MADUDU ya KUTISHA YAFICHUKA! MKURUGENZI BILA HOFU AMWAMBIA YOTE MAKONDA - WATUMISHI WAMEPIGA PESA

  Рет қаралды 151,833

Global TV  Online

Global TV Online

5 ай бұрын

MADUDU ya KUTISHA YAFICHUKA! MKURUGENZI BILA HOFU AMWAMBIA YOTE MAKONDA - WATUMISHI WAMEPIGA PESA
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 220
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 5 ай бұрын
Hongera mkurugenz na Mnec aongezewe nguvu Ccm inogile
@casseverria4625
@casseverria4625 5 ай бұрын
Alafu Nay wa Mitego akiimba mwamuburuza BASATA mwamfungia nyimbo zake😅😅😅😅😅
@awadhally1052
@awadhally1052 5 ай бұрын
Kwel kabisaa yana muonea tuu majitu yana tuibia sana
@DeusKileo
@DeusKileo 5 ай бұрын
Yawezekana wale ney alowaimba ndo wanamsweka ndan wakishirikiana na basata
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 5 ай бұрын
Makonda take care na Mungu akulipe
@aminielyusufu4351
@aminielyusufu4351 5 ай бұрын
Kaka MUNGU wetu wa Isaka, Ibrahim & Yakobo akulinde Mhe. Makonda. Una kazi kubwa mbele kaka yangu. Mungu akulinde tu
@LovelyEarth-yn2hb
@LovelyEarth-yn2hb 5 ай бұрын
@ProsistaTarimo
@ProsistaTarimo 5 ай бұрын
Mungu amlinde wasimuue maana Hawa watu nao ni shida. Walimuua magu sembuse
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 5 ай бұрын
Mkurugenzi maua yako🌼🌼🌹💐🌺🥀🌹
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Ziara za Mhe. Makonda zinadhihirisha kuwa Watanzania wana shida kuliko maelezo. Wako wapi viongozi RC,DC nk?
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 5 ай бұрын
Pongezi sana kwa kuweka maisha rehani
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 5 ай бұрын
Sasa hizi mambo kama hujaonana na makonda ndio basi
@MrishoMalango
@MrishoMalango 4 ай бұрын
Mungu akulinde sana kiongoz wetu
@user-dl5mh8vl1u
@user-dl5mh8vl1u 5 ай бұрын
Hongera sana Mkurugenzi 💪
@SayyidAhmadBaalawy
@SayyidAhmadBaalawy 5 ай бұрын
Hii filamu Haitaisha kwakweli Makonda starring Na Mkanda wakuendelea Mpaka kieleweke! Fuatilia tu mikanda hii haimaliziki.
@saidimketo6708
@saidimketo6708 5 ай бұрын
Makonda ww kweli mtoto wa maskini unajua shida za watanzani kwenye hiyo serikali yako kama mtawajibika kama unavyofanya ww mtalaishia kazi mama kabisa masikini mama anapambana lkn kuna viongozi ni majizi kupita kiasi daah😢😢😢
@SebaMbilinyi
@SebaMbilinyi Ай бұрын
J
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 13 күн бұрын
Mashallah kazi nzuri muheshimiwa ❤ kusafisha ufisadi. Hivi kufanya uadilifu ni kazi ngumu? ogopeni Mungu.
@adamjosephkatigizu19
@adamjosephkatigizu19 5 ай бұрын
Ee, Mwenyezi Mungu mlinde kiongozi we Paul Makonda zidi ya maadui wasimzuru
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 5 ай бұрын
Mkurugenzi hongera sana kweli unauwezo makubwa umeonesha usomi wako hakika hiyo halimashauri Ina mtu hata tingisha kichwa umetema cheche nimependa ujasiri wako
@rynerlinuma8484
@rynerlinuma8484 5 ай бұрын
Ni kweli kaonesha ujasiri...lakini je, yote alosema ni sahihi? Ukiwa huidai wewe Halmashauri au Serikali unawezaona ni sawa tu. Imagine mtu kakopa nondo tani 25...then mtu halipwi. Unaambiwa kiurahisi tu kuanzia 01.07.2024. Ujue hiyo sio exact maana hadi pesa iletwe. Na pesa haziletwi hiyo tarehe..ifikie mwezi October vifungu ndio vinafunguliwa...mtu kasupply Oct. 2023. Huu ni uhovyo
@user-wu2du6jy5c
@user-wu2du6jy5c 5 ай бұрын
Makonda wew nikiongozi tuko nyuma yako mungu akufanyie wepesi
@johnmamilo1326
@johnmamilo1326 5 ай бұрын
Nimefurahi sana kuona ujasiri wa mwalimu wangu wa chuo @Chaurembo. Mungu akulinde sana
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 4 ай бұрын
Anajiamini Hadi raha
@user-dl5mh8vl1u
@user-dl5mh8vl1u 5 ай бұрын
Baada ya maelezo ya Mkurugenzi kelele zote chaliiiii,proud of you Chaulembo
@user-me3dy9zk7e
@user-me3dy9zk7e 5 ай бұрын
Mkurugenzi huyo mshikirieni yuko vizuri sana pia
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 5 ай бұрын
Makonda nimeona Magufuli wapili mungu akubariki kaka yangu, from Congo 🇨🇩 to Sweden 🇸🇪.
