6 күн бұрын
tupeni mauwa ya ao wa leo muna amisha oja munaanza kucho meka kwa fei
@user-im8qz8ov3x6 күн бұрын
Wachambuzi hacheni kununuliwa, Baleke alipokuwa simba mlisema mzee, leo kaenda Yanga mnasema usajili wa kimkakati.
@bone1025 күн бұрын
Chama pia walisema Kaishiwa kashazeeka nw Yupo Yanga wanasema ana ujuzi na kimataifa anafaa 😂
@user-ox4fv4cf5l6 күн бұрын
KWANI TSHABALALA,KAPOMBE,NGOMA,MZAMIRU NAO NI 25 KURUDI, CHINI
@ABDALLAHMWATANDA5 күн бұрын
FEISAL ANA TANGAZWA NA NYINYI WACHAMBUZI SIO KIONGOZI WA SIMBA . NYINYI NI MBUMBU WA UCHAMBUZI.... LEO MNASEMA VIJANA, KESHO MTASEMA WAZEE,, SAUTI ZENU TUNAZO....
@SeifKarata-fr7dv5 күн бұрын
Wachambuzi mnatumwa na yanga ili muichafue simba
@jaydenkaleshi5 күн бұрын
Swala sio kuchukua ubingwa nyie wachambuzi uchwara mliojawa na chuki dhidi ya Simba.