UKIOTA NDOTO YA NYUMBA | NA YANAYOHUSIANA NA NYUMBA | HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS #MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDuaTv
Пікірлер: 153
@user-jz6qu6fb2h17 күн бұрын
Mimi nimeota kwamba wanajenga nyumba Kijijini kwa rafik yangu mara mbili inamaana gan sheikh
@eliaskassim56842 жыл бұрын
Kaz nzur sana ..lakn jitahid uweunajib comments za watu .
@twahamjanakheli418210 ай бұрын
Uko vizuri nimeota ndoto nimenunuliwa nyumba nzuuuri sana Ila vyote ulivyo visema nisahihi kwasbabu nataka nioe Ila pia kaka ndo atanisaidia mahari na Leo eti kaninunulia nyumba nzuuri Ila kunamlango Wa Siri nikaufungua nikaingia ndani kuzuri sana Ila hakuna mwanga nikawasha taa yaa simu kuzuuri
@omanamenmct16002 жыл бұрын
Alhamulilah niliota najenga tena nyumba ghorofa na imefika kweye paa kabisa na niko kwenye hiyo nyumba na fundi yuko juu ,mm nimeenda na daftari kuandika mahitaji ya fund anataka .Alhamdulilah
@muhsinsaleh21923 жыл бұрын
Niliota kuna mwarabu amenitilia umeme pamoja na mapambo ndani na nje ya nyumba yangu. Nini maana yake. Shukran.
@mugishanasra19193 жыл бұрын
Allah akupe kila LA kheri chehe wetu
@dumasbajun00122 жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH Shukran Sheikh
@tiffahkillax62674 жыл бұрын
Alhamdulillah 😪😪😪 jana tu alafu leo naangalia tafsiri hii. . mm nmeota nipo ndani ya chumba kijoja tu tena nipo na Mama yangu ni mbali na makazi ya watu yaani ni shambani kabisaa tunalimaga mpunga ni mbali mno na kijiji kilipo 😪😪😪 Alhamdulillah .. Kisha nikamwambia Mama yangu mbona amejenga nyumba mbali mno alafu ni porini akanijibu ni bora kukaa mbali na familia ambayo wanamnyanyasa na hayupo tayari kurudi mjini kabisaa
@dab88594 жыл бұрын
Pole ndugiangu mungu yuwkpnda kkupa hbr zdsha maombi
@tiffahkillax62674 жыл бұрын
@@dab8859 ahsantee nashukuru
@cherylcyprian77724 жыл бұрын
Interview ya babalevo na wasaftv
@nusratbintabdullah57133 жыл бұрын
Thanks soo much sheikh
@bebisheni43804 жыл бұрын
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubariki
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Amina yaarabiy
@khadijaangore44084 жыл бұрын
Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Shukran jazakaallah kheir mungu akujalie umri na afya
Asww sheikh nimeota nimejenga nyumba ya kwetu kwa muze Sasa nyumba hiyo ilikuwa vizuri sana wenye tunatoka tumbo Moja wamaja kwingia wakaja kuingia wakanambia umejenga vizuri mudogo wetu ikabidi tuingie kwenye nyumba hiyo tumefurahi nikasema hiyi nyumba niyeyu basi tufurahiye
@sofiahamisi93732 жыл бұрын
Asantee shelkh
@zammaulidi75073 жыл бұрын
Shekh mi nimeota nyumba kubwa sana gorofa kumbwa Kwa jirani Yangu marehem Ila alojenga simjui baina ya nyumba ya marehem na nyumba yetu Ila natoka safari lile gorofa naliona Kwa mbali Ila halijatenhezwa nje tofali Tu zipo kama tofali hazina palasa ia jmba jumaba kubwa sana
@Happymshana-sy9cr Жыл бұрын
Asalam alekum shekhe mimi nmeota kaka angu amejenga nyumba na amenipa ile nyumba ananiambia nasubir iishe vizuri nikukabithi
@samirasadasalum59744 ай бұрын
Alhamdulillah sheikh
@modybazenga32307 ай бұрын
Amina yaarab
@rahmakonse95183 жыл бұрын
Mimi nimeota nyumba nyingi imejengwa mbali karibu na porini na tumehamia huko pamoja na familia na majirani wengine na hata tumeanza kupika huko pamoja na mamangu na kisha tunakosania juu ya kupika,tafadhali nahofia sana sheikh ni nini maana yke.