@flavianfrank6256
@flavianfrank6256 5 ай бұрын
Ukweli mungu atuhurumie sana
@ephrahimalfaxard4134
@ephrahimalfaxard4134 5 ай бұрын
Nimekupenda Sana dadangu macho manne
@MSOMBAAlon-gh3ps
@MSOMBAAlon-gh3ps 5 ай бұрын
Mheshimiwa makonda umeyaona hayo madudu ni tabu sana wananchi tunatekeseka sana .
@rehemahussein3307
@rehemahussein3307 5 ай бұрын
Hongera sana DED Msomi hakika unaweza
@batilda4920
@batilda4920 5 ай бұрын
viongozi wanakula Hela sana mama anajitaidi sna kutoa pesa kuleta maendeleo lkn viongozi wanapiga ela Kodi zetu hizo wanakula.
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 5 ай бұрын
SAMIA kasema kula kwa urefu wa kamba yake
@salimmalaka256
@salimmalaka256 5 ай бұрын
​@@benjaminmiselya2622HAJA MAANISHA UIBE JUWA KISWAHILI VIZURI HUWEZI KUWA MKUU WA WILAYA NA KUTAKA MAISHA KAMA YA MKUU WA MKOWA HIYO NDIO MAANA YAKE.
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 5 ай бұрын
Hao viongozi wamewekwa na nani? Na huyo anaeambiwa matatizo hayo ni nani? Miaka ya uchaguzi hii, tutaona mengi.
@josephmkami
@josephmkami 5 ай бұрын
Hongera Mkurugenzi kwa majibu na kwa kujiamini
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 5 ай бұрын
Yani wanawanyanyasa sn wafanyabiashara
@shabaniramadhani8891
@shabaniramadhani8891 5 ай бұрын
Mwamba ana mizimu ya Magufuli
@jamalimussa4928
@jamalimussa4928 5 ай бұрын
😂😂
@rajabusaimon7662
@rajabusaimon7662 5 ай бұрын
Makonda ukimaliza ziala kaa na chama chako waambie kumaliza haya matatizo viongozi wote wa mkoa wachaguliwe na wananchi sio kuteuwa mtu ambae hajui uchungu wa eneo husika
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 15 күн бұрын
Makonda oyeeeeee M/mungu akusimamie Kila atua unayo piga 🌹
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 5 ай бұрын
Huyu Mkurugenzi dada Chaurembo ni hodari mno na anafaa kuongoza Idara kubwa zaidi kwani ni mfuatiliaji mzuri sana na ni mzalendo.
@gallusmbaga5522
@gallusmbaga5522 5 ай бұрын
Ila anaposema ataanza kulipa mwezi wa Saba akumbuke mikataba ina kipengele Cha RIBA kwa malipo yaliyocheleweshwa. Ninashauri akae na hao wafanyabiashara wakubaliane ili kusogeza muda Hadi huko mwezi wa Saba vinginevyo riba itahusika.
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 5 ай бұрын
Yaani yuko vizuri maa shaa Allaah na mtu mwengine anaitwa Subira mgalu yaani Kuna wadada wapo vizuri kiuongozi
@gatuna6
@gatuna6 5 ай бұрын
Makonda kila ukiona mtuhumiwa amepatikana na maskosa unamwachisha kazi. Hadharani aondoke hadharani. Hapo ndipo tutakapo komesha wa hujumu uchumi. Wa Tanzania.
