UTACHEKA! VITUKO Vya BARAKA MAGUFULI Kwenye KAMPENI ya MAMA SAMIA SULUHU, WATU Wote HOI...

  Рет қаралды 287,741

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

UTACHEKA! VITUKO Vya BARAKA MAGUFULI Kwenye KAMPENI ya MAMA SAMIA SULUHU, WATU Wote HOI...
MCHEKESHAJI anayetumia njia ya kuigiza sauti ya Rais Magufuli maarufu kama, Baraka Magufuli, amewachekesha wananachi waliohudhuria kwenye kampeni za mgombea mwenza Urais, Mama Samia Suluhu...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 175
@frankzagarino3683
@frankzagarino3683 3 жыл бұрын
Kaka umeweza, hongera sana Kutoka 🇰🇪
@wahiduitsverycommentmane5421
@wahiduitsverycommentmane5421 3 жыл бұрын
Hahahah adii raha jmn ccm ni noma sana nimefurah adii bas apewe ata udiwani jmn huenda atafanya mazuri Kama magufulii nimefurah alipo sema nchi za jirani zilitamani corona itufanye tuzagae na wamezagaa zagaa waooo hahahah kenya mpo au amjasikia iyo clips apoo hahhaha kenya oyeee Uhuru oyeee mtajijuuuu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@rajabuchina1527
@rajabuchina1527 3 жыл бұрын
Huyo jamaa anajua sana kaka ccm Namba liwani
@rwandaafrika6173
@rwandaafrika6173 3 жыл бұрын
Ameen 💪✈🙏 C.C.M chama cha Mapinduzi ambao kinafa hamu haki ya binadamu na wanyonge
@queensjuma1832
@queensjuma1832 3 жыл бұрын
Jamani baba etu ebu mpeni japo kisehemu na yy apo ikulu yupo vzr huyu kaka km magufuli vile anavyoongea Jamani naipendaga sana 😄😄 sirudii m. B zangu CCM oyeeeeeeeeeeh 👍👍👍👍👍👍👍....
@binbaya923
@binbaya923 3 жыл бұрын
Huyu jamaa kiboko. Respect bro
@mosesharerimana278
@mosesharerimana278 3 жыл бұрын
Huy braza huwa ananimalizaga sn😂😂
@djmeza411a58
@djmeza411a58 3 жыл бұрын
Barack magu oyeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿👏👏👏🙏🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🇹🇿
@rosedaudy2254
@rosedaudy2254 3 жыл бұрын
🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋😋🤣🤣🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@hassanmsipi4094
@hassanmsipi4094 3 жыл бұрын
Ila mzungumzaji wa kwanza amemtoa kwenye mood Baraka
@shukranitv2971
@shukranitv2971 3 жыл бұрын
Unajuuuaa kuupangilia maneno ya maguuu
@BitiaMwalongo
@BitiaMwalongo 3 ай бұрын
Ulale Mahara pema peponi baba wa taifa ,mtani wangu magufuri😢😢😢😢
@agiasaidi5294
@agiasaidi5294 3 жыл бұрын
MashaAllah
@madiyaahmad7453
@madiyaahmad7453 3 жыл бұрын
Duniani wawili wawili yaani unanikosha kweli
@annabupamba7258
@annabupamba7258 3 жыл бұрын
Iuui I'm Ñ Maybe Mm mm My
@elishamwalupaso7848
@elishamwalupaso7848 3 жыл бұрын
Nimekubali ccm oyeeeeee
@VenasJoseph
@VenasJoseph 2 ай бұрын
Daa hivyo nimeipenda
@ericmbonabucha5790
@ericmbonabucha5790 3 жыл бұрын
hongeraaaaaaaaaa mzeee magu
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 3 жыл бұрын
Safi,,,,,Jamaa yuko sawa kbs
@safariautoservice7032
@safariautoservice7032 3 жыл бұрын
Yani jamaa anavuta shati kama MH Magufuli. Heehhh kali kweli
@user-dx4qp7sg4w
@user-dx4qp7sg4w 7 ай бұрын
Mtangazaji kamrushia baraka kwa kutumia lugha y kumpa Hali y tofauti na alivyokuwa awali...
