UKIOTA NDOTO YA NYUMBA | NA YANAYOHUSIANA NA NYUMBA | HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS

  Рет қаралды 128,281

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

4 жыл бұрын

UKIOTA NDOTO YA NYUMBA | NA YANAYOHUSIANA NA NYUMBA | HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS
#MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDuaTv

Пікірлер: 153
@user-jz6qu6fb2h
@user-jz6qu6fb2h 17 күн бұрын
Mimi nimeota kwamba wanajenga nyumba Kijijini kwa rafik yangu mara mbili inamaana gan sheikh
@eliaskassim5684
@eliaskassim5684 2 жыл бұрын
Kaz nzur sana ..lakn jitahid uweunajib comments za watu .
@twahamjanakheli4182
@twahamjanakheli4182 10 ай бұрын
Uko vizuri nimeota ndoto nimenunuliwa nyumba nzuuuri sana Ila vyote ulivyo visema nisahihi kwasbabu nataka nioe Ila pia kaka ndo atanisaidia mahari na Leo eti kaninunulia nyumba nzuuri Ila kunamlango Wa Siri nikaufungua nikaingia ndani kuzuri sana Ila hakuna mwanga nikawasha taa yaa simu kuzuuri
@omanamenmct1600
@omanamenmct1600 2 жыл бұрын
Alhamulilah niliota najenga tena nyumba ghorofa na imefika kweye paa kabisa na niko kwenye hiyo nyumba na fundi yuko juu ,mm nimeenda na daftari kuandika mahitaji ya fund anataka .Alhamdulilah
@muhsinsaleh2192
@muhsinsaleh2192 3 жыл бұрын
Niliota kuna mwarabu amenitilia umeme pamoja na mapambo ndani na nje ya nyumba yangu. Nini maana yake. Shukran.
@mugishanasra1919
@mugishanasra1919 3 жыл бұрын
Allah akupe kila LA kheri chehe wetu
@dumasbajun0012
@dumasbajun0012 2 жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH Shukran Sheikh
@tiffahkillax6267
@tiffahkillax6267 4 жыл бұрын
Alhamdulillah 😪😪😪 jana tu alafu leo naangalia tafsiri hii. . mm nmeota nipo ndani ya chumba kijoja tu tena nipo na Mama yangu ni mbali na makazi ya watu yaani ni shambani kabisaa tunalimaga mpunga ni mbali mno na kijiji kilipo 😪😪😪 Alhamdulillah .. Kisha nikamwambia Mama yangu mbona amejenga nyumba mbali mno alafu ni porini akanijibu ni bora kukaa mbali na familia ambayo wanamnyanyasa na hayupo tayari kurudi mjini kabisaa
@dab8859
@dab8859 4 жыл бұрын
Pole ndugiangu mungu yuwkpnda kkupa hbr zdsha maombi
@tiffahkillax6267
@tiffahkillax6267 4 жыл бұрын
@@dab8859 ahsantee nashukuru
@cherylcyprian7772
@cherylcyprian7772 4 жыл бұрын
Interview ya babalevo na wasaftv
@nusratbintabdullah5713
@nusratbintabdullah5713 3 жыл бұрын
Thanks soo much sheikh
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 жыл бұрын
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubariki
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Amina yaarabiy
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 4 жыл бұрын
Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Shukran jazakaallah kheir mungu akujalie umri na afya
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Waalaykumsalaamwarahmatu llaah wabarakatuh. amina yaarabiy
@rotundajane3426
@rotundajane3426 3 жыл бұрын
Na ukiota ume ona nyumba mpya nzuri sana
@binthatv2794
