Daah nimecheka Sana yani dotto angekuwa hakimu mwijaku angefungwa haraka sana.😂😂😂😂😂
@SalumAuka16 күн бұрын
😂😂😂😂
@AmirAbdallah-pr4uq17 күн бұрын
Niwe muwazi Dotto magari nakukubali sana kaka
@erickchitumbi130814 күн бұрын
😂😂😅😂😅eti jitu jinga.linaharibu umeme
@user-ui5xc6sb5m17 күн бұрын
Doto nakukubali kinoma
@user-do2qp5fv9b11 күн бұрын
Yaani doto amenichekesha sana duu
@AhmedSalim-tm5rp17 күн бұрын
HESHIMU USIO WAJUWA😢
@samkitwima793317 күн бұрын
Kwa mara ya kwanza huyu Dotto Magari amenifurahisha😂😂😂😂😂😂😂😂
@MbongoBoy-yg9tq17 күн бұрын
Doto bwaaana👍
@user-princs17 күн бұрын
Safi sana Dotto huyu aadabishhwe maana ataendelea kuwatoa watu machozi . Mwijaku anajisahau sana anaona dunia yakwake anatesa mioyo ya watu sana.inatakiwa apewe nokos moja ashike adabu sio wanawake sio wanaume anawadhalilisha sana .mnafiki sana anajificha nyuma ya kivuli cha dini
@williamreuben486617 күн бұрын
Yaan sijui Kwa nn Diamond asimchukulie hatua na yeye Kwa kua anamdhalilisha,jamaa linajiona kuwa lenyewe ndio kuliko mtu mwingine,achukuliwe hatua za kinidhamu,
@HassanAbdul-xb3dk17 күн бұрын
Dotooooooo
@user-hd6do9wt3u17 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 dotto leo nimechek yangu yote
@patrickimran264517 күн бұрын
Mungu sio asmani yamemkuta eti weeye maisha yako kama ya puppies zake iliniumaaaaaaaa
@flaxbeatman17 күн бұрын
mdomo jamani uyu😮😮😮
@frankmganda242417 күн бұрын
Yaani mimi nilisema mapema kuwa pesa mnazo pewa zinawapa kiburi sana
@Esquire26617 күн бұрын
#Wakenya tunasimama na Mwijaku 🇰🇪
@helenkambi391814 күн бұрын
Sio wa kenya wote pls
@EdgarEliud-su9bf17 күн бұрын
Dotto saf sana ilooo limwijaku maneno aangalii watu wakuwasem kila mtu payu payu
@exaverysimon106417 күн бұрын
😂😂😂 DOTO KAKANYAGA KWENYE KIDONDA😂😂
@user-wu7ou4ns4j17 күн бұрын
Aende jela tu Maskini mwi Umekuwa mpole
@IddSaid-gu2kt10 күн бұрын
Bro wako wengi kama hao
@ChrisMwambeje17 күн бұрын
😂😂😂😂 nakubali dotto,huyo yamemkuta
@kassimrajabu780516 күн бұрын
Sasa si unyamanze doto tumsikilize Mwijaku.
@driss495716 күн бұрын
KAYAKANYAGA KWA KIPANYA,MTU KAWACHORA KINA MKAPA,SUMAYE,MREMA,DITOPILE MZUZURI, HALAFU HUYU WA KUJA KUTOKA BUKAVU" ANAJIFANYA ANAMJUA...KIPANYA WA KIMJI TOKA ENZI ZA KINA CISCO MTIRO"...Uchaguzi WA TMK 96.
@amirkhamis382017 күн бұрын
Mwijaku ana zarau sana . Nadhani hilo lililomkuta ni moja kati ya mafunzo ambayo anatakiwa ayapate. Jambo lililonikera zaidi kwenye upuuzi wake ni pale aliposema kwamba chakula cha mbwa wake ndo maisha yetu cc wengine. Aisee ameniudhi sana . Alafu nataka niulize kwani mwijaku ni muislamu au ni nani simuelewi mm. Eti expensive life mkewake anatembea uchi mwisilamu gan huyo.