@menyajoseph9729
@menyajoseph9729 3 жыл бұрын
Kama JPM thanks for your comedy
@albertgilbert1664
@albertgilbert1664 3 жыл бұрын
Nice
@japhetdaud3781
@japhetdaud3781 3 жыл бұрын
Baraka unawezay
@faithsaulo4289
@faithsaulo4289 3 жыл бұрын
Oyeee
@mustaphairunde7147
@mustaphairunde7147 3 жыл бұрын
Unawezaa brooo mdaburo juu
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 3 жыл бұрын
Safi sana
@EmannuelJohn-pj5mk
@EmannuelJohn-pj5mk 7 ай бұрын
Hongera sana kaka
@festoavither6065
@festoavither6065 3 жыл бұрын
Mwambaaa umetisha
@alfredjohn5693
@alfredjohn5693 3 жыл бұрын
Moja ya talent kubwa sana
@BenjaminRajabu
@BenjaminRajabu 4 ай бұрын
Mr melick
@annelisejohns8777
@annelisejohns8777 3 жыл бұрын
Doctor pombe magufuri wakweli
@selector728
@selector728 3 жыл бұрын
Magufuli siyo magufuri
@mweusjiga6873
@mweusjiga6873 3 жыл бұрын
Uko vizili kaka wapaxheee
@farajaoyoo9675
@farajaoyoo9675 3 жыл бұрын
Faraja
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 3 жыл бұрын
Huyu magu kabisa kiukweli
@zenamilanzi1471
@zenamilanzi1471 3 жыл бұрын
Haaa wewe kiboko kwa sauti ya magu ongera
@user-gl2lx7tg4e
@user-gl2lx7tg4e 5 ай бұрын
Hakuna watu hapo xaiz hamn xelikali wapigaj mtup
@iddmrimi6014
@iddmrimi6014 3 ай бұрын
Mwenyezi MUNGU akupunguzie Adhabu Kaburini Na akutoe mchanga machoni mwako JPM Ipo siku ttaona2 popote Duniani aminiiiiiii! Na Woteee waliotangulia mbele ya khaki mwenyezi mungu Makaburi yenu Yaww NURU Kwenu inshalla!
@user-rj6qq7tg8t
@user-rj6qq7tg8t 9 ай бұрын
Mtu huyu ajengewe Sanam pare stend ya mbz
@zaitunimrisho1062
@zaitunimrisho1062 3 жыл бұрын
Duuh,huyu kweli Baraka Magufuli anaiga vizuri sauti ya Rais Magufuli
@jemimapamen4367
@jemimapamen4367 3 жыл бұрын
Good
@martinpatrickodhiambo2806
@martinpatrickodhiambo2806 3 жыл бұрын
Apo sasa. Ccm mbele magufuli tena
@safari5774
@safari5774 7 ай бұрын
Uyu jamaa amefanana sana na gufuli kweli yuko na kipaji
@vnhcstudios1943
@vnhcstudios1943 3 жыл бұрын
Aiseeeeh
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@SuperKibwana
@SuperKibwana 3 жыл бұрын
Safi sana aisee
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 8 ай бұрын
Jamaa anaweza jaman mnatukumbusha mbali sana tumuenzi hayat magufuli Kwa Yale yake mazuri yote aliyo yaacha.
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 8 ай бұрын
Kiukweli watanzania tunafurahi sana Kwa kumkumbuka Mzee wetu magu.
@suleimanali5270
@suleimanali5270 3 жыл бұрын
Umejitahidi ila baki kama Baraka igiza sauti na mengine ila nafasi na heshima yake
@hawahashimu7751
@hawahashimu7751 3 жыл бұрын
Oooo
@shukranitv2971
@shukranitv2971 3 жыл бұрын
Kaka wew unaweza Sana ila wankubania tu muda
@enockndesarioh9930
@enockndesarioh9930 3 жыл бұрын
Inapenzaje?
