No video

KIJANA ABUNI UMEME WAKE, UNAZALISHWA KWA UPEPO, HAUJAWAHI KUKATIKA MWAKA WA 21 SASA ...

  Рет қаралды 8,839

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

KIJANA ABUNI UMEME WAKE, UNAZALISHWA KWA UPEPO, HAUJAWAHI KUKATIKA MWAKA WA 21 SASA ...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 32
@benjaminjoseph1747
@benjaminjoseph1747 Жыл бұрын
Wow! Ubunifu wa hali ya juu. Hongera sana. Watu wana vipaji, vinahitaji kukuzwaaaa.
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 Жыл бұрын
Kweli wanavyo Ila inge KUWA kipindi Cha MAGUFULI hapo sawa lakini kipindi huki Cha KINA JANUARY MAKAMBA WATAHUKUMIWA kuanzisha mtambo bila kibali JANUARY MAKAMBA KINA NAPE NAUYA WEEE HAIWEZEKANI kuendelezwa MAGENERETOR YA WAZUNGU YATAPATA WAPI MASILAHI
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Ni bora ili tuwakomeshe Tanesco wanao katia wanachi umeme makusudi 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
@gwijitv
@gwijitv Жыл бұрын
Kama umegundua Mzee hamalizi sentensi bila kisema neno KUMBE, Gonga like hapa
@MR.T490
@MR.T490 Жыл бұрын
a very good project well done👍... mungu akufungulien maarifa zaid
@AfricaQueen
@AfricaQueen Жыл бұрын
Dah! Hongera sanaaa Hii Safiiii sanaaa dah! Umetusaidia sanaaa🤲Ubarikiwe 🙌🙌🙌Mrusi Hana Chake Mwafrica Mungu mwema 🙏
@JIWEtv6484
@JIWEtv6484 Жыл бұрын
Mungu akulinde coz kwa nchi yetu wanaweza kukukatisha usiutumie coz unakuwa umeingilia masirahi ya watu, mfano yule mtoto wa kigoma aliyebuni studio ya radio yake.
@EM2916
@EM2916 Жыл бұрын
Hi, nipo Kenya naomba uniunganishe na huyu brotha anitengenezee kwetu .
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 Жыл бұрын
Global aksante kwa kuwaibua familia hii tunaomba mawasiliano yao
@user-wq7yt9ph2i
@user-wq7yt9ph2i 5 ай бұрын
Ongeren idea nzr, vp kuhusu betr tatu ulizoziunga ndn je zna sustain kwa mda gn kwa huo mda unaowasha invertor , mn invertor inaconvert umeme wa dc kuwa ac 220v-240v , natmn kwl kuljua hlo , mn ht mm nmept wazo kutkea kwny hlo wazo 🤔
@husseinbakary1969
@husseinbakary1969 Жыл бұрын
Safi sana njoo mnifungie na mimi tanesco hadi leo hawajatufungia umeme na tupo mjini
@vibetz9991
@vibetz9991 Жыл бұрын
Mashine zisambae nchi nzima Tanesco ifungwr au?
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Tanesco chokambaya umeme mgao kila uchao.
@JIWEtv6484
@JIWEtv6484 Жыл бұрын
Watajuwa wenyewe wafunge au waache, au wawekwe kwao
@victormushi6641
@victormushi6641 Жыл бұрын
hii nchi ina watu wana akili sana, watu wamekalia kuangalia wazungu tuu
@jskconceptscreativity1575
@jskconceptscreativity1575 Жыл бұрын
big up san mwamba jsk nafatia soon
@mosamossile9113
@mosamossile9113 Жыл бұрын
Tallent
@ndayijeanclaude5094
@ndayijeanclaude5094 Жыл бұрын
Sasa mbona alie utengeneza siyo yeye anatueleza jinsi unatumika ?
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Жыл бұрын
Waafrica hupeana mishahara mikubwa sio kuinua vipaji ili ajira ziongezeke. Miziki ya sasa nikuharibu watoto
@kasianngungo9769
@kasianngungo9769 Жыл бұрын
Namba zao jaman
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
Njoo unifungie kwangu huo umeme ili tanesco wanikome
@ibrahimnyanda7451
@ibrahimnyanda7451 Жыл бұрын
Duuuuuh wakukome😃😃😃😃
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 11 ай бұрын
Naomba namba yako broo. Nipo Tunduma
@leith87seif55
@leith87seif55 Жыл бұрын
Nice
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 11 ай бұрын
Tafadhali nitumie namba yako
@renatusmakolo9023
@renatusmakolo9023 Жыл бұрын
Nategemea waendelezwe zaidi na sio kuwakataza
@victormushi6641
@victormushi6641 Жыл бұрын
jiandae kuja kutoa mzee na kupigwa marufuku utengeneze tena
@tatutatu1570
@tatutatu1570 Жыл бұрын
na mimi nataka
@gazzowamikazo6987
@gazzowamikazo6987 Жыл бұрын
nipeno yao nautaka uo umeme siutak umeme wa luku
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Жыл бұрын
Kichwa Cha habari ni uongo, umeme haujawahi kukatika miaka 21 na umegunduliwa na huyu kijana ana miaka mingapi? Sema umeme ulitengenezwa na baba yake
@georgejosephulaya1711
@georgejosephulaya1711 Жыл бұрын
1. Kijana amezalisha mashine Mya 1500watt na mwingine ametengeneza 60 watt. 2. Hapo Kuna mashine mpya na ya zamani.
@EM2916
@EM2916 Жыл бұрын
Kijana amefundishwa na babake kutengeneza yake kwa hivo kijana alipata kukiwa na umeme uliotengenezwa na baba
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 10 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 21 МЛН
Why is anti-immigration sentiment on the rise in Canada?
13:00
The Guardian
Рет қаралды 1,8 МЛН
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 14 М.
MBUNIFU WA MASHINE ZA KUZALISHA UMEME WA MAJI NA UPEPO
8:50
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 13 М.
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН