Masheikh wetu shukran sana kwa kuona uvundo huo.M'mungu awape umri inshaAllah. Wallah wengi hawayaoni haya mambo yana madhara hapa duniani na Akhera.Quran inajitegemea yenyewe haihitaji kuchanganywa na uchafu wowote wala kutungiwa mtaala wowote fyuuuuuu, pyuuuuuu !!!!!!
@namsifubwana21522 ай бұрын
Shehe Ponda nakutafuta. Mungu awabariki sana. Tanganyika tusipoangalia tumeingiliwa. Wakristo wa kweli na waislamu wa kweli. Hii serekali ina jambo lake nyuma ya pazia mbaya sana
@lolubokhalifa38362 ай бұрын
Masha Allah Allah awatie nguvu tupo pamoja na tunashukuru kwa kufungua masikio kwa kinachoendelea🙏
@afandechanel15072 ай бұрын
mimi kama mkristo naungana mkono na masheikh ila masheikh watambue kwa Sasa Dunia iko mbioni ya kutaka Dunia yote iwe na dini moja tuombe tu sana M/Mungu atu jalie mwisho mwema
@SalehSaidmbarouk-pu9jq2 ай бұрын
Hayo ni maksudi sio bahati mbaya ila wacha walivuruge tutalinywa sote.
@alhadajjmohammedsmith90422 ай бұрын
Allahumma Aaamin 🤲🤝
@azizaaziza79962 ай бұрын
Kwa uwezo wa Rahman atawashinda ishaallwah , napia wameona watu wapo kimya wsiyo Wana tafuta sababu waaze kuhujum mashekh
@SalumHamadi-sq3up2 ай бұрын
Dini yetu ya kiislam inajitosheleza kwa chochote unachokifikiria kwa sababu muumba wetu katupa mwongozo wa Kila kitu
@Swamadu-om3uj2 ай бұрын
Hiyo dini yao bkwt serikali wanahaki c wanagombeana uongoz ila cc waumini a zanzbr dini yetu iko salama na serikali akitokea mtumiongoni mwa hao wanawojita mashehe wdundeni kw nn muwalipe hlf wakutieni mdomo wagongeni kama mmshaambiwa serikali haina dini nynyi mmenda kufanya nn na hch kikundi chenu wkt wao wameshsema hwn din
Mola atusaidie kusimamisha dini yake ya kiislam mpaka kiyama inshaallah, Barak Allah kheri mashekhe wetu, kwakweli tupo pamoja bega kwa bega mpaka tupate ufumbuzi wa Jambo hili inshaallah na mola atasimama na waislam wote inshaallah.
@FridayMwassa2 ай бұрын
Jifunzeni kwenye zinazoongozwa na sheria za dini ya kiislamu uone kama kuna amani,siku uislam ukitawala dunia ndipo utaona mauaji na ubakaji mkubwa na vita kila mahali
@omante1942 ай бұрын
Amina
@Nuru_Maftah2 ай бұрын
@@FridayMwassakwaiy unachotaka kusema ni nn? Unajua unachoongea ww au unafungua tu mdomo? Mxiuuuuuu
@AshaOmar-vk7kg2 ай бұрын
Fahamu mada kwanza ww pumba@@FridayMwassa
@jumasabour58862 ай бұрын
Uislam ni Dini ya Aman sana na hizo nchi unazozizungumzia wanamatamanio yao tu kidunia. Makafir tu wanatuxhonganisha.
@IsmailMjesh2 ай бұрын
Tusiwe waoga ila tuwe wakweli💪💪💪💪💪 Hasbunna'llah 'wannemal wakeel 💪💪💪💪💪
@azizaaziza79962 ай бұрын
Hakika
@RamadhanKhalfan-tq1go2 ай бұрын
Tupo tayari
@KaramaMuhammad2 ай бұрын
Mashaaaaallah
@dadithemr.40292 ай бұрын
Tunawapenda saanaa viongozi wetu tuko pamoja nanyi...
