No video

ULINZI WA RAIS SAMIA NOMA! TAZAMA ALIVYOFIKA NYUMBANI KWAO KIZIMKAZI NA NDEGE ZA KIJESHI UTAPENDA..

  Рет қаралды 235,363

MACHINGA TV

MACHINGA TV

11 ай бұрын

Пікірлер: 74
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 11 ай бұрын
Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazini ijengwe Arusha tuachane na kcmc na tuachane na hospital ya bugando tujenge hospital ya Kanda ya ziwa zilipe kodi
@LamerkWarwo-cq7qr
@LamerkWarwo-cq7qr 7 күн бұрын
Ulinzi mdogo haiwezekani helicopter inatua kienyeji namna hivi bila kutangulia ulinzi wa rais ase sema uzuri nchi yetu imejaa Aman Ila ulinzi inabidi uongenzweee na umakini uwe mkubwaa God bless mama 💚💚🇹🇿✔️
@ABDULLAOALI
@ABDULLAOALI 11 ай бұрын
Hongera mama, Mungu ibariki tanzania Mungu ibariki znz
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Ccm acheni ushamba. Kila jambo mnavaa magwanda yenu tu. Kwani hizo sherehe ni za chama??
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Zanzibar ni kisiwa kimezungukwa na bahari. Usafiri lazina boti au ndege/helikopta. Walinzi wamefupisha safari. Kutoka air-port au bandarini hadi Kizimkaazi ni maili nyingi sana. Ndio wameona bora helikopta ni moja kwa moja kutoka dodoma hadi Kizimkaazi. Na ndio penye shuguli.
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 11 ай бұрын
Tunahitaji hospital za kidini zijitegemee na zisipate bajeti kutoka serikali kuu na serikali zijenge hospital zake za kanda
@salimothmanhoza
@salimothmanhoza 11 ай бұрын
Akifa mama kwa mujibu wa katiba,Philip Mpango anakuwa Rais? Itafutwe mpya kuepuka mashaka haya
@iddihassan2677
@iddihassan2677 11 ай бұрын
Yaani ww mtangazaji saut kma unasoma nasar hujuw kutangaza bado uka some Tena
@PhilipoMussa-kd6nw
@PhilipoMussa-kd6nw 2 ай бұрын
Mama Samia sisi watoto wa masikini tunaomba mchango wako selection za kujiunga kidato Cha Tano Ziandike upya maana Kuna wanafunzi tumeonewa tumechagua sayansi afu tumetumwa ATI
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt Ай бұрын
Mashallah
@kassimiddi5294
@kassimiddi5294 5 күн бұрын
😂😂😂
@user-fi2xy4tw3p
@user-fi2xy4tw3p 5 ай бұрын
Honger mam Samia unaupig mwing
@FabianTebeka
@FabianTebeka 3 ай бұрын
Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati wakati hospital akuna madawa, maisha magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na mda wote anawateua wa nzanzibar tu
@user-dy5fn6qj1q
@user-dy5fn6qj1q 2 ай бұрын
Safii kukumbuka nyumbani Kila jambo hufanikiwa wanaporudi kushukuru makwaooo Kila kiongozi. Wajifunze kwa mama na hasa wabunge kweye maeneo yaoooo
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt Ай бұрын
Oooh Allah nijaalie na unipe nguvu NAMI niwe ni miongoni mwa kutekeleza inshallah
@ABDULLAOALI
@ABDULLAOALI 11 ай бұрын
Inajiweka sawa!!! Hy bwn kiswahili chetu hicho!
@sadakombo-li7yi
@sadakombo-li7yi 11 ай бұрын
Mama samia nione mkizimkaz mwenzio niko pemba please nione
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 11 ай бұрын
Inakuaje muandishi wa habari upo mbali na sehemu ya tukio kwann usisoge karibu
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op 11 ай бұрын
Mbona anashukia porin jmn
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 11 ай бұрын
M2 kwao unataka ashukie wapi mjini au ushaona wapi helicopter ikatua mjini
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Ndio eneo kubwa la kushuka kwa helikopta. Kashukia Kizimkazi ni shamba kama hamjui.
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 11 ай бұрын
Safi mama fanya kazi tuki pamoja
@ally0thmanfundikira463
@ally0thmanfundikira463 11 ай бұрын
Mtoto huyo warda mwalimu alikua anamtesa sana na anasema kazaa na polisi mkubwa ni kibaha mama yake nakuomba sana msaidie mueshimiwa ninakuomba fuatilia global tv
