150,000,000 MIL👈🏻TANGAZO NYUMBA HIHAPA INA UZWA IPO DAR ES SALAAM KIGAMBON WILAY MPYA YA KIGAMBONI

  Рет қаралды 39,186

DALALI HAKWEA HAKWEYA 666

DALALI HAKWEA HAKWEYA 666

Жыл бұрын

150,000,000 MIL👈🏻 TANGAZO NYUMBA HIHAPA INAUZWA IPO JIJINI DAR ES SALAAM KIGAMBONI WILAYA MPYA YA KIGAMBONI NYUMBA IPO KIBUGUMO NINYUMBA KAR SANA SIO YA KUIKOSA HINYUMBA INA VYUMBA VINEE VYA KULALA INA sitting room dining room kichen public toilet KISIMA CHAMAZI MAJI BARID KABISA HISIO YA KUIKOSA ENEO SQMT 800 eneo squirter upimaji shirikishi kupelekwa kukagua nyumba nishiringi elfu 30,000 kwa maelezo zaidi nipigie cm dalali_hakwea_hakweya===========================================
🇹🇿0713 96 62 96 👈🏻👉🏻 0787 96 62 96
0737 61 43 71 👈🏻👉🏻 0765 50 70 40 🇹🇿
===============================

Пікірлер: 70
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 Жыл бұрын
Mara nyingi hizi nyumba nzuri zinakuaga na matatizo, Unaweza kuinunua afu usiifrahie, Mara unakuta kuna mizimu aidha mapepo au maagano magumu, Maana mpaka mtu kujenga nyumba nzuri hivo na kahamia hajakaa muda anaondoka gafla! Inatisha, Ila kwa uzuri, That's the best house! Any way! Siwezi jua kwa hio!
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Hapo mawazo yako ndipo ya ripo ishia na ufaham wako
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Wewe mshirikina ndio maana unafikiria vyenginevyo. Lile liliopo kwenye akili yako ndio dhana ma vitendo vyako. Wacha kuharibu biashara za watu kwa fikra mbovu za kwako. Nenda kajenge yako pirini. Majini popote wapo na wanaishi wanapopenda kama viumbe wengine hiwezi kuwaepuka na hapo ulipo wapo.
@bashirbaruan3969
@bashirbaruan3969 9 ай бұрын
Hiyo bei na nyumba havifanani Kuta kuwa najambo halipo sawa hapo angalieni msije pigwa
@piusgadau6328
@piusgadau6328 Ай бұрын
acha kuharibu biashara za watu masikini mbwa mkubwa wewe
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 10 ай бұрын
Nyumba nzuri but over the top decoration. A house should be a home, not an object of art!
@jumaabubakar7368
@jumaabubakar7368 Жыл бұрын
Dah nyumba mzuri
@hemedkindau1045
@hemedkindau1045 Жыл бұрын
Boss bado ipo
@barakamsuya2403
@barakamsuya2403 9 ай бұрын
Dalali upo vizuri
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 9 ай бұрын
Nashukulu sana kwa sapoty yako🙏🏻
@suleimanjumamaulid879
@suleimanjumamaulid879 8 ай бұрын
Nyumba nzuri sana kasoro yake vyumba vidogo sana
@peninasnyamhanga4860
@peninasnyamhanga4860 6 ай бұрын
Nyumba nzuri sana
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 6 ай бұрын
Asante boss
@BarreMushi-yz4wt
@BarreMushi-yz4wt Жыл бұрын
Nyumba nzuri. Ila, Rooms zingine hazina makabati.
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Sawa boo
@hamidahassan1282
@hamidahassan1282 Жыл бұрын
Nyumba mashaalla
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Asante boss
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Fanyeni kazi vijana na hawa wenye husda watabaki kutisha wenzao wao hawawezi kujenga hata kibanda cha udongo. Wataishia kulala seating roon wasubirì watu waingoe kulala chumbani ndio wao watandike ukumbini kwenye sofa walale. Msiwe negative kwenye maendeleo ya wengine
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Ishallah ,Asante 🙏🏻🙏🏻 boss #Mwanaisha Abubakar
@hamidahassan1282
@hamidahassan1282 Жыл бұрын
Mtaa mzuri sanaa
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Sawa boss asante
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 Жыл бұрын
Shida mapepo ndio shida kubwa heri nijenge yangu kuliko ningie kwa bala maana maagano shida
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Kwani ww mapepo urisha tolewa
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 Жыл бұрын
Naamnini ukiumwa na Hilo nikweli kwamba nyumba kuna kitu imejificha
@sheikhalumbalambala2655
@sheikhalumbalambala2655 Ай бұрын
Bado ipo?
@baseselarashidi5968
@baseselarashidi5968 Жыл бұрын
Wageni kutoka Marekani wanaweza kununua nyumba?
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Ndio una nunua kwa kufata vigezo na masharty wengi nimesha wauzia
@milonmilestz4312
@milonmilestz4312 Жыл бұрын
Mashallah 🔥❤️
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Asante boss
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Жыл бұрын
Mtaa mtamu sana
@pastormoseschami7208
@pastormoseschami7208 3 ай бұрын
Aiaeeee hii yenyewe kabisa ❤❤❤
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 3 ай бұрын