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 5 ай бұрын
Facts facts ukweli kabisa
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 5 ай бұрын
Piga kazi makonda utembee usikae chini tena inuka nao mwanzo mwisho
@DiniMwambashi
@DiniMwambashi 5 ай бұрын
Kaka fanya kazi pamoja sana
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 5 ай бұрын
Ukiwa na DED msomi na anajiamini kama huyu, hadi raha
@edwinogega267
@edwinogega267 5 ай бұрын
How i wish things were working this way in Kenya...we could have gone far by far lakini ZAKAYO RUTO NAYE NI NANI. MUNGU SAIDIA KENYA 🇰🇪
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 5 ай бұрын
Hahahaha
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jasiriintertainer4600
@jasiriintertainer4600 5 ай бұрын
Zakayo bado anasumbuana na mahakama,anataka wafwate yote yake hata kama ni mbaya
@musiomiemmanuel2418
@musiomiemmanuel2418 5 ай бұрын
Utaambiwa wacha kukuja kwa mkutano wa rais kupiga kelele 😂
@NestoryMwezimpya-bc7th
@NestoryMwezimpya-bc7th 5 ай бұрын
Makonda tutaendelea kumuombea mungu atakulinda na kukupa afia njema Ili uendelee kufanya kazi ya kutusaidia watanzania lakini tunaoma mwenyezi mungu ampe laisi moyo wa kuendelea kukupa sapoti kubwa zaidi na viongozi wa ccm waendelee kuku kapani mungu akubaliki sana
@user-wy9bm8sh3n
@user-wy9bm8sh3n 5 ай бұрын
Nice
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 5 ай бұрын
Mkurugenzi yuko vizur sana ila hao wengine mtihani
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 ай бұрын
Mkurugenzi safi sana
@neemanziku5403
@neemanziku5403 5 ай бұрын
Yan viongoz wore wangekuwa kama mh Makonda nchi ingekuwa na adabu sana
@Japhary-sx3je
@Japhary-sx3je 5 ай бұрын
Mkulungenzi upo vizuri
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 5 ай бұрын
Huyu kiumbe ana khatar anaitwa Mariam khatibu chaurembo maa Shaa Allaah ana moyo mwema huyu kiumbe namfahamu vizuri
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 5 ай бұрын
Waumbue hivyo hivyo nchi iko icu
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 5 ай бұрын
Nafuu makonda umekiri uzito wa mzigo we ni mwanaume kweli na mwazi
@salumuhassani590
@salumuhassani590 5 ай бұрын
Huyu DED katokea wilaya yetu ya Nanyumbu ingawa hapa alikua mkuu wa wilaya, kiukweli huyu mama yupo vizuri saana, alibadilishiwa majukumu kutoka kua mkuu wa wilaya na kwenda kua mkurugenzi kiukweli tulimpenda saana kiongozi wetu
@koletakilasa5988
@koletakilasa5988 5 ай бұрын
Makonda umenipa imani yakuishi barikiwa sanaaaa ila baba ninashida namtaji
@UfahamuwaKristo
@UfahamuwaKristo 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-gi2sf9sm8t
@user-gi2sf9sm8t Ай бұрын
😅😅
@ephrahimalfaxard4134
@ephrahimalfaxard4134 5 ай бұрын
Kosa walilolifanya ni kuniteua Mimi kuwa mwenez❤
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 4 ай бұрын
Hakika umeonaeee😂😂😂😂
@allyfutto8763
@allyfutto8763 5 ай бұрын
Makonda anahudumia wananchi ipaswavyo Nchi inajengwa na wananchi ni bora sana anavyofanya mheshimiwa makonda kushirikiana na wananchi kutatuwa kero amerithi mbinu mbadala wa kupambana na UFISADI 🇹🇿
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 5 ай бұрын
Hapo ndio napata picha Kuna wale ambao wasijuwa kuongea sijui wanaishi vipi ? Pesa Yako umekopa umefanya Biashara halafu hulipwi
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 5 ай бұрын
Yaani
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 5 ай бұрын
Mkurugenzi yuko vizur
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 ай бұрын
HIVI HIZI COMPUTER ZOOOOTE ZINAZONUNULIWA KWENYE MAOFISI ZIBAFANYA KAZI GANI?. MNAHAKIKI NINI NA KUMBUKUMBU ZOTE ZINAHIVAZIWA KWENYE COMPUTER? . HIVI MBONA MKO HIVI?
