''USINIPIGE MKWARA - TULIA'' - BOSI wa MADINI ATETEMEKA MBELE ya MAKONDA - AULIZWA MASWALI MAGUMU...

  Рет қаралды 107,129

Global TV  Online

Global TV Online

5 ай бұрын

''USINIPIGE MKWARA - TULIA'' -BOSI wa MADINI ATETEMEKA MBELE ya MAKONDA - AULIZWA MASWALI MAGUMU...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 173
@globaltv_online
@globaltv_online 5 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@user-br7sf6ey9t
@user-br7sf6ey9t 5 ай бұрын
Samia hoyeeeeeeee❤ makonda oyeeeeeeee❤❤ kula milioni kumi apo asanteeee apo apo naona umeludisha vilivyo potezwa asante sana mama mungu akutunze
@oscarmisiru9725
@oscarmisiru9725 5 ай бұрын
Ndoo nn
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 5 ай бұрын
BRAVO MAKONDA WANAKWITA JINI WIVU WA KUSIMAMIA UKWELI KWA WANANCHI KAMA MAKUFULI❤❤❤
@JackKazembe-fe9uh
@JackKazembe-fe9uh Ай бұрын
Mungu sawazisha kila njia anayo pita makonda ata palipo miba apite na isimchome ❤❤❤❤
@HamisiDale-rl1vg
@HamisiDale-rl1vg 5 ай бұрын
Mungu yumwema alhaji kaniliza sana,mungu mbariki Dr samia tunaemjua ana huruma sana,kwako mwenezi Mungu akutangulie katika maisha yako ya hapa duniani!
@user-gg4kw6le3b
@user-gg4kw6le3b 5 ай бұрын
Baba jpm pumzika kwa amani vijana wako wapo huku kazi inaendelea👏👏👏
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Makonda oyeee Magufuli oyeeeee Mungu akulaze mahali pema
@AntonyMashama
@AntonyMashama 2 ай бұрын
Mheshimiwa mwenezi mnguu akubaliki kazi nzur tunakutegemea sana sisi wanyonge
@meshakimtenga4550
@meshakimtenga4550 5 ай бұрын
Dah inaniuma saaana makonda unanikumbusha mheshimiwa 𝐌𝐀𝐆𝐔𝐅𝐔𝐋𝐈 kbsaaa
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 5 ай бұрын
Mtoto wa Magu ju! ju ! Zaidi. Mama Samia oyeee! Mtu kama huyu ndiyo msaidizi halisi wa mama.
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 5 ай бұрын
Umeona eee.... wananchi bado wanadhurumiwa haki zao jamani na Mungu anawaona dhuruma wote
@jacktonmakau3397
@jacktonmakau3397 5 ай бұрын
Mtoto wa mangufuli walk vizuri sana
@user-le7lh1ou2d
@user-le7lh1ou2d 5 ай бұрын
Hongera Rais wangu Samia kwa kumchagua MAKONDA
@Izaangonyan
@Izaangonyan 5 ай бұрын
Ise nagundua kitu pia ila Tanzania yangu hii watumishi walio wengi wanapenda kutumia sheria za mifukon dah inaumiza sana alafu akitokea mtu wakuilekebisha hata kwa mwanzo wake anakuwa katika wakati mgumu😢😢
@MwanneHussen
@MwanneHussen 5 ай бұрын
Makonda Oyeeeeee mungu akutunze Mama Samia umejua kuchagua Jembe Makonda kuponya mioyo ya wanyonge🙏
@silverman6930
@silverman6930 5 ай бұрын
Magu is watching you 🙏.. congratulations Makonda 🔥🙏🇬🇧
@albinakayanza-rz5cv
@albinakayanza-rz5cv 5 ай бұрын
Baba makomda mungu akulinde sana unapotembe usiku na mchana tusaidie wanaichi wanyonge ss
@Zubaiba
@Zubaiba 5 ай бұрын
Umelitimba.kwa magufuli mdogo😂😂😂
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 27 күн бұрын
😁😁😁😁🙌
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 5 ай бұрын
Namuona diamond wa ccm 😂😂😂washa vidogoli tuone respect sanaa makonda
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 5 ай бұрын
Huyu Mkuu wa Wilaya aondoke mshenzi tu hawa ndiyo wanamuangusha Mama
@jogoomohamed2652
@jogoomohamed2652 5 ай бұрын
Mama unajua kuchagua,hapa kwa mhe Paul Makonda umechagua.Juu juu chama chetu/Ccm
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 5 ай бұрын
Makonda. Maashaallah. Allah akulipe heri
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 5 ай бұрын
Me naogopa kudhulum maana kula jasho lisilo lako n atar ata kwa afya
@setiseti5281
@setiseti5281 5 ай бұрын
Alihamdulilah asante mungu
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 5 ай бұрын
Ukiwanakiongozi kamahuyu hatausipokula njaahaitakuua mungumwema mlindeMakonda
@user-sx4jr7zz1p
@user-sx4jr7zz1p 5 ай бұрын
Muheshimiwa p makonda ukuje na mafinga tutoe kero zetu turizofanyiwa unyama turipotaka kujetetea wakasema mdawetu wamaerezo umeisha ukuje baba mtetezi wawanyonge
@jabirikilagilile9799
@jabirikilagilile9799 5 ай бұрын
Kaka Makonda njoo na Morogoro vijini utakayoyaona hutaamini barabara mbovu mnoooo
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 5 ай бұрын
Samia naomba kama Mungu aishivyo umechagua chombo, ila mtafutie ulinzi kwa ajili ya usalama wake na msogeze kwenye kitengo cha kuwa na muda wa kutembelea wananchi zaidi kuliko kuwa na ofisi maana viongozi wengi wanaandika mambo ofisini bila kuwafikia wananchi wanaowahudumia hili ni ombi langu huyu anafaa ni mtetezi wa wanyonge hata awe makamu wako kama yeye alivyowahi sema kwako na Mungu ampandishe hadi kiwango hicho ameeen.