@sniper93999
@sniper93999 3 жыл бұрын
Mbunge mteuliwa insha Allah 2020
@hajjimakame8584
@hajjimakame8584 3 жыл бұрын
Januar makamba
@suleimansmj9482
@suleimansmj9482 3 жыл бұрын
Ccm mm nawe dam dam daima ctokuangusha hakika nakupenda peke ako
@vumiliareonard4718
@vumiliareonard4718 3 жыл бұрын
Jamani ccm ni noma
@KINYONGATZTZkinyonga
@KINYONGATZTZkinyonga 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@peterkasenene5501
@peterkasenene5501 3 жыл бұрын
Japo anachekesha hua anaongea point
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 2 жыл бұрын
Mama samia mpee kaz huyu hat yakuwa mshauri wako anauwezo na maono pia jamani
@danielerasto8048
@danielerasto8048 3 жыл бұрын
Magufuri wa iringa sio mwanza BG up sana
@user-uy8vp1fr7e
@user-uy8vp1fr7e 4 ай бұрын
Anatisha
@rodrickgerald6151
@rodrickgerald6151 3 жыл бұрын
Baraka unaweza mbaka unaboa duuhh
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 жыл бұрын
Eh kama magufuri
@michaelsiweya6500
@michaelsiweya6500 3 жыл бұрын
ILa Baraka Magufuli kakosea kuchanua ndevu kwenye kidevu...Magu hawekagi hizo ndevu kivile
@nufantv5373
@nufantv5373 3 жыл бұрын
Naomba huyu mtu aendelezwe zaidi
@aminamwangile4020
@aminamwangile4020 3 жыл бұрын
Steve nyerere kapata mwenza
@athmanchihangu3384
@athmanchihangu3384 3 жыл бұрын
Jamaa anajua kuiga
@bonifaskalinga7381
@bonifaskalinga7381 3 жыл бұрын
namkubari Sana uyo jamaaa
@rosevalentin2330
@rosevalentin2330 3 жыл бұрын
waoooooo jaman uyu baba
@Georgekipusa
@Georgekipusa 3 жыл бұрын
Du jamani Mungu huyu
@hanscarlos4708
@hanscarlos4708 3 жыл бұрын
Keep it up BARAKA
@geofreyjacob6452
@geofreyjacob6452 3 жыл бұрын
Keep it up BARAKA
@monicaluoga3112
@monicaluoga3112 3 жыл бұрын
Respect sana kwako 😂😂😂😂😂
@babamimutye145
@babamimutye145 3 жыл бұрын
Jamaa kipaji
@user-sw1kv5px8f
@user-sw1kv5px8f 8 ай бұрын
Soja
@husnamfuko6136
@husnamfuko6136 3 жыл бұрын
Serekali yamagu impe kanafasi
@lawaishekhestarboy657
@lawaishekhestarboy657 3 жыл бұрын
Ni yeye!!!!! Ni magu yuleyule
@user-jz8sj5us1h
@user-jz8sj5us1h 3 жыл бұрын
Duu atali sana🤣🤣😁😁
@eliudimastertz3635
@eliudimastertz3635 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂hatar sana
@kennedymboma8268
@kennedymboma8268 3 жыл бұрын
Baba yupokazini
@geofreyjacob6452
@geofreyjacob6452 3 жыл бұрын
Nawakubali akuna watu wazuri kama viongoz wa CCM
@geofreyjacob6452
@geofreyjacob6452 3 жыл бұрын
Kwa nguvu za mungu magufuli atakuw rais
@abdullasuleiman4477
@abdullasuleiman4477 3 жыл бұрын
P
@xerxespersian1384
@xerxespersian1384 3 жыл бұрын
Sio mchezo
@suleimanalisaid3178
@suleimanalisaid3178 3 жыл бұрын
Munachekeshwa na hao komedi hamna jipywa
@johnsport294
@johnsport294 3 жыл бұрын
Tatizo nn mkuu
@prettynesspastory3111
@prettynesspastory3111 3 жыл бұрын
Una tatizo gani kwani mkuu? Unaharisha tukuletee fragile au? Komed ulizofanya we ziko wapi tuzione
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 3 жыл бұрын
Ww kama hujacheka nn umeletwa huku?
