''NIITENI MBWA - SITOKI HAPA - MPIGIE CHONGOLO'' - MZEE MBELE ya MAKONDA AMLIPUA BOSI wa MADINI.,..

  Рет қаралды 191,272

Global TV  Online

Global TV Online

2 ай бұрын

''NIITENI MBWA - SITOKI HAPA - MPIGIE CHONGOLO'' - MZEE MBELE ya MAKONDA AMLIPUA BOSI wa MADINI.,..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 182
@bahatilaizer8706
@bahatilaizer8706 2 ай бұрын
Kusema ukweli kabixa makonda upo sawa kabixa Mungu akulinde tu Baba
@imranhassan9994
@imranhassan9994 2 ай бұрын
🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟 ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani... ✍️ Ila mimi kutoka kwetu Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 MAKONDA na Nimeipenda Kazi ya 🇹🇿 Mama SAMIA Na Mungu Awalinde popote walipo...
@user-mm4uy7cy9w
@user-mm4uy7cy9w 2 ай бұрын
Allah umlinde raisi wetu kipenzi za mh makonda😷🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 2 ай бұрын
Amen
@jacobsabore9822
@jacobsabore9822 Ай бұрын
Amen sana
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 ай бұрын
Makona anasimamia mkoa utafikili anasimamia Tanzania kwahiyo Tanzania wenye madini niwachache na wenye huluma na wananchi niwachache tungekua na viongozi kama hawa 10 nchi ingekua imefika mbali wengine wanajali matumbo yao respect sanaaa makonda🙏🙏🙏💯💯
@BazuuKanakarha
@BazuuKanakarha 2 ай бұрын
We sio makona anaitwa makonda🤣🤣
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 ай бұрын
Mungu Mkuu Baba yetu wa Mbinguni, Upewe sifa na shukrani kwa kutupenda. sio kwamba sie ni wema lakini Wewe ni Mwema kwetu na Unatupendelea. Twakushukuru mno ZEE wetu wa mbinguni; Baba Utukuzwe kwa yote
@JamesMakuri-ik6gj
@JamesMakuri-ik6gj 2 ай бұрын
Hakika,mungu hawatupi waja wake ..na maan kwamba mam piy hawatupi wanawe na ndy maaan akakuteua wew baba mak0nda kuwatibulia matatz0 na mig0g0r0 ya0.. AMINA SAN UBALIKIWE MAK0NDA PAUL🙏🙏🙏~=
@hadijamshimbula7616
@hadijamshimbula7616 2 ай бұрын
Najikuta nampenda huyu babaa MUNGU AMLINDE
@ttss7716
@ttss7716 2 ай бұрын
Mungu akulinde makonda me si mtanzania lakini mungu akupe jannat fridhaus inshallah 😢😢😢😢
@JamilaSaid-we7rk
@JamilaSaid-we7rk 2 ай бұрын
Ww si Mtanzania ni wawapi
@user-iu4du7ws6s
@user-iu4du7ws6s 2 ай бұрын
Makonda be blessed you are Man of God
@AyeshaAyesha-xr8fc
@AyeshaAyesha-xr8fc 2 ай бұрын
Mungu azidi kuku saidia makondo unatusaidia sana
@agnessslaa1897
@agnessslaa1897 2 ай бұрын
RC.Makonda he'z the best and very straightfully that's my lifestyle kiukweli napenda mfumo wako wa utendaji hupindishi pindishi Mungu akulinde mno.