@helenkambi391814 күн бұрын
Kweli mke anakaa uchiuchi tena anafuga mbwana ndani ya nyumba
Anaropokwa sana mwijaku angeenda kumgalagaza mahakamani mbwa huyo wakuja
@PedroMaumo-eq8kc17 күн бұрын
Control your emotions mwijaku
@exaverysimon106417 күн бұрын
😂😂 WE HUOGOPI😂😂
@law93king17 күн бұрын
daaaaaah😂😂😂
@ramamasenda663717 күн бұрын
Mwijaku limbukeni apelekwe mahakamani tu akalipe fidia ili akome tabia yake yakijinga ikibidi afungwe ata miezi Cita achapiwe mkewe vizuri
@NyandaMakambuya16 күн бұрын
Hahaha😂😂
@angellomarcel567717 күн бұрын
Khaaa...Ila Dotto khaa eti MASUDI Kipanya yupo Tangu 9 Disemba anachora Vikatuni...😂😂😂
@ShangweSylus-nf6we17 күн бұрын
Duh Dotto😂😂😂
@patrickimran264517 күн бұрын
Dotttoooò
@DamianMazengo17 күн бұрын
amejifunza atatengeneza breck za mdomo wake maana zilikua zimefer kabisa
@adrianmnzava816517 күн бұрын
ila dotto
@ShidaDoza17 күн бұрын
Mwijaku anamaliza 😂😂😂😂😂 dotto hatar😂😂😂
@Bless21517 күн бұрын
Kama hata media zingine zinatumia sns aka sauti na simulizi kwenye Story zao gonga hapa
@Chrisblaze-beats17 күн бұрын
Hajatumia ni doto magari ameplay kwe TV maana ameconet you tube pale. Doto magari anamuangalia mwijaku kwenye tv na ndio video imefafanuliwa na sns.
@imeldastephano922117 күн бұрын
Kweli mwijaku umemkosea sana Masood
@petermokami227314 сағат бұрын
Anachora vikatuni, sio kukuchora wewe kichwa box
@KhadijaSelemani-wt8np16 күн бұрын
nimeamini ule usemi wa malipo hapa hapa duniani ,,hasa nikikumbuka alivyokamdhalilisha menina
@aproniamasatu581017 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ommylax723116 күн бұрын
Vita vya Panzi furaha kwa kunguru 😂daaah nimeamini
@user-fr4qm2ub2d17 күн бұрын
Hahahah daah dg msameheni jaman
@FrankLutemela17 күн бұрын
Amepoaa
@jobharry900917 күн бұрын
Wee fala unamuona masoud ni sawa na baba levo
@Kibudu17 күн бұрын
Kwann anaomb msamaha huku anarejea kosa,,, hapo soln ni court ajulikane mkweli.
@mvitahamad212615 күн бұрын
Kwan ww doto ulishakosea wangap
@peninashungu663317 күн бұрын
Kesi iende tu mahakaman amezoea huyo kila wakat anawatusi watu alafu anaomba radhi ikawa akageuzwe mfano tu uko mahakan, wanatumia kujuana na mama Samia ndo sababu ya kuwadhalilisha watu, akatoe tu iyo B5
@Mohd-wl1tc17 күн бұрын
Doto unaongea na tv 📺 ten
@stephenmasha862315 күн бұрын
😂😂😂 Eeti Bundi 😂
@sautikaliitz93417 күн бұрын
Ameyatimba 😅😅😅
@shaabanramadhan677017 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂dadekiii kaingia pabayaaa pumbaav
@florayoram956316 күн бұрын
😂😂😂😂😂 ukicheka na nyani lazina uingie nae msikitini mlimchekea sana huyo mmbea wa maisha ya watu kwa sisi tukio soma cuba hajamsema masud peke yake ameikashifu tasnia yote ya clouds na mmiliki wake😂
@Islamawadh15 күн бұрын
Ameyatimba 😂
@luqmanmohamedy386017 күн бұрын
Hahahahaha
@karimacro17 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@patrickimran264517 күн бұрын
Nacheka kibuli yake
@saidmalik671417 күн бұрын
😅😅😂😂😂
@deusisindwa61617 күн бұрын
😂😂😂😂amezid sana akalipe Hela,,au aende jela,,Ili iwe fundisho Kwa wangine
@user-ef7tc3tq7w17 күн бұрын
Mwijaku fala anawamukia watoto kisa pesa
@msongamwinyi287717 күн бұрын
Huyo alipe binafsi nimemchukia masoud kwasabu ya mwijaku ili niwe sawa alipe fidia
@gabapentin807017 күн бұрын
😂😂😂😂
@frankmganda242417 күн бұрын
Mwijaku anazalau watu sana
@Esquire26617 күн бұрын
Mheshimu Alhaji Mwijaku
@jumabuckary769817 күн бұрын
Kayatimba huyo bwege, masoud kp ni legend hapa tanzania kitambo kuliko wewe mshamba wakuja mwaijaku
@martinlema419217 күн бұрын
😆😆😆😆
@dotnatajoseph262017 күн бұрын
Mwijaku kamdhalilisha sana menina na akashinfa mahakamani Kwa udhalilishaji masoud kaka mpeleke mahakamani huyu nyau ashike adabu yake