@doreenshangarai6941
@doreenshangarai6941 5 ай бұрын
Na kweli
@Charleslsk
@Charleslsk 5 ай бұрын
I believe in you makonda❤❤❤❤
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 5 ай бұрын
Mmmhhh haya
@user-ki3gt6gy1l
@user-ki3gt6gy1l 5 ай бұрын
Mama wambiye viongozi wote waje kwenye mkutano ya makonda wajibu utaona tanzania itakwenda tuu watanzania niwengi waliyo nyuma yako viongozi wachache
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 ай бұрын
Kuachicha Mtu kazi au kumfukuza kazi je watoto wa hizo Familia watakula nini ? Oni langu nikuwaonya Wananchi kufanya kazi kwa uaminifu asante
@user-qg1wf8he7u
@user-qg1wf8he7u 3 ай бұрын
Watu engine wanaishi kwe nye mingogo ya wt muheshimiwa pasua majipu
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Ай бұрын
Dada chaurembo ❤
@RogerMsaky-de3gi
@RogerMsaky-de3gi 5 ай бұрын
Nimegundua wananchi wanaichukia serikali kwa mambo ya kipuuz Kama haya
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 5 ай бұрын
Sababu ya watendaji wabovu
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 5 ай бұрын
Duh ! ! Mama Tz, wanakusaliti kwa kukutafuna ili ufe kabisa?
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 5 ай бұрын
Makonda mungu akubariki 🤲 hii nchi hata sie wanawake hatufai unatetea madudu😅😅
@sositenesssabuni2480
@sositenesssabuni2480 5 ай бұрын
Ndio maana mafundi wengi hua hatupendi kuifanya kazi zao sababu malipo ndio kama hivyo Bora kufanya kazi kwa mchina.
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 5 ай бұрын
Kuwa waziri mkuu tuwanyooshe
@tintz3157
@tintz3157 5 ай бұрын
Piga kazi baba Keegan wewe ni Raisi ajaye awamu ya Nane (8) Mungu akulinde
@kibwetere1418
@kibwetere1418 5 ай бұрын
Kwakweli huyu jamaa anasaidia sana!!
@hanifamziray277
@hanifamziray277 5 ай бұрын
Eti imeendaaahyoooooo😅
@ullujaffariyohani1186
@ullujaffariyohani1186 4 ай бұрын
Yaani ni washenzi tu na Wana roho mbaya sana
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 5 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde jamani
@user-jt1eb6bm9g
@user-jt1eb6bm9g 5 ай бұрын
Haya ni maajabu ya Dunia yafaa yaingie kwenye Genes book😢 hiyo shule inayojengwa kwa bilioni nne ni Kijiji au! Wananchi wanakatwa Kodi tena kwa kwamba shingoni, Kuna watu nchi hii kwenye jamii Wana matatizo ya hatari; kama Afya, Elimu nk. Kuna shule za msingi huko vijijini utadhani ni mabanda ya kufugia nguruwe kwa jinsi yalivyochakaa: kama Kuna anayebisha aende shule ya msingi kombo mkoani Kilimanjaro pale kibosho mtaona😮 Leo hii watu wanapewa bilioni nne na wanasema hazitoshi. Waziri wa Elimu atembelee shule za msingi za vijijini mkoani Kilimanjaro aone maajabu ya Dunia
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 5 ай бұрын
Hyo bilion me hata mi sikubali, shule moja ya msingi mi milioni 328 tu inaisha madarasa 9
@susananyasani6526
@susananyasani6526 5 ай бұрын
Super mamusi mazuri kutok kwa Mheshimiwa Makonda
@ullujaffariyohani1186
@ullujaffariyohani1186 4 ай бұрын
Sasa mtu anafanya kosa la wizi unamuhamishia idara nyingine😮 kweli hii ni sawa😮
@sponsertv5039
@sponsertv5039 5 ай бұрын
Mh Dr Samia Suruh hasan, endapo ikatokea wakamuua mh makonda naomba uniteue mimi tuone kama na mm wataniweza.