@kabwangaselemani5228Ай бұрын
Mashekhe mpo makini katika kufuatilis hizi kadhia za dini Mwenyezi Mungu awajaalie upepo zaidi Inshallah
@tunudimandogreek96832 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awapeni nguvu zaidi masheikh wetu mpaka waelewe hao wenye tamaa ya kuangalia ya kidunia Tu na kusahau km yana mwisho, insha'Allah awazidishie nguvu viongozi wetu wa dini ya kislam ,na itasimama mpaka siku ya mwisho
@HamadHamduni2 ай бұрын
Silabasi ya waislaamu ni Quran na suna
@AnnaMkasaАй бұрын
Inshaallah Allah awatie nguvu makhehe shetani kateka makanisa sasa inaingia katika uislamu mungu awatetee wakiristo na waisilamu kwakila aaminio Allah yupo🙏☝️
@ramadhanayub58772 ай бұрын
Da yan twashukuru sana mashehe Allah awaifadhi ila Hawa mashehe wali wa bakwata wanajuwa tu kugombania misikiti na kutuchanganya kwenye menzi
@zakiangubiagai2662 ай бұрын
Maa shaa Allah Masheikh wetu twawapenda sana, muna msimamo safi, pambaneni tupo nyuma yenu wallah Na Allah awape nguvu ya ushindi in shaa Allah 💪
@najimshaib93062 ай бұрын
Yani hii nchi mtaiyona chungu hatutakubalii upuuzi huu hasbiyallahu waniimal wakeel
@victorgasper75632 ай бұрын
wewe ndio utaiyona chungu yani nchi iwe chungu kwaajili ya waislam mpumbavu ww
@user-kd6xn7ux4v2 ай бұрын
@victorgasper7563 jifunze kuvaa vzr arafu ndio uje ktk vikao vakiungwana km iv
@alyumaraos2 ай бұрын
@@victorgasper7563ww hunaakili kwan unadhan waislam ni dhaif ktk nchi hii ww ndo pumbav hujielew
@muhammedbakari28672 ай бұрын
Laana ziwashukie Kila mwenye Nia mbaya na dini yetu .
@HamisAbdallah-cj2sc2 ай бұрын
Wameona uwisilamu unazidi kuota mizizi KWA hiyo wanataka kuupotoa
@khloevibe75692 ай бұрын
@@HamisAbdallah-cj2scwakina nan? kwan mwny serikali c ni muislam
@FridayMwassa2 ай бұрын
@@HamisAbdallah-cj2scRais wa nchi ni mwislamu mwenzenu lakini ikoje,jiulizeni alipoongoza mkristo nchi ilikuwaje na kwa mwislamu ilikuwaje
@MariamOfficial-ve1yt2 ай бұрын
Nahiyohiyo laan unayo tuombea sisi ianze na ww kwa jina ra yes
@saodashabani26522 ай бұрын
Watawapotosha waislam nasio UISILAMU watashindwa kwa uwezo wa Allah Hasbinallah waneymal wakil
@MtemisengeMwangaАй бұрын
Allah akutangulien katika kutetea uislam wetu usiangamiee tuko pamoja katika hili Allah atuongoze
@kassimkipande18582 ай бұрын
Mashaallah mungu awabaliki pia mungu aulinde uisram wetu inshaallah
@hidayakhamis9362 ай бұрын
Allah tunakuomba ilinde dini yetu kuna watu wana nia ya kuiharibu hii dini yetu ya hakki
@MohamediMwishehe-oj9vi2 ай бұрын
Allah atufanyie wepesi Inshallah ktk maisha yetu pia tuombe tupate mwisho mwema lkn tuendako baadhi ya viongozi wakitangulia akhera wengine utakua mtihani viongozi wetu wote tunawapenda na tunawaamini kubwa zaidi mumtangulize sana Allah ktk maamuzi yenu
@mohamedimiraji5495Ай бұрын
Your arguments not only tangible but also excellent. Mashallah
@hafidhseif96382 ай бұрын
Mashaalah nakupongezeni sheikh kundecha na sheikh ponda Allah azidi kukupeni hekima na elimu zadi
@SaidJangoli-hr7ww2 ай бұрын
Mashallah jazakallah khaira tuko pamoja ❤💯
@ahangfaith11802 ай бұрын
Allah awape umri mref masheikh wetu muzd kuutetea uwislamu
@omante1942 ай бұрын
Amina amina yalabilalamin 🤲🤲
@SuleimanKhdija2 ай бұрын