@binthatv2794 Жыл бұрын
Asww sheikh nimeota nimejenga nyumba ya kwetu kwa muze Sasa nyumba hiyo ilikuwa vizuri sana wenye tunatoka tumbo Moja wamaja kwingia wakaja kuingia wakanambia umejenga vizuri mudogo wetu ikabidi tuingie kwenye nyumba hiyo tumefurahi nikasema hiyi nyumba niyeyu basi tufurahiye
@sofiahamisi9373
@sofiahamisi9373 2 жыл бұрын
Asantee shelkh
@zammaulidi7507
@zammaulidi7507 3 жыл бұрын
Shekh mi nimeota nyumba kubwa sana gorofa kumbwa Kwa jirani Yangu marehem Ila alojenga simjui baina ya nyumba ya marehem na nyumba yetu Ila natoka safari lile gorofa naliona Kwa mbali Ila halijatenhezwa nje tofali Tu zipo kama tofali hazina palasa ia jmba jumaba kubwa sana
@Happymshana-sy9cr
@Happymshana-sy9cr Жыл бұрын
Asalam alekum shekhe mimi nmeota kaka angu amejenga nyumba na amenipa ile nyumba ananiambia nasubir iishe vizuri nikukabithi
@samirasadasalum5974
@samirasadasalum5974 4 ай бұрын
Alhamdulillah sheikh
@modybazenga3230
@modybazenga3230 7 ай бұрын
Amina yaarab
@rahmakonse9518
@rahmakonse9518 3 жыл бұрын
Mimi nimeota nyumba nyingi imejengwa mbali karibu na porini na tumehamia huko pamoja na familia na majirani wengine na hata tumeanza kupika huko pamoja na mamangu na kisha tunakosania juu ya kupika,tafadhali nahofia sana sheikh ni nini maana yke.
@khamisimzee6546
@khamisimzee6546 6 ай бұрын
Axlm alkm shekh mimi naota mara kwa mara nyumba inavuja hadi kitanda cha lowa
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 Жыл бұрын
Asalam aleikum warahmatullah wabarkat..!! Nmeota napita njiani mtaani huku Qatar kisha nikaona nyumba ya gorofa inajengwa mafundi ni wengi sana na gorofa imefikia gofora ya tatu kisha ghafla ikaporomoka na mafundi wote wakafunikwa na hilo jengo mawe na vyuma ila hamna ata binaadamu yoyote alieonekana baada ya kuporomokewa na hilo gorofa....naomba unisaidie kunijibia hii ndoto
@saudaumar3354
@saudaumar3354 11 ай бұрын
Mashallah
@user-qp6zc6kf2n
@user-qp6zc6kf2n 3 ай бұрын
Shukran
@misigarojustine3357
@misigarojustine3357 2 жыл бұрын
Unafafanua vizur sana 👍
@user-rp2br1um5y
@user-rp2br1um5y 3 ай бұрын
Maalimu mm nimeota kua mamaagu mzazi amenunua nyumba ila sisi wanawe hajawahi kutwambia na ameshakufa ila kuna mt ndioo akaja akatwambia na tulipo ifatilia kunaishi mt 1 mweusi yeye akasema kwavile nimekaa nayo muda mwingi itabid tugawanae kwaiyo mm nikachukua 40 na kuna mwenzangu akachukua 40 yeye akachukua 10 na kuna mt mwengine akachukua 10
@zainaboamani6959
@zainaboamani6959 Жыл бұрын
Amen
@buhitexmohamed4785
@buhitexmohamed4785 Жыл бұрын
Barakalahu fiku walai
@zayumar2955
@zayumar2955 4 жыл бұрын
Asante sheikh ila nmeota kua nipo shule ila tulikua tuko wengiii na wasio walim Sasa tukapewa Kaz ya shamba mie nikaomba ruhusa ya kwenda kutafuta funguo yangu nilioipoteza Sasa nimeitafuta nimeipata nikarud kufungua nikaingia ndan et ndan ya nyumba iyo hakujamalizwa kujengwa nikawa namwagilia maji naomba unifahamishe ndoto hii tafadhal
@awaahassan936
