Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi
@elishaworkout6116Ай бұрын
Ila kaka unaongea kwa huzuni sana ad inanchoma, me toka magufuli afariki sinaga muda na siasa kabsa na spendi maana saiv imekuwa tofaut sana
@EzekielIongwa6 күн бұрын
Baba pole sana hulipoteza mtuwamahana sana Rais wenu najuwa hulistafu kufatana nayeye kuhanga Dunia
@IssaMwaluko4 ай бұрын
mungu aisaidie famlly yake amina
@philipo63184 ай бұрын
Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.
@user-ex4hi7fj5c3 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭
@user-nw6nh7yb4q4 ай бұрын
Bas kama VP tumpe nch mabeho
@ConradMbokosi4 ай бұрын
Asante
@MaikoMamboleo-qt9df4 ай бұрын
Safi sana
@lwanjiedna52334 ай бұрын
Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲
@YusuphPaul-g2h9 күн бұрын
Uhakika anafaa sana Rais we2
@abdalahgunda13193 ай бұрын
Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake
@user-pw8xm8gm2u4 ай бұрын
huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?
@bensonwissa57774 ай бұрын
Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo
@EmmanuelJohn-eg9rg3 ай бұрын
Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢
@EzekielIongwa6 күн бұрын
Hawa wakina kikwete joo waliyo muhuwa Makufuli pamoja na mchezi wa chadema uyo wenu Tundu Lissu.
@mwabimulungamulungamwabi72012 ай бұрын
nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali
@mymuhnabdallahshaban77636 күн бұрын
Ndio sababu rais mpya anateuwa wasimamizi wake wapya ana hiari kubaki na wal3 au kutueuwa wengn Kwan wwe tangu afe magufuli umewah kumuona yule alokuwa akikaa nyuma ya magufuli yule mlinzi wake si mama Samia kateuwa wake yy anayemhitaj
@user-ct2nx1pb8f7 күн бұрын
Samia yeye hakuwa❤
@PendoMwitewe-on3hj4 ай бұрын
Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde
@ObediKinkusha-gq8fw4 ай бұрын
Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?
@elishaworkout6116Ай бұрын
Kwa sasa nchi imekuwa na miladi mingi isioisha wapigaji tu
@DaniKadaga3 ай бұрын
Goody xong
@user-pw8xm8gm2u4 ай бұрын
Tunaumia sana
@OmaryHamisi-fz7hqАй бұрын
😢😢😢
@shadymsigwa4 ай бұрын
Duuuuh mungu saidia taifa rangu
@StanMakambi9 күн бұрын
Uyu mwamba kanyooka
@SiriOmari3 ай бұрын
😭😭😭
@user-ne7cl4cx9o4 ай бұрын
Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo. Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.
@user-yg9fh9sj1w2 ай бұрын
Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo
@EzekielIongwa6 күн бұрын
Kweli milipoteza kambisa jembe kweli kweli
@marianmartin74834 ай бұрын
Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.
@rashidkihunga29384 ай бұрын
mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde
@OmaryHamisi-fz7hqАй бұрын
Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu
@fanueledmund64084 ай бұрын
Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota
@HussenMashaka-os9ok3 ай бұрын
Nikweli Tanzania inashirikiana.
@isalamKhasan18 күн бұрын
😂tuna kukunbuka sana
@omuze12904 ай бұрын
Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!
@ErnestMeshackАй бұрын
. . No❤
@user-hd7zx9ns7q2 ай бұрын
Ukitaka kujiunga unafanyaje
@esterlogose2 ай бұрын
Hana lolote ni msakiti
@abeidsanga736119 күн бұрын
Apewe
@edmundphilemon30544 ай бұрын
Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢
@user-po5mm5vk6d4 ай бұрын
Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri
@mapesaevarist90944 ай бұрын
Huyu mwamba alinyoosha 😂
@livematchcentre214 ай бұрын
Moyo wa kizarendo
@user-pw8xm8gm2u4 ай бұрын
lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga
@miltonjohn97794 ай бұрын
Kiwete wa mzoga atawauea wote wakimchunguza
@EmmanuelLupoja3 ай бұрын
😂hela
@sandalakabalo54424 ай бұрын
Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau
@user-pw8xm8gm2u4 ай бұрын
Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M
@JosephKowelo3 ай бұрын
Natak kuchat na pendo
@AnnaKipetha2 ай бұрын
Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.