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 5 ай бұрын
Mungu akubariki Makonda 🙏🙏🤍❤️
@Zubaiba
@Zubaiba 5 ай бұрын
Magufuli mdogo oyeeeeeee🎉😅😅😅😅
@neemanziku5403
@neemanziku5403 5 ай бұрын
Yesu wetu ni mkuu Makonda unakazi ngumu tena ngum tunataka viongozi wanao jitoa kama we
@joycekalago532
@joycekalago532 5 ай бұрын
Kumbe makonda ndio ana akili hivi😂😂😂sijawahi kujua
@RichardSadiki
@RichardSadiki 4 ай бұрын
Makonda umekua diamond akiwa Zanzibar
@hassanyohna6121
@hassanyohna6121 5 ай бұрын
Rais wetu ana Hekima Juu ya Maamzi na Uteuzi ndio maana katuletea Nyota njema Paul Makonda ......God bless Rais SSH God bless Paul Makonda....❤❤❤🙏
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 5 ай бұрын
Nampongeza mama Samia kumpa nafasi hii mtoto wa maghufuli mana hili ni tingatinga no 2. Mama mwenyezi mungu akupe ulinzi lizamapo jua na lichomo zapo jua mama Samia mungu akubariki kwakutuletea makonda.
@user-km6bg1jw2d
@user-km6bg1jw2d 5 ай бұрын
Jaman Makonda Mungu akuntunze jmn jamn
@NiselaNyakato-wl3kq
@NiselaNyakato-wl3kq 5 ай бұрын
Mheshimiwa uyu ni magufuli tosha baba wa wanyonge
@chire4574
@chire4574 5 ай бұрын
Sio uwazir tu..wazir mkuu
@mlaydaud9237
@mlaydaud9237 5 ай бұрын
Makonda namini utatfkisha nchi ya ahadi mwenyez mungu Katie nguvu maana unapenda haki
@ReginaldAplonary
@ReginaldAplonary 5 ай бұрын
Unanikumbusha enzi ya mangu mkuu piga kazi daaah narahaaa sana
@GloryMasoi
@GloryMasoi 5 ай бұрын
Uko vizuri kakaangu
@JackKazembe-fe9uh
@JackKazembe-fe9uh Ай бұрын
Naimani watu wengi tunakupenda na kukuombea mungu yu pamoja nawe akukinge na kila mtu anae kuangalia kwa jicho lapili wewe o
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Mwanazengo chapa kazi umefufua ccm
@personalitiesan9806
@personalitiesan9806 5 ай бұрын
Ccm Raha jman ❤❤❤
@vieemzee
@vieemzee 5 ай бұрын
Vraiment Makonda ayébi mosala ya ccm😅💪
@ClaraCecil-rq4xf
@ClaraCecil-rq4xf 5 ай бұрын
Jamani Mungu tuondolee udanganyifu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Ccm oyeeeee Makonda oyeeeee ushindi kwa kishindo Mama Samia oyeeaaaaaaa unepatia kumuweka Makonda unashinda kwa kishindo kwa kuwasikiliza wanyonge hapo mama Samia umepatia
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Sana wakomeshe hao wanataka ccm ishindwe pumbavu zake huyo anawaonea wanyonge
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 5 ай бұрын
Mkuu wa wilaya mhhhhhh naona haya mie
@Zubaiba
@Zubaiba 5 ай бұрын
Hahahahaha makonda chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 5 ай бұрын
Makonda anatisha aiseeee
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 5 ай бұрын
Safi sana kaka makonda chapa kazi
@melkizedekwiliam-hi7bz
@melkizedekwiliam-hi7bz 5 ай бұрын
Rais wetu ana hekima sana tena sana.
