Balikiwa saana Mtumishi tunabalikiwa sana na mafundisho hayo ya kutusaidia kujuwa ukweli hasa; Naona siku ya mwisho viongozi kufuatana na vitabo hivyo watanawa washiriki wao!Maana ukweli wamewawekea wazi Ila hawana mda wakutafuta huo ukweli!Mungu atusaidie