@linahsemindu9575
@linahsemindu9575 3 жыл бұрын
@@prettynesspastory3111 achana kuwajibu mataila,ndugu yangu hao wanawivu wa chama😂
@jamillahmujungu2253
@jamillahmujungu2253 3 жыл бұрын
Pole ndugu. Kwani kampeni ni ugomvi. Unataka wanune. Au ulitaka waweke maji mdomoni? Hao wasanii ni watu wenye akili timamu na wanajitambua. Wanakubali na kutambua kazi kubwa ya kuijenga nchi aliyofanya Mhe Magufuli. Wameamua kufikisha ujumbe kupitia sanaa zao kumpongeza Rais wetu mpendwa. Mhe Rais. Nyinyi wapinzani "Mtakufa nacho kijiba cha Moyo"
@Babu-vk9mo
@Babu-vk9mo Ай бұрын
Barbara mangufuli
@nurukitomary8087
@nurukitomary8087 3 жыл бұрын
😂😂😂
@ramajuma7880
@ramajuma7880 3 жыл бұрын
Balaka katisha atal
@elizasteven3558
@elizasteven3558 3 жыл бұрын
Rashidi msogoti
@allenudindo3803
@allenudindo3803 3 жыл бұрын
Haaaaaaahaaaaaa
@jonasbujiku8260
@jonasbujiku8260 3 жыл бұрын
Safi kabisa aisee
@suleimanalisaid3178
@suleimanalisaid3178 3 жыл бұрын
Tumewachoka ccm mutaendea na hizo comed zenu tu
@Dm-yd1tl
@Dm-yd1tl 3 жыл бұрын
Fungulakimi empty
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 3 жыл бұрын
😂😂😂
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 3 жыл бұрын
Unajuaa fungu la kumi sio lazima anampa mtu hadharani so usifurahi kwa maana ametoka empty bro hajui kiloshofata na watu kama wewe dio wale wanatumia mwezako akifanikiwa du
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 3 жыл бұрын
@@frediricknandonde1690 unasheka nini sasa
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 3 жыл бұрын
@@jarsaduba2626 maanake mikutano yake mingi alizoea kupata hilo fungu la kumi na aliona leo mafungu yangekua makubwa 😁😁
@Dm-yd1tl
@Dm-yd1tl 3 жыл бұрын
@@jarsaduba2626 hahaha mskilize vzur misinamaana hio. Najua kashalipwa hawezi vamiatuu shuhuli nahawezi itwatuu Kama wemyeshuhuli hawatambui uwepowake. Usiwe mvivu wakufikiria sikuana maanahio. Msikilizevzuri nauwemwepesi wakuelewa kinamahali alilitaka hilofungu aliongea kwanukta Kwa fumbo.