Mashallah waislam ni wapole ila wakichokozwa lazma wasimame kwa pamoja nikweli huo ni uchokozi na utovu wa nidhamu serikal hatuitaki katika dini ya uislam 🥺
@FridayMwassa2 ай бұрын
Kule Nigeria, Mali, Pakistani, alfaganistan na somalia walichokozwa na nani, ndiyo maana Israel umeamua liwalo na liwe mmebaki kubweka
@abdulijuma39692 ай бұрын
Hiyo ndo shida yenu wazee wa kukurupuka. 😅
@SalamaJuma-mg3ru2 ай бұрын
Maashaallah masheikh wetu tuko pamoja nanyi wasituchokoze waislamu tumeshadata na maisha lolote tutadili nalo
@user-ny2fu8bu2u2 ай бұрын
Wanatuona waislamu tuko imara sasa mungu uwaraani yeyote akigusa uislamu kwa nia mbaya afikwe na balaa
@kamalmukaddam15212 ай бұрын
Nawapongeza masheikh wangu mashaalah tupo pamoja mpo sahihi
@jamilaathumani5481Ай бұрын
Naipenda sana dini yangu yakiislam na najivunia sana kuwa muislam mimi na familia yng na familia yang ...namuomba mwenyezimungu nipate mwisho mwema mim na familia yng na nife nikiwa muislam..na nipate mwisho mwema mim na vizazi vyang na wazazi wng na familia yng natupate mwisho mwema aturehem
@dulasele-ud8cw2 ай бұрын
Bola Niwe mfanya biashala kuliko kuwa serikalin ata watoto sipendi wawe serikalin😢
@awadhally10522 ай бұрын
Kwel kabisaa
@user-sl1ko9me7u2 ай бұрын
VIVA MASHEKH WETU....SIMAMENI IMARA NA WAISLAMU WOTE TUKO NYUMA YENU....HUU NI UPUUZI WA BAKWATA...EWE MUFTI NA VIONGOZI WA BAKWATA MUOGOPENI MWENYEZI MUNGU MTUKUFU....ATAWAANGAMIZA!
@muhammadilukuta6852 ай бұрын
Mkakamae masheikh maadui wanataka kutumia serikali kutuhujumu serikali iandae dini yake sio kuingilia uislamu asanteni masheikh
@kingkiya66402 ай бұрын
Alhamdulillah,,,Katiba ya ulimwengu inatakiwa iwe Qur'an hata kama hawaikubali
@Ernestlaiza2 ай бұрын
Shetani wewe
@prochesernest54392 ай бұрын
Mnataka katiba iwe Quran hili Kuna jema Gani humo kwenye?
@alkhalilalkhalil82082 ай бұрын
@@Ernestlaiza Wewe bado NI mjinga kwanza nenda kajielimishe huwezi kuwa wewe upo na akili alafu unasema yesu ndio kakuumba Hali ya kuwa yeye anakataa katika bibilia unajua hilo
@yonasimion31302 ай бұрын
Ndugu zetu wakristo na waislam, Tusibishane kuhusu dini zetu, Qur'an na BIBLIA . Waislam wanasema MWISLAM ndugu Yako MWISLAM. Ila sisi wakristo hatujabagua nani ndugu Yako, tuheshimiane wote Kwa ajili ya amani ya nchi yetu.
@landelinusbyabato25122 ай бұрын
Huu ujinga ndo unafanya wapalestina wakungutwe. Na watapigwa tu
@InnoScorfield2 ай бұрын
Shekhe upo sahii sana na mungu akulipe kwa ukweli wako mungu atusimamie kwa aki tu inshaallah
@user-pg2tw8yt4l2 ай бұрын
hivi wana malengo gani hawa watu mbona kama vile wanakaribia kuuvuka mstari mwekundu enyi waja wa mwenyezi mungu hakika nawaambieni jambo hili ni baya zaidi kwa imani za watu na sizani kama kuna ulazima wa kufanya hivyo na wala sizani kama kuna mtu anaekubali jambo hili halafu em tizama watu walivyo riakti jambo hili na hapo ndio utajua kua hili c jambo zuri tena halifai kabisa
@ismailsoud36342 ай бұрын
Subhannallah, Kama Serikali itafanya hivyo, itakuwa ni DHAMBI KUBWA mbele ya Mwenyezi Mungu, Mbele ya Malaika, na mbele ya Waislamu wa Tanzania. Maana mguso wa imani kama ukiingiliwa na Serikali kwa namna ambayo Masheikh hao wanavyo eleza kama ni kweli , tuombe Mwenyezi Mungu atupe subra.