@user-ko4tj6cn7z
@user-ko4tj6cn7z 5 ай бұрын
Nyie wadhurumaji tu
@hanifamziray277
@hanifamziray277 5 ай бұрын
Nakuona makonda safari yk ya uwaziri haipo mbali
@danielmakelemo2395
@danielmakelemo2395 5 ай бұрын
Uwaziri utambana hyo nafasi ndo streaker
@soudedward3779
@soudedward3779 5 ай бұрын
Awe WAZIRI MKUU
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 5 ай бұрын
Hii Nchi imeoza kila mahali!
@Naju645
@Naju645 5 ай бұрын
Makonda 🔥
@user-wc8rm2yo9m
@user-wc8rm2yo9m 5 ай бұрын
Kumbe na Tanzania munashida nyingi jamani uwo jama mumuwekwe kwenye mikono ya Mungu sio gupiga vigelegele tuuuu
@user-gx7qv9lk1l
@user-gx7qv9lk1l 5 ай бұрын
Makonda mungu akutuponye unayoyafanya nimakubwa unahitaji mungu mkubwa mwingi wa rehema funga na uwe unaamka kumuomba mungu usje kuuriwa tukakukosa .mungu wetu asante
@KabadiMabula
@KabadiMabula 5 ай бұрын
Ccm juu Samia juu makonda juuu na Kisha chapa kazi
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 5 ай бұрын
Sana 🙌
@najmamgallah8154
@najmamgallah8154 5 ай бұрын
Jamaan kaka Leo umebambwa n watu wa madini, konyagi itashuk kwel leo
@user-wr7sz7ny9j
@user-wr7sz7ny9j 5 ай бұрын
Tunataka kiongozi kama huyu anaewasaidia wanyonge❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@JuliusTanzania
@JuliusTanzania 5 ай бұрын
Hakika Komredi Makonda wewe ni nuru inayotembea, kwa kifupi hapo kuna harufu ya Rushwa inayomhusu Afisa madini na Mkuu wa Wilaya. Malamka husika zinazohusika zifanye kazi dhidi ya hawa watumishi wababaishaji ili wananchi wapate haki yao.
@papaabdoul5830
@papaabdoul5830 Ай бұрын
ama kweli kumbe viongozi africa bado wapo, dahh maconda noma kweli kweli
@keamohamedkhamis
@keamohamedkhamis Ай бұрын
Yani wallahi Kenya yetu ngekua kama hivi aki Kenya tunge kua mbili lakin Kenya ufisadi huwizi madawa waporaji mashamba Yani Kenya kero
@user-fr6rv2yb4s
@user-fr6rv2yb4s 4 ай бұрын
Honestly the only country in the world practising RAW DEMOCRACY is Tanzania. This is what real PEOPLE'S POWER means. Tanzanians surely should thank the late President Maghufuli, he set a precedence that every leader after him has to emulate and follow...
@GloryMasoi
@GloryMasoi 5 ай бұрын
Jamani mwenezi nitapataje ata namba yako nikupe tu neno labaraka???
@PoundJerome-ul3rd
@PoundJerome-ul3rd 5 ай бұрын
Glory
@mulebamnaku4130
@mulebamnaku4130 3 ай бұрын
Kwani kukubadilisha kaZi kafikilia nini raisi mbona unezi ulukufaa sana, kama ni rungu ulipewa
@abbassalum6824
@abbassalum6824 5 ай бұрын
Makonda Uko vzr ila Chama unachokipambania nimeshaoza tutakuchukia kwaajili ya Chama Chako siutafuta tu chama kizuli Moindue Meza
@user-pf2zt3zs1h
@user-pf2zt3zs1h Ай бұрын
Mhh. nchi hii umeixha sana Dah
@edisonemmanuel-po6ds
@edisonemmanuel-po6ds 5 ай бұрын
Another Magufuli in Ranzania iz Coming 🇹🇿
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 5 ай бұрын
Hyu ni wazir mkuu
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 5 ай бұрын
Mama samia naomba tumbua majipu wanyonge wananyanyaswa sana viogozi wanakula rushwa
@rambostalon2888
@rambostalon2888 5 ай бұрын
Magufuli ❤ makonda god bless you
@bekabeka6255
@bekabeka6255 3 ай бұрын
Nice
@henrymwangi6465
@henrymwangi6465 16 күн бұрын
Huyu makonda amefariji mioyo yetu wakiwa na raisi samia,baada yakifo cha magufuri,tanzania songeni mbere,malizeni ufisadi.