@theresiakamote883
@theresiakamote883 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@boniphacedaudi7170
@boniphacedaudi7170 3 жыл бұрын
Kwanini,mmekula lambilambi za tetemeko kagela
@selector728
@selector728 3 жыл бұрын
Siyo kagela sema kagera
@abdullahsultani4377
@abdullahsultani4377 3 жыл бұрын
Ilo choko iloo toka tala weeee njaaa tu
@abdullahsultani4377
@abdullahsultani4377 3 жыл бұрын
Mi nasemaga majitu yanayoipeda ccm nimataaira cmaliona hili choko
@paulmaziku240
@paulmaziku240 3 жыл бұрын
Na yanayoichukia ni malofa
@suleimansmj9482
@suleimansmj9482 3 жыл бұрын
@@paulmaziku240 hahaaaaaaaaaaaaa naam mbona watapata tabu sanna ccm baba letu Mimi kuihama ccm labda kufa bila hivyo nitaendelea nayo
@jamespeter2639
@jamespeter2639 3 жыл бұрын
Mmebaki hivyohivyo ndo mnatufanya watanzania Kama Midori mtuchekeshe wakati njaa mpaka mifukoni
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 3 жыл бұрын
Kwan lazima ucheke
@hamadali9159
@hamadali9159 3 жыл бұрын
Kula kwanza
@raphaeltmasu4318
@raphaeltmasu4318 3 жыл бұрын
Lima tanzania kubwa
@saidhuma9739
@saidhuma9739 3 жыл бұрын
Fanya kazi acha polojo
@kondesaidi2040
@kondesaidi2040 3 жыл бұрын
Kalime broo,,kwani ukusoma ukitaka mali utaipata---
@evansmlalo4049
@evansmlalo4049 3 жыл бұрын
CCM NA RUSHWA ZENU MKIPONA SAFARI HII MBELE YA CHADEMA NA ACT WAZALENDO NITAAMINI NYIE WACHAWI NA CCM MKILETA ZA KULETA MUMEWAKARIBISHA G10 na G20 KUJA KUTOA MAAMUZI.
@malaikamushi6032
@malaikamushi6032 3 жыл бұрын
Kwani miaka yote hao hawakuwepo 5 mingine ccm hoyeeeeeeee nakukera tuu
@mwlelishamathayo6528
@mwlelishamathayo6528 3 жыл бұрын
Utasubir sana G10 watafanya maamuzi kwako
@monicaluoga3112
@monicaluoga3112 3 жыл бұрын
Kwn unateseka?
@saimonbagwanya7052
@saimonbagwanya7052 3 жыл бұрын
Umefilisika kimawazo ww hoja uliyoitoa niyakimaskini njoo ujifunze ccm
@suleimansmj9482
@suleimansmj9482 3 жыл бұрын
@@saimonbagwanya7052 hahaaaaaaaaaahaaahaaa
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 3 жыл бұрын
Safi,,,,,Jamaa yuko sawa kbs
@malaikamushi6032
@malaikamushi6032 3 жыл бұрын
Safiiiii 5 mingineee
@calvinkapinga8341
@calvinkapinga8341 3 жыл бұрын
kama yeye
@calvinkapinga8341
@calvinkapinga8341 3 жыл бұрын
nimeona askari akitabasamu
@eliamwasomola5074
@eliamwasomola5074 3 жыл бұрын
Unachefua ukidhani sifa kumbe uchafu
@lizybaibyrichard6277
@lizybaibyrichard6277 3 жыл бұрын
We upendi ccm kwhy usichukie talent ya mwenzako
Duh! Barakah Magufuli AMVUNJA MBAVU Rais MAGUFULI, Amwagiwa PESA..
5:08
Global TV Online
Рет қаралды 588 М.
MASANJA AIGIZWA LIVE NAYE AKIWA HAPO HAPO
14:23
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 902 М.
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 12 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 24 МЛН
BARAKA MAGUFULI AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU,AWAITA WABUNGE
6:30
Global TV Online
Рет қаралды 492 М.
TAZAMA OSCAR NYERERE ALIVYOMUACHA HOI RAIS SAMIA, AITWA KUTUNZWA
6:20
NAKUPENDA MWALIMU NIKUVALISHE PETE  STEVE MWEUSI
14:04
Mweusi Family
Рет қаралды 5 МЛН
Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!
13:43
CHEKA UONGEZE AFYA-VUNJA MBAVU, AFYA COMEDY
16:36
AFYA COMEDY
Рет қаралды 506 М.
Rais Magufuli afurahi kukutana na Pacha wake Mafinga Mjini
3:47
Amanitz News
Рет қаралды 2,1 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
25:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 1 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН