Fuatilia Mwanzo TV Plus SUBSCRIBE KZfaq Channel yetu Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер: 43
@ramadhanmahongole929315 күн бұрын
Mpeni mwambukusi urais wa TLS yule ni mtetezi wa wanyonge
@kakawataifa675215 күн бұрын
Atakayempigia kura mwabukusi atabarikiwa mpaka ashangae
@user-zu8ou2oe4c15 күн бұрын
Safi sana kibatala umeonyesha ukomavu na hakika ww ni wakili bora tanzania lisaidieni taifa nyie mnao jua sheria
@user-pf2qk8fz9o15 күн бұрын
Safi saaana wakili msomi kwa darasa huru 😊😊 Asante sana
@ceciliamagalabajimmy439115 күн бұрын
Safi sana wakili msomi.❤❤❤
@user-fx3xj3on5j15 күн бұрын
Mawakili hebu mpeni huyo mwamba hiyo nafasi , naamini watawala watajifinza kusimamia sheria. Sio kuzitunga kisha kuzivunja.
@user-gy5gu1mn4x15 күн бұрын
Mabukusi oyeeeeee
@mlangotv846515 күн бұрын
Safi sana Wakili, nyie ndio wa kuokoa hili taifa, tunawategemea sana, nyie ni watu muhimu
@user-ii7yw9ng5d15 күн бұрын
Hii ni ushahidi tosha kuwa mifumo yote inayounda serikali haiaminiki!
@user-cz4pu9py5s14 күн бұрын
Super kibatala.myonge mnyongeni kwa haki sio kwa kumwonea
@SundaySteven-bz4yq15 күн бұрын
Kama mtu anasifa mwacheni ashindwe Kwa kura siyo kumuwekea vikwazo mwabukusi tuko vizuri
@anosiata824214 күн бұрын
Safi sana kibatala umeongea point
@patrinraura139714 күн бұрын
Mhe Wakili Kibatala Kwa.sisi watu chini tulio wengi Nyie ndiyo jicho letu kwenye kutafsiri ya Haki kwa kuwa ni Wataalamu kisheria na ndiyo mhimili wa haki kisheria kwa Umma Kinachotokea kumwengua Mhe Wakili Mwabukusi kinaweka doa na mnatuacha njia panda
@AthumanDauda15 күн бұрын
Akili kubwa sana
@user-fw6dp9iy4i13 күн бұрын
Msikubali kuwa mandondocha na idara za chama like kama chama cha cwt wafanyakazi and allies
@generosennko834314 күн бұрын
As a very important institution, Your reputation and integrity is at stake. All eyes are on you now. Tumieni busara zetu zote kupunguza au kuondoa tofauti zenu. Ninyi ni nuru na taa ktk taifa. Twawaombea heri
@ibrahimkibira994314 күн бұрын
Safi sana this our country 😢 😞
@janethpallangyo385514 күн бұрын
Kibatala❤❤❤❤❤❤
@simonnaivasha639314 күн бұрын
Hongera wakili msomi, taasisi nyigi nchi hii zimelezwa kwa ruzuku ya serikali ,hata mawkili hawajapona pengine wakili Mwambukusi na Fattuma Karume.
@foibennjeje773014 күн бұрын
Kibatala hongera kwa kulitambua hili
@boaziamos122414 күн бұрын
Hvi kwa hali hyo kweli kama una haki na huna pesa unaweza kusinda kesho mahakamani
@midventmax14 күн бұрын
Kunywa soda kwa mangi baba nitalipa
@fredyfile62315 күн бұрын
Ss kama srkl inapindua huu uchaguzi mdogo hivi wamawakili sembuse huu unaokuja wa nchi nzimaaa hahaahahha shem sana.
@user-ii7yw9ng5d15 күн бұрын
Nadhani Dola inapenyeza watu wa kuulinda udhaifu Kila "field of aspect",tutayaona mengi muda ukifika!
@stewartdyamvunye-wz6rn14 күн бұрын
Sio shem sana bali ni kilio na kusaga meno sana.
@tumainimwaifunga388414 күн бұрын
Safi
@user-fx3xj3on5j15 күн бұрын
Yaani Kibatala , nakupa big up , msikubali kuwekewa kiongozi asiyetokana na maamuzi ya mawakili wote.
@King_Of_Everything14 күн бұрын
✌️👍👊.
@dilludillu274714 күн бұрын
Safi sana
@froma37326 күн бұрын
Anasema wao ndio Muhimu halafu hao hao ndio wanapindisha Sheria kwa Masilahi yao Fatuma Karume Alifungiwa na kufanyiwa kila na kuvamiwa Mulikuwa Kimya BORE KABISA
Piter kibatala, piter madereka, mwabukusi, nani mkali kwenye kesi akisimamia kesi huchomoki ??
@JumaYusuph-o4h12 күн бұрын
Kama Kibadala kasema mi nani nipinge
@WigesaNyerere15 күн бұрын
Achukue tu,ili tujue mbichi na mbivu za bandari na wamasai sheria inasemaje,maana nanukuu mijitu ina kengeuka tu.
@samsonsimon313814 күн бұрын
Hii sio taarifa kamili ni ujinga tu
@user-jj7qv7kh2s14 күн бұрын
Ipo siku msiomkubali mwabukusi ipo siku mtakuja kumuona akiwa mkubwa kwenye hili Taifa, Hata kama mtadanganywa lakini usipompigia wewe Watanzania wasiofaidi keki ya Taifa hili tutajiunga nae. Na ipo siku Mwabukusi tutamfanya kuwa mkubwa ndani ya Taifa hili.
@bibletv981815 күн бұрын
Mbona unamtetea huku unampigia mtu kampeni?
@RevocatusMchau-mp2mg14 күн бұрын
Umemsikiliza vizuri?
@sagandamalechampullo65914 күн бұрын
YAANI TLS IMEHARIBIWA SANA NA WATALA WA SERIKALI HII. TLS SASA HAINA RAIS
@harunamtiko11715 күн бұрын
Kama usingempgia kura 😂😂 mh mwabukusi ni jembe bhn tutakufa nae.