Waandishi mnajadili tukio lilivyoenda kuhusu LAMECK LAWI, inajulikana makubaliano yalikuwepo mnashindwa kuelimisha na kuelezea juu ya njia za kusitisha makubaliano kama zilifatwa kwa mashabiki. Kama walivyofanya coastal ndo hivyo haina haja ya kujadili mengi. Elimisha mwisho wa makubaliano na si walizingumza vipi.
@user-ek7tp2fg8t16 күн бұрын
Tatizo LA simba ndiy mahana wanatolew wachesaji
@muddsaid-kn2dq20 күн бұрын
pesa tarehe 10 barua tarehe 17 tumesha yakanyaga tuangalieni mambo mengine mkataba umeisha iyo ni mali ya simba
@GodfreyJames-zt6ig6 күн бұрын
Usiwe unaojiwa na midia za kisenge kama hzo ambazo Wala hazjulikani tz hapa
@jumanakamo550325 күн бұрын
KWA NINI WALIPOKEA HIYO PESA TAREHE 30 HUKU WAKIJUA WAMECHELEWA MDA WA KULIPA? KWA NINI WASINGEKATAA?
@muddsaid-kn2dq20 күн бұрын
mtanagazaji unaulizaaswali ya kitoto sana jezi nini sasa kwenye ishu ya utambulisho
@NassibuMussa-lu3vf25 күн бұрын
Usajiri wa kijanjajanja lawi sio beki wa kihivyo kiki 2
@fredrickipembe818826 күн бұрын
Washanunuliwa na gsm hao control union
@msntanzania26 күн бұрын
😂😆
@msemakweli...25 күн бұрын
Hata utambulisho wenyewe ukiwa na akili timamu utaelewa tu kuna vitu haviko sawa
@LeonorahLeonorah25 күн бұрын
❤
@msntanzania24 күн бұрын
💕
@imanmasawe74926 күн бұрын
Costal waache matamaa
@msntanzania26 күн бұрын
🤣😂
@user-bt6ep3yb2h25 күн бұрын
Sasa huyo naye wakuhojiwa?.
@ramadhanichaurembokahunge26 күн бұрын
Doctor mo uajua kujibu
@msntanzania26 күн бұрын
🤣😂
@sakinasakina128625 күн бұрын
wewe nawe kafie mbele hajui kujibu hapo linajibu tako lako
@salimmalaka25625 күн бұрын
@@sakinasakina1286LUGHA GONGANA 😂😂😂😂 ISOME TENA COMENT YAKE.
@ismailmohamed50225 күн бұрын
Bakari walifanya makubaliano na siyo janja janja
@braystuskibassa384226 күн бұрын
Tamaa za Coastal Union zitawaponza mbona Bakari Nondo Mwamnyeto hakulipwa mbaka mwaka mzima ukakata why kwa Simba iwe kesi embu punguzeni tamaa
@msntanzania26 күн бұрын
Kumbe
@khamismohammed750026 күн бұрын
Kwahio kila siku mnataka kuwachezea coastsl kuwaibia wachezsji wao
@msemakweli...25 күн бұрын
Hebu turushie mkataba wa kumuuza Mwamnyeto kwenda Yanga tuone makubaliano yalikuaje isije ikawa mnaenda na beat ya kispika ambaye huwa anawaaminisha vitu visivyo na uhalisia
@msangya60manyanki2724 күн бұрын
kwann cmba hawakutii mkataba wa kulipa kwa wakati trh 31/5/24?
@msntanzania24 күн бұрын
😂😆
@aminihamisi355126 күн бұрын
Coastal union wanajitekenya wenyewe nakucheka wenyewe ...... Tamaa mbaya sana
@msntanzania26 күн бұрын
🤣😂
@godfreymabula685824 күн бұрын
Kama mlikubaliana tarehe 31 why mlipe tarehe 10??? Klabu kubwa kama Simba kiliwashinda nn?? SIMBA MMETAWALIWA NA VIONGOZI WAHUNI 😂😂😂😂
@ismailhassan520924 күн бұрын
Godfrey mwamnyeto alipochelewa kulipwa mbona hapakuwa na malumbano Haya we yamekuzidi funga domo lako
@saidalbakry199021 күн бұрын
😮@@ismailhassan5209r800
@user-qi3wv8sf5j23 күн бұрын
Muuliza maswali huna taaluma ya kutengeneza maudhui! Uliza je kama simba ndio waliokiuka makubaliano ya muda wa MALIPO huoni kama simba ndio waliovunja mkataba?? Na je baada ya kuona hawajaoata pesa za kulipa kwa wakati waliuandikia uongizi wa coast kuomba waongezewe muda??? Ili nasi tujifunze jambo,dada wewe imekaa unaongozwa na yeye bila mwongozo wako wa maswali.Rudi shule