Kaka habari yako.. Naomba nikuulize. Hivi kujenga nyumba ya gorofa ni lazima kutumia nondo, kwaajili ya column
@amoursalman10383 ай бұрын
Je eneo hilo lilotoka lina ukubwa gani kuweza kutoka ghorofa hiyo by meter
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Ndio kwenye ngazi kunakuwafa na madilisha
@rachealmawiamwangangi76389 ай бұрын
Nimeipeda
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Izo tailz zimeingia ni spanish tailia na ina vyumba vingapi
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
Balcony haijakwisha
@user-bk3sv3ts7v Жыл бұрын
Imeturia
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
👍
@fathimamct232 Жыл бұрын
Hicho kigorofa kinagharimu kiasi gani jamani tuwekeni wazi hebu.
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
0659877756
@maitatobias9420 Жыл бұрын
Gharama shilingi ngapi
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
0659877756
@fauziakimario6757 Жыл бұрын
Hiyo ni gesti mbona hakuna kitchen au wanapikia wapi 😢
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
Hiyo imeungwa inanyumba nyingine ya chini yazamani uwe unasikiliza nakuangalia vzr video sio unakomenti upuuzi
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Kiwanja icho kina ukubwa gani
@SimbaM2kufu Жыл бұрын
Hiyo balcony ya juu sio salama hata robo sekunde.
@mandyfitnesstv6738 Жыл бұрын
😁😁😁 kweli wabongo hamjui ujenzi sasa we unaona hata ngazi hajaweka zile chuma za usalama unasema Balcony wakati bado wanaendelea
@richardrichope352811 ай бұрын
Wataweka balusters si wamesema au husikie
@SimbaM2kufu11 ай бұрын
@@richardrichope3528 nitakua nilimisi kitu.
@VickKulekana-si1ib6 ай бұрын
Nilikiwa nataka golofa dogo kama hilo kozi kiwanja nataka kununiwa roho heka
@ongeshabani8439 Жыл бұрын
Iyo nyumba umechukuwa tofali ngapi au ngarama nikiasi ngani
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
0659 877 756
@gloriachristian1470 Жыл бұрын
Mko wapi
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
Dar
@zunnahmohammed4719 Жыл бұрын
bei
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
0659 877 756
@gloriachristian1470 Жыл бұрын
Yaan napenda gorofa jamani pesa tuu.hivi hichi niandae sh ngapi
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@jennifermmanyema6693 Жыл бұрын
Muwe mnatuakbia na garama jaman mfn km hiyo mnatwambia imegarim Kia's kadhaa Hadi hapo
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
0659 877 756
@helencasmir5457 Жыл бұрын
Naomba unitumie tel no yako
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
0659877756
@janetmuhando1419 Жыл бұрын
Kighorofa Cha mchongo hiki, kwanza hakieleweki hata kidogo!..... Mmeweka garage wakati hakuna jiko Wala Nini !......
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
Sawa boss ila hiyo ni ghorofa ambayo imeungwa kwenye nyumba chini so nikm nyumba mmoja tu na ata hilo jiko unalolisema lipo kwenye nyumba ya chini mzee
@saidsuleiman1753Ай бұрын
@@sanukamedia9084achana nae huyo mtu ni wivu na hasadi ndio vinamsumbua