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw 5 ай бұрын
Yani makonda anajua sana shida za watanzania wengine mnafanya nini kama hapa pesa zinatumika ovyo na viongoz wapo likn wapo tuu kimya sasa MAKONDA akifanya kweli binge msione wivu kaa kimyaa
@user-ji6fu9lo2g
@user-ji6fu9lo2g 5 ай бұрын
Makonda umejua kuwaonyesha
@kristopapaapaulo811
@kristopapaapaulo811 4 ай бұрын
Hii imeenda😂😂😂😂😂
@siliviamushi4119
@siliviamushi4119 2 ай бұрын
Ajamani hawa watu wanawaonea sanaa wanyenge jmn
@user-le7lh1ou2d
@user-le7lh1ou2d 5 ай бұрын
HONGERA SANA RAIS SAMIA KUMCHAGUA MAKONDA
@user-bn2dz9fu5i
@user-bn2dz9fu5i 5 ай бұрын
Nyeti
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 5 ай бұрын
Hakuna ulaji wa hela kama ulivyo mawilayani, wanapiga hela kama juu😂😂 Sio Tunduma tu ni wilaya zote
@TanzaSports
@TanzaSports 5 ай бұрын
Hii imeeendaa 😂
@Shakkeela-uq9oj
@Shakkeela-uq9oj Ай бұрын
😂😂😂
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 5 ай бұрын
Miaka yote uyu mwamba alikuwa wapi
@ephrahimalfaxard4134
@ephrahimalfaxard4134 5 ай бұрын
Walikificha kipaj chake Sasa kimeibuka hadharan, japo anayalisk maisha yake!
@SmilingHot-AirBalloons-em3mb
@SmilingHot-AirBalloons-em3mb 4 ай бұрын
Makonda noma sanaa!
@user-fu6rl3dp5x
@user-fu6rl3dp5x 5 ай бұрын
Mahakama zifutwe /Makonda anatosha
@judicalosika7642
@judicalosika7642 5 ай бұрын
🤣🤣🤣
@allyfutto8763
@allyfutto8763 5 ай бұрын
Mafisadi watamchukia sana Makonda wapo tayari kumuuwa ili waendelee Ufisadi kama walivyomuuwa a JPM😭🇹🇿
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 5 ай бұрын
😢
@dianageorge1805
@dianageorge1805 5 ай бұрын
Utunzwe na Yesu Makonda, vilio ni vyingi kwetu wafanya biashara tumefilisika kupitia uzabuni, Halmashauri hazilipi....Mimi naida tokea 2013 mpka Sasa sijalipwa
@bugybuster5788
@bugybuster5788 5 ай бұрын
MUNGU akubarik makonda
@rogersiddy
@rogersiddy 5 ай бұрын
Dada unazingua sana yaan mtu awe mzarendo kwakuvumilia kwa pesa yake ya bishara wewe unaweza kuwa mfano wa uzarendo mshahara wako uingie kwenye mipango ya mji wa Tunduma? acheni ubabaishaji bhana upumbavu mtupu
@africamz1762
@africamz1762 5 ай бұрын
Se Moçambique fosse assim seria Melhor
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 5 ай бұрын
Daaa piga kazi baba
@leilabuisha9976
@leilabuisha9976 5 ай бұрын
Fukuza wote hao ni wezi
@kimangu1
@kimangu1 5 ай бұрын
Kumbe wananchi wengi wananyaswa kiasi hiki tusubirini kwenye sanduku la Kira,KATIBA mpya Ni Sasa na time huru
@titusrobert5890
@titusrobert5890 5 ай бұрын
Makonda anafahamu mengi
@user-qg1wf8he7u
@user-qg1wf8he7u 3 ай бұрын
Wt anapewa madalaka kwa faida yao
@dingadinga6674
@dingadinga6674 5 ай бұрын
Hiii imeenda
@robatigodfrey4847
@robatigodfrey4847 3 ай бұрын
kiukweli watu wanatamanikiwa na viongozi wa namna hii viongozi wanao tetea kero za wananchi kwanamna hii...makonda wewe niongozi viongozi wengine wanaitajika kijifunza kwa utendaji wa namna hii
@Alfredmusa24
@Alfredmusa24 5 ай бұрын
Mkoa gani
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 5 ай бұрын
Takukuru kazi yao Nini sasa kwa hoja hizo za kisanii ,!
@abhambomihambo6754
@abhambomihambo6754 5 ай бұрын
Hao Takukuru wenyewe sio waadilifu wapo wapo tuu.
@user-cx1xz2is5d
@user-cx1xz2is5d 3 ай бұрын
Wanatakiwa wote wawe kama makonda maana yupo arusha tu
@EdwardMasai
@EdwardMasai 3 ай бұрын
Arudishwe makondo ccm uenezi atumbue wanaonyanyasa wanyonge
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 5 ай бұрын
Watoto wawe nzenu mnachowafanyia mnataka wawe wezi?
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui Ай бұрын
Bilioni nne ni gorofa la nchi gani ?
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 5 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 5 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 12 МЛН
SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO
31:40
CLAM VEVO
Рет қаралды 33 М.
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
JAMBO TV
Рет қаралды 81 М.
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 5 МЛН