@awaahassan936 3 жыл бұрын
Sheikh nimeota Mimi natoka kuchota maji kisha nilipokaribia nyumbani nikaona Ile nyumba yetu inatoa ishara za kuanguka na ndani mlikua na mama na mtoto wangu nikawaita haraka nikawambia tokeni haraka nyumba yataka kuanguka
@zayumar2955
@zayumar2955 3 жыл бұрын
Mm nimeota seem iliyokua porin zaman saiv kumejengwa nyumba nzur Sana na Ni mpya Yan pamekua mji mpya wa kupendeza na mm nilienda huko kutembea nn maana yake jmn
@asiaoman3040
@asiaoman3040 2 жыл бұрын
MashaAllah nakupenda sana maana me unanitabilia mambo mazuri sana naleo yanatokea kwangu
@sherrysule5998
@sherrysule5998 3 жыл бұрын
Assalam alaykum.. sheikh mimi naota mara kwa mara kua baba angu anajenga nyumba kubwaa nzuri.. ila haijawahi kumalizaa.. ila huwa nafurahi sanaaa kumbe ni ndoto. Nisaidie
@suzansimon5296
@suzansimon5296 3 жыл бұрын
Hyo nikama mm nmeota baba anajenga
@arhamalmuntasir3912
@arhamalmuntasir3912 3 жыл бұрын
mm niliota mwanaume niliyekua cjafunga nae ndoa amejenga nyumba njozi hiyo Ina maana gani
@suma643
@suma643 3 жыл бұрын
Minimeota kwa nyati tofauti mwanzo niliota kuna nyumba ipo ufukweni mwa bahari halafu ni ya udongo kunaupepo mzuri nlikuwa naenda sana pahali hapo nikiwa usingizin siku nyngne nliota marehemu mama kanikabidhi nyumba kubwa mpya ila haijapigwa plasta nikaote tena ninakabidhiwa nyumba mpya iliyojengwa na tofali za udongo ila ubavuni kunahitaji marekebisho na nilisema hii ndio itakuwa nyumba ya mwanangu ila ndoto hii ilianzia mbali nikiwa na shida ya mtoto..maana yake ni nini
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
Alhamdulillah
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Allaah akbar
@rizikihinna92
@rizikihinna92 3 жыл бұрын
Asalamu alaikum shekh mumewagu ameota amenunua nyuba alafu mm nikaeda kuigia hata back haijaisha dani vizuri
@susanmbwali3221
@susanmbwali3221 Жыл бұрын
Maana kuota marehemu anakwambia nimekupa nyumba hii urthi gorofa nzuri
@fatmaswaleh9541
@fatmaswaleh9541 4 жыл бұрын
Mm huwa naota gorofa tena inapenda kujirudiarudia yaan haipiti mwez bila yakuota ndoto izooo
@asyasaid6881
@asyasaid6881 2 жыл бұрын
Asalm alykum ukiota unanunua nyumba na inamaduka manne
@user-ks9in6gi2t
@user-ks9in6gi2t 3 ай бұрын
Shehe nimeota mama anajega nyumba haijesha ananionesha
@zulfamwinyiathman5423
@zulfamwinyiathman5423 2 жыл бұрын
Aslam Alykkum Naomba mtowe tafsiri ya kuota jongoo linakuuma ,kukutambaa na kadhalika
@lilianrichard9065
@lilianrichard9065 8 ай бұрын
Nimeota nyumba ni ya tope na chn hajasakafiwa na juu haijaezekwa pia chn pamelowa nikawa nafagia mle ndan na nikisema hiki ni chumba cha mama yangu nakifanyia usafi nikashtuka kutoka usingzn hii inajulisha nn jaman
@lrenjoseph1363
@lrenjoseph1363 3 жыл бұрын
Nimeota Niko kwenye nyumba Niko na familia yang u namume Wangu alafu nafraa Sana
@annasebastian5827
@annasebastian5827 10 ай бұрын
Nimeota nyumba yangu inajengwa na mafund na hela ya kuwalipa sina
@estajoan1285
@estajoan1285 3 жыл бұрын