@OscarGregorymosha
@OscarGregorymosha 2 ай бұрын
MH makonda Mungu akutunze Sana wewe ni jicho LA Yesu kwa wa Tanzania kwa neema ya mungu itakua
@hafsahamadi8463
@hafsahamadi8463 2 ай бұрын
Nipo germany 🇩🇪 mm ni mtanzania nafatilia sana mijadala ya Mh makonda Mungu amlinde huyu kiongozi
@user-uj9zn6mj5b
@user-uj9zn6mj5b 2 ай бұрын
Mh. Makonda mwenyezi Mungu akubariki Mungu amekupa maono makubwa umenifundisha mema na mazuri kupitia uongozi wako wa kuwa na hofu ya Mungu kwa kutenda haki
@leoniaolomi6779
@leoniaolomi6779 2 ай бұрын
NATAMAN MH MAKONDA APELEKWE KILA MKOA JAMAN
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 2 ай бұрын
Allah akulinde makonda wetu namahasidi wanaotuonea wanyongee 😭😭😭😭😭😭🥰🥰🥰🥰🥰😘😘😘❤️❤️❤️
@lilyshayo761
@lilyshayo761 2 ай бұрын
Ila Arusha du kwa wavamizi na matukio ua dhulma du nakumbuka shamba letu lilirudi kwa neema ya mungu na mkuu wa wilaya ya meru Jerry muro❤du tu nahitaji maombi sana arusha
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Muro naye alikuwa anafaa sana
@RamadhaniIddy-zo7xt
@RamadhaniIddy-zo7xt 2 ай бұрын
Safi makonda endelea kutatua kero za wananch wako ndio tunataka viongoz nawengine wakuige Asante mungu akulinde
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 2 ай бұрын
Jamani kweli madudu yapo hivi Mungu atusaidie.Mungu amwinue Paul's Makonda kuwa Raisi ajae
@LudovickBatiho
@LudovickBatiho 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Akuzidishie maono hayo ya kusaidia Wananch
@sethyotham
@sethyotham 2 ай бұрын
Makondo noma sana aisee...mwamba anajua sana.. Mungu akujalie sana uhai. Kaz njema mkuu
@lonjinoedward3539
@lonjinoedward3539 2 ай бұрын
Next president in tanzania 2040
@sallynakey_tz
@sallynakey_tz 2 ай бұрын
2040 mbali sana mzeee 2030 tu
@RuceMwinuka
@RuceMwinuka 2 ай бұрын
Mheshimiwa makonda mafisadi sio wapo arusha tu hata mbeya wapo sana na maskini wanapata shida sana,mungu akubariki kwa kutetea wanyonge, gombea urais utachukua kula kama zote.
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 2 ай бұрын
CCM watamua
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 2 ай бұрын
Kwani mbeya hawapo wakuu wa mikoa
@IsayaEmmanuel-fn5if
@IsayaEmmanuel-fn5if Ай бұрын
mungu ame shusha Neema Arusha makonda mungu akupe Neema🙏
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Ndugu zangu, Ardhi imeshakua shida kweny nchi yetu. Tuweni makini sanaa .tunaweza kuamka sku 1 hii ardhi ya Tanzania ina Mgogoro yote
@golebenson4597
@golebenson4597 2 ай бұрын
Migogoro kila siku
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Hahaha
@eng.kivuyo12
@eng.kivuyo12 2 ай бұрын
Global Tv mko vizuri kwenye content
@DiniMwambashi
@DiniMwambashi 2 ай бұрын
Kaka yangu makonda nakuombea kwa mungu nakufananisha na ile nyota iliotupa matumaini ya kutamani kuendelea kuishi mungu akubariki sana
@RuceMwinuka
@RuceMwinuka 2 ай бұрын
Mungu akubariki makonda akuinue kwa viwango vya juu
@omarypanga4064
@omarypanga4064 2 ай бұрын
Makonda uko vizuri, mungu akupemaisha malefu.
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 2 ай бұрын
Makonda endelea na huo moyo Mungu atakupigania unawasaidia sana watu wenye shida
@nurumligo4862
@nurumligo4862 2 ай бұрын
Makonda, Mungu akupe maisha marefu
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Mzee Malulu DADEKI big up sana
@oscanyakunga
@oscanyakunga 2 ай бұрын
Mniite umbwa sijui kafundishwa nanan?
@joycemwango943
@joycemwango943 2 ай бұрын
Ubarikiwe mheshimiwa MAKONDA,,kwa kusikiza kero za wanaichi
@user-xx9tc7uv3c
@user-xx9tc7uv3c 2 ай бұрын
Mimi nampenda sana makonda na ananitoa machozi Mungu Akufadhiri na uzao wako wote matendo haya yatakufuata
@Darian2550
@Darian2550 2 ай бұрын
Kazi hii ilipaswa kufanywa na Wanasheria, ni vile tuu nchi yetu ina watu wachache wenye utu na hofu ya Mungu, hususan wataalam..