@khamisimzee65466 ай бұрын
Axlm alkm shekh mimi naota mara kwa mara nyumba inavuja hadi kitanda cha lowa
@ninjaisma7983 Жыл бұрын
Asalam aleikum warahmatullah wabarkat..!! Nmeota napita njiani mtaani huku Qatar kisha nikaona nyumba ya gorofa inajengwa mafundi ni wengi sana na gorofa imefikia gofora ya tatu kisha ghafla ikaporomoka na mafundi wote wakafunikwa na hilo jengo mawe na vyuma ila hamna ata binaadamu yoyote alieonekana baada ya kuporomokewa na hilo gorofa....naomba unisaidie kunijibia hii ndoto
@saudaumar335411 ай бұрын
Mashallah
@user-qp6zc6kf2n3 ай бұрын
Shukran
@misigarojustine33572 жыл бұрын
Unafafanua vizur sana 👍
@user-rp2br1um5y3 ай бұрын
Maalimu mm nimeota kua mamaagu mzazi amenunua nyumba ila sisi wanawe hajawahi kutwambia na ameshakufa ila kuna mt ndioo akaja akatwambia na tulipo ifatilia kunaishi mt 1 mweusi yeye akasema kwavile nimekaa nayo muda mwingi itabid tugawanae kwaiyo mm nikachukua 40 na kuna mwenzangu akachukua 40 yeye akachukua 10 na kuna mt mwengine akachukua 10
@zainaboamani6959 Жыл бұрын
Amen
@buhitexmohamed4785 Жыл бұрын
Barakalahu fiku walai
@zayumar29554 жыл бұрын
Asante sheikh ila nmeota kua nipo shule ila tulikua tuko wengiii na wasio walim Sasa tukapewa Kaz ya shamba mie nikaomba ruhusa ya kwenda kutafuta funguo yangu nilioipoteza Sasa nimeitafuta nimeipata nikarud kufungua nikaingia ndan et ndan ya nyumba iyo hakujamalizwa kujengwa nikawa namwagilia maji naomba unifahamishe ndoto hii tafadhal
@awaahassan9363 жыл бұрын
Sheikh nimeota Mimi natoka kuchota maji kisha nilipokaribia nyumbani nikaona Ile nyumba yetu inatoa ishara za kuanguka na ndani mlikua na mama na mtoto wangu nikawaita haraka nikawambia tokeni haraka nyumba yataka kuanguka
@zayumar29553 жыл бұрын
Mm nimeota seem iliyokua porin zaman saiv kumejengwa nyumba nzur Sana na Ni mpya Yan pamekua mji mpya wa kupendeza na mm nilienda huko kutembea nn maana yake jmn
@asiaoman30402 жыл бұрын
MashaAllah nakupenda sana maana me unanitabilia mambo mazuri sana naleo yanatokea kwangu
@sherrysule59983 жыл бұрын
Assalam alaykum.. sheikh mimi naota mara kwa mara kua baba angu anajenga nyumba kubwaa nzuri.. ila haijawahi kumalizaa.. ila huwa nafurahi sanaaa kumbe ni ndoto. Nisaidie
@suzansimon52963 жыл бұрын
Hyo nikama mm nmeota baba anajenga
@arhamalmuntasir39123 жыл бұрын
mm niliota mwanaume niliyekua cjafunga nae ndoa amejenga nyumba njozi hiyo Ina maana gani
@suma6433 жыл бұрын
Minimeota kwa nyati tofauti mwanzo niliota kuna nyumba ipo ufukweni mwa bahari halafu ni ya udongo kunaupepo mzuri nlikuwa naenda sana pahali hapo nikiwa usingizin siku nyngne nliota marehemu mama kanikabidhi nyumba kubwa mpya ila haijapigwa plasta nikaote tena ninakabidhiwa nyumba mpya iliyojengwa na tofali za udongo ila ubavuni kunahitaji marekebisho na nilisema hii ndio itakuwa nyumba ya mwanangu ila ndoto hii ilianzia mbali nikiwa na shida ya mtoto..maana yake ni nini
@asiaissa9764 жыл бұрын
Alhamdulillah
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Allaah akbar
@rizikihinna923 жыл бұрын
Asalamu alaikum shekh mumewagu ameota amenunua nyuba alafu mm nikaeda kuigia hata back haijaisha dani vizuri
@susanmbwali3221 Жыл бұрын
Maana kuota marehemu anakwambia nimekupa nyumba hii urthi gorofa nzuri
@fatmaswaleh95414 жыл бұрын
Mm huwa naota gorofa tena inapenda kujirudiarudia yaan haipiti mwez bila yakuota ndoto izooo