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 11 ай бұрын
Swali aliempeleka kwa huyo.mwl mkuu ni nani??? Mpaka wakawa wanamtafuta???
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 11 ай бұрын
Helcopter mmezionaaa😂😂😂
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 11 ай бұрын
Wacha aponde raha
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 11 ай бұрын
Wakati wake
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Yuko.kazini.hapo.sio raha
@ally0thmanfundikira463
@ally0thmanfundikira463 11 ай бұрын
Mueshimiwa Rais ninakuomba mama yetu tuonee tuonee huruma ingilia kati sakata la mtoto Warda Muhamed aliyepotea kule kinahan kiwa anakaa na mwalimu huyu mwalimu anakivuna yuko na mkubwa tusaidie fiatilia global tv
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 11 ай бұрын
Wa2 wake wapo kazini kulishulikia ilo subra muhimu sn
@muzneali4747
@muzneali4747 11 ай бұрын
Mama Samia Jenga kiwanja cha ndege hapo
@Azikiwe-qi6jd
@Azikiwe-qi6jd 11 ай бұрын
Your have a mind of lazzy people, wewe ni mzembe wa kufikiri, unata kusema kila kiongozi anapoingia madarakani lazima ajenge kiwanja cha ndege kwao, unajua hali ya kiwanja cha ndege chat kwa sasa?
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 11 ай бұрын
​@@Azikiwe-qi6jdmaxuri kawaida huigwa
@rahma6189
@rahma6189 11 ай бұрын
Kwani huyo ni raisi wa zanziba
@mariammalendeja370
@mariammalendeja370 11 ай бұрын
maghufuli nataman ungemuona zuena ooh ungemuona zuwena eeh zuuwena
@HamadHamad-oy7mp
@HamadHamad-oy7mp 11 ай бұрын
Nakupenda mzee kikwete nakupenda mama Samia
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Watanganyika mliwazarau wazanzibali mkaona hawawezi. Mumeona Mama anavyo tusuta? Mama unaweza Hekooooo❤
@FabianTebeka
@FabianTebeka 3 ай бұрын
Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati na wanzanzibar unasema anatusuta kwa kusafiri kila wakati anasababisha maisha kuwa magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na huyu mama ata akiongoza milele awezi kumfikia magufuri kamwe
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Hata Magufuli alijenga kwao na uwanja mkubwa wa kutua ndege yake tu. Kikwete kajenga kijiji cha kifalme kwao Bwagamoyo. Ali Hassan mwinyi ndi hasemeki kwao huko na msasani. Kuna ajabu gani Mama samia kutua kwa helikopta? Au kufanya jambo la maendeleo ya Umma? Acheni roho mbaya Wakavirondo nyie.
@VenaEliki
@VenaEliki 11 ай бұрын
Naona mambo mnayoyafanya wewe na magufuri ni Kama uchifu mbona hatujaona marais awamu ya Kwanza mpaka yanne hawakujitwika ufalme Kama huo
@TimothyAlex-it2lm
@TimothyAlex-it2lm Ай бұрын
Kazikazi
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 11 ай бұрын
Huyu mwandishi vipi?? Side yoyotevwaexa kumuinterview bila kumshika
@MICHAELPANCRASS
@MICHAELPANCRASS 11 ай бұрын
Nchi hii tunahitaji maombi sana Mungu atuepushe na hiki kikombe
@jolemerci2155
@jolemerci2155 11 ай бұрын
Kwa kweli umeona muonekano wa hiyo ndege? Yani Tanzania kwa sasa imeongozwa n'a farao
@DadialiDadi
@DadialiDadi 10 ай бұрын
Haikuhusu kama Rai's wa znzbar wa bars Kula chuma iyooooo😅😅😅😅
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 11 ай бұрын
Sirikali iache kutegemea hispitali za kidini ijenge zake na iache hispitali za kidini zijitegemee zijiendeshe zenyewe bona zinaingiza mapato
@rahma6189
@rahma6189 11 ай бұрын
Kumbe kwao ni masikini hivo ndio mana anachetuka
@deusurio9056
@deusurio9056 11 ай бұрын
Watanzania kama hamtakaa na kuomba Mungu awafungue ktk uwezo wakufikiri ,Iko siku mtauzwa mkiwa mmelala, hii ccm wanalaana na Wala hawajali maisha yenu ,wao ni kuuza rasilimali zenu ,Kila rais inaeingia anauza kilichobaki, kilicho Baki ni bahari ardhi mlima kmanjaro vikiuzwa mtakwenda kuwa wakimbizi kwenye nchi yenu