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 5 ай бұрын
Kiukweli huo ndio mzimu wa magufuri atari Sana
@rithaurassa
@rithaurassa 3 ай бұрын
MAKONDA ni lazima. UWE Raisi MWAKA 2025makonda hoyeeeeeee
@SurprisedBoomBox-yq2pt
@SurprisedBoomBox-yq2pt 4 ай бұрын
Makonda nimelia Sana hasa unanikumbusha baba magufuli
@melkizedekwiliam-hi7bz
@melkizedekwiliam-hi7bz 5 ай бұрын
Makonda yupo imara. Samia hajakosea kumkubali.
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 5 ай бұрын
Mm ninge kuwa Mama makonda ndio ninge fanya waziri mkuu
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 5 ай бұрын
Ahahahahaaaaaaaa
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
@@user-qz2sk3is9chutaki 😂😂
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 5 ай бұрын
@@MsAggie5 nime sema mm sija sema ss tofauti ni hiyo nilichokiona uja ona
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 5 ай бұрын
@@user-qz2sk3is9c mm si ss plz nieleweni
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
@@festokivuyo7121 hukunielewa
@juliusntandu4302
@juliusntandu4302 5 ай бұрын
Kagera group ina wanachama wangapi?
@user-dp5wv5xy2e
@user-dp5wv5xy2e 5 ай бұрын
Makonda jembe letu wanyonge❤❤❤❤❤❤
@BizimanaDesire-cq9tr
@BizimanaDesire-cq9tr 5 ай бұрын
Samia oyeee
@iddyngaiwa
@iddyngaiwa 5 ай бұрын
Huwa mnakela kutomaliza habar
@user-zc2ms4wl6r
@user-zc2ms4wl6r 5 ай бұрын
Makonda kaka yangu huyo mbumbu hajuwi kitu aliwaona akiwa kama nani kwenye kikao
@user-rk8uk1ey7c
@user-rk8uk1ey7c 5 ай бұрын
Makonda Mungu akutunze
@mhifadhi797
@mhifadhi797 5 ай бұрын
2030 Mama mitano tena
@salimamani6672
@salimamani6672 5 ай бұрын
Siasa mbaya sana
@PetertamsonMwavipa-qn3tw
@PetertamsonMwavipa-qn3tw 4 ай бұрын
Makonda saf kwakuwajari wananchiwako
@edisonemmanuel-po6ds
@edisonemmanuel-po6ds 5 ай бұрын
Chapa kazi mh makonda tunazikubali kazi zakooooooo
@emmanuelakutulaga9756
@emmanuelakutulaga9756 5 ай бұрын
MAKONDA MUNGU AKUTUNZE
@salomepastory-kn1kh
@salomepastory-kn1kh 5 ай бұрын
Mzima Wa magufuri umerudi utawatafuna Sana 😂😂
@onelovetz7935
@onelovetz7935 5 ай бұрын
Hahika mbegu zinaota huu Ni ufufuo wa Magufuli mtetezi wa wanyonge
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 5 ай бұрын
Kwa kweli bado kuna madudu mengi ya wananchi kudhurumiwa hasa mikoani
@user-he7bb3le6e
@user-he7bb3le6e 5 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉makonda hoyeeee
@maugomachele3823
@maugomachele3823 26 күн бұрын
NAKUBAR....SANA KIONGOZ JEMEDALI.
@annamwanakatwe233
@annamwanakatwe233 5 ай бұрын
Omar Sasa nchi imeoza wezi watuu
@MichaelMlowe-ne3ri
@MichaelMlowe-ne3ri 5 ай бұрын
Jmn mbn nanogewa na mikutano ya hyu mh
@NTEMI-OBURUDANI
@NTEMI-OBURUDANI 5 ай бұрын
Grobo mnazingua sana mitambo yenu video nyingi zinakata kata sauti jitahidini kuweka mambo sawa ili tunaowafuatilia tupate furaha ya kuwafutilieni
@Zubaiba
@Zubaiba 5 ай бұрын
Mkuu wa wilaya kwio😂😂😂😂😂😂
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 5 ай бұрын
Hakika kura mnapoteza mkiendelea na uzembe huu tunaenda kwa baba wa kambo tukaone malezi yake.
@user-zc2ms4wl6r
@user-zc2ms4wl6r 5 ай бұрын
Mbumbu kweli huyo ndio kwamba alishiliki kikao akiwa hajuwi Bure kabisa
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 33 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 24 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 169 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 8 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 33 МЛН