@asyasaid68812 жыл бұрын
Asalm alykum ukiota unanunua nyumba na inamaduka manne
@user-ks9in6gi2t3 ай бұрын
Shehe nimeota mama anajega nyumba haijesha ananionesha
@zulfamwinyiathman54232 жыл бұрын
Aslam Alykkum Naomba mtowe tafsiri ya kuota jongoo linakuuma ,kukutambaa na kadhalika
@lilianrichard90658 ай бұрын
Nimeota nyumba ni ya tope na chn hajasakafiwa na juu haijaezekwa pia chn pamelowa nikawa nafagia mle ndan na nikisema hiki ni chumba cha mama yangu nakifanyia usafi nikashtuka kutoka usingzn hii inajulisha nn jaman
@lrenjoseph13633 жыл бұрын
Nimeota Niko kwenye nyumba Niko na familia yang u namume Wangu alafu nafraa Sana
@annasebastian582710 ай бұрын
Nimeota nyumba yangu inajengwa na mafund na hela ya kuwalipa sina
@estajoan12853 жыл бұрын
Mimi nimeota nyumba yangu ipo kwenye linta lakini sijamaliza lakini watu wanaivyunja wanasema ipo balabalani lakini babayangu anasema atanijengea nyingine 😭😭😭 lakini iyo nyumba ninayo kweli
@kaznakazn34952 жыл бұрын
Mimi naota nyumba Yani Kwa mwezi moja nimeota mara 4 mufululuzo
@betridarwezahula78743 жыл бұрын
Ok
@Bigentertainment198 ай бұрын
Ivi ukitoa nyumba inavuja upande WA jikoni hii maana yake nn ostadhi
@shufaamakame5839 Жыл бұрын
Asalamu aleykum Jee shekh ikiwa umelala ukaota unapigiwa hodi na akaend mume wngu kuitikia hodi kurudi nikaona amerudi na kubadilika gjafla akawa ananikaba Nimeogopa
@user-yh6xo1dw2dАй бұрын
Nimeota nimepata watu wasio Julika wamejenga ukuta Wa Mawe Kwa shamba yangu nikawa natafuta aliye niunzia
@zuhuramuhanga5400 Жыл бұрын
mimi juzi nimeota nyumba inatembea kwakasi ikaja ika simama chini ya miguu yangu ilikuwa imejengwa kwa mabokx ilipo funguka ilikuwa na nguo ndani nika zichukuwa nikazipeleka chumbani kwangu
@oman1oman17910 ай бұрын
Shukuran
@ashwramashallah72424 жыл бұрын
Nakuota ndoto ya kupaa ina maanagani sheikhe wangu tafazar tujue..
@smartonlinetv5144 Жыл бұрын
Maana yake ni Nini hizi ndoto zangu zinazojirudia mara Kwa mara. Kuwa nazungumza na viongozi (Rais) au najikuta natembea nae huku tunakagua sehemu mbalimbali hii inamaanisha Nini shekh wangu.
@zammaulidi75073 жыл бұрын
Na siku ya pili nikaota nimetoka Kwa nyumba Ila mlango wkitoka ukawq kama dirisha siwezi kutoka Ila shemeji zangu walikuwa nje ya mlango dirisha huo akanitolea waya kama nondo ya dirisha nikatoka Kwa urahisi na nyuma Yangu alikuepo mama mwanamke MTU mzima kavaa baibui la zamani ne akapita badala kupita Mie bs tujafurahi tu mana Ake nini
@aminamohd1510 Жыл бұрын
Asalam alaykum shekh mm nimeot nyumba ambyo nilihama zaid y mwak n nimeota zaid y Mar 1 wkt kipnd ch nyuma sikuwa naiota
@irhamseif Жыл бұрын
Me naota na huwa inajirudia rudia sana kuwa natoka nyumbani vizur ila kirud ndio nashindwa nakua naiona ilepale ila kuifikia sifiki naangaika sana kutafuga njia nirud lakin siwez naomba nijue ni nn maana naota hii ndoto mara kwa mara
@maryammarjan40152 жыл бұрын
ok
@shamymtanda16564 жыл бұрын
Asalam aleykum shekhe..?mim huwa nimeota zaidi yamara moja kila mwez naota nyymba yangu inapata moto chanzo umeme lkn hauendelelei lkn kila nikiota n moto unaanzia sehem hyo hyo kila naopoota n takriban mara tatu mpaka naogopa
@asiaissa9764 жыл бұрын
اللهم انصرنا يارب أمين
@uthmanzombe22424 жыл бұрын
Umeolewa?
@GloryMoshi-sv6ni Жыл бұрын
Hua ninaota mara nyingi nimenjenga nyumba nzuri sana ya kisasa pembeni ya nyumba yangu Ina maana gani?
