Mwanangu Mtumishi, Talent, Tx mnatusha sana keep up 🔥♥️
@ZephaJohn-gi3ms7 ай бұрын
Nakubali kuwaona wote ❤❤
@luciamsani8 ай бұрын
I love this guys they do a very good job🥰🥰
@nassjog990youtube68 ай бұрын
Chaddy talent ,dullah tx na Mr mchumgaji na sister apo ampingiki
@evelnjuma18343 ай бұрын
Dulla na mtumishi mko poa sana tunajifunza sna ❤❤❤🇹🇿
@Msanii128 ай бұрын
Nakubali sana kazi zao 🔥🔥🔥💪
@graceadiel8 ай бұрын
Nawapenda San Mnafanya kazi nzuri sana
@rutudaniel83147 ай бұрын
Nawakubali sana hawa jamaa
@chummakeup778 ай бұрын
Watangazaji wadada punguzen ubinafs na hiyo inatokana na huyo mdada kawazid kila kitu😅😅😅mnaona mkimuhoji atawazid plus😅
@rehemamajaliwa6 ай бұрын
Yaan tabia mbaya
@ElishaMsenegal6 ай бұрын
muwe mnapendana wadada bhx
@bashiruhassani10178 ай бұрын
Nakubar sana mtumish
@FranceThomas-ug2ed8 ай бұрын
Ukweli mnaweza kuchekesha
@khalidjafary11208 ай бұрын
Nakubali mnyama tx
@nassjog990youtube68 ай бұрын
Wanyamaaaaaaaa apo oya SIWAPINGI
@salumjamali5838 ай бұрын
Duh Ila okopa Sana viumbe vyakike yan wanaona wakimpa air tym uyo mdada mwenzao kama atawazid k2 duh kumanina zenu waongoz vpnd uyo mdad kawazd uzr had uvaaji
@kevinmary71296 ай бұрын
Kola ya uchungaji❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-rp1jm4ix9g7 ай бұрын
Yaani na hiyo furaha yote wanangu kumbe mko chini ya ulinzi😂
@HusseinMrisho-kb4ex8 ай бұрын
Acheni wivu nyie wadada umumuoni mwenzenu ata swali moja amna adi anajiskia vibaya
@brightontheogenes50938 ай бұрын
Ndaro mjinga sanaa...eti angalie atauungaje
@user-xc6bb9nn6d8 ай бұрын
Mnanichekesha sana AAA mtumishi
@ibrahimmwanzolo92807 ай бұрын
Huyu dada alisha hojiwa hapo awali jaman hii story ilikua ndefu
@GiftAbduly7 ай бұрын
Ndaro n mchekeshaj bana 😅 ila tunawakubali sna
@andreangoda22448 ай бұрын
Hii imeenda
@Summercrif0058 ай бұрын
Wivu huyo dada anaigiza vzs sna
@IMANWILLIAM-bl2ui8 ай бұрын
hako kadada kalichovaa blauz nyeupe ni kadhuri aisee
@afterfull-time13487 ай бұрын
Mkimhoji uyo dada atafaidi ama? Acheni roho mbaya
@AllyMaketa6 ай бұрын
Nakupata rich msafi
@abrahamkhalfan23377 ай бұрын
mapresenter wako field wasengenyaji tu ,inamaana uyo dem hamumuoni au,lesa mkust mkubwa akili kisoda
@joh__shite838 ай бұрын
WADADA KWELI AMPENDANI huyo.dada ajaulizwaa swali pakaa sasa kweli yan ko amekujaa kufanyaa nn hapoo😅😅
Uwepo wake tu umetosha acheni u hasi😂 hata hivyo ukiangalia part two utafuta hii comment
@kihombobadman9388 ай бұрын
Ndio ukazan nn Wana chukiana madem kwa madem
@nabiiplatnumz1478 ай бұрын
Tatizo Lililopo Hapo Ni Kwamba Wivu Umeingia Ukimuangalia Huyo Mdada Comedian Na Hao Watangazaji Ni Vitu Viwili Tofauti Yaani Ardhi Na Mbingu Ndio Maana Wamembagua
@paulalove12238 ай бұрын