Ndio boss sema tayar nimesha uza tayar boss
@shaminaabdul8427
@shaminaabdul8427 Жыл бұрын
Dah mzur
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Sana boss
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
Alafu bei rahis sn
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
Mbona bei rahis ivyo. Alafu ninkigamboni
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 Жыл бұрын
Bado ipo nyumba hii?
@towomayala1549
@towomayala1549 Жыл бұрын
nyumba fupi Sana, halafu tiles ndiyo Tena zile za low quality, kiwanja kidogo no sehemu hata ya garden ndogo tu thamani hiyo 150 Haifananii hata
@reagieotieno3002
@reagieotieno3002 Жыл бұрын
Kwa dolla shillingi gapi tafathali
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Piga esabu hapo una pata kiasi gan
@julianaswai7846
@julianaswai7846 Жыл бұрын
Eti benk kuu
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Benk ku boss siwajuwa mavi twaya penda nirazima yahifaziwe pazuri ndomana ya benk kuu
@hafidaabdul6831
@hafidaabdul6831 Жыл бұрын
Kuzuri bado opo
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Hapana boss nimesha iyuza tayar
@user-eo6sx1qx3h
@user-eo6sx1qx3h Жыл бұрын
Je munauza kwa mtu hasie mtanzania mm ni mkenya
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Ndio vigezo na masharty huzingatiwa
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Жыл бұрын
Parking ndio shida hapo
@shijaenock7638
@shijaenock7638 Жыл бұрын
Gari 3 unapak bro hapo hakuna tatzo parkn
@shijaenock7638
@shijaenock7638 Жыл бұрын
Nmeikubal raman hiyo naweza pata
@hamidahassan1282
@hamidahassan1282 Жыл бұрын
Majirani nao wakovizuri
@mohamedaden8483
@mohamedaden8483 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sabilibrahim2457
@sabilibrahim2457 4 ай бұрын
Hizi jenga uza
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 4 ай бұрын
JENGA NA WW UZE JENGA TUONE YAKO HAPO ULIPO MAISHA YAKO KWA SHEMEJI YAKO DADA AKO AKITWANGWA TALAKA NA WEWE HUNA PA KULALA, UME JILEGEZATU HAPO JENGA UZA ???
@jumaabubakar7368
@jumaabubakar7368 Жыл бұрын
Je ishauzwa au bado ili nimtume mtu wangu aje kuiona live
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 4 ай бұрын
Imesha uzwa tayar boss
@josephmalisa2987
@josephmalisa2987 Жыл бұрын
Huko nasikia kuna majambazi , rafiki yangu keshashambuliwa mara 3 mbali na huo ulinzi ulioutaja
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Acha ujinga ndugu waeza nambia wap pasipo kuwa na uharifu hapa tz
@prettymasha2430
@prettymasha2430 Жыл бұрын
Kuharibu Biashara za watu tu 😮😮😮
@shijaenock7638
@shijaenock7638 Жыл бұрын
Vyumba vdgo vdgo sna
@maryamalli9090
@maryamalli9090 Жыл бұрын
Kwani wewe unapolala unaenea chumba kizima? Sio vidogo hivyo vipi poa mbona
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Mnafiki huyo hana jipya
@ashahassan2120
@ashahassan2120 Жыл бұрын
Nanyumba nizuri jamani
@sheikhalumbalambala2655
@sheikhalumbalambala2655 Жыл бұрын
Je bado ipo?
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Nimesha uza tayar
@azzaalmaamry5817
@azzaalmaamry5817 Жыл бұрын
Nitumie namba yako dalal
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
@@azzaalmaamry5817 0787966296 0713966296
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Ukiwa mshirikina ndio mawazo yako ndio hayo tu kuharibia wenzio. Watu wanatafuta rizki zao kwa mikono yao wewe unaanza kuwaharibiwi watu kama nyie hamtatoboa maishani mwenu maana akili zenu zipo kwenye ushirikina na kuharibia waliokutangulieni kwa maendeleo.
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 Жыл бұрын
Mungu akubarki boss
@user-hs5rz3fw9f
@user-hs5rz3fw9f 5 ай бұрын
Bado ipo?
@dalalihakweahakweya6663
@dalalihakweahakweya6663 5 ай бұрын
Hapana
NYUMBA YA MILIONI 600 INAYOUZWA PALM VILLAGE MIKOCHENI
11:17
Millard Ayo
Рет қаралды 315 М.
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 12 МЛН
Kumekucha MAZITO YAIBULIWA SAKATA LA MSIGWA KUMBE IKO HIVI
22:07
BONGO 24 NEWS
Рет қаралды 29 М.
Hii nyumba haina kasoro
3:34
DALALI WA TAIFA
Рет қаралды 23 М.
Hamidu City Estate Tour - Affordable homes in Dar es Salam
24:59
Mila Africa
Рет қаралды 11 М.
PATA MAKAZI BORA NA YA KISASA KIGAMBONI DAR ES SALAAM
24:57
Shirika la Nyumba la Taifa
Рет қаралды 24 М.
#NYUMBA NYINGINE YA KISASA #INAYOUZWA KWA #BEI NAFUU DAR (#Luxury house for sale in Dar es salaam)
6:44
Aisam Bestland [Property Channel] Viwanja Town
Рет қаралды 3 М.
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН