"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM

  Рет қаралды 1,099,962

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM
Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 06, anaendelea na ziara yake Nchini, ambapo leo Oktoba 06, ameanza rasmi ziara mkoani Rukwa na kutoa maagizo ya watu kutiwa ndani kwa kufuja fedha za mradi wa maji!.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: kzfaq.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:kzfaq.info?list...
GLOBAL RADIO TV:kzfaq.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:kzfaq.info?list...
Category
News & Politics

Пікірлер: 600
@kihiyoedith4674
@kihiyoedith4674 4 жыл бұрын
Kuanzia Leo natangaza Mungu anisamehe sana nilikuwa na ukakasi na rais wangu ila sasa namkubali aendelee hata miaka 50
@justineulimule6530
@justineulimule6530 4 жыл бұрын
Kihiyo Edith pamoja sana
@aminaluttu649
@aminaluttu649 4 жыл бұрын
Pole kumbe ulichelewa kumjua
@godwinmpazi1560
@godwinmpazi1560 4 жыл бұрын
Na mimi pia kupitia propaganda za wapinzani nilianza kudhani Rais wetu ni dictator.Maghufuli oyee
@noorkhamisi2490
@noorkhamisi2490 4 жыл бұрын
Mimi nilikuwa hivyo hivyo lakini sasa natamani atawale miakayote
@jemspeter4240
@jemspeter4240 4 жыл бұрын
Kihiyo Edith vizuri sana
@ommybiggie4825
@ommybiggie4825 4 жыл бұрын
Yani mm ni mkenya ila ndani ya moyo wangu natamani niwe mtanZania nilipe ushuru kwa ridhaa ...kwa ajili ya kazi ya MAGUFULI...anae mpenda magufuli like hapa
@bakarshaban703
@bakarshaban703 4 жыл бұрын
Da rais pole sana
@hkmayala414
@hkmayala414 4 жыл бұрын
Karibu
@emmanuelzao
@emmanuelzao 4 жыл бұрын
Mimi natamani ningekuwa Mkenya 😎
@mamarhodah9018
@mamarhodah9018 4 жыл бұрын
Utanzania ungekua uraia wangu na sio Kenya.
@salimali3035
@salimali3035 4 жыл бұрын
Wakenya wananchi wamejitenga kwa ukabila ndio maana atutawai pata kiongoz vizaz na vizaz
@daniellukindo1190
@daniellukindo1190 4 жыл бұрын
Kama unamuelewa huyu mzee wetu gonga like hapa tafadhali ✍️
@hillowadam6552
@hillowadam6552 3 жыл бұрын
Ako sawa
@munyaonormankioko1426
@munyaonormankioko1426 4 жыл бұрын
This is the kind of President we need in Kenya, Magufuli woyee!!
@apocalypsematrix9252
@apocalypsematrix9252 3 жыл бұрын
yow how is your country kenya?
@emmanuelpolisi1343
@emmanuelpolisi1343 4 жыл бұрын
Rais nakupenda kweli kweli bila kuficha rais uko vzr huu ndo ukweli mungu akuzidishie maisha
@manofreality3656
@manofreality3656 4 жыл бұрын
naomba uraa watanzania jamani nihame kenya...kenya inanuuuka kwa ufisadi...we love u baba
@emmanuelkonki59
@emmanuelkonki59 4 жыл бұрын
Sikh hizi nimezeeka ingekuwa zamani hiiiiiiiiii...,.. Weka like kama unamkubali jpm
@yohanaelisha6773
@yohanaelisha6773 4 жыл бұрын
Kweri
@festonyondo890
@festonyondo890 4 жыл бұрын
Sina swali na mh rais.
@bensonmogaka93
@bensonmogaka93 4 жыл бұрын
mzee magufuli mimi ni mkenya napenda style ya uongosi wako,.you are really a true president, i wish you well mr president,i admire your wisdom and the way you put God first.wakenya wanakupenda mno baba,tunakuombea mungu aendelee kukupa afya njema na hekima.
@dominicomakungwa729
@dominicomakungwa729 4 жыл бұрын
I love my second president since independence,the first one was J.K.nyerere
@husainabdu2676
@husainabdu2676 4 жыл бұрын
True u are like me
@bigbossmanbossman6946
@bigbossmanbossman6946 4 жыл бұрын
I think Tanzania had more than two presidents since independence
@kiatu
@kiatu 4 жыл бұрын
dominico makungwa What a coincidence, that’s how I feel about Magufuli. - The 2 are what a president should be like.