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 11 ай бұрын
Hii nch imekuwa basi Tena magufuli ameondoka na vyake😭😭😭😭😭
@zuberymwenge6780
@zuberymwenge6780 11 ай бұрын
Kudadeki tutakutana kaburinj
@MICHAELPANCRASS
@MICHAELPANCRASS 11 ай бұрын
SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Na wengi ndio tunata waekezaji waje ili tuneemeke tulokua wengi. Acheni unoko wenu mtatafuta njia ya kupitisha magendo na kokeni zenu na kukwepa kodi kwa kisingizio eti mizigo ya Kanisa. Madam Samia Oyeeeee mitano tenaaaa
@solomonwanjala9351
@solomonwanjala9351 5 ай бұрын
Unaongea sana
@sponsor7882
@sponsor7882 11 ай бұрын
gabon niger
@chankamba
@chankamba 11 ай бұрын
Herocopita 😂😂 wameziona
@MICHAELPANCRASS
@MICHAELPANCRASS 11 ай бұрын
Hahahaha
@MICHAELPANCRASS
@MICHAELPANCRASS 11 ай бұрын
TUKUTANE 2025
@suleimanmwita-oh1up
@suleimanmwita-oh1up 11 ай бұрын
kisa nini huna akili ww
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 11 ай бұрын
Hivi unajua wakatoliki walisaini mkataba serikali isijenge hospitali pale ambapo wao wamejenga na sasahivi wanaipinga serikali Sasa Bora serikali iachane nao
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Na wewe mwehu haswaaa
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 11 ай бұрын
Seema cna kituuu na hasiraaaa sanaaaa ila mda unakuja ardhi italoa damuuuu
@AllyMsafiri-kw2ne
@AllyMsafiri-kw2ne 11 ай бұрын
Hiyo damu ikiwa niyakwako nanduguzako itakuwa sawa tu.
@Anuarmustafa4128
@Anuarmustafa4128 11 ай бұрын
Nyinyi mbwa wengine hamjielewi
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 11 ай бұрын
Tutakuzika mjinga mmoja wewe
@romanamassawe814
@romanamassawe814 11 ай бұрын
Vitu vya kitoto
@onelovetz7935
@onelovetz7935 11 ай бұрын
Nakupata hanashida na wananchi wanakula Bata ogopa wanaokwea na ndege hawawezi kujenga nchi
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg 11 ай бұрын
Mama yenu huyoo abaki hukohuko
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 11 ай бұрын
Mjinga wewe ulitaka mama yako ndo awe rais
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg 11 ай бұрын
Sina.mama
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 ай бұрын
Huyo mnae mitano tenaaa. Mnaona aibu Mzanzibari tena Mwanamke kaongoza kwa muda mfupi sana, kaleta maendeleo kibao huko Tanganyika. Kazi kusema Wazanzibari kazi yetu kula urojo tu. Hiyo ndio faida ya urojo. Mama Samia ni Chaguo la Mungu❤
@FabianTebeka
@FabianTebeka 3 ай бұрын
Acha ujinga chaguo la MUNGU kwa kusafiri kila wakati ww unajua tokea awe rais ametumia kiasi gani kwa ajili ya safari, gharama aliyotumia kwa miaka 3 ni zaidi ya aliyotumia magufuri kwa miaka 6 na nchi inadaiwa matilioni ya shilingi alafu unaongea upumbavu akuna rais alifeli kama huyu na ataendelea kufeli mwamba ameondoka na akili zake ata raisi husen mwinyi alisema alipokuwa wanamuoji TBC na mnukuu alisema tuta chukua mdaa mrefu kupata kiongozi wa kariba ya magufuri. Kwa hiyo nyinyi semeni ila ukweli utabaki kuwa ukweli.
@onelovetz7935
@onelovetz7935 11 ай бұрын
Usifanye maigizo Kama ya chadema yakukwea na ndege huku wananchi hoyi huko ndiko kujenga nchi hakuna kutembea na gali
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 11 ай бұрын
Unatakaje labda hebu acheni chuki nyie dah au tukupe ww urais halafu utembe kwa mguu
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 4,3 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 10 МЛН
MWALIMU MGENI ❤️ /12/
24:59
BabaJoan
Рет қаралды 1,6 МЛН
ANGRY ANACONDA vs TRAIN | Stops The Train | BeamNG.Drive | Snake
4:26
BeamNG Eagle
Рет қаралды 57 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 597 М.
Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
7:20
Top Stories Tanzania
Рет қаралды 3,2 МЛН