Je kuna ng'ombe wanaoweza toa maziwa Lita 20-24 kwa mwaka bila kupunguza. Mimi nafuga ng'ombe lakini huanza kutoa Lita 16 lakini zinashuka hadi kufika Lita 5
@adkajisi45363 күн бұрын
Je ng'ombe anayetoa lita 20 kwa siku, anaweza kumantain kwa mwaka mzima ?
@jumakivuma52475 күн бұрын
mnapatkana wapi?
@DavidMelami14 күн бұрын
ngap
@rogathesarwatt16 күн бұрын
Ninalo mashine kama hilo
@josasafarms.471814 күн бұрын
Saafii hii ni swaaafii kabisaa
@martinkihumbe22 күн бұрын
Lengo langu ni kufuga ng'ombe wa maziwa hapa Dodoma. Nahitaji mambo yafuatayo kama muongozo kabla ya kuanza. 1. Ujenzi wa mabanda bora ng'ombe (structures, vipimo N.K) 2. Kununua breed bora (Napats wapi ng'ombe wa kununua wenye ubora? Ushauri kuhusu idadi ya kuanza nayo) 3. Feeds (malisho) Mko wapi?
@josasafarms.471822 күн бұрын
Habari mkuu hayo yote yanawezekana Sisi Tupo Dodoma unaweza pigs simu au kufika Kabisa shambani kwetu na hayo yoote utuyapata. Karibu Sana 0654484175.
@martinkihumbe22 күн бұрын
Sawa, asante. Nitafika
@josasafarms.471822 күн бұрын
Karibu sana
@mchmwal...z.a.ndelwa7838Ай бұрын
❤
@kayandasson2155Ай бұрын
Nahitaji ngombe wa maziwa ya kufuga. Niko mwanza, naweza wapata? Na gharama kiasi gani?
@josasafarms.4718Ай бұрын
Unapata mkuu bei ziko tofautitofauti kulingana na uwezo na Tunauza wakiwa na Mimba wananzia 2.5M nakuendelea piga simu Kwa maelezo zaidi 0654484175.
@LukaMwandolela-xv2jhАй бұрын
Sana Josasa
@josasafarms.4718Ай бұрын
Nakubalii
@eliaspallangyo3874Ай бұрын
Bei zikoje
@josasafarms.4718Ай бұрын
0654484175
@josephmabeyo2987Ай бұрын
Shamba like eneo gani dodoma
@josasafarms.4718Ай бұрын
Dodoma Nzuguni mkuu karibu na stand ya mabasi mkoa wa Dodoma
@ElyudiMaikoАй бұрын
Wapi uko
@josasafarms.4718Ай бұрын
Tunapatikana Dodoma mkuu
@SophiaSteven-nc1liАй бұрын
Unauza sh ngap yai Moja au trei
@josasafarms.4718Ай бұрын
Dodoma mkuu
@asalilemwakasala3391Ай бұрын
Samahani ,Upo mtaa ,kijiji gani Dodoma?
@josasafarms.4718Ай бұрын
Dodoma -Nzuguni karibu kabisa na mradi wa nyumba 3500 wa serikali
@josasafarms.4718Ай бұрын
0654484175
@asalilemwakasala3391Ай бұрын
Nahitaji kujifunza kwako kabla sijanunua hao ng'ombe .kwa vitendo.
@josasafarms.4718Ай бұрын
Inawezekana karibu saana 0654484175.
@godfreygodwine91482 ай бұрын
Unapatilana wapi kaka
@josasafarms.47182 ай бұрын
Dodoma mkuu
@DavidMelami2 ай бұрын
wap anapatikanaa
@josasafarms.47182 ай бұрын
Ndio yupo 0654484175
@WitnessNnko2 ай бұрын
Mfano Mimi Niko mwanza soko nafanyaje la maziwa maana naona watu wanaangaika
@josasafarms.47182 ай бұрын
Tutakupa muongozo mzuri kuhusu utaratibu wa soko usijaali
@CreshaRevelian-wb6ky2 ай бұрын
Noted
@josasafarms.47182 ай бұрын
Karibu sana...
@WitnessNnko2 ай бұрын
Nikihitaji mafunzo naweza yapata hapo shambani kwako?
@josasafarms.47182 ай бұрын
Naaam inawezekana kabisa 0654484175.
@WitnessNnko2 ай бұрын
❤
@josasafarms.47182 ай бұрын
❤❤
@WitnessNnko2 ай бұрын
Wewe unauza wapi maziwa ya ngombe wote hao
@josasafarms.47182 ай бұрын
😅😅😅 Masoko ni mengii Saana ushindwe wewe tuu... Ukinunua Ng'ombe kwetu tunakupa na soko kabisaa😅
@ayubuidd359Ай бұрын
Mm nataka ndama wa miezi 8 mpaka 10 hao nao mnauza
@josasafarms.4718Ай бұрын
Kwa SASA hapana mkuu ni Mitamba zaidi...
@eliapendaelisantemariki8823Ай бұрын
@@josasafarms.4718 Mitamba ni bei gani? Wana mimba?
@adsoncharles73352 ай бұрын
Mnapatikana mkoa gan
@josasafarms.47182 ай бұрын
Tupo Dodoma mkuu karibu Sana 0654484175
@joseesiara90122 ай бұрын
Mnapatikana wapi mkuu?
@josasafarms.47182 ай бұрын
Tunapatikana Dodoma Mkuu
@josasafarms.47182 ай бұрын
Tunapatikana Dodoma Nzuguni...
