WAKILI KIBATALA ATOA TAMKO KALI SAKATA LA WAKILI MWABUKUSI, "NI AIBU KWA NCHI, TUNAONEKANA WAJINGA"

  Рет қаралды 16,315

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

16 күн бұрын

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZfaq Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 43
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 15 күн бұрын
Mpeni mwambukusi urais wa TLS yule ni mtetezi wa wanyonge
@kakawataifa6752
@kakawataifa6752 15 күн бұрын
Atakayempigia kura mwabukusi atabarikiwa mpaka ashangae
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 15 күн бұрын
Safi sana kibatala umeonyesha ukomavu na hakika ww ni wakili bora tanzania lisaidieni taifa nyie mnao jua sheria
@user-pf2qk8fz9o
@user-pf2qk8fz9o 15 күн бұрын
Safi saaana wakili msomi kwa darasa huru 😊😊 Asante sana
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 15 күн бұрын
Safi sana wakili msomi.❤❤❤
@user-fx3xj3on5j
@user-fx3xj3on5j 15 күн бұрын
Mawakili hebu mpeni huyo mwamba hiyo nafasi , naamini watawala watajifinza kusimamia sheria. Sio kuzitunga kisha kuzivunja.
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x 15 күн бұрын
Mabukusi oyeeeeee
@mlangotv8465
@mlangotv8465 15 күн бұрын
Safi sana Wakili, nyie ndio wa kuokoa hili taifa, tunawategemea sana, nyie ni watu muhimu
@user-ii7yw9ng5d
@user-ii7yw9ng5d 15 күн бұрын
Hii ni ushahidi tosha kuwa mifumo yote inayounda serikali haiaminiki!
@user-cz4pu9py5s
@user-cz4pu9py5s 14 күн бұрын
Super kibatala.myonge mnyongeni kwa haki sio kwa kumwonea
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 15 күн бұрын
Kama mtu anasifa mwacheni ashindwe Kwa kura siyo kumuwekea vikwazo mwabukusi tuko vizuri
@anosiata8242
@anosiata8242 14 күн бұрын
Safi sana kibatala umeongea point
@patrinraura1397
@patrinraura1397 14 күн бұрын
Mhe Wakili Kibatala Kwa.sisi watu chini tulio wengi Nyie ndiyo jicho letu kwenye kutafsiri ya Haki kwa kuwa ni Wataalamu kisheria na ndiyo mhimili wa haki kisheria kwa Umma Kinachotokea kumwengua Mhe Wakili Mwabukusi kinaweka doa na mnatuacha njia panda
@AthumanDauda
@AthumanDauda 15 күн бұрын
Akili kubwa sana
@user-fw6dp9iy4i
@user-fw6dp9iy4i 13 күн бұрын
Msikubali kuwa mandondocha na idara za chama like kama chama cha cwt wafanyakazi and allies
@generosennko8343
@generosennko8343 14 күн бұрын
As a very important institution, Your reputation and integrity is at stake. All eyes are on you now. Tumieni busara zetu zote kupunguza au kuondoa tofauti zenu. Ninyi ni nuru na taa ktk taifa. Twawaombea heri
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 14 күн бұрын
Safi sana this our country 😢 😞
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 14 күн бұрын
Kibatala❤❤❤❤❤❤
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 14 күн бұрын
Hongera wakili msomi, taasisi nyigi nchi hii zimelezwa kwa ruzuku ya serikali ,hata mawkili hawajapona pengine wakili Mwambukusi na Fattuma Karume.
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 14 күн бұрын
Kibatala hongera kwa kulitambua hili
@boaziamos1224
@boaziamos1224 14 күн бұрын
Hvi kwa hali hyo kweli kama una haki na huna pesa unaweza kusinda kesho mahakamani
@midventmax
@midventmax 14 күн бұрын
Kunywa soda kwa mangi baba nitalipa
@fredyfile623
@fredyfile623 15 күн бұрын
Ss kama srkl inapindua huu uchaguzi mdogo hivi wamawakili sembuse huu unaokuja wa nchi nzimaaa hahaahahha shem sana.
@user-ii7yw9ng5d
@user-ii7yw9ng5d 15 күн бұрын
Nadhani Dola inapenyeza watu wa kuulinda udhaifu Kila "field of aspect",tutayaona mengi muda ukifika!
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 14 күн бұрын
Sio shem sana bali ni kilio na kusaga meno sana.
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 14 күн бұрын
Safi
@user-fx3xj3on5j
@user-fx3xj3on5j 15 күн бұрын
Yaani Kibatala , nakupa big up , msikubali kuwekewa kiongozi asiyetokana na maamuzi ya mawakili wote.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 14 күн бұрын
✌️👍👊.
@dilludillu2747
@dilludillu2747 14 күн бұрын
Safi sana
@froma3732
@froma3732 6 күн бұрын
Anasema wao ndio Muhimu halafu hao hao ndio wanapindisha Sheria kwa Masilahi yao Fatuma Karume Alifungiwa na kufanyiwa kila na kuvamiwa Mulikuwa Kimya BORE KABISA
@ChristerKoku
@ChristerKoku 15 күн бұрын
Tunawaachia nyinyi ,tulippembeni sio mawakili tunsmuona Mwambukusi.
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 14 күн бұрын
Safi sana umeongea kisomi
@user-nm8ym6iq7n
@user-nm8ym6iq7n 3 күн бұрын
Piter kibatala, piter madereka, mwabukusi, nani mkali kwenye kesi akisimamia kesi huchomoki ??
@JumaYusuph-o4h
@JumaYusuph-o4h 12 күн бұрын
Kama Kibadala kasema mi nani nipinge
@WigesaNyerere
@WigesaNyerere 15 күн бұрын
Achukue tu,ili tujue mbichi na mbivu za bandari na wamasai sheria inasemaje,maana nanukuu mijitu ina kengeuka tu.
@samsonsimon3138
@samsonsimon3138 14 күн бұрын
Hii sio taarifa kamili ni ujinga tu
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 14 күн бұрын
Ipo siku msiomkubali mwabukusi ipo siku mtakuja kumuona akiwa mkubwa kwenye hili Taifa, Hata kama mtadanganywa lakini usipompigia wewe Watanzania wasiofaidi keki ya Taifa hili tutajiunga nae. Na ipo siku Mwabukusi tutamfanya kuwa mkubwa ndani ya Taifa hili.
@bibletv9818
@bibletv9818 15 күн бұрын
Mbona unamtetea huku unampigia mtu kampeni?
@RevocatusMchau-mp2mg
@RevocatusMchau-mp2mg 14 күн бұрын
Umemsikiliza vizuri?
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 14 күн бұрын
YAANI TLS IMEHARIBIWA SANA NA WATALA WA SERIKALI HII. TLS SASA HAINA RAIS
@harunamtiko117
@harunamtiko117 15 күн бұрын
Kama usingempgia kura 😂😂 mh mwabukusi ni jembe bhn tutakufa nae.
@ndingolivin-qy6xk
@ndingolivin-qy6xk 12 күн бұрын
Safi sana
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 161 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН