No video

MAWAKILI 18 WAOMBA KUSIMAMIA KESI YA MPINA KUWASHTAKI SPIKA NA BASHE"WANATUMIA MAMLAKA KWA FAIDA YAO

  Рет қаралды 36,838

Uhondo TV

Uhondo TV

27 күн бұрын

#uhondotv #uhondo

Пікірлер: 280
@nestor384
@nestor384 25 күн бұрын
Kwenye mkataba wa DP World ndipo nilijua hatuna bunge Tuna genge la wapuuzi wezi waliovaa vizuri
@bonnymakuke3153
@bonnymakuke3153 25 күн бұрын
Kwaiyo bunge ni zaifu kama kauri ya .....😅😅😅
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 24 күн бұрын
​@@bonnymakuke3153Aisee 😂
@akilimali8726
@akilimali8726 25 күн бұрын
Hatua ya Kizalendo sana hongereni sana, muwe makini msichukuwe mapandikizi humo kwenye jopo la utetezi wa Mheshimiwa Mpina dhidi ya genge la majizi ya nchi yetu.
@juliusjohnii7823
@juliusjohnii7823 25 күн бұрын
Nampongeza sana Mpina ni shujaa mtetezi wa wa Tanzania, Na binge la Tanzania Halifai kabisaa. Asanteni saana Mawakili kwa hatua hiii nzuri ya kumuunga mpina kututetea wa Tanzania.
@yahayaramadhani6418
@yahayaramadhani6418 25 күн бұрын
Ukweli Mawakili tunawashukuru sana kwahilo, kwani nchi yetu Sasa uonezi umezidi sana, Wapigaji wote wanamuAndama Mhe. Mpina.
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 25 күн бұрын
Mpina ndo mbunge peke yake mwenye haki mzalendo. Hongereni sana mawakili kusimamia swala hili mkweli Tanzania hana haki
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 25 күн бұрын
Hongera saana kwa kujali nakuiona sheria inakanyagwa kanyagwa na wchumia tumbo wanaipleka wapi nchi yeetu,,mungu atawasimamia
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 25 күн бұрын
Mpina ni kama mimi.Namkubali sana, Mpina ni mzalendo wa kweli wa nchi hii.Taifa linahitaji watu kama Mpina.
@allyhasani3750
@allyhasani3750 25 күн бұрын
Bac ni Kama sisi
@user-ii7yw9ng5d
@user-ii7yw9ng5d 25 күн бұрын
Mpina tumsaidie,haki ipiganiwe,amen.❤
@charlesmtangi9046
@charlesmtangi9046 25 күн бұрын
Mwenyez mungu awatangulie kwenyekila jambo lenye kheli mawakili pamoja na wanzania wote kwaakika tutashinda Amina Allah atuongoze
@reginamwendwa6709
@reginamwendwa6709 25 күн бұрын
Big up Mungu awatangulie
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 25 күн бұрын
Huyo msomali mbona Spika amemtetea katika sakata la sukari? Ana maslahi gani katika hili suala?
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 25 күн бұрын
Sema Bashe siyo Msomali
@emmanuelmziray1073
@emmanuelmziray1073 25 күн бұрын
Kwani Bashe siyo msomali?? ​@@edsonnelson4464
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 25 күн бұрын
Ndo maana Professor Asad alisema bunge ni dhaifu.