@view2387
@view2387 4 жыл бұрын
Not true at all he is just trying to show public I'm good but is not like that
@sultanaswaleh8892
@sultanaswaleh8892 4 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👍 rais mpedwa mwenye huruma na maadili mema asiokua na ubaguzi .bwana rais magufuli ...I love you. Mungu akubariki🙏🙏🙏
@jaffaryhassany9832
@jaffaryhassany9832 4 жыл бұрын
Jaman MUNGU amtunze utu rais milele kwel MUNGU ametuletea uyu RAIS MUNGU ASANTE SANA 🙏🙏
@hassanihajisabuni1756
@hassanihajisabuni1756 4 жыл бұрын
Jimongo
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Hakuna raisi kama huyu Africa nzima aseee😱
@kassimkassim6386
@kassimkassim6386 4 жыл бұрын
Exactly
@eliyajelemia6244
@eliyajelemia6244 4 жыл бұрын
Kwenaww
@eliyajelemia6244
@eliyajelemia6244 4 жыл бұрын
Munira Ahmed kwema muzima
@josetabua3634
@josetabua3634 4 жыл бұрын
Very true... I 100% agree with you. I am from Mozambique but President is number one. Even if he goes to lead in Iraq he will put down all Talibans.
@lutammasawa6075
@lutammasawa6075 4 жыл бұрын
Mzee uko sawa mno.Mungu akulinde.jinsi unavyotushep ndivyo tutakavyo kuwa.kaza baba.
@elaimbwale8132
@elaimbwale8132 4 жыл бұрын
Nema ya kristo ikufunike baba magufuli yani jembe toka chato
@zuhrasulyman5701
@zuhrasulyman5701 4 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU AMJAALIE UMRI MREFU RAIS WETU MAGUFULI INSHA ALLAH
@aloissirima7642
@aloissirima7642 4 жыл бұрын
Wafisadi hamna haja kuwapeleka mahakamani kuwanyanganya mali yao yote wanzie ziro .
@princechris195
@princechris195 4 жыл бұрын
Kama umesikia mafisadi wanyongwe gonga like
@uzabumwanasadi4933
@uzabumwanasadi4933 4 жыл бұрын
Prince Chris' nyinyi wa Tanzaniya, mungu amewapa Raisi ka ma Nyerere!! mushukuru mungu sana !!
@jtheophil5499
@jtheophil5499 4 жыл бұрын
Safi sana baba yetu.Tunakupenda mungu akuzidishie afya njema.utuongoze miaka 40 mingine..Una busara,akili nyingi sana
@westonrashid1128
@westonrashid1128 4 жыл бұрын
Asante Sana mh Rais wetu fanya kazi Tunazidi kukuombea kwa Mungu akupe maisha marefu Asante Sana baba
@queentellynyaga2645
@queentellynyaga2645 4 жыл бұрын
Mimi ni mkenya but ningekubaliwa kumpigia kura ningempa mpaka ya watoto wangu 🙏
@prospermakela7791
@prospermakela7791 4 жыл бұрын
Telly Nyaga vlog ,karibu sana, ipo siku mtapata uongozi wa kuwafariji
@tabumussa9406
@tabumussa9406 4 жыл бұрын
Telly Nyaga vlog endelea kupiga kazi baba magufuri ndiyo raisi tuliopewa na mungu .
@edwardmbonika5102
@edwardmbonika5102 4 жыл бұрын
Mm mtz karibu dada angu pia shemeji angu nimeowa mkenya
@queentellynyaga2645
@queentellynyaga2645 4 жыл бұрын
@@edwardmbonika5102 wow that's good shemeji
@queentellynyaga2645
@queentellynyaga2645 4 жыл бұрын
@@prospermakela7791 yes I trust God he will give us
@hasanially9294
@hasanially9294 4 жыл бұрын
Wanatia uchungu sana hawa viongozi wazembe watakutia preshaa Mzee tumbua tuu
@dieudonnejean4925
@dieudonnejean4925 4 жыл бұрын
I like you meheshimiwa pombe magufuli.god bless you excellence
@user-il1bv6vs9q
@user-il1bv6vs9q 4 жыл бұрын
Anointed present sure May God protect u indeed More grace
@jacksonzakayo6759
@jacksonzakayo6759 4 жыл бұрын
Amen Amen
@nadirabdullahal_hinai2016
@nadirabdullahal_hinai2016 2 жыл бұрын
آمين
@nadirabdullahal_hinai2016
@nadirabdullahal_hinai2016 2 жыл бұрын
انت سعودي؟؟؟
@kilioppamasaka9590
@kilioppamasaka9590 4 жыл бұрын
Baraka za mungu ziwe na wewe mahala popote uendapo na uyafanyayo yawe mema mbele za mungu ubalikiwe Sana rais wetu
@dolomentluge3918
@dolomentluge3918 4 жыл бұрын
kama watanzania tungekuwa na shukrani basi tungetoa sadaka za shukrani kwa Mungu kwa kutupatia mtoto wa kiume Uncle Magufuri
@timbukwa9771
@timbukwa9771 3 жыл бұрын
@Dolo. maneno hayo uliyasema mwaka jana mwanzoni lakini impact yake ingekuwa kubwa sana,pengine tungekuwa nae hadi sasa Daddy wetu, kama tungefanya hivyo!!!RIP Daddy.
@sabuomar2420
@sabuomar2420 11 ай бұрын
Mungu aendelee kukuweka mahali pema peponi. Kama ulikuwa ni mfano wa uongozi na kiongozi bora basi Ma Samia ni sifuri kabisa.
