Рет қаралды 128
kwenye ufugaji WA ng'ombe tunashauri kama Una mtaji mdogo lakini Una eneo na unaweza ukafuga, basi Tunakushauri uanze na mbinu hii ya ufugaji huria hasa kama eneo lako litakua lipo pembezoni mwa mji kidogo litafaa zaidi.
kwa ushauri na maelezo zaidi kuhusu ufugaji WA Ng'ombe tupigie au chati nasi WhatsApp +255654484175.@Josasa Farms.