Рет қаралды 590
Kwaya iliyoundwa na UMOJA WA WANAUME WAKATOLIKI (UWAKA) kutoka katika Kigango cha Mkwajuni, Parokia ya Mwambani, Jimbo Kuu la Mbeya leo wameweza kuongoza Adhimisho la Misa Takatifu katika Dominika ya Mwisho wa Mwaka wa Kanisa maarufu kama Dominika ya Kristo Mfalme.
Ni baada ya mazoezi ya wiki moja tu wameweza kuleta mapinduzi makubwa yanayoamsha kwa Vyama & Mashirika na Jumuiya (VMJ) nyingine ndani ya Kanisa Katoliki katika kulitegemeza Kanisa.
PONGEZI nyingi kwao 👏👏👏