Uso kwa Uso na MZEE MAGARI kwenye MJENGO wake MAREKANI, afunguka sababu ya kuondoka TANZANIA

  Рет қаралды 39,172

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

23 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 74
@MellanieKay
@MellanieKay 22 күн бұрын
Nimeipenda interview. Mtangazaji unajitahidi. Keep pushing, you are on your way. Tanzanian/American sister in Kansas.
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 22 күн бұрын
Mzee Magari bana, interview imekuwa Tamu sana
@FelistersMejumaa-xi2ge
@FelistersMejumaa-xi2ge 21 күн бұрын
Mungu akueke mzee 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
@yudaogonyi2383
@yudaogonyi2383 21 күн бұрын
Sasa kulikua na ulazima Gani wa hayo maigizo zaid ya kupotezeana bundle ..
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w 16 күн бұрын
Jmn kaka angu mzee magari kumbe wanyumbani mashahallah Ausindile kaka magari
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 11 күн бұрын
Our father 😘😘😘 the voice still good ❤❤
@ce-08
@ce-08 20 күн бұрын
Mwanzo mgumu hakuna aliezaliwa anajua mtangazaji kaza rekebisha pale unapokosea pia jfunze wengne pia km kna dj sma n.k 🤝
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 21 күн бұрын
Wazo mlugulu mwenzangu 😮😢😊😊😊😊
@kilalakaila9762
@kilalakaila9762 22 күн бұрын
Keep pushing✌🏾
@salehekimlola955
@salehekimlola955 22 күн бұрын
Huyo mwandishi hana sifa na vigezo vya tasnia ya habari na utangazaji. Arudi kwanza shule akajifunze
@kapesamjenga8971
@kapesamjenga8971 21 күн бұрын
Una chuki binafsi
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 21 күн бұрын
Chuki binafsi au anaongea ukweli ?! Ukweli usemwe ajifunze hajui kuhoji ​@@kapesamjenga8971
@ChoroTesla
@ChoroTesla 20 күн бұрын
jamaaa sio mwandashi wa habari wala mwanahabari ni host tu ila anabid ajifue sana
@salehekimlola955
@salehekimlola955 20 күн бұрын
@@kapesamjenga8971 siyo chuki uhalisia kwamba hana values za kuwa mwandishi. Rudi shule acha uswahili. Kasomee fans acha kukurupuka na form 4 yko failure
@user-nd5uf6lw4g
@user-nd5uf6lw4g 22 күн бұрын
Heeehe jamani wananchi nyie mbona hamtangazi
@zayumar2955
@zayumar2955 20 күн бұрын
Mzee Magali yupo vizuri kwenye kujielezea hata kabla ya mtangazaji hajauliza yan huyu mtangazaji hii sio nafas yake hapa alitakiwa kuwa DJ smaa au Mwenyewe sky ingekuwa 🔥🔥
@sosbrayantbenjamin9701
@sosbrayantbenjamin9701 22 күн бұрын
Mtangazaj hamna kitu huyu
@jamesmassawe4888
@jamesmassawe4888 16 күн бұрын
Lakn yupo amerca
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 21 күн бұрын
Mtangazaji hashawishi kuangalia 😢😢🙌🏻
@Tanzania_Ya_mama
@Tanzania_Ya_mama 22 күн бұрын
Mtangazaji hajui mpuuz huyu mbwaaaa😅
@tradamus4158
@tradamus4158 22 күн бұрын
😂😂
@theonestrenatus954
@theonestrenatus954 18 күн бұрын
Mpe muda sky atamnoa atakaa vzr,,
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 22 күн бұрын
Mtangazaji haiwez hii kazi.
@yusafbayu7016
@yusafbayu7016 22 күн бұрын
Hebu kaombe Kaz crown Wana taka watangazaji wivu tu
@issanaseeb7699
@issanaseeb7699 21 күн бұрын
Huyu Mtangazaji sio kwamba hapendwi coz Comment nyingi zinasema hajui kiukweli niungane nao huyu hajui chochote arudi shule Qmmk zake mtu anaenda Ulaya hajui kuhoji takataka kabsa😅
@BigBrain23
@BigBrain23 22 күн бұрын
Shule kitu cha muhimu sana hata form 4 tu inatosha. Hatuna mwandishi hapa
@japhetlust5050
@japhetlust5050 16 күн бұрын
😂😂😂
@SalimIbrahim-kw8ud
@SalimIbrahim-kw8ud 19 күн бұрын
Ila harmonize
@allywilson4155
@allywilson4155 22 күн бұрын
Amna kitu kwa myangazaji
@victormwansasu8764
@victormwansasu8764 16 күн бұрын
Hapo hamna mwandishi ,yan kunavitu mzee magari anamfundisha mwandishi
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 22 күн бұрын
MUTANGAZAJI WEWE HAUSTAHILI HATAKUITWA MUTANGAZAJI😮😮 YAAANI WEWENI 00
@tradamus4158
@tradamus4158 22 күн бұрын
Ukiona astahili fanya wew nenda America 🇺🇸 ukatuletee vitu unique
@yusafbayu7016
@yusafbayu7016 22 күн бұрын
Una nja ndo mana kila kitu una ona kibaya wew njo utangaze
@Mr-GMB
@Mr-GMB 21 күн бұрын
Je wewe?
@samuelmlapwa7858
@samuelmlapwa7858 21 күн бұрын
Daah sawa musikilizaji na mutizamaji
@AbiTech96
@AbiTech96 22 күн бұрын
Hio RIKE ndo nini?😅😅😅
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 17 күн бұрын