Hawa wote ongea yao imebadilika😂 angalia TX
@user-kg5gp1mm1c8 ай бұрын
Mbona huyo dada hajaulizwa chochote
@user-ho8lh9ke2d8 ай бұрын
Mbn huyo dada haongei au ni vile anatoka na tx
@GaudensiaSiriwa-ct1wx7 ай бұрын
Wanachekesha sana hao watu jaman
@vannvannjokes22398 ай бұрын
Kumbe Ile Ni karatasi Shingon ya mtumishi ndio maana inatoka tokaga😅
@odilomwakamela48893 ай бұрын
Atakuja kuwa Mtumish kweli
@mawazolaita22483 ай бұрын
Naitwa Chita kutoka mitaa ya osterbay Aiseee huyu jamaa anatisha sana atoe ngoma aisee nilikuwa nataman asimalze kila anapo rap,
@omarabdulaziz37868 ай бұрын
Huyu Tx mjinga sana😂😂
@jumanneyassini8 ай бұрын
@eastafrica radio mfanye mnunue MAIC Bwana hiyo radio kubwa maic moja wana share watu 7😂😂😂
@Lawimbosso7 ай бұрын
Mbona camera za EATV zinaonyesha ukungu alf hiz za EAradio zinauhafadhali
@abdulabdallh95068 ай бұрын
Obamatz
@saidabdurahman96318 ай бұрын
Aisee huyu muha huyu 😂😂😂
@user-vr6gj8ie5r5 ай бұрын
Mh
@mnyamwezijuma11408 ай бұрын
Hawa ndo wachekeshaji sasa 😂😂😂
@qweeniepoul78427 ай бұрын
😂😂😂 nacheka kama mazur
@khalidjafary11208 ай бұрын
Next please 🎉🎉
@aaysays3258 ай бұрын
Mbon mnarudia watu wale wale na huy dad apo jaman mbonz hamumuuliz maumbwa nyie mnaroho mbaya
@issaleonard45768 ай бұрын
Eti ualimu wenyewe tu unachekesha ila tx dulla😅😅🙌
@user-kl6gk9gt9k4 ай бұрын
Mtumishi nimetokea kumkubali
@denicstivin51797 ай бұрын
Sasa huyo dada kma hapewi mic ajiongeze tu asepe wanawivu nayee
@user-vl2he7qy6h6 ай бұрын
Uhakik
@buoliofficial8 ай бұрын
Mbn hhyo sister mwenye mapembe ya nywele ana haibu ni mchumba wa nani??😮😮
@denchuga68 ай бұрын
Huyobebeee anaitwa nani ukiachana na lesaaa
@simonballu11248 ай бұрын
nyie mnazingua mbona hako kadada karembo hamkahoji au kwa vile kamewazidi uzuri.
@baloziwairamba79457 ай бұрын
Nyie madada ni mamende tu kwahiyo huyo dada hapo kaja kuuza sura?
@frankmwakajila46528 ай бұрын
Mbona Obama mtumishi na chard talent hawajatajwa, please hizo ni kazi za watu msiwachukulie poa
@nelsonamwayi8 ай бұрын
Bandoo mc mm mkenya msaniii nakufuatilia sana
@basilkaslingi4417 ай бұрын
Yule ostazi yuko wapi?
@user-xn7zw9ym6y8 ай бұрын
Ila,walmu wa Maths😂😂😂
@user-uh2qv4fj9e8 ай бұрын
Tx hatar😂😂
@bashiruhassani10178 ай бұрын
Ndaro c mkubal ata robo
@mussanachele51997 ай бұрын
😂😂😂😂😂baba mtumishi ananivunja mbavu
@hassanhancha14138 ай бұрын
😄 🤣 hawa jamaa bhn
@evaristkomba31847 ай бұрын
Mnaocomment huyo dada hajaulizwa chochote mna chuki zenu hizo interview zipo 2 zimepostiwa ile nyingine walishampa airtime mnalaumu bila hata kujua non sense
@officialnkuyehe79607 ай бұрын
Hawa jamaaa nawakubali sana
@breakthroughfx8 ай бұрын
Mmezngua EATV ko kumuhoj pink mmeon atafaid sn kobe nyie