@selemanikassim7018
@selemanikassim7018 4 жыл бұрын
Magufuliiiii my presdent is fireeee
@masulucas6124
@masulucas6124 4 жыл бұрын
Selemani Kassim m
@view2387
@view2387 4 жыл бұрын
He is doing this Everything to show public I'm good but is not like that at all
@fadhilaramadan5143
@fadhilaramadan5143 4 жыл бұрын
Huyu baba nampenda akisema wallah. Hongera sna kwa kazi nzuri
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 4 жыл бұрын
Sema mheshimiwa waambie hao.vitambi vilikuwa vinaongezeka kwa hao mafisadi.mheshimiwa mungu akupe maisha marefu.wengi tunakuombea mema.
@user-eb9vd4ep2q
@user-eb9vd4ep2q 4 жыл бұрын
Na Zanzibar rais shein angalikuwa kama magufuli ingalikuwa raha sana tuna ziki vijijin ya maji
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 4 жыл бұрын
Huyo sheni mwenyewe tamaa mwiz tapeli mkwubwa yule sheni mwanga. Hajakinai wala imani hana ndio wale wanaotaka uongozi kwa ajili ya maisha ya mkato ale kwa wakat upate pesa na kunyanyasa raia na sio la kutaka uongozi kwa ajili ya kuondowa umaskin
@seifsaid590
@seifsaid590 4 жыл бұрын
Koma zanzabar akuna shda ya maji acheni ujinga wengu wazanzibar ushawai kutembea atua ngapi kuyatafuta maji
@mrfix6596
@mrfix6596 4 жыл бұрын
بيم الزدجالي kwa Zanzibar usahau, maana viongozi wengi wao ni walafi
@mrfix6596
@mrfix6596 4 жыл бұрын
Seif Said Tembelea Michamvi ndipo utajua km IPO au haipo
@papikikukumesse5132
@papikikukumesse5132 4 жыл бұрын
Zanzibar niyengine inchi ama ni tanzanie tu. Samahani nauliza tu
@gasparyeugene4855
@gasparyeugene4855 4 жыл бұрын
Hapa kazi tu!!
@niasanga2373
@niasanga2373 4 жыл бұрын
Kudadadeki huyu ndo kiongoz mtaisoma mwaka huu
@florangido202
@florangido202 4 жыл бұрын
Na Dar Rais Bunju A njoo uone mwenyewe Nishamtumia msg Mkuu wa Mkoa, wanakata maji makusudi! Nimemueleza Injinia Dawasa Basiyaa, hanipi ushirikiano!!
@magambobundala4558
@magambobundala4558 4 жыл бұрын
piga kaz Mzee Mungu awe pamoja nawe
@oscarkasalile8146
@oscarkasalile8146 4 жыл бұрын
Yani mungu akulinde nakupenda mheshimiwa
@user-wk8sd2lq6c
@user-wk8sd2lq6c 4 жыл бұрын
OHURU KENYATTA LEARN FROM THIS
@vinjaoko8083
@vinjaoko8083 4 жыл бұрын
Mwabie
@alloyce3boniphace787
@alloyce3boniphace787 4 жыл бұрын
Uhuru Kenyatta is better than thiz dictator
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 4 жыл бұрын
@@alloyce3boniphace787 President Mangufuli don't love corrupt leaders so are you you one of them
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 4 жыл бұрын
Uhuru ajawai kutembea na kukagua miradi ya serikali kazi kubwa yake ni kuenda ulaya kukopa fedha ili mafisadi waendele kupora alafu tubabaki na kubwa ya kulipa bure kabisa
@alloyce3boniphace787
@alloyce3boniphace787 4 жыл бұрын
Uhuru is the most calm President l have herd. to me l love the man than worst President we have in our country with full of dictator just wanted to be worship like a god and if u disagree u got kiled by non men.
@chriskingnampoto3214
@chriskingnampoto3214 4 жыл бұрын
Duuuuh huyu kweli king
@daudisiloma1531
@daudisiloma1531 4 жыл бұрын
Jamn hao wanae taka Tanzania irud Yuma nani..mbona mnapa kaz rais we2.?
@KingrasKibaki
@KingrasKibaki 4 жыл бұрын
Kenya president and rest of African leaders should learn from this
@habimanasalomon7447
@habimanasalomon7447 3 жыл бұрын
Ndugu, ubarikiwe kwa kusema kweli.
@crispinnguru2273
@crispinnguru2273 4 жыл бұрын
President Kenyatta should go for "Corruption fighting lessons" to JPM.
@nancymuseve514
@nancymuseve514 4 жыл бұрын
Crispin Nguru• Uhuru cannot do that.. bcoz he is protecting his government..all government is Corrupt
@robertterry8909
@robertterry8909 4 жыл бұрын
kamua baba kamua jembe kamua inchi iende nakupenda sana kiongozi wangu
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 4 жыл бұрын
Well said Rais wetu , tutakuelewa tu. Nasema tutakuelewa tu. Mungu azidi kukusimamia Rais wetu na afya tele naona nyumbani kunanoga sasa safi.