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 2 ай бұрын
Makonda ata akilipwa pesa analipwa kihalali maana halali anashughulikia kelo za watu
@Nedjadist
@Nedjadist 2 ай бұрын
Makonda hataweza, wala hatamaliza. Tatizo ni mfumo, taasisi na watu kukosa dhamira na dini. WaTanzania walikuwa watu wazuri na wema sana katika Afrika Mashariki nzima. Hadi Azimio la Arusha 1967, lililohalalisha wizi na uporaji wa mali za watu. Laana ya tukio hilo ndiyo inayoendelea na ndiyo wizi na uporaji hivi sasa vimeshamiri na kuwa jambo la kawaida, tena unachukuliwa kuwa ni aina ya 'ujanja'. Si viongozi, si mwananchi wa kawaida, si mashehe,si wachungaji.... Nchi moja ya ajabu sana.
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 ай бұрын
Asante Sana kuna uozo mwingi sana. System imeoza Wanatakiwa kufumua fumua la sivyo huu ujinga hautaisha
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 2 ай бұрын
Msichana wa Mzee malulu. Uko vizuri
@rakastv3558
@rakastv3558 2 ай бұрын
Bongo unaweza kupigwa na aliekupiga akiwahi polisi imekula kwako.. hii ndio inayotokea
@joycemwango943
@joycemwango943 2 ай бұрын
Mh,, MAKONDA Mungu akulinde
@ondieckotoyo1143
@ondieckotoyo1143 2 ай бұрын
Rushwa ni aduhi wa haki alisema nyerere
@MsafiriZakayo-pu5bx
@MsafiriZakayo-pu5bx 2 ай бұрын
Hili jamaa la ofis ya madin ongo😅
@josephkanut6368
@josephkanut6368 2 ай бұрын
Big up sana
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 ай бұрын
Huyo jamaa wa madini anaonekana ni mwizi
@MaryFrancis-mz6zs
@MaryFrancis-mz6zs 2 ай бұрын
Akika mungu awenawe makonds
@Nedjadist
@Nedjadist 2 ай бұрын
Duh! Watu wengi namna hii hawana imani na serikali!
@mussamussa9446
@mussamussa9446 2 ай бұрын
hao jamaa ofisi ya madini wamedhulumu haki ya huyo mzee.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Ni kawaida serikali ina watumishi wezi sana 😢
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Hi nchi hata ina fika mda mtu una ogopa kumiliki ardhi😢
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
Hahahahahaha Makonda bana eti utafikiwa tu we chochea maombi hahahahaha
@justice607
@justice607 2 ай бұрын
Jungle master 😎😎
@evelynchitambo4728
@evelynchitambo4728 2 ай бұрын
Chuma kama Makonda ni vichache sana duniani na hua wanapigwa vita kubwa na wasio penda haki Wenyezi Mungu akufunike kwa mwavuli wake wa ulinzi tunakuombea sanaa.
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 2 ай бұрын
Daaah! Inachekesha ila inahuzunisha sana😂😂😂😭😭😭
@CathyMathias-bx4ft
@CathyMathias-bx4ft 2 ай бұрын
Rais wetu jaman kugundua arusha kuna shida. Aongezewe miaka mingi ,, makonda oye
@user-kw5pb9dd7p
@user-kw5pb9dd7p 2 ай бұрын
Hongereni wana Arusha
@alinadee8207
@alinadee8207 2 ай бұрын
Hii musee naongea km lebo na senteu😂😂😂😂
@user-pn5gv7ix3g
@user-pn5gv7ix3g 2 ай бұрын
Mh Makonda unastahili kushika wadhifa wa Waziri Mkuu ili utaratibu wako wa kutatua kero za wanachi wanyonge na wapiga kura na walipa kodi ufanyike nchi nzima kwa usimamizi wako wa karibu!
@leonidaluwago6796
@leonidaluwago6796 2 ай бұрын
Nimefurahia kukusikia Denis!huyu Denis kwanza ana akili Sana pia ni mtu mwenye kupenda haki ana huruma Sana ulituongezea kidato Cha kwanza Hadi Cha nne unastahili kazi hiyo!