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 25 күн бұрын
Na ni dhaifu kweli ,hakukosea
@issackmwakyami2740
@issackmwakyami2740 24 күн бұрын
Nidhaifu 100%
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 23 күн бұрын
Professor akisema nani wa kupimga ????!!!! Uzoefu wake unatijaaa
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 25 күн бұрын
Viva mpina Tunakukubali mheshimiwa
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 25 күн бұрын
Naumia sana wazarendo kama hawa akina mpina kupuuzwa na kuchukulia mgonjwa wa akili wakati.ni mtu makini na mtetez wa wananchi wa Tanzania 🇹🇿
@MashakaKalamba
@MashakaKalamba 25 күн бұрын
Well-done Moses and your colleagues - ninyi ni wazalendo - pia, mnafanya kazi ya Mungu 🙏
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso 25 күн бұрын
Ubarikiwe wakili kijana tatizo la nchi yetu vijana wengi hawaelewi mambo yanayoendelea bungeni wako busy kushabikia mambo ya mpira na kubet daily vyombo vya habari viko busy kupromote mpira wa Yanga na Simba hawajui nchi yao inaendeshwaje
@allymganga3223
@allymganga3223 25 күн бұрын
Watu wanaelewa kila kitu lkn wanaogopa watu wasiojulikana watawapoteza
@MirajiMbolile
@MirajiMbolile 25 күн бұрын
Uwoga wetu sio uwoga wa hekima , mbali ni uwoga wa kijinga na upumbavu . Ni bora ufe kuliko kukaa kama kiglagosi kwenye ichi yetu . Watanzania wengi tunaishi kama wapangaji tu kwenye ichi yetu . Sasa uwoga hautatutaidia tutaendelea kuumizwa inapaswa tuamke sasa ​@@allymganga3223
@MkudeSimba-fg1sf
@MkudeSimba-fg1sf 24 күн бұрын
Tutasimama nanyie kwa Kila nukta haya Mambo yakome
@user-ev2xf1tv3w
@user-ev2xf1tv3w 24 күн бұрын
Kwel bro
@user-ev2xf1tv3w
@user-ev2xf1tv3w 24 күн бұрын
Kwel bro
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 25 күн бұрын
Hongera sana Mawakili na Hongera sana Mh. Mpina kwa kututetea watanzania 🙏🙏
@user-ji8bw7jx6h
@user-ji8bw7jx6h 25 күн бұрын
Raia tuko tayari kuchangia kwa hali na mali. Always forward, barkward never.
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 25 күн бұрын
Asante sana tena sana kwakuwa wa zarendo wa nchii yetu Mpina hakuenda kusifia watu bungeni yupo kizarendo zaidi kuwa tetea watanzania
@EstherMushi-d7v
@EstherMushi-d7v 25 күн бұрын
Naona Tanzania...kumeaanza kukucha,.🔥🔥Ahsante.
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 25 күн бұрын
Gen Z taratibu tutafika Canaan soon
@dbamwenzaki
@dbamwenzaki 25 күн бұрын
Mawakili mkiamuamka mtatusaidia sana maana hata tunavyokamuliwa na kodi mbali mbali na shuru mbali mbali halafu watu wanaishi maisha ya anasa!!! Inauma sana.
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 25 күн бұрын
Viongozi wa Tanzania wamewafanya watanzania mazuzu. Speaker alivyofanya vibaya sana. Utafikiri watanzania hawana macho wala akiri ya kufahamu yanayoendelea. Mtu anatowa taarifa ya wizi,, Speaker anamufukuza bila ya kuchambuwa ushahidi, na watu kuona. Kamuziba mudomo bila kujali, na kusema beba Mizigo yako, toka bungeni utafikiri anamufukuza mtoto. Imetuuma sana watanzania. Asante sana mawakili kuwasaidia watanzania wasiokuwa na sauti.
@ImeldakokusimaChristian
@ImeldakokusimaChristian 25 күн бұрын
Hongereni sana mawakili kwa kuliona hili kama ingekuwa nchi nyingine wananchi wangeingia barabarani kwa kumsurpot mh mpina lakini watanzania sijui tutatoka lini kujua haki zetu
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 24 күн бұрын
Siku tukitoka watajuta kuna muda uvumilivu unaisha wewe tulia si wanataka shari
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 24 күн бұрын
NGUVU YA UMMA INAKUJA TANZANIA....ITAITWA GEN. T
@EzekielMateru
@EzekielMateru 25 күн бұрын
Upo sawa mheshimiwa
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 25 күн бұрын
HAKI HUINUA TAIFA
@salama1113
@salama1113 25 күн бұрын
Shukrani kwa wakenya kwakufanya na cc tunatoka usingizini😂😂😂
@anosiata8242
@anosiata8242 25 күн бұрын
Mpina yuko vizuri
@user-ii7yw9ng5d
@user-ii7yw9ng5d 25 күн бұрын
Ibara ya 8 ya katiba yetu imeporwa na wachache!