Mimi nimeota nyumba yangu ipo kwenye linta lakini sijamaliza lakini watu wanaivyunja wanasema ipo balabalani lakini babayangu anasema atanijengea nyingine 😭😭😭 lakini iyo nyumba ninayo kweli
@kaznakazn3495
@kaznakazn3495 2 жыл бұрын
Mimi naota nyumba Yani Kwa mwezi moja nimeota mara 4 mufululuzo
@betridarwezahula7874
@betridarwezahula7874 3 жыл бұрын
Ok
@Bigentertainment19
@Bigentertainment19 8 ай бұрын
Ivi ukitoa nyumba inavuja upande WA jikoni hii maana yake nn ostadhi
@shufaamakame5839
@shufaamakame5839 Жыл бұрын
Asalamu aleykum Jee shekh ikiwa umelala ukaota unapigiwa hodi na akaend mume wngu kuitikia hodi kurudi nikaona amerudi na kubadilika gjafla akawa ananikaba Nimeogopa
@user-yh6xo1dw2d
@user-yh6xo1dw2d Ай бұрын
Nimeota nimepata watu wasio Julika wamejenga ukuta Wa Mawe Kwa shamba yangu nikawa natafuta aliye niunzia
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 Жыл бұрын
mimi juzi nimeota nyumba inatembea kwakasi ikaja ika simama chini ya miguu yangu ilikuwa imejengwa kwa mabokx ilipo funguka ilikuwa na nguo ndani nika zichukuwa nikazipeleka chumbani kwangu
@oman1oman179
@oman1oman179 10 ай бұрын
Shukuran
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 4 жыл бұрын
Nakuota ndoto ya kupaa ina maanagani sheikhe wangu tafazar tujue..
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 Жыл бұрын
Maana yake ni Nini hizi ndoto zangu zinazojirudia mara Kwa mara. Kuwa nazungumza na viongozi (Rais) au najikuta natembea nae huku tunakagua sehemu mbalimbali hii inamaanisha Nini shekh wangu.
@zammaulidi7507
@zammaulidi7507 3 жыл бұрын
Na siku ya pili nikaota nimetoka Kwa nyumba Ila mlango wkitoka ukawq kama dirisha siwezi kutoka Ila shemeji zangu walikuwa nje ya mlango dirisha huo akanitolea waya kama nondo ya dirisha nikatoka Kwa urahisi na nyuma Yangu alikuepo mama mwanamke MTU mzima kavaa baibui la zamani ne akapita badala kupita Mie bs tujafurahi tu mana Ake nini
@aminamohd1510
@aminamohd1510 Жыл бұрын
Asalam alaykum shekh mm nimeot nyumba ambyo nilihama zaid y mwak n nimeota zaid y Mar 1 wkt kipnd ch nyuma sikuwa naiota
@irhamseif
@irhamseif Жыл бұрын
Me naota na huwa inajirudia rudia sana kuwa natoka nyumbani vizur ila kirud ndio nashindwa nakua naiona ilepale ila kuifikia sifiki naangaika sana kutafuga njia nirud lakin siwez naomba nijue ni nn maana naota hii ndoto mara kwa mara
@maryammarjan4015
@maryammarjan4015 2 жыл бұрын
ok
@shamymtanda1656
@shamymtanda1656 4 жыл бұрын
Asalam aleykum shekhe..?mim huwa nimeota zaidi yamara moja kila mwez naota nyymba yangu inapata moto chanzo umeme lkn hauendelelei lkn kila nikiota n moto unaanzia sehem hyo hyo kila naopoota n takriban mara tatu mpaka naogopa
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
اللهم انصرنا يارب أمين
@uthmanzombe2242
@uthmanzombe2242 4 жыл бұрын
Umeolewa?
@GloryMoshi-sv6ni
@GloryMoshi-sv6ni Жыл бұрын
Hua ninaota mara nyingi nimenjenga nyumba nzuri sana ya kisasa pembeni ya nyumba yangu Ina maana gani?