@EmmanuelDaffi2 ай бұрын
Shingapi
@josasafarms.47182 ай бұрын
Bei zinatofautiana kulingana na idadi ya kuku unaweza kuwasiliana nasi ili kutumiwa makadirio ya gharama Kwa WhatsApp
Japo sijaanza kufuga lakini nashukur Kwa idea 💡💡💡 nzuri
@josasafarms.47182 ай бұрын
Karibu saana...kiongozi
@user-by4up9zj4v2 ай бұрын
Mbona lipo hivyohovyo
@user-mo1ly9bm9d2 ай бұрын
Kegi moja bei gan
@josasafarms.47182 ай бұрын
Inategemea na ukubwa wa Banda pamoja na idadi ya kuku Tupigie simu au chati nasi what's App Tukutumie quotation (makadirio ya gharama)
@UfugajiBoraTV2 ай бұрын
Big up josasa farms
@josasafarms.47182 ай бұрын
Makini saana mkuu🎉
@ezekielshija92513 ай бұрын
Kaka umejitahidi lakini hujaweka neck rail na brisket locator.hii yaweza pelekea Ng'ombe akakataa kutumia hizo cubicles. Endelea kufanya mabolesho ili waweze kupata comfort
Hongera sana mwezeshaji. sijui mnapatikana mkoa gani? hao wanaotoa lita 20 kwa siku wanaweza kufika kiasi gani.(Bei )
@josasafarms.47183 ай бұрын
Shukrani saana mkuu Tunapatikana Dodoma mkuu Nzuguni karibu na stand mpya ya mkoa ... Bei wanaanzia Milioni tatu mkuu bei inapungua kulingana na idadi ya mitamba unaochukua kwa mara Moja.
@alfredjoshua86253 ай бұрын
ok, nimeelewa nitafika maana hata mimi niko katoka huu mkoa.
@josasafarms.47183 ай бұрын
@alfredjoshua8625 Karibu saana
@LucreciaKimario3 ай бұрын
Mimi nipo mkoa wa Arusha ninahitaji hao kuchi ñawapataje?
@josasafarms.47183 ай бұрын
Unawapata boss tunakutumia kwa bass
@josasafarms.47183 ай бұрын
0654484175
@user-qg7gj5om4e3 ай бұрын
Very good
@josasafarms.47183 ай бұрын
Shukrani saana Mkuu
@UfugajiBoraTV3 ай бұрын
Big up kaka 👏
@josasafarms.47183 ай бұрын
Nakubali Familiaa
@boyangotz73113 ай бұрын
Mpo wap?
@josasafarms.47183 ай бұрын
Tupo Dodoma boss
@fabianmihale37153 ай бұрын
NI sh ngapi kifaranga mwezi mmoja
@josasafarms.47183 ай бұрын
Kifaranga wa mwenzi mmoja 50000/= boss
@sharofred74734 ай бұрын
Need one
@josasafarms.47184 ай бұрын
Your welcome brother
@user-lk3fg1yo3p4 ай бұрын
Nifundishe ufugaji wa kuku mm
@josasafarms.47184 ай бұрын
Karibu saana inawezekana 0654484175.
@SalumMzee-mu7zt4 ай бұрын
Pia anakuwa kichwa kikubwa sio chembamba wala hawi na manyoa mingin
@josasafarms.47184 ай бұрын
Sawa sawa mkuu Shukrani Kwa kuongeza Siri za Kuchi original,🙏🙏🙏👍
@fabianmihale37153 ай бұрын
Bei zikoje kuchi ambae anakaribia kuwika
@josasafarms.47183 ай бұрын
@@fabianmihale3715 bei zinatofautiana kulingana na Umri Tupigie simu 0654484175.
@machasofficialsite622113 күн бұрын
@@josasafarms.4718taja bei anaekaribia kuwika
@stevenmgomi60634 ай бұрын
Broo asante kwa elimu ya ufugaji bora
@josasafarms.47184 ай бұрын
Karibu saana my brother Barikiwa sana.
@bestcakes70984 ай бұрын
Hongera sana mfugaji
@josasafarms.47184 ай бұрын
Nashukuru sana ndugu
@orestkibiki75284 ай бұрын
🤛
@josasafarms.47184 ай бұрын
Nakubali Familiaa
@orestkibiki75284 ай бұрын
Keep it up
@josasafarms.47184 ай бұрын
Thank you so Much my Brother
@orestkibiki75284 ай бұрын
Good very good.
@josasafarms.47184 ай бұрын
Thank you sir
@orestkibiki75284 ай бұрын
Keep it up
@orestkibiki75284 ай бұрын
Very nice👏👏👏👏
@josasafarms.47184 ай бұрын
Thank you my brother
@hamisi.josaphat.katuunzima17142 ай бұрын
Bei gan
@josasafarms.47182 ай бұрын
@@hamisi.josaphat.katuunzima1714 750,000/= karibu sana 0654484175.
@bestcakes70984 ай бұрын
Hongera sana kwa ufugaji
@josasafarms.47184 ай бұрын
Shukrani Sana ndugu karibu sana
@richardnkanda30924 ай бұрын
Cage ya kuku 5000 inaweza kua bei ganii? Nipo BUKOBA
@josasafarms.47184 ай бұрын
Boss inategemea na ukubwa wa Banda lako mkuu ila gharama haziwezi kua juu Sana kwa idadi hiyo ya kuku Tupigie simu 0654484175.