@minaaminaa17812 жыл бұрын
Je ukiota nyumba ya chomeka
@khadijaahmada56922 жыл бұрын
Mimi nimeota usiku wa leo tu mamangu nimeota mimi na mamangu tumejenga nyumba mpya tena vioo vitupu ila mtoto wa mamangu mdogo amepigana na rafiki zake ,hasira zao wakaja kuivunja nyumba yetu na vioo vyote wakaviangusha chini
@mspwjjjso6261 Жыл бұрын
Daah ,pole sana
@smartonlinetv5144 Жыл бұрын
Mimi naota nimejenga nyumba nzuri na nimehamia. Pia naota Mara Kwa mara naongea na Marais wa Tanzania nilimuota magufuli kipindi Cha utawala wake nilimuota zaidi ya mara nne, Sasa hivi ninamuota Rais Samia naongea nae mara Kwa mara.
@micky_magicallyboy17683 жыл бұрын
Je nkiota natizama juu nkiitizama gorofa, nini mana yake!..
@mamabestie89643 жыл бұрын
Naomba no ya simu niweze was liana na sheikh
@fatmadigo66863 жыл бұрын
Asalam walyekum warahmatulah wabarakatuh shekh nimeota natembea juu ya maji kisha mwisho Wa maji nikakutana na nyok mkubwa sana nikawa najalibu kujitetea lakini yule nyoka alikua ananizunguuka pasipo kunizuru nini maana yake
@bukhanmohd4564 жыл бұрын
Shekhe mimi nimeota nyumba yetu ulikuja upepo mkali na ukavunja nyumba yetu yote
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Jiepushe sana na wafitinishaji wasije kukugombanisha wewe na mkeo
@bukhanmohd4564 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 Shukran sana sheikh Allah s.w akubarik Ila pia nimeota ndoto nyegine ya nyoka mweupe alikua anataka kunishambulia ila kulikua na kaka yangu mmoja binaami ambae ni daktari alikua akinipaka kitu kama dawa kichwani sasa yule nyoka akaacha kunishambulia mie akamfuata yule kakaangu na akamshambulia vibaya sana na yule kaka yangu akaanguka akafa na mimi ilikua nikilia sanaa.....nikashuka kutoka usingizini...
@vallentinemideva3557 Жыл бұрын
Ukiota umejenga nyumba na aina mlango but unaishi ndani ina maana gani
@pendomasanja8380 Жыл бұрын
Nmeota njozi nmejenga nyumba mpya kwetu
@moulinenyajuma5129 Жыл бұрын
Nimeota nimeenda kwetu nkapata nyumba ndogo imejengwa na imebomwa na matope na bati la juu lilikua mpya na ndani ya nyumba hili kuna kitanda bila godoro bali shuka nyeupe pekee kisha naskia babangu akusema kitanda nichake mtu hasikaribie naomba tafsiri yake tafadhali
@magdalinejuma2028 Жыл бұрын
Niliot kuwa nmejeng nyumb kubwa wanaifanyia rufen yaan wanawek mabati inamaan gn
@rizikahmad69302 жыл бұрын
Shekhe kama mwanamke anaota kaona mlango inamaana gani
@nikasdavid9338 Жыл бұрын
Nimeota navunja gorofa😭😭
@matndaoman2983 Жыл бұрын
Mimi niliota mvua inanyesha na nyumba inavuja wakati nyumba ni nzima kabisa
@happyjohn7630 Жыл бұрын
Nini maan takuota nyumba uliojenga haijaisha nimelud safalini na nyumba yangu haijakwisha na nafikilia kuondoka nchi za nje ili nimalizie nyumba yangu nn maana yake
@salmachinowa459 Жыл бұрын
Me nimeota nimejenga nyumba
@faridaismail4041 Жыл бұрын
Je ukiota unatembea mbele ukaona nyumba pande mbili wa kulia na kushoto
@muhammadabdallah7552 жыл бұрын
Assalaam alaykum sheikh mimi nimeota nipo ndani ya nyumba ya ghorofa moja ama mbili ilo ghorofa lina vioo lakini humo ndani kuna mwanamke tuna zungumza mazungumzo ya kaida nikampa pesa yenye namba tano ikaongezeka akapata namba 7 akataka kunipa nika mwambia chukuwa hiyo ni sadaka yangu ndoto hiyo ina maana gani sheikh
@dalinikrish934111 ай бұрын
Assalam aleykum Shekh mimi nimeota paa la nyumba yangu limeharibika
@rahmaabdallah92204 жыл бұрын