@minaaminaa1781
@minaaminaa1781 2 жыл бұрын
Je ukiota nyumba ya chomeka
@khadijaahmada5692
@khadijaahmada5692 2 жыл бұрын
Mimi nimeota usiku wa leo tu mamangu nimeota mimi na mamangu tumejenga nyumba mpya tena vioo vitupu ila mtoto wa mamangu mdogo amepigana na rafiki zake ,hasira zao wakaja kuivunja nyumba yetu na vioo vyote wakaviangusha chini
@mspwjjjso6261
@mspwjjjso6261 Жыл бұрын
Daah ,pole sana
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 Жыл бұрын
Mimi naota nimejenga nyumba nzuri na nimehamia. Pia naota Mara Kwa mara naongea na Marais wa Tanzania nilimuota magufuli kipindi Cha utawala wake nilimuota zaidi ya mara nne, Sasa hivi ninamuota Rais Samia naongea nae mara Kwa mara.
@micky_magicallyboy1768
@micky_magicallyboy1768 3 жыл бұрын
Je nkiota natizama juu nkiitizama gorofa, nini mana yake!..
@mamabestie8964
@mamabestie8964 3 жыл бұрын
Naomba no ya simu niweze was liana na sheikh
@fatmadigo6686
@fatmadigo6686 3 жыл бұрын
Asalam walyekum warahmatulah wabarakatuh shekh nimeota natembea juu ya maji kisha mwisho Wa maji nikakutana na nyok mkubwa sana nikawa najalibu kujitetea lakini yule nyoka alikua ananizunguuka pasipo kunizuru nini maana yake
@bukhanmohd456
@bukhanmohd456 4 жыл бұрын
Shekhe mimi nimeota nyumba yetu ulikuja upepo mkali na ukavunja nyumba yetu yote
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Jiepushe sana na wafitinishaji wasije kukugombanisha wewe na mkeo
@bukhanmohd456
@bukhanmohd456 4 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 Shukran sana sheikh Allah s.w akubarik Ila pia nimeota ndoto nyegine ya nyoka mweupe alikua anataka kunishambulia ila kulikua na kaka yangu mmoja binaami ambae ni daktari alikua akinipaka kitu kama dawa kichwani sasa yule nyoka akaacha kunishambulia mie akamfuata yule kakaangu na akamshambulia vibaya sana na yule kaka yangu akaanguka akafa na mimi ilikua nikilia sanaa.....nikashuka kutoka usingizini...
@vallentinemideva3557
@vallentinemideva3557 Жыл бұрын
Ukiota umejenga nyumba na aina mlango but unaishi ndani ina maana gani
@pendomasanja8380
@pendomasanja8380 Жыл бұрын
Nmeota njozi nmejenga nyumba mpya kwetu
@moulinenyajuma5129
@moulinenyajuma5129 Жыл бұрын
Nimeota nimeenda kwetu nkapata nyumba ndogo imejengwa na imebomwa na matope na bati la juu lilikua mpya na ndani ya nyumba hili kuna kitanda bila godoro bali shuka nyeupe pekee kisha naskia babangu akusema kitanda nichake mtu hasikaribie naomba tafsiri yake tafadhali
@magdalinejuma2028
@magdalinejuma2028 Жыл бұрын
Niliot kuwa nmejeng nyumb kubwa wanaifanyia rufen yaan wanawek mabati inamaan gn
@rizikahmad6930
@rizikahmad6930 2 жыл бұрын
Shekhe kama mwanamke anaota kaona mlango inamaana gani
@nikasdavid9338
@nikasdavid9338 Жыл бұрын
Nimeota navunja gorofa😭😭
@matndaoman2983
@matndaoman2983 Жыл бұрын
Mimi niliota mvua inanyesha na nyumba inavuja wakati nyumba ni nzima kabisa
@happyjohn7630
@happyjohn7630 Жыл бұрын
