Tumeanza project mpya kama mafunzo kabla ya kutanuka zaidi
Пікірлер: 22
@aminamollel66392 күн бұрын
Kipindi ni kizuri ila jifunze namna boraya ya kuhoji maswali na pia mpe nafasi mtaalamu aelezee vizuri ili watazamaji wako tujifunze. Tulia pia wakati wa kuhoji unahangaika sana huna utulivu, unakera. .
@salamaMasauti-s7lАй бұрын
Asalam Alaykum bei zenu za ujengaji wa bwawa ni bei Gani ?
@ephraimkabeya96484 ай бұрын
Mtaalamu wetu wa samaki na mwanajeshi wamejiongoza vizuri kwenye kipindi...
@yonazakaria97068 ай бұрын
Safii sana.
@mulapfarm96646 ай бұрын
Asante sana
@EdwinDoctor7 ай бұрын
Nashukuru kwa hii Makala ya ufugaji Sato ,,je mwenye kuanza mafunzo yanapatkana. Wapi ,,mi nipo mwanza
@mulapfarm96646 ай бұрын
Tunapatikana Kibaha
@user-ls2uj3fl1o13 күн бұрын
Nimefurahi kwa maelezo mazuri naomba namba yenu
@mulapfarm966413 күн бұрын
@@user-ls2uj3fl1o 0659770886
@lukasandy76203 ай бұрын
kama ndo nataka kuanza kabsaa kufuga nahitaji kiasi gan kuazisha mradi kama huo na eneo kiasi gani linaweza kutosha
@sethnzigo70876 ай бұрын
Asante kwakipindi bora. Ingekuwa muhimu sana tupate phone number ili tupate kuwasiliya kwatarifa zaidi.
@mulapfarm96646 ай бұрын
Asante sana 0659770886
@yusufusylivanus97626 ай бұрын
Jamani mbona sina mbegu bora za samaki nipo kigoma Kakonko
@mulapfarm96646 ай бұрын
Tunapatikana kibaha
@fikirijoelmupenda66524 ай бұрын
safi sana. inaomba mtu awe na pesa ngapi ili kuanza huyo mradi?
@mulapfarm96644 ай бұрын
Kiasi chochote kinafaa ni malengo yako tuu
@user-so9nd6ei1w4 ай бұрын
Namba namba sim
@mulapfarm96644 ай бұрын
0659770886
@emmymatigula48708 ай бұрын
Sauti imekata
@mulapfarm96648 ай бұрын
Sehemu gani mkuu mbona kwangu sauti ipo
@walumonamlendalaurent74465 ай бұрын
Napenda nipate namba zako za simu ili nizungumze nawe