@BakariMhando-sv1ki2 ай бұрын
Allah watie nguvu mashekh wetu hapa tz na dunian kote,
@namsifubwana21522 ай бұрын
Hapa mmenifurahisha sana. Msisubiri hao DP world wakaleta dini yao ya kiaina😢😢😢😢
@HassanJambia2 ай бұрын
Tunashkru masheikh
@user-sz8sx8pn7v2 ай бұрын
Asalam aleykum ndungu waisilamu Mashekh na waisilamu sote tuwe ngangari Kwakweli hii Dunia kwa sasa imeshikiliwa masiidajjal.mambo ya naanza pole pole. Tujitayarishe kiimani ya kikweli tupambane na hizi sirikali
@alisaid74402 ай бұрын
Wanatengeneza uungu wao kama firauni hao tusome sana natusomeshe vijana wetu dini ya kweli yakwao tuwaachie na muungu wao tuone watakako fika.
@khadjahakamali-njufsk-78272 ай бұрын
SubhanaAllah hi ni musiba, ni mambo ya magharibi
@awadhally10522 ай бұрын
Mambo ya makafir hayo Allah awa laani
@jamilaathumani5481Ай бұрын
Iyo nikufuru na ni utovu wa nidhamu..nawanaingilia Imani yetu sisi kama waislam..muongozo wetu sisi waislam ni quraani na mtume wetu s.w..na mwenyezimungu Aliahidi kuwa dini yetu yakislam mungu atailinda yeye mwenyewe...kwaiyo watuachie dini yetu yakislam...mtume wetu Muhammad s.w na quraani yetu inatutosha ..wabilah tawfiq
@user-ps7kv7lp4m2 ай бұрын
Jambo baya sana kwakwel ,ndani yakekuna dini yaushetan freemason wanahitaji kusimika utawala wao baadae ,kunavitu vigumu sana Allah atailinda dini yake ishaalah
@shufaa89212 ай бұрын
Allha atuongoze juu yahili na awatie nguvu viongozi wetu wadini lnshaallah
@omarybakunda25542 ай бұрын
Serikali kaeni mbali na dini yetu.
@LastdayJesu4153Ай бұрын
Amina kazi nzuri maShekh❤
@user-ry4kx9hg7o2 ай бұрын
Mim kiwa mkristo,naunga mkono waislamu.
@FridayMwassa2 ай бұрын
Nenda kwenye uislam usisubiri ufukuzwe kafiri wewe
@IssaSalim-kv4gr2 ай бұрын
Ndugu yang muislam dini yetu inasema hakuna kulazimishana katka dini hvyo tumia lugha nzur kwa watu kuwanasih sio kuwakashif mana hakuna baya alilosema ndugu yetu hapo
@willygwaikana29 күн бұрын
@@IssaSalim-kv4gr Wewe hujaujua vizuri uislamu. Dini ya uislamu ni ya mabavu, bahati nzuri tu kwamba mataifa makuu yenye nguvu sio ya kiislamu, la sivyoi kila mmoja angeshurutishwa kuwa mwislamu. Kama si kwa upanga, basi uislamu usingekuwepo leo maana ulienenezwa kwa vitisho na unalindwa kwa vitisho hata sasa.
