YAFAHAMU NA KUYAJUA KWA UNDANI MAMBO HAYA MANNE KABLA HUJAANZA KUFUGA NG'OMBE WA MAZIWA KIBIASHARA.

  Рет қаралды 4,724

JOSASA FARMS .

JOSASA FARMS .

3 ай бұрын

Ni Muhimu saana kujipanga vizuri katika maandalizi ya kuanza safari ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa kwani Ni Miongoni mwa miradi inayohitaji umakini mkubwa saana mwanzo na na hata katika mwendelezo wake ili kujihakikishaia matokeo yenye Tija kwa mfugaji.
kwa mahitaji ya ushauri zaidi Tupigie Simu 0654484175.
Island by Luke Bergs | / bergscloud
Music promoted by www.chosic.com/free-music/all/
Creative Commons CC BY-SA 3.0
creativecommons.org/licenses/...

Пікірлер: 9
@Chalambosheby
@Chalambosheby 3 ай бұрын
Japo sijaanza kufuga lakini nashukur Kwa idea 💡💡💡 nzuri
@josasafarms.4718
@josasafarms.4718 3 ай бұрын
Karibu saana...kiongozi
@adkajisi4536
@adkajisi4536 22 күн бұрын
Je kuna ng'ombe wanaoweza toa maziwa Lita 20-24 kwa mwaka bila kupunguza. Mimi nafuga ng'ombe lakini huanza kutoa Lita 16 lakini zinashuka hadi kufika Lita 5
@martinkihumbe
@martinkihumbe Ай бұрын
Lengo langu ni kufuga ng'ombe wa maziwa hapa Dodoma. Nahitaji mambo yafuatayo kama muongozo kabla ya kuanza. 1. Ujenzi wa mabanda bora ng'ombe (structures, vipimo N.K) 2. Kununua breed bora (Napats wapi ng'ombe wa kununua wenye ubora? Ushauri kuhusu idadi ya kuanza nayo) 3. Feeds (malisho) Mko wapi?
@josasafarms.4718
@josasafarms.4718 Ай бұрын
Habari mkuu hayo yote yanawezekana Sisi Tupo Dodoma unaweza pigs simu au kufika Kabisa shambani kwetu na hayo yoote utuyapata. Karibu Sana 0654484175.
@martinkihumbe
@martinkihumbe Ай бұрын
Sawa, asante. Nitafika
@josasafarms.4718
@josasafarms.4718 Ай бұрын
Karibu sana
@CreshaRevelian-wb6ky
@CreshaRevelian-wb6ky 2 ай бұрын
Noted
@josasafarms.4718
@josasafarms.4718 2 ай бұрын
Karibu sana...
USIFUGE ILI BORA LIENDEE NO! FUGA NG'OMBE BORA  KIBIASHARA.
5:22
JOSASA FARMS .
Рет қаралды 2,8 М.
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 18 МЛН
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38
ZIZI LA NG'OMBE- BARAKA AGRICULTURAL COLLEGE || AKILI SHAMBANI
28:31
MBCI TV OFFICIAL
Рет қаралды 6 М.
HOW TO CONSTRUCT A DAIRY COW SHADE( ZERO GRAZING)
12:47
FARM WITH PAUL
Рет қаралды 19 М.
I was producing 5L of milk per cow, I am now at 40L. Here is the secret...
18:13
Dr. Nix Animal Nutrition updates
Рет қаралды 22 М.
KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU
5:32
Wasafi Media
Рет қаралды 26 М.