@JacksonFrances
@JacksonFrances 25 күн бұрын
Yaani Tumefikia Hatua Watanzania Tunakubali Kuonewa na Haki Nyingi Tunanyimwa Na Hawa Wenye Mamlaka Na Tunakubali Kabisa Kukandamizwa Wakati Uwezo Wa Kupinga Na Kukemea na kukomesha Uovu Tunao Kabisà Yaani. Wananchi Tuamke Tupinge Uonèvu Huu Na Kulinda Haki Zetu Kwa Hali na Mali iwezekanavyo"
@kingmichael1234
@kingmichael1234 25 күн бұрын
Labda ni ulimbukeni au ushamba ndio unaoleta matatizo haya katika nchi yetu
@PeterNMzee
@PeterNMzee 25 күн бұрын
Sawa kabisa...... Tumechoka na utawala wa kikoloni
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 25 күн бұрын
Utwala uliopo unamfanya mtanzania yeyoote kuwa masikini sababu ya uoga waake ,,na ndani ya nchi yake
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 25 күн бұрын
MPINA HAKUKOSEA. MPINA HANA KOSA. HII SIO KUHUSU CHAMA AMA UPINZANI. HII NI KUTAFUTA HAKI KWA WATANZANIA WOTE
@drp3721
@drp3721 25 күн бұрын
Hongereni Mawakili, na Mh Mpina yapo mambo mengine yana mashiko lakini anapuuzwa Vyombo k m Takukuru ingepaswa ifanyie kazi na kutoa taarifa kama si kweli, lakini ukimya wa wachunguzi unatia mashaka.
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p 25 күн бұрын
Wakili amegusia kitu muhimu sana sio tu kwenye hilo suala tu bali hata kitaifa yaani vetting (upekuzi ). Vetting kwa nafasi mbalimbali ni eneo linalohitaji kutazamwa kwa kina.
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 25 күн бұрын
Hapa suala ni moja tuwekama Kenya kulinda malixetu wenyew tuwang'oe vibwengo ikulu😮😮😮
@JacksonFrances
@JacksonFrances 25 күн бұрын
Upo Sahihi Ndugu "
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi 25 күн бұрын
​@@JacksonFrancesexactly
@deogratiustweve2611
@deogratiustweve2611 25 күн бұрын
Mungu awatangulie katikakazihiyo tunajua nikazingumu ilamungu akawalinde mtusemee tusionasauti
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 25 күн бұрын
"CHOMBO tulichokipa dhamana na kukasimiwa na katiba kuisimamia serikali....kutetea maslahi ya umma.... Leo kinaona kinyaa...."! Maneno haya ni mazito, yanatia simanzi! Mungu ibariki Tanzania!
@malkavoice2570
@malkavoice2570 25 күн бұрын
Hili la msingi sana,inabidi watu wanaotambua haki kama hawa binafsi naungana nao na kuwaombea wafanikiwe ktk hili,mpina anajambo kubwa sana la kuikomboa hìi nchi kama viongozi wa chadema ambao wamejitolea kwa kila hali mpaka leo wako hapa walipofikia.
@shaksbinsalim
@shaksbinsalim 25 күн бұрын
ccm nimadhalimu tu hawatuelezi chochote
@valleluoga6258
@valleluoga6258 23 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akujaalieni katika kutetea haki na uzalendo kwaajili ya watanzania.
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 25 күн бұрын
Bunge linaendeshwa na serikali,ASAD alisema huo ndo ukweli hakuna bunge hapo,ila nyie ccm msikalili maisha huo utawala wenu utaanguka tu siku moja ni swala la mda tu
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 25 күн бұрын
Eti amemfukuza mpina ,halafu wakaendelea kujadili matatizo yaleyale aliyozungumza mpina !! Kwa kweli jaribuni kupunguza Hali ya makundi demokrasia iwe Pana ndani ya taasisi zetu
@kingmichael1234
@kingmichael1234 25 күн бұрын
Hawa viongozi sio kabisa. Ni mambo ya ajabu na ya hovyo, poa ya kusikitisha sana tunayo yaona katika karne hii. Watu wote wanajua haki ni nini. Uzalendo ni ni nini, lakini bado mnawafanya watu wajinga. That's absolutely crazy 😏😏 inatia hasira sana kwa kweli
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 25 күн бұрын
Nimekuelewa sana Kaka we will be together!!