@khamismbaruk00172 ай бұрын
Serikali za kiafirika zinapelekwa na wazungu Fanya hivi watafanya tu dini imeshatimia Alhamduliah
@user-lu1yr8nx1o2 ай бұрын
Mama samia ni muislaam vipi akubali kuleta shariya zinazo pinga sheriya zilowekwa na Allah
@mohamedothman57922 ай бұрын
Samia ni muislamu akiwa nje ya Urais, akiwa ofisini sio muislamu
@taurehassan73992 ай бұрын
Mbn mwahukumu mtu mmojammoja?kwn mam Samia yy ni nani?km yye kalifumbia Hilo ukaliona ni kosa je ww huna kosa unalolifanya ktk dini yko?hpa haukumiwi mam Samia p1 na kuwa na mamlka yte hpa pakizungumzwa serikali ni wte watendaji wa serikali,kemea Jambo usimnyooshee mtu kidole acha chuki zczokuwa na msingi kla 1 anakosa lake aso hili ana lile
@abuuaidh65002 ай бұрын
Kwani huyo Mama Samia anaukubali uislam . Maana yy mwenyewe uislam unamkataa kuwa kiongozi wa kuongoza Jamii
@vincentcharles43852 ай бұрын
@@abuuaidh6500Well said brother
@emmadora78482 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Kwa hiyo wakupe wewe urais au?@@abuuaidh6500
@hatujuaniimani44252 ай бұрын
Subhana Allah!Huko mnakoelekea viongozi wetu wa serikali sio kuzuri.Dini yetu ya kiislamu muingozo upo kwenye kitabu cha koraani.Mambo mengine hayafai kuingiliwa hasa jambo km dini,mtambue dini ni imani za watu
@w40582 ай бұрын
Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Tunawakabidhi Allah hao wote wanaotaka kutuchezelea dini yetu
@lusamhamanish54862 ай бұрын
من المؤمنين رجال 💪Allah wajaze kheri mashekh zetu
@bekabakari73942 ай бұрын
Hapo nakukubali Unapo sema kama Serikal inataka iunde dini yao Naipatie jina lao hiyo dini yao Lakini wasijiingize kwenye dini za watu
@hamidudigogo58632 ай бұрын
Hapa wale kikundi Cha wahuni wanae pokea mishahara wapo kimyaa hawasemi kitu utasikia mwezi hauja andama msitangaze mwezi ndio kazi Yao kwenye swala la DINI hawaongei
@sharfumbarouk61682 ай бұрын
Yaani na wao Ni miongoni mwa watekelezaji wa yanayotaka kufanywa.. hawapo kwa maslahi ya Uislamu Ni kwa matashi ya nafsi zao
@hamidudigogo58632 ай бұрын
@@sharfumbarouk6168 nandio leongo kuu la bakwata na lengo kuu la aliye Unda hii BAKWATA nambaka Leo wapo kimya ungekua swala la mwezi na mauridi saizi wamesha fumuka kutoa tarifa l
@jumannekiumbo67902 ай бұрын
Mashallah allah awape nguvu ktk kuisimamia dini yetu 🤲
@jumaamsuya52 ай бұрын
Wasisubutu uo upuuzi atukotayari
@seifserenge33402 ай бұрын
Kumbukeni maneno ya marehemu Ilunga
@mwawekomiuda97792 ай бұрын
Serikali haina dini itafundisha nini? LAANA ya ALLAH iwashukie popote walipo wote walioshiriki kutunga hiyo mitaala. M'mungu awaangamize hapa Duniani kabla ya Akhera InshaAllah.
@shakirashakira-gc2yw2 ай бұрын
Amin Amin Amin in shaallah in shaallah in shaallah
@issarashid77072 ай бұрын
Tunaiyomba serikali nchi yetu ya Aman ...Wafifanye mambo ya kuvuruga Aman bado Watanzania Wanaipenda Aman na Serikali isiwe chanzo cha kuvuruga Aman baada ya kuboresha ...
@DiwaniMwafongo2 ай бұрын
Nilikuwa simfahamu Sheikh Ponda.... Ni mkiristu lkn napenda misimamo yake, ni mkwelivna hapinfishi maneno
@mussahamisi11912 ай бұрын
Unauhakika sheikh ponda ni mkiristu au umekurupuka tu
@DiwaniMwafongo2 ай бұрын
@@mussahamisi1191 , Kuna cheo Cha sheikh kwenye kanisa gani, wewe pimbi!