asante shekh
@habibaabdi54 жыл бұрын
Ustadh je kma unaotakuwa unajenga nyumba
@habibaabdi54 жыл бұрын
Ustadh je kma unaotakuwa unajenga nyumba
@nasibujuwe30384 жыл бұрын
@@habibaabdi5 shekhe Mimi nimeota Nyumba ambayo kama hotel na nikawa natafuta chumba changu na ninazo funguo mkononi lakini nilipo fika kwenye kile chumba ambacho nilkuwa nahamini nichangu nikakikuta kipo wazi na mtu yupo ndani anakwenda zaidi ndani basi Mimi sikuingia nikaona kwamba sio cha kwangu nilikwenda kuangalia cha chini ni mfumo wa golofa nakahamua kuondoka hapo njei nikamuona mwanamke ambaye ninamfahamu nikamgusa mgongo akawa ananiangalia anacheka nilikuwa na shemeji yangu tukaondoka cha kushangazi wakatai naondoka nilika kitako na kuanza kuselele kama Mwenye barabara ya lami kuelekea bondeni ambayo iliyonyoka na kama Kona kidogo chini kule...je hii ndoto inamahana gani?naomba unipe mahana yake Asante
@sadashamte60404 жыл бұрын
Mbona usemei wanawake
@djyondergigi10273 жыл бұрын
A aleikum ukiota apartment mpiya umenunuwa Na ndani kuna kila kitu cha kuishi ndiyo Nini maana yake ? Shukran
@mildredalunga1419 Жыл бұрын
Mimi nimeota niko ndani ya nyumba ya kifahari na kwa ukuta picha yangu ndio iko kwa ukuta
@asiaissa9764 жыл бұрын
وعليكم السلام ورحمة الله وبركاته
@nollinkirigo68882 жыл бұрын
Mimi naota ni kiwa nyumba ya matope
@azizahassan9392 жыл бұрын
Mm nimeota nipo juu ya paa la nyumba
@cydohGen11 ай бұрын
Ukiota shule inabomolewa kisha maji yanakuja kwa mbali tena kwa kasi tena yamechanganywa na vumbi ya black kisha watu wanaondoka barabarani kwa kasi sana kisha nimesimama tu na mtoto kando pamoja na mwanamume ambaye sio mume wangu
@rahmaabdallah92204 жыл бұрын
jee ukiota unaogolea baharini
@mariamhatib33473 жыл бұрын
Nimeota nyumba inavunjwa anakaa mume wangu lakini so nyumba yenyewe anayokaa no nyengine pembeni Kuna nyumba anayoishi mama yangu imebomoka kizingitini inamana gani?
@biirazainabu35133 жыл бұрын
Uke ota uko ndani ya kabri,na umevikwa sanda vizuri,
@falhiyamasanyika7643 Жыл бұрын
Asalamu alykum she Mimi nimeota nyumba iko kwenye levo ya dirisha na Mimi nikaendelea kujenga lakini nilipo pajenga kakaanguka maana yake Ni Nini shehe
@shezadosman16143 жыл бұрын
Mi nimeota Niko na wengine tunakimbiya kwenye nyumba tente milango mingi tunaenda kujifica mana yake nini?
@dorinachuwa98063 жыл бұрын
Ukitoka unanunua vijiko vya nyumban
@nasraalismailiy51884 жыл бұрын
Shekh kama mm nimeota nimehamia nyumba nyengine na inavyumba 3 naomba tafsiri
@issajumbe6913 жыл бұрын
Nimeota watu wanafunzi wa madrasa wamepanda huu ya paa la nyumba
@sumafrank2422 Жыл бұрын
Nimeota nipo ulaya alafu nikaona misikiti mizuriiii
@theworldnatureandculture5354 Жыл бұрын
Kuota nyumba iliyo karibu ya mto?
@user-vm5su3tt9k8 ай бұрын
Kuota unaogelea.baharini
@winifridajohn96354 жыл бұрын
Nimeota niko kwenye nyumba ya udongo ila nyumba ile iliniangukia nikaja kuokolewa nini maana yake
@aishasaid74263 жыл бұрын
Waaaah mm pia niliota aki
@florencebarasa46584 жыл бұрын
Nimeota niko kwenye chumba cha mbao peke yangu
@suzansimon52963 жыл бұрын
Duh hapo umejiota kifo Chako😂😂😂
@user-gs3ix5bp6l2 жыл бұрын
Asalamu aleikum shekh mimi niliota nimenunua nyumba lakin nyumba yenyewe niyazaman ni nini maana yake shekhe
@user-gs3ix5bp6l2 жыл бұрын
Halafu kuna mtu aliniambia umenunua nyumba lakin niyazaman nikamjibu nitairekebisha polepole tena nilikua nafuraha sana nisaidie shekh wangu