USAJILI WA LAMECK LAWI WAZUA GUMZO SIMBA | DOCTOR MOHAMED AFAFANUA JANJAJANJA YA COASTAL UNION.

  Рет қаралды 38,881

MSN TANZANIA

MSN TANZANIA

28 күн бұрын

Пікірлер: 37
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 25 күн бұрын
Ka fei toto vile 😮😮 mama kasaidie haka katoto 🙏🙏🙏
@erickprotace9463
@erickprotace9463 2 күн бұрын
Waandishi mnajadili tukio lilivyoenda kuhusu LAMECK LAWI, inajulikana makubaliano yalikuwepo mnashindwa kuelimisha na kuelezea juu ya njia za kusitisha makubaliano kama zilifatwa kwa mashabiki. Kama walivyofanya coastal ndo hivyo haina haja ya kujadili mengi. Elimisha mwisho wa makubaliano na si walizingumza vipi.
@user-ek7tp2fg8t
@user-ek7tp2fg8t 16 күн бұрын
Tatizo LA simba ndiy mahana wanatolew wachesaji
@muddsaid-kn2dq
@muddsaid-kn2dq 20 күн бұрын
pesa tarehe 10 barua tarehe 17 tumesha yakanyaga tuangalieni mambo mengine mkataba umeisha iyo ni mali ya simba
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 6 күн бұрын
Usiwe unaojiwa na midia za kisenge kama hzo ambazo Wala hazjulikani tz hapa
@jumanakamo5503
@jumanakamo5503 25 күн бұрын
KWA NINI WALIPOKEA HIYO PESA TAREHE 30 HUKU WAKIJUA WAMECHELEWA MDA WA KULIPA? KWA NINI WASINGEKATAA?
@muddsaid-kn2dq
@muddsaid-kn2dq 20 күн бұрын
mtanagazaji unaulizaaswali ya kitoto sana jezi nini sasa kwenye ishu ya utambulisho
@NassibuMussa-lu3vf
@NassibuMussa-lu3vf 25 күн бұрын
Usajiri wa kijanjajanja lawi sio beki wa kihivyo kiki 2
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 26 күн бұрын
Washanunuliwa na gsm hao control union
@msntanzania
@msntanzania 26 күн бұрын
😂😆
@msemakweli...
@msemakweli... 25 күн бұрын
Hata utambulisho wenyewe ukiwa na akili timamu utaelewa tu kuna vitu haviko sawa
@LeonorahLeonorah
@LeonorahLeonorah 25 күн бұрын
@msntanzania
@msntanzania 24 күн бұрын
💕
@imanmasawe749
@imanmasawe749 26 күн бұрын
Costal waache matamaa
@msntanzania
@msntanzania 26 күн бұрын
🤣😂
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 25 күн бұрын
Sasa huyo naye wakuhojiwa?.
@ramadhanichaurembokahunge
@ramadhanichaurembokahunge 26 күн бұрын
Doctor mo uajua kujibu
@msntanzania
@msntanzania 26 күн бұрын
🤣😂
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 25 күн бұрын
wewe nawe kafie mbele hajui kujibu hapo linajibu tako lako
@salimmalaka256
@salimmalaka256 25 күн бұрын
​@@sakinasakina1286LUGHA GONGANA 😂😂😂😂 ISOME TENA COMENT YAKE.
@ismailmohamed502
@ismailmohamed502 25 күн бұрын
Bakari walifanya makubaliano na siyo janja janja
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 26 күн бұрын
Tamaa za Coastal Union zitawaponza mbona Bakari Nondo Mwamnyeto hakulipwa mbaka mwaka mzima ukakata why kwa Simba iwe kesi embu punguzeni tamaa
@msntanzania
@msntanzania 26 күн бұрын
Kumbe
@khamismohammed7500
@khamismohammed7500 26 күн бұрын
Kwahio kila siku mnataka kuwachezea coastsl kuwaibia wachezsji wao
@msemakweli...
@msemakweli... 25 күн бұрын
Hebu turushie mkataba wa kumuuza Mwamnyeto kwenda Yanga tuone makubaliano yalikuaje isije ikawa mnaenda na beat ya kispika ambaye huwa anawaaminisha vitu visivyo na uhalisia
@msangya60manyanki27
@msangya60manyanki27 24 күн бұрын
kwann cmba hawakutii mkataba wa kulipa kwa wakati trh 31/5/24?
@msntanzania
@msntanzania 24 күн бұрын
😂😆
@aminihamisi3551
@aminihamisi3551 26 күн бұрын
Coastal union wanajitekenya wenyewe nakucheka wenyewe ...... Tamaa mbaya sana
@msntanzania
@msntanzania 26 күн бұрын
🤣😂
@godfreymabula6858
@godfreymabula6858 24 күн бұрын
Kama mlikubaliana tarehe 31 why mlipe tarehe 10??? Klabu kubwa kama Simba kiliwashinda nn?? SIMBA MMETAWALIWA NA VIONGOZI WAHUNI 😂😂😂😂
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 24 күн бұрын
Godfrey mwamnyeto alipochelewa kulipwa mbona hapakuwa na malumbano Haya we yamekuzidi funga domo lako
@saidalbakry1990
@saidalbakry1990 21 күн бұрын
😮​@@ismailhassan5209r800
@user-qi3wv8sf5j
@user-qi3wv8sf5j 23 күн бұрын
Muuliza maswali huna taaluma ya kutengeneza maudhui! Uliza je kama simba ndio waliokiuka makubaliano ya muda wa MALIPO huoni kama simba ndio waliovunja mkataba?? Na je baada ya kuona hawajaoata pesa za kulipa kwa wakati waliuandikia uongizi wa coast kuomba waongezewe muda??? Ili nasi tujifunze jambo,dada wewe imekaa unaongozwa na yeye bila mwongozo wako wa maswali.Rudi shule
@msntanzania
@msntanzania 23 күн бұрын
Big up
@valentinemagige1840
@valentinemagige1840 26 күн бұрын
Utakulaje keki uliokwisha kuiuza?
@msntanzania
@msntanzania 26 күн бұрын
😂😆
@BakarKhamis-iy8fh
@BakarKhamis-iy8fh 26 күн бұрын
Je unajua Simba lengolao 2024na2025
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 21 МЛН
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 54 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 63 МЛН
ALLY KAMWE ACHUKIZWA NA WAZEE WA YANGA, NI WAJINGA SANA
13:12
Mbengo Tv
Рет қаралды 11 М.
WAZEE WA YANGA WAFIKA MAKAO MAKUU, MOTO UMEWAKA KWA ENGENEER
8:53
Respect Football Club Logo
0:34
Vutball
Рет қаралды 13 МЛН
Ishowspeed vs Ronaldo vs Messi Disguise Challenge
0:29
KSCORE
Рет қаралды 13 МЛН
Bellingham vs Carvajal 👀
0:26
hello.football1
Рет қаралды 1,3 МЛН
When Left Footies Win International Titles 🍼🐐
0:19
DeBall
Рет қаралды 3,3 МЛН
Он пообещал умирающему сыну!😱
0:20
BitesFrome
Рет қаралды 954 М.
❗️РОНАЛДУ С ДРУГОЙ ПЛАНЕТЫ🪐😱
0:56
ОСТОРОЖНО: СПОРТ !
Рет қаралды 1,6 МЛН