jamaaa sio mwandashi wa habari wala mwanahabari ni host tu ila anabid ajifue sana
@salehekimlola95520 күн бұрын
@@kapesamjenga8971 siyo chuki uhalisia kwamba hana values za kuwa mwandishi. Rudi shule acha uswahili. Kasomee fans acha kukurupuka na form 4 yko failure
@user-nd5uf6lw4g22 күн бұрын
Heeehe jamani wananchi nyie mbona hamtangazi
@zayumar295520 күн бұрын
Mzee Magali yupo vizuri kwenye kujielezea hata kabla ya mtangazaji hajauliza yan huyu mtangazaji hii sio nafas yake hapa alitakiwa kuwa DJ smaa au Mwenyewe sky ingekuwa 🔥🔥
@sosbrayantbenjamin970122 күн бұрын
Mtangazaj hamna kitu huyu
@jamesmassawe488816 күн бұрын
Lakn yupo amerca
@ashurajengela392621 күн бұрын
Mtangazaji hashawishi kuangalia 😢😢🙌🏻
@Tanzania_Ya_mama22 күн бұрын
Mtangazaji hajui mpuuz huyu mbwaaaa😅
@tradamus415822 күн бұрын
😂😂
@theonestrenatus95418 күн бұрын
Mpe muda sky atamnoa atakaa vzr,,
@thompsonkiputa684222 күн бұрын
Mtangazaji haiwez hii kazi.
@yusafbayu701622 күн бұрын
Hebu kaombe Kaz crown Wana taka watangazaji wivu tu
@issanaseeb769921 күн бұрын
Huyu Mtangazaji sio kwamba hapendwi coz Comment nyingi zinasema hajui kiukweli niungane nao huyu hajui chochote arudi shule Qmmk zake mtu anaenda Ulaya hajui kuhoji takataka kabsa😅
@BigBrain2322 күн бұрын
Shule kitu cha muhimu sana hata form 4 tu inatosha. Hatuna mwandishi hapa
@japhetlust505016 күн бұрын
😂😂😂
@SalimIbrahim-kw8ud19 күн бұрын
Ila harmonize
@allywilson415522 күн бұрын
Amna kitu kwa myangazaji
@victormwansasu876416 күн бұрын
Hapo hamna mwandishi ,yan kunavitu mzee magari anamfundisha mwandishi
Ukiona astahili fanya wew nenda America 🇺🇸 ukatuletee vitu unique
@yusafbayu701622 күн бұрын
Una nja ndo mana kila kitu una ona kibaya wew njo utangaze
@Mr-GMB21 күн бұрын
Je wewe?
@samuelmlapwa785821 күн бұрын
Daah sawa musikilizaji na mutizamaji
@AbiTech9622 күн бұрын
Hio RIKE ndo nini?😅😅😅
@bensonjohn963317 күн бұрын
Mtangazaji anauliza Swali! Analijibu mwenyewe halaf anataka kuhakikisha? Nadhan anahitaji Kujifunza sana jinsi ya kuhoji
@user-td3ss6nk2d14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 mtangazaji ananichekesha .....ohhh waooooh..... afu kama anaimbaaaa😂😂😂😂😂
@enockezekiel412521 күн бұрын
Ndg mwandishi😅
@khurlainashly568621 күн бұрын
Kumbe bado yupo😂
@Johnsonkayila22 күн бұрын
Duh uwezo wa kuhoji huna
@Gades10621 күн бұрын
Hata mimi nimefikiriaga mzee magari ameshaga fariki
@annaphi242717 күн бұрын
Yaan uyu host sio tuu hajui na anaboa tuu lakin hta kipaji nacho hana yaan magari angempata mwenyewe sky tunge Enjoy zaid
@martingeorgenzali561422 күн бұрын
MtaNgazaji AnaIzaliliSha Nsn YeTu
@sophiakimaro517417 күн бұрын
Kwan huku tz alikuwa hajaoa?
@AbilahSalumu-qx1cb15 күн бұрын
Kwer kuigiza Sio Kazi
@Gades10621 күн бұрын
Huyo mtangazaji mumtoeni umarekaninmumrudishe bongo mumpeleke Mtu mwenye uwezo waku oji
@Formula_tz20 күн бұрын
Huyo jamaa yuk marekani kwa mishe zake za kisanaa ya maonesho hakupelekwa na sns waliend wenyew marekan kam kikundi ch Sanaa sns wao ndo walimtafut kufanya nae kaz baada ya kumuon haki fanya challenge ya lugha ya kiswahili na wazungu
@Qqambaa17 күн бұрын
Jamaa yuko sawa 🥰
@tsumiduwe140612 күн бұрын
NI JIMBO GANNI YUPOOO
@ibrahimelisha684216 күн бұрын
Ataa maongezi yao yanajichanganya et kule mara huku yaani ni hovyo hovyo
@redemptaanisio277020 күн бұрын
Mbona mtangazaji ndo anaonekana sana kuliko mzee magari
@kingkinye141919 күн бұрын
Today kakua
@kassimkitta611821 күн бұрын
Marekani ya burundi
@NeemaSamson-ti8pc11 күн бұрын
Nyie mnaosema hawezi nyie mnaweza siku zote mwanzo ni mgumu ata kama ukiwa na kipaji, ila kadri atakapozidi kutangaza ndivyo atakavyozidi kuwa bora na kurekebisha anapokosea, ata sky hakuibuka tu ghafla kawa mtangazaji bora naye alianza kama huyu, so msiropoke tu jaribuni kufikiria kwanza
@benitoxavery180218 күн бұрын
Mtangazaji badala aulize maswali. Anauliza kisha anajibu mwenyewe!!! Akasomee uandishi zaidi Very amateurish!
@kingkinye141919 күн бұрын
Mtangazaji anahoji anajijibu
@BigZhumbe19 күн бұрын
Mzee Magari "Where is Come From"
@abdallahdataguy18 күн бұрын
😊😊
@ashobozakabalimu921215 күн бұрын
Picture for mw?
@ibrahimelisha684216 күн бұрын
Hapo sio marekani mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mnatuleta nyie watoto wa mbagala wanalia kabisa
@Deadskytz15 күн бұрын
Nyie SNS muwe serious acheni kubebana bebana media ishakuwa kubwa , Watangazaji gani hawa sasa 😂😂
@ngwacahnyagwaswa997915 күн бұрын
😂
@Cyper25517 күн бұрын
Mtangazaji ujitafakari kwa hizi comments
@RynoFiree22 күн бұрын
Mbona mtangazaji anauliza majibu Yan mpaka magar anashindwa ajibu nini
@SilasMbaruku-no6id15 күн бұрын
Aah hyo move au
@mam_salum22 күн бұрын
Sauti ya mzee magari utasema amekabwa na kitu kwenye koo
@user-gb5vz6wm2q22 күн бұрын
Hahahhaaaa mimi naikubali sana sauti yake
@japhetlust505016 күн бұрын
Nimejuwa mzee magafi yupo hanaish marekani basi siendelee na storry keasababu mtangazaji ajui
@user-ch3ku3yx2z22 күн бұрын
Wa kwanza reo wamba rike ningi kwa mzee magari
@laoiyadi117622 күн бұрын
Jifunze matumizi ya R&L 😢
@dorcaskidoti24916 күн бұрын
Shule ni mhimu saana haswa kwa watzn😂😂😂😂😂😂 r na l vinakushinda loooo