@carmp32 ай бұрын
@@mussahamisi1191 jalibu muelewa kasema yeye ni mkristo ila anapenda misimamo ya sheikh panda
@FabianTebeka2 ай бұрын
ALLAH AKBAR tuongoze na dini yetu
@SalminiAmur2 ай бұрын
Mashekhe nawaunga mkono kwa kupinga kwa silekali kumiliki dini
@SoudShuraim2 ай бұрын
Ponda nakukubali sana
@AminaKassim-ni9wd2 ай бұрын
Selekali kama selekali ikipitisho dini yahajabu kama iyo wallah namuomba Allah kwakutengua amli za mwenyeezi mungu kupindua dini wanavyojua wao na ikiwa bwana mtume alishamaliza kila kitu ametuachia njia nzuri sasa uyo ni nani kiukweli Allah atuongoze na uyu mama samia wallah ajiangalie amuogopi mungu 😢😢 kweli kilicho mdanganya nn ii dunia sasa wapotosheni watu mna yakujibu zaidi mbele ya Allah mungu anamuona na walio chini wote
@allyjuma25842 ай бұрын
Allahu Akbar. Uislamu watuachie waislamu wenyewe
@chande2k2502 ай бұрын
Mtihani sana ktk serikali zetu Inakuwaje serikali kuingilia masiala ya kidini mufti hili yampasa kupaza sauti Ndio tutajua Bakwata wapo nasi KTK imani na sio kuwaachia waislam wenyewe Icwe Kwny kutangaza Mwezi tu mnatoa Maneno suala hili ni zito na linapaswa mapema litatuliwe
@AhmedAli-gh1lm2 ай бұрын
Huyo mufti mwenyewe ni sehemu ya tatizo
@muniraally40912 ай бұрын
Mshahara aloo
@abuuaidh65002 ай бұрын
Mufti hasubutu na Bakwata yake kulisemea hili wao inawezekana ikawa ni miongoni mwa wanao unga mkono
@user-ff7hl3mh3h2 ай бұрын
subhanaAllah,Mungu alilipeperushe hili lisisimame kwenye nchi yetu
@AkhyFarqanah2 ай бұрын
Mansha Allah ❤❤❤
@NOORMOHAMED-sg9lo2 ай бұрын
Mnahangaika sana. Huo ni mtaala wa wafalme . Jikomboeni watanzania. Mwalimu nyerere alituweka vizuri sana. Turudie uzalendo na tuwatoe mahaini na wadhalimu . Tutafute wazalendo na viongozi wanaoongoza na sio vyeo. Mtaala wa dini upo na msiwaruhusu kabisa. Umoja ni nguvu .
@ibrahimayoub89722 ай бұрын
Ktk dini sote tuko tayari, kuitetea tupeni habari tutasimana pamoja, inshallah
@sukicgermain81352 ай бұрын
Ndo mana kuna mvua na upepo wa ajabu ajabu Dunia nzima kumbe kuna watu wanamjaribu Muumba subhana llah!
@HasaniBakari-yx5yg2 ай бұрын
Wao wafanye mambo yao kwenye dini wasiguse kama kunasehemu wamepewa mamlaka warudishe huko huko sisi hatutaki
@dullahfar77752 ай бұрын
Tupo tayari kuondoa Watoto wetu mashuleni kama serikali haita sikia
@awadhally10522 ай бұрын
Kwel kabisaa
@zenaiddbago2 ай бұрын
Kweli kabisa, Hata mimi nipo tayari kuwaondoa wajukuu zangu kuliko kuwapotezea motoni hali ya kuwa najitambua
@shaameshaame97212 ай бұрын
Laana ya Allaha iwashukie woooote wooot wooote walishiriki ktk hili
@awadhally10522 ай бұрын
Amiin
@BakariAthumani-vs8lkАй бұрын
Allah awape ulinzi hawa mashkh kaeni kimya mtaona hawa mashkk wanapewa kesi ya ugaidi mtaniambia maan ukweli hii nchi hautakiwi ni maoni yangu msipo niona mjue coment yangu imeniponza nitakua msitu wa mikumi mje mnifungue kamba
@mohammedmussa7378Ай бұрын
Wanafikiri dini mchezo ndio mwenyezi mungu aliposema hivi mnadhani tumewaumba kwa ajili ya mchezo na kwake hatutarejea
@SalminiAmur2 ай бұрын
Hata mimi na pinga kwa selekali kumiliki dini
@abdulrahmansalim9773Ай бұрын
SADAQTA SADAQTA SADAQTA 💯👏💯💯💯💯💯💯💯💯 ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR TAKBIR.