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 2 ай бұрын
Kweli Arusha ni nchi nyingine aseee 😂
@AmedeusiMassawe-hb7rj
@AmedeusiMassawe-hb7rj 2 ай бұрын
Makonda umechelewa sana kuja Arusha kaka
@BilhaLaizer
@BilhaLaizer 2 ай бұрын
Na mimi namuombea raisi wetu Mungu amlinde,Na Mungu wangu asisimiache Makonda bila ulinzi wa kiugu,ni mtu aliekosekana kwa mda Arusha,sasa ni wakati wa Bwana na Bwana akatende sawa sawa na mapenzi yake
@amosmahona433
@amosmahona433 2 ай бұрын
🙏
@michaelyusuph9143
@michaelyusuph9143 2 ай бұрын
Nipo INDIA ila nafuatilia sana mikutano ya makonda Mungu amlinde
@SmilingCabezonFish-eg9lo
@SmilingCabezonFish-eg9lo Ай бұрын
Makonda pole na kazi ya huko Arusha ss Wana Kilimanjaro tuna kuombaukaribie huku tembo Wana tutesa sana watu wamemaliziwa mazao yao watu wa kufa njaa
@ondieckotoyo1143
@ondieckotoyo1143 2 ай бұрын
Corruption toomuch
@BarnabaChota-tw7ol
@BarnabaChota-tw7ol 2 ай бұрын
Kumbe uongozi ni kazi
@mussaissa6796
@mussaissa6796 2 ай бұрын
JANGO KESHADHULUMU TENA HUKO!! HUYO MZEE DHULUMA NDIO ALAMA YAKE YA UTAMBULISHO MAHALA POPOTE PALE.
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Duh kumbe ndo zake..?
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
Duh,ni nani huyo 🤔
@ttss7716
@ttss7716 2 ай бұрын
Me uwa nikiona hizi mada za makonda me ulia kila siku😢😢😢😢yani myonge ana haki lakini kwako ndo ana pata haki😢
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Wanyonge wana teseka sana nchi hii😢😢
@mohdymuddy-464
@mohdymuddy-464 2 ай бұрын
Mnapotaka msaada wa kisheria msitilie uongo ndani yake...mtajikuta mnaumia zaidi😊
@ttss7716
@ttss7716 2 ай бұрын
Wanaka kumdhulumu huyu mzee makonda usikubali 😢
@salimmbilu4524
@salimmbilu4524 2 ай бұрын
Kazi anaiweza makonda
@user-gi2sf9sm8t
@user-gi2sf9sm8t 2 ай бұрын
Namuona rais wa 2035 kwa mbaliii✊✊✊anaitwa makonda mtetezi wa wanyonge
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 2 ай бұрын
Hapati wala hapewi
@user-gi2sf9sm8t
@user-gi2sf9sm8t 2 ай бұрын
@@hamidamussa-sy4fm niamin mim mzee
@videralfred8889
@videralfred8889 12 күн бұрын
Haya anayoyafanya Mh makonda Atakosaje urais Muda wake ukifika Wananchi wengi wanamatatizo ya kudhulumiwa wana kero nyingi wamueleze nani
@HenryKasaje-on4xq
@HenryKasaje-on4xq 2 ай бұрын
Nimeanza kukubali makonda apo kweli umeanza kufata haki kwa watu wanao onewa Tz
@ElizabethSalu
@ElizabethSalu 2 ай бұрын
Tunakutakia maisha mwema makonda yenye baraka tele usichoke kusikiliza kero za wananchi
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 2 ай бұрын
Jamaa wa madini kaongea chapu kabla ya makonda hajafika
@irenebeatus9481
@irenebeatus9481 2 ай бұрын
😅😅😅
@jumaiddy9996
@jumaiddy9996 2 ай бұрын
Nom
@mohdymuddy-464
@mohdymuddy-464 2 ай бұрын
Chongolo akisema mimi iko ongo niite mimi umbwa😂😂
@partonmosha8433
@partonmosha8433 2 ай бұрын
Matatizo ya Watz hatamalizwa na Makonda wala Raisi au Waziri, bali KATIBA BORA NA SHERIA IMARA, chini ya MIHIMILI HURU.