@user-do2id6pp4g
@user-do2id6pp4g 25 күн бұрын
Hongera sana bwana Basila kwa hiyo fikra yaani hii nchi ni kazi mipira,kubet na viongozi wetu wamezidi kwa maslahi yao krb kuna dalili nzuri hii nchi c tunaona majirani
@BonifaceEdward-pc1dd
@BonifaceEdward-pc1dd 25 күн бұрын
Vzr ssns
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 25 күн бұрын
Haya maamuzi yanayotokea bungeni ndio picha halisi ya yale yanayofanyika katika vyombo vya haki na mahakama. Kuna Viongozi wapo kwenye office za umma kupindisha Sheria kwa faida na maslahi yao binafsi na inapotokea wao kukosolewa ili wajirekebishe, wao Kwa sababu ya madaraka na dhamana waliyo nayo wakosoaji hugeuziwa kibao kuwa wao ndio wakosaji. Mfano katika Bunge letu, Mpina alileta hoja kuwa Kuna dosari na utata katika manunuzi ya sukari mambo yakawa vice versa Mpina akaonekana mgonjwa wa akili na asiyeendana na matakwa ya wengi. Kwenye kutetea haki hasa katika chombo kikubwa kama bunge kusiwe na kuzuia pingamizi au kulazimisha wabunge wote kukubali kupitisha hoja tata.
@abassjuma6248
@abassjuma6248 25 күн бұрын
Laminitis na were Ndugu Wakili hocho unachoongea kite kiko ndani ya MOYO WAKO.ISIWE UNAUTASH WA KIUSHABIKI
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 25 күн бұрын
Alichofanyiwa Mpina ni ubaguzi wa waziwazi.
@EllenWaigama
@EllenWaigama 25 күн бұрын
Hatimaye👏🏾
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 25 күн бұрын
Hili jambo la sukari lilileta mjadala mrefu bungeni wakifanya marekebisho kisheria ili kujilinda dhidi ya Mpina.
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 25 күн бұрын
Kazeni Mawakili mpaka spika na huyo waziri wa kilimo wajiuzulu.
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 25 күн бұрын
Mpina oyeeeh
@Alute-son2003
@Alute-son2003 25 күн бұрын
Tunawapongeza sana kwa hatua hii
@gabrieltheodory4090
@gabrieltheodory4090 25 күн бұрын
Tusaidieni kabisa, Nchi Ni ya wote
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 25 күн бұрын
NCHI ISIANGAMIE KWA KUKOSA MAARIFA
@sylvestermavanza1154
@sylvestermavanza1154 25 күн бұрын
Nina imani na mzalendo ndugu Luhaga Mpina. Nitasapoti shauri hili kwa moyo wangu wote. Nahitaji maelekezo tu ya namna ya kufanya hivyo.
@Lubango-gj3ud
@Lubango-gj3ud 25 күн бұрын
Tatizo hata mahakama zinatumika na watawala haohao ma Ccm.hapo haki itapatikana!!?
@richardrobert2203
@richardrobert2203 22 күн бұрын
Gen TZ, Tunakuja
@peterkiswaga2491
@peterkiswaga2491 23 күн бұрын
Amina sanaaa wakili nchi imefika pabaya
@esronyuba2575
@esronyuba2575 25 күн бұрын
Mungu awatangulie sana tunawaombea
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 25 күн бұрын
NA PIA AWALINDE SANA
@kingmichael1234
@kingmichael1234 25 күн бұрын
Serikali yetu sio ya haki, Serikali yetu ni ya kidikteta, haipendi kuambiwa ukweli. Ni serikali ya hovyo na ya ajabu, kati ya zile. serikali za hovyo ambazo zimewahi kutokea duniani
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 25 күн бұрын
SIJUI HAWA WATU WAMEPATWA NA NINI.