Nini maan takuota nyumba uliojenga haijaisha nimelud safalini na nyumba yangu haijakwisha na nafikilia kuondoka nchi za nje ili nimalizie nyumba yangu nn maana yake
@salmachinowa459
@salmachinowa459 Жыл бұрын
Me nimeota nimejenga nyumba
@faridaismail4041
@faridaismail4041 Жыл бұрын
Je ukiota unatembea mbele ukaona nyumba pande mbili wa kulia na kushoto
@muhammadabdallah755
@muhammadabdallah755 2 жыл бұрын
Assalaam alaykum sheikh mimi nimeota nipo ndani ya nyumba ya ghorofa moja ama mbili ilo ghorofa lina vioo lakini humo ndani kuna mwanamke tuna zungumza mazungumzo ya kaida nikampa pesa yenye namba tano ikaongezeka akapata namba 7 akataka kunipa nika mwambia chukuwa hiyo ni sadaka yangu ndoto hiyo ina maana gani sheikh
@dalinikrish9341
@dalinikrish9341 11 ай бұрын
Assalam aleykum Shekh mimi nimeota paa la nyumba yangu limeharibika
@rahmaabdallah9220
@rahmaabdallah9220 4 жыл бұрын
asante shekh
@habibaabdi5
@habibaabdi5 4 жыл бұрын
Ustadh je kma unaotakuwa unajenga nyumba
@habibaabdi5
@habibaabdi5 4 жыл бұрын
Ustadh je kma unaotakuwa unajenga nyumba
@nasibujuwe3038
@nasibujuwe3038 4 жыл бұрын
@@habibaabdi5 shekhe Mimi nimeota Nyumba ambayo kama hotel na nikawa natafuta chumba changu na ninazo funguo mkononi lakini nilipo fika kwenye kile chumba ambacho nilkuwa nahamini nichangu nikakikuta kipo wazi na mtu yupo ndani anakwenda zaidi ndani basi Mimi sikuingia nikaona kwamba sio cha kwangu nilikwenda kuangalia cha chini ni mfumo wa golofa nakahamua kuondoka hapo njei nikamuona mwanamke ambaye ninamfahamu nikamgusa mgongo akawa ananiangalia anacheka nilikuwa na shemeji yangu tukaondoka cha kushangazi wakatai naondoka nilika kitako na kuanza kuselele kama Mwenye barabara ya lami kuelekea bondeni ambayo iliyonyoka na kama Kona kidogo chini kule...je hii ndoto inamahana gani?naomba unipe mahana yake Asante
@sadashamte6040
@sadashamte6040 4 жыл бұрын
Mbona usemei wanawake
@djyondergigi1027
@djyondergigi1027 3 жыл бұрын
A aleikum ukiota apartment mpiya umenunuwa Na ndani kuna kila kitu cha kuishi ndiyo Nini maana yake ? Shukran
@mildredalunga1419
@mildredalunga1419 Жыл бұрын
Mimi nimeota niko ndani ya nyumba ya kifahari na kwa ukuta picha yangu ndio iko kwa ukuta
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
وعليكم السلام ورحمة الله وبركاته
@nollinkirigo6888
@nollinkirigo6888 2 жыл бұрын
Mimi naota ni kiwa nyumba ya matope
@azizahassan939
@azizahassan939 2 жыл бұрын
Mm nimeota nipo juu ya paa la nyumba
@cydohGen
@cydohGen 11 ай бұрын
Ukiota shule inabomolewa kisha maji yanakuja kwa mbali tena kwa kasi tena yamechanganywa na vumbi ya black kisha watu wanaondoka barabarani kwa kasi sana kisha nimesimama tu na mtoto kando pamoja na mwanamume ambaye sio mume wangu
@rahmaabdallah9220
@rahmaabdallah9220 4 жыл бұрын
jee ukiota unaogolea baharini
@mariamhatib3347
@mariamhatib3347 3 жыл бұрын
Nimeota nyumba inavunjwa anakaa mume wangu lakini so nyumba yenyewe anayokaa no nyengine pembeni Kuna nyumba anayoishi mama yangu imebomoka kizingitini inamana gani?