@thedon84672 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah
@user-fb7hw8vg6q2 ай бұрын
Penda sanaaa Islamic dinii Mashaall ALLAH
@SaingaOmmyАй бұрын
Mashaallah
@danielouma2 ай бұрын
Mmeona mbali wakuu! Hii ni sauti ya Mungu!
@SirajuKhalidi-sz6gu2 ай бұрын
Allah ailinde dini yake insha Allah
@JumaDoce2 ай бұрын
Allahu akbar laailaaha illa Allahu
@mohammedmussa7378Ай бұрын
Hii dini walishindwa makuraishi , kina thamud na fir-aun wataweza wao mlizi wa uislam mwenyezi mungu mlezi
@user-nx7jd3cf1m2 ай бұрын
Mbona wasiwaongoze wanao abudu mizimu. HASBUNALLAHA WA NI'IMAL WAKIIL.
@abduljuma78072 ай бұрын
Nyinyi hamjui serekali inasikiliza wazungu nakazi Yao kubwa nikuwaingiza watu motoni
@abduljuma78072 ай бұрын
Sasa mnaende kuangamia woooote mtakao husika sisi tutamuambia mwenye dini yake apambane yeye Mwenyewe kama alivyo fanya watu tembo
@sharfumbarouk61682 ай бұрын
@@abduljuma7807Wao washajua kuwa Ni watu wa motoni kwa maovu yao kwa hivyo wanataka wapate kundi kubwa waingie nalo motoni
@jongosalehe10362 ай бұрын
Masha allah Sheikh Pondaaa
@galoleali7802 ай бұрын
Mashehe kaeni ngaringari
@FadhiliMakasi-vb9dl2 ай бұрын
Hapo nawapongeza japo mimi ni mkiristo hii sio poa kuingilia imani Zawatu
@shakirashakira-gc2yw2 ай бұрын
Nikweli
@user-xz6nr4qp5y2 ай бұрын
Innallillah wainallah rajiuun mwnyezmungu atuepushia mbali zahama hiii
@muhammedbakari28672 ай бұрын
Hao ndio makafir. Hawali Wala hawalali .. wao ni kuiandama na ya kweli kuipoteza.. wao washapotea wanataka watupotoshe na sis
@sharfumbarouk61682 ай бұрын
Mwenyezi Mungu anasema; wanatamani waliokufuru na nyinyi mkufuru Kama walivyokufuru wao ili muwe sawa sawa" na Hilo ndio wanalolitaka saivi
@MozaOmary2 ай бұрын
Swadakta , sheria ya mungu ibaki kuwa ile ile tu. Na sheria ya binaadam itabakinkuwa ni ya kibinaadaam tu. Hivyo basi baatwil,isitake kuchafua ukweli wa allah . Serikali ianfalie kwa makini sana. Isije ikapata laan ya muumba wa mbingu na ardh.
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Oooh allsh tujaalie kila la kheri yarabi
@hafidhseif96382 ай бұрын
Basi ni bora hata wange kua nania njema wengekushirikisheni
@alwialhajialwi00122 ай бұрын
Dini na serikal ni vitu viwili tofauti..
@faridsalehmohamed12302 ай бұрын
Bakwata kimyaa wao wanangojea mwezi tuu na maulidi kisha watu wanataka kuongoza waislam eti ndio Taasis kuu
@husseinchaka18212 ай бұрын
Amani haiji Kwa upole shehe,kubali kufa Kwa minajili ya kunusuru kizazi chako Cha baadaye,watanzania mnaongoza Kwa ushoga east Africa ,hili mzungu kalifahamu ndio maana anazidi kuboroga maneno .kuongoea peke yake waisilamu haitoshi ,lazima mkue tayari kuenua silaha kunusuru dini kama isemavyo Quran.
@kikonohussein57002 ай бұрын
Maishaallah
@wakuchunmk49272 ай бұрын
Innalilah waina ilahi rajiun Allah atuajalie mwisho mwema amin amin
@SalimRashid-bt4up2 ай бұрын
Serikali ni watu kwahiyo inamaana hawa watu wachache ndo wamekaa na kuungana ili kuuondosha uislam bc biidhnillah hawawezi inshaAllah watapotea wao na lana zao za kupapatikia ulimwengu na Allah ndo mjuzi zaidi