@wanguwangu34
@wanguwangu34 23 күн бұрын
Nipongeze sana juhudi ya mawakili kufungua shauli hili, pamoja sana
@EdwardKwiyanga
@EdwardKwiyanga 25 күн бұрын
Mungu wa mbinguni atutangulie huko mahakamani mpina ndo kaka wa taiga
@GODFREYNTANGANA
@GODFREYNTANGANA 23 күн бұрын
Mungu niwetu pamoja na mpina kwa ushindi mkubwa
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 19 күн бұрын
Mungu awabariki
@JuhudyMachete
@JuhudyMachete 23 күн бұрын
Safi sana mawakiri wetu mungu awbariki sana kwa hatua mnayochukukua tunawapenda nchi yetu hii ccm inaiharibu sana mpaka wananchi tumechoka sana na bunge la upendeleo lianasimama kwa wala nchi tupo pamoja kwa maombi kwa mungu na kumchangia kama Kuna Cha kuchangia
@elipidhugotesha1909
@elipidhugotesha1909 24 күн бұрын
Ndio nchi ya kidemokrasia inavyotakiwa viva advocate mosses basila and your able colleagues
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 25 күн бұрын
Nenda kwenye point bsi mbona unalalamika sana ww wakil mpina Angekua mzalendo asingekua ana Pima samaki kwa rula ana ameshapikwa😢😢
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 25 күн бұрын
Stupid
@CYPRIANMACHIBULA
@CYPRIANMACHIBULA 24 күн бұрын
TAKUKURU MNASUBILI AGIZO. HEBU TUONYESHENI HAKI ILIPO
@SarahAlphonce-q4e
@SarahAlphonce-q4e 23 күн бұрын
Tutafika uonevu umezidi mungu ibariki Tanganyika.
@johnbundala7596
@johnbundala7596 25 күн бұрын
Safi sana Mungu awatangulie daima.
@mosesbarnaba7851
@mosesbarnaba7851 22 күн бұрын
Mungu awasimamie
@japhethbaalinda1756
@japhethbaalinda1756 24 күн бұрын
Mungu awabariki sana wanasheria wetu wazalendo.
@donaldmachisu3626
@donaldmachisu3626 25 күн бұрын
Nawaunga mkono kwa uamuzi wenu kwa kuwa mmesoma sheria kusimamia haki kwa waonewa kwa niaba ya Mwenyezi Mungu, Mungu asimame ndani yenu na kuuondoa uvundo huo unaowatesa wananchi na kuuondoa Heshima ya Bunge tuliyoizoea kipindi cha Spika Marehemu Mzee Samweli Sitta Mungu ailaze Roho yake mahala pema Mbinguni.
@ShabaniMukose
@ShabaniMukose 20 күн бұрын
Nitashangaa sana na nitashukuru saana kama mawakili wata simamia haki ya kisheria kwa jambo la kitaifa, Kwani Muheshimiwa marehemu magufuli na muheshimiwa Mama Samia walisha kemea mahakama kuto tendea haki wahukumiwa kwa sababu zisizo eleweka!
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 23 күн бұрын
Mungu mwema tunakuomba uliokoe taifa letu na tamaa zisizokupendeza wewe ili tupate mwisho mwema. Amina.
@abdallahnkrumah6237
@abdallahnkrumah6237 23 күн бұрын
Kwa uamuzi huu ni sawa kabisa HAKI haijawahi kuombwa. Inapiganiwa
@user-fj4kj8xc5x
@user-fj4kj8xc5x 25 күн бұрын
Wanasheria Asante kwa umoja wenu katika kutetea haki bila kuogopa watanzania wengi wanaonewa kwa kukosa msaada wa kusaidiwa kisheria, swala la mpina ni la maonezi kabisa.
@dbamwenzaki
@dbamwenzaki 25 күн бұрын
Wananchi tunashirikije?
@patrickkigola9215
@patrickkigola9215 25 күн бұрын
Asante sana ndugu!
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y 23 күн бұрын
Uzuri bunge likifanyika tunawangalia,one day yes
@senimwigulu1217
@senimwigulu1217 24 күн бұрын
Nawatakia kazi NJEMA mawakili mnaoungana na mheshimiwa mpina
@mussabendera1751
@mussabendera1751 24 күн бұрын
Endeleeni kuwatetea mapapa wa sukari, mkishashinda muhakikishe na bei inashuka.
@omarkapula588
@omarkapula588 25 күн бұрын
Huyu ni mbaguzi watanzania ni wote haijalishi kama ni mzungu mwarabu awe yeyote yule aache ujinga wake aangalie nani aliesabanisha uhuru wa nchi hii upatikane hata muwe mawakili mia
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 20 күн бұрын
dunia tunapita hayo yote haijalishi unaitwa na nani unacheo gani .Haki tutaipata Kwa Mungu pekee
@akimAkimuWA-m3t
@akimAkimuWA-m3t 9 күн бұрын
Nyisimnajifanya mumesomasan mungu ndiokibokoyenu.