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 2 ай бұрын
Nimehudhuria jioni nikasikiliza kiukweli inatia aibu kwa ccm, serikali na watendaji wake. Watanganyika wanateseka sana,hii ni sehemu tu ya mkoa lakini Kwa nchi nzima Hali ni mbaya. Watu tunapowaambia katiba mpya ni muhimu basi tuelewe. Haya mateso yote ni matokeo ya .fumbo mbovu unaopendwa na ccm. Kadiri watu wanavyokuwa na shida Kwa ccm ni fursa na mtaji wa kisiasa. Inafika ofisi za serikali au taasisi kama hospital unakuta daktari anachati ,unakwenda ofisi nyingine humkuti mtu. Tuna taifa la hovyo sana
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 ай бұрын
Ni wachache tunaoelewa uongozi wa CCM ni janga la taifa letu katiba mpya ni sasa
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 2 ай бұрын
Umeona were nchi ya hoovyooo kuwahi kutokea mmeuza bandari zetu ZOOTE MUNGU atalipa
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 ай бұрын
@@MACHOYATAI-jk6fu sio bandari tuu na mbuga zote migodi, Mt Kilimanjaro
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Yani ina sikitisha nchi hii😢
@mohdymuddy-464
@mohdymuddy-464 2 ай бұрын
JUNGLE MASTER😂😂😂mtu mbadi...makonda anaijua vyema hiyo lebo
@user-ub1xk6yz6l
@user-ub1xk6yz6l Ай бұрын
Hivi hizi kero mbona nyingine ni za Kisheria kwanini kwanini baadhi ya zisipelekwe mahakamani?
@petrojacob6070
@petrojacob6070 2 ай бұрын
Huyu kaimu nae ni walewale
@kassimyusuph9470
@kassimyusuph9470 2 ай бұрын
Kilahatua Dua kk WA, TANZANIA TUNAKUOMBEA KK
@japhetnziku3917
@japhetnziku3917 2 ай бұрын
Hizo system za kuhamisha ni kawaida sana
@user-ju5ee1gx2w
@user-ju5ee1gx2w 2 ай бұрын
Matatizo hayo sio tu arusha yapo na mafisa wa morogoro
@deodathrobertquacker3879
@deodathrobertquacker3879 2 ай бұрын
Muheshimiwa umevaa gwanda
@anithaoyudi4586
@anithaoyudi4586 3 күн бұрын
Huyu ni raisi wetu ajae
@NchambiMaduhu
@NchambiMaduhu 2 ай бұрын
Mzee Monabani 💯
@user-tz8yn9uf2k
@user-tz8yn9uf2k 2 ай бұрын
Sawa
@jofreyjulias3745
@jofreyjulias3745 2 ай бұрын
uyumwamba independent sana tumpate mkoa wa rukwa uyomba nakuelewaga sana
@hermenegildempawenayo279
@hermenegildempawenayo279 2 ай бұрын
Utakuwa President wa Tanzania
@JumaOnyancha-se8lu
@JumaOnyancha-se8lu 2 ай бұрын
Watanzania mko swa
@habarinamatukio6148
@habarinamatukio6148 2 ай бұрын
Nimeamini bila makonda Hamna msuruhishi hapo
@RajabuHussein-to7jz
@RajabuHussein-to7jz Ай бұрын
NataMani makonda Aje morogoro
@nayopamlimbatv1382
@nayopamlimbatv1382 2 ай бұрын
Hii issue nilitaka sana kauli ya RC Makonda ila alitoka cjui kwa nini
@alhabibsudi7997
@alhabibsudi7997 2 ай бұрын
Ukitaka kuishi kwa mateso na manyanyaso Basi bakia Tanzania nashkuru Mungu Kuweza kuihama Iyo nchi mwaka Wa 26 Sasa nishasahau shida za huko shimoni
@bernardoleonard7331
@bernardoleonard7331 2 ай бұрын
Upo nchi gan ambayo haina shida?
@ashamkesa979
@ashamkesa979 2 ай бұрын
Tanzania sihami hata kwa fimbo
@alhabibsudi7997
@alhabibsudi7997 2 ай бұрын
Ukishajua itakusaidia nini
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
Hakuna nchi isiyo na shida
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 2 ай бұрын
Hao wa madini ndio tabia yao
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 ай бұрын
Makonda wallah wagekupeleka kwetyu mwanza
@mashakaamosgabinza3893
@mashakaamosgabinza3893 2 ай бұрын
Huu ndiyo utapeli wa nchi hii Wenye pesa anapewa kwenye manufaa
@MbwanaMbaga
@MbwanaMbaga 25 күн бұрын
Da napendasana kufatlia vkaovyakonawananch kakamunguakusimamie huondouongoz saf
@George-jz3jg
@George-jz3jg 2 ай бұрын
We unayesimamia nawe chenga tu
@Bulayampuya
@Bulayampuya 2 ай бұрын
Mhe mkuu wa mkoa makonda nakuombea uendelee kutenda haki