@biirazainabu3513
@biirazainabu3513 3 жыл бұрын
Uke ota uko ndani ya kabri,na umevikwa sanda vizuri,
@falhiyamasanyika7643
@falhiyamasanyika7643 Жыл бұрын
Asalamu alykum she Mimi nimeota nyumba iko kwenye levo ya dirisha na Mimi nikaendelea kujenga lakini nilipo pajenga kakaanguka maana yake Ni Nini shehe
@shezadosman1614
@shezadosman1614 3 жыл бұрын
Mi nimeota Niko na wengine tunakimbiya kwenye nyumba tente milango mingi tunaenda kujifica mana yake nini?
@dorinachuwa9806
@dorinachuwa9806 3 жыл бұрын
Ukitoka unanunua vijiko vya nyumban
@nasraalismailiy5188
@nasraalismailiy5188 4 жыл бұрын
Shekh kama mm nimeota nimehamia nyumba nyengine na inavyumba 3 naomba tafsiri
@issajumbe691
@issajumbe691 3 жыл бұрын
Nimeota watu wanafunzi wa madrasa wamepanda huu ya paa la nyumba
@sumafrank2422
@sumafrank2422 Жыл бұрын
Nimeota nipo ulaya alafu nikaona misikiti mizuriiii
@theworldnatureandculture5354
@theworldnatureandculture5354 Жыл бұрын
Kuota nyumba iliyo karibu ya mto?
@user-vm5su3tt9k
@user-vm5su3tt9k 8 ай бұрын
Kuota unaogelea.baharini
@winifridajohn9635
@winifridajohn9635 4 жыл бұрын
Nimeota niko kwenye nyumba ya udongo ila nyumba ile iliniangukia nikaja kuokolewa nini maana yake
@aishasaid7426
@aishasaid7426 3 жыл бұрын
Waaaah mm pia niliota aki
@florencebarasa4658
@florencebarasa4658 4 жыл бұрын
Nimeota niko kwenye chumba cha mbao peke yangu
@suzansimon5296
@suzansimon5296 3 жыл бұрын
Duh hapo umejiota kifo Chako😂😂😂
@user-gs3ix5bp6l
@user-gs3ix5bp6l 2 жыл бұрын
Asalamu aleikum shekh mimi niliota nimenunua nyumba lakin nyumba yenyewe niyazaman ni nini maana yake shekhe
@user-gs3ix5bp6l
@user-gs3ix5bp6l 2 жыл бұрын
Halafu kuna mtu aliniambia umenunua nyumba lakin niyazaman nikamjibu nitairekebisha polepole tena nilikua nafuraha sana nisaidie shekh wangu
@shunahkhalfan5593
@shunahkhalfan5593 2 жыл бұрын
Je ukipata nyumba inavuja manake nini?
UKIOTA NYUMBA HII UTAKUWA MULTI MILLIONAIRE
17:05
NNC TV- new nuru cinema
Рет қаралды 18 М.
TAFSILI YA NDOTO YA NYUMBA/HOUSE!! Ibn sirin
9:33
NGARIBA ONLINE TV
Рет қаралды 3,4 М.
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
KAMA USHAAWAHI SALITIWA NA MUME AU MKE DAWA YAKE SIKILIZA HII
31:50
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 564 М.
KIIS CULUS: MUQALASKII BOQOLKA MILYA KA DHACAY MASAKINTA
1:16:16
Maxkamada Calasow
Рет қаралды 2,6 М.
NDOTO ZA KUMILIKI PESA, NYUMBA NA MAISHA MAZURI
23:47
NNC TV- new nuru cinema
Рет қаралды 1,7 М.
ndoto hizi ukiota utapata pesa na mali
27:00
NNC TV- new nuru cinema
Рет қаралды 373 М.