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 25 күн бұрын
Hongera sana ❤
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 24 күн бұрын
Utasikia tanganyika law society inawatenga awa mawakili kwa maelekezo ya serkali
@Focusm-se2sd
@Focusm-se2sd 25 күн бұрын
Sahihi kabisa mkuu
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo 24 күн бұрын
Nyie nimawakili wazalendo mwenyez mungu akasimame nanyi popote pale. Nchi ya kwetu lakn tumekuwa Kama wagen
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 25 күн бұрын
Mpina ameshindwa kutoa maelezo kwa tuhuma zake amelidanganya bunge
@patrickKitambo
@patrickKitambo 25 күн бұрын
wewe ni boya
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 25 күн бұрын
Angalia sana usije ukapotezwa Ukatupwa bahari I au kitavi Hao watu hawataki kukosolewa hiyo ndio democracy ya TZ
@obedidamasi3537
@obedidamasi3537 25 күн бұрын
Acha uoga wewe hata uwe mpole siku ikifika Dunia tutaiacha. Unaweza kuogopa kutekwa nyoka ikakuuma ukafa kwa machungu
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 25 күн бұрын
Kadri unavyoogopa ndivyo unakuwa lijinga ambalo litakufa kwa kukosa haki za msingi
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 25 күн бұрын
Wewe zezeta, hufai na huna maana ya kuishi..... Usitie watu ujinga, kama huna hoja si ukae kimya!
@user-hb8er6dq2q
@user-hb8er6dq2q 24 күн бұрын
Uko sahiii
@user-do2id6pp4g
@user-do2id6pp4g 25 күн бұрын
Kuna wabunge humo bungeni kama msukuma anafanya nn huyo apewe mkuu wa wilaya au mwenyekiti wa kitongoji
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 25 күн бұрын
Wewe msukuma ameleta maendelea ktk jimbo lake hakuna mbunge ameweza kuleta maendeleo ktk majimboyao
@selemaniigosha
@selemaniigosha 25 күн бұрын
Msukuma ni mpiga filimbi wa hamelin hajuwi lolote ni mropokaji tu!!
@charlesmgory3131
@charlesmgory3131 25 күн бұрын
Binafsi nawashukur kwa hilo ila sanyingne huwa nashangaa na kujiuliza maswali yasuo na majibu kwamba enzi ya nyerere wasomi. Ktk nchi hii walikuwa wachache lakini walismama kma wasomi kwel hawakuruhusu nchi kuchezewa kma hawa wasomi wetu baadhi hawahangaiki na mambo ya nchi yetu hasa yale wanayoona yanaenda kinyume hv wamesomea nn wasomi ndo jicho la nchi jitambueni basi wasomi tupo nyuma yenu kuwaspoti mwakili mliojitoa kwa hili.
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 25 күн бұрын
Chawa mpiga filimbi sio yule wa JPM, huyu n Hatari sn
@mtakamatv
@mtakamatv 21 күн бұрын
Mpina mzalendo,ubarikiwe,tunajua Dunia ya Leo hakuna kazi ngumu kama kusema ukweli.
@mussabendera1751
@mussabendera1751 24 күн бұрын
Mnasimama na wauza sukari ninyi na mpina
@JosefuSwai
@JosefuSwai 23 күн бұрын
Kweli baba hajafanyiwa mpina tumefanyiwa watanganyika na sio znz na somali
@dbamwenzaki
@dbamwenzaki 25 күн бұрын
Kuna vitu vingi vya kuweka sawa ili kurejesha mamlaka kwa wananchi.
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 24 күн бұрын
Akina makofi na kusifia wamfumba kinywa mtetezi anayeona ya kesho mungu awatangulie mpate kibali kwa mungu asiye na upendeleo
@festokemibala5832
@festokemibala5832 24 күн бұрын
Gen Z ya Tanzania itakuja kwa style tofauti na wenzetu na ktk hili tumwombe Mungu atusimamie na haki heshima na utu wa mtanzani vipatikane
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 25 күн бұрын
Huyu wazili wa kilimo ajalibu kumuogopa mungu mbona alisema tarehe 10 mwezi 7 Kwa serikali itatangaza bei ya mahindi imefika wapi
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 39 МЛН
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
История одного вокалиста
Рет қаралды 4,6 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН
UNASEMAJE WEWE ? TRA HAWAJUI HESABU, NJOO HAPA USEME VIZURI
10:56
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 39 МЛН