MABEYO AFUNGAKA MIAKA MITATU KIFO CHA MAGUFULI 'KULIKUWA NA MAWAZO TOFAUTI, WATU WALISAHAU KATIBA'

  Рет қаралды 157,474

Uhondo TV

Uhondo TV

4 ай бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 55
@AliAdam-ve4ms
@AliAdam-ve4ms 3 ай бұрын
Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 Ай бұрын
Ila kaka unaongea kwa huzuni sana ad inanchoma, me toka magufuli afariki sinaga muda na siasa kabsa na spendi maana saiv imekuwa tofaut sana
@EzekielIongwa
@EzekielIongwa 6 күн бұрын
Baba pole sana hulipoteza mtuwamahana sana Rais wenu najuwa hulistafu kufatana nayeye kuhanga Dunia
@IssaMwaluko
@IssaMwaluko 4 ай бұрын
mungu aisaidie famlly yake amina
@philipo6318
@philipo6318 4 ай бұрын
Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.
@user-ex4hi7fj5c
@user-ex4hi7fj5c 3 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭
@user-nw6nh7yb4q
@user-nw6nh7yb4q 4 ай бұрын
Bas kama VP tumpe nch mabeho
@ConradMbokosi
@ConradMbokosi 4 ай бұрын
Asante
@MaikoMamboleo-qt9df
@MaikoMamboleo-qt9df 4 ай бұрын
Safi sana
@lwanjiedna5233
@lwanjiedna5233 4 ай бұрын
Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲
@YusuphPaul-g2h
@YusuphPaul-g2h 9 күн бұрын
Uhakika anafaa sana Rais we2
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 3 ай бұрын
Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake
@user-pw8xm8gm2u
@user-pw8xm8gm2u 4 ай бұрын
huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 4 ай бұрын
Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo
@EmmanuelJohn-eg9rg
@EmmanuelJohn-eg9rg 3 ай бұрын
Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢
@EzekielIongwa
@EzekielIongwa 6 күн бұрын
Hawa wakina kikwete joo waliyo muhuwa Makufuli pamoja na mchezi wa chadema uyo wenu Tundu Lissu.
@mwabimulungamulungamwabi7201
@mwabimulungamulungamwabi7201 2 ай бұрын
nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali
@mymuhnabdallahshaban7763
@mymuhnabdallahshaban7763 6 күн бұрын
Ndio sababu rais mpya anateuwa wasimamizi wake wapya ana hiari kubaki na wal3 au kutueuwa wengn Kwan wwe tangu afe magufuli umewah kumuona yule alokuwa akikaa nyuma ya magufuli yule mlinzi wake si mama Samia kateuwa wake yy anayemhitaj
@user-ct2nx1pb8f
@user-ct2nx1pb8f 7 күн бұрын
Samia yeye hakuwa❤
@PendoMwitewe-on3hj
@PendoMwitewe-on3hj 4 ай бұрын
Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde
@ObediKinkusha-gq8fw
@ObediKinkusha-gq8fw 4 ай бұрын
Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 Ай бұрын
Kwa sasa nchi imekuwa na miladi mingi isioisha wapigaji tu
@DaniKadaga
@DaniKadaga 3 ай бұрын
Goody xong
@user-pw8xm8gm2u
@user-pw8xm8gm2u 4 ай бұрын
Tunaumia sana
@OmaryHamisi-fz7hq
@OmaryHamisi-fz7hq Ай бұрын
😢😢😢
@shadymsigwa
@shadymsigwa 4 ай бұрын
Duuuuh mungu saidia taifa rangu
@StanMakambi
@StanMakambi 9 күн бұрын
Uyu mwamba kanyooka
@SiriOmari
@SiriOmari 3 ай бұрын
😭😭😭
@user-ne7cl4cx9o
@user-ne7cl4cx9o 4 ай бұрын
Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo. Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.
@user-yg9fh9sj1w
@user-yg9fh9sj1w 2 ай бұрын
Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo
@EzekielIongwa
@EzekielIongwa 6 күн бұрын
Kweli milipoteza kambisa jembe kweli kweli
@marianmartin7483
@marianmartin7483 4 ай бұрын
Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 4 ай бұрын
mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde
@OmaryHamisi-fz7hq
@OmaryHamisi-fz7hq Ай бұрын
Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu
@fanueledmund6408
@fanueledmund6408 4 ай бұрын
Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota
@HussenMashaka-os9ok
@HussenMashaka-os9ok 3 ай бұрын
Nikweli Tanzania inashirikiana.
@isalamKhasan
@isalamKhasan 18 күн бұрын
😂tuna kukunbuka sana
@omuze1290
@omuze1290 4 ай бұрын
Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!
@ErnestMeshack
@ErnestMeshack Ай бұрын
. . No❤
@user-hd7zx9ns7q
@user-hd7zx9ns7q 2 ай бұрын
Ukitaka kujiunga unafanyaje
@esterlogose
@esterlogose 2 ай бұрын
Hana lolote ni msakiti
@abeidsanga7361
@abeidsanga7361 19 күн бұрын
Apewe
@edmundphilemon3054
@edmundphilemon3054 4 ай бұрын
Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢
@user-po5mm5vk6d
@user-po5mm5vk6d 4 ай бұрын
Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri
@mapesaevarist9094
@mapesaevarist9094 4 ай бұрын
Huyu mwamba alinyoosha 😂
@livematchcentre21
@livematchcentre21 4 ай бұрын
Moyo wa kizarendo
@user-pw8xm8gm2u
@user-pw8xm8gm2u 4 ай бұрын
lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 4 ай бұрын
Kiwete wa mzoga atawauea wote wakimchunguza
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 3 ай бұрын
😂hela
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 4 ай бұрын
Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau
@user-pw8xm8gm2u
@user-pw8xm8gm2u 4 ай бұрын
Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M
@JosephKowelo
@JosephKowelo 3 ай бұрын
Natak kuchat na pendo
@AnnaKipetha
@AnnaKipetha 2 ай бұрын
Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 8 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 50 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 5 МЛН
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 581 М.
Rais Magufuli afanya ziara ya ghafla Wizara ya fedha Nov. 6, 2015
14:29
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 8 МЛН