Mtangazaji anauliza Swali! Analijibu mwenyewe halaf anataka kuhakikisha? Nadhan anahitaji Kujifunza sana jinsi ya kuhoji
@user-td3ss6nk2d
@user-td3ss6nk2d 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 mtangazaji ananichekesha .....ohhh waooooh..... afu kama anaimbaaaa😂😂😂😂😂
@enockezekiel4125
@enockezekiel4125 21 күн бұрын
Ndg mwandishi😅
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 21 күн бұрын
Kumbe bado yupo😂
@Johnsonkayila
@Johnsonkayila 22 күн бұрын
Duh uwezo wa kuhoji huna
@Gades106
@Gades106 21 күн бұрын
Hata mimi nimefikiriaga mzee magari ameshaga fariki
@annaphi2427
@annaphi2427 17 күн бұрын
Yaan uyu host sio tuu hajui na anaboa tuu lakin hta kipaji nacho hana yaan magari angempata mwenyewe sky tunge Enjoy zaid
@martingeorgenzali5614
@martingeorgenzali5614 22 күн бұрын
MtaNgazaji AnaIzaliliSha Nsn YeTu
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 17 күн бұрын
Kwan huku tz alikuwa hajaoa?
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 15 күн бұрын
Kwer kuigiza Sio Kazi
@Gades106
@Gades106 21 күн бұрын
Huyo mtangazaji mumtoeni umarekaninmumrudishe bongo mumpeleke Mtu mwenye uwezo waku oji
@Formula_tz
@Formula_tz 20 күн бұрын
Huyo jamaa yuk marekani kwa mishe zake za kisanaa ya maonesho hakupelekwa na sns waliend wenyew marekan kam kikundi ch Sanaa sns wao ndo walimtafut kufanya nae kaz baada ya kumuon haki fanya challenge ya lugha ya kiswahili na wazungu
@Qqambaa
@Qqambaa 17 күн бұрын
Jamaa yuko sawa 🥰
@tsumiduwe1406
@tsumiduwe1406 12 күн бұрын
NI JIMBO GANNI YUPOOO
@ibrahimelisha6842
@ibrahimelisha6842 16 күн бұрын
Ataa maongezi yao yanajichanganya et kule mara huku yaani ni hovyo hovyo
@redemptaanisio2770
@redemptaanisio2770 20 күн бұрын
Mbona mtangazaji ndo anaonekana sana kuliko mzee magari
@kingkinye1419
@kingkinye1419 19 күн бұрын
Today kakua
@kassimkitta6118
@kassimkitta6118 21 күн бұрын
Marekani ya burundi
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 11 күн бұрын
Nyie mnaosema hawezi nyie mnaweza siku zote mwanzo ni mgumu ata kama ukiwa na kipaji, ila kadri atakapozidi kutangaza ndivyo atakavyozidi kuwa bora na kurekebisha anapokosea, ata sky hakuibuka tu ghafla kawa mtangazaji bora naye alianza kama huyu, so msiropoke tu jaribuni kufikiria kwanza
@benitoxavery1802
@benitoxavery1802 18 күн бұрын
Mtangazaji badala aulize maswali. Anauliza kisha anajibu mwenyewe!!! Akasomee uandishi zaidi Very amateurish!
@kingkinye1419
@kingkinye1419 19 күн бұрын
Mtangazaji anahoji anajijibu
@BigZhumbe
@BigZhumbe 19 күн бұрын
Mzee Magari "Where is Come From"
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 18 күн бұрын
😊😊
@ashobozakabalimu9212
@ashobozakabalimu9212 15 күн бұрын
Picture for mw?
@ibrahimelisha6842
@ibrahimelisha6842 16 күн бұрын
Hapo sio marekani mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mnatuleta nyie watoto wa mbagala wanalia kabisa
@Deadskytz
@Deadskytz 15 күн бұрын
Nyie SNS muwe serious acheni kubebana bebana media ishakuwa kubwa , Watangazaji gani hawa sasa 😂😂
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 15 күн бұрын
😂
@Cyper255
@Cyper255 17 күн бұрын
Mtangazaji ujitafakari kwa hizi comments
@RynoFiree
@RynoFiree 22 күн бұрын
Mbona mtangazaji anauliza majibu Yan mpaka magar anashindwa ajibu nini
@SilasMbaruku-no6id
@SilasMbaruku-no6id 15 күн бұрын
Aah hyo move au
@mam_salum
@mam_salum 22 күн бұрын
Sauti ya mzee magari utasema amekabwa na kitu kwenye koo
@user-gb5vz6wm2q
@user-gb5vz6wm2q 22 күн бұрын
Hahahhaaaa mimi naikubali sana sauti yake
@japhetlust5050
@japhetlust5050 16 күн бұрын
Nimejuwa mzee magafi yupo hanaish marekani basi siendelee na storry keasababu mtangazaji ajui
@user-ch3ku3yx2z
@user-ch3ku3yx2z 22 күн бұрын
Wa kwanza reo wamba rike ningi kwa mzee magari
@laoiyadi1176
@laoiyadi1176 22 күн бұрын
Jifunze matumizi ya R&L 😢
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 16 күн бұрын
Shule ni mhimu saana haswa kwa watzn😂😂😂😂😂😂 r na l vinakushinda loooo
@zeydkombo1776
@zeydkombo1776 14 күн бұрын
So boring
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,4 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,5 МЛН
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 60 МЛН
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 46 М.
Оживление самой дерьмовой тачки в мире 😃
1:9:02
Холодный асфальт придумали гении
0:19
WB КОПАТЕЛЬ 2.0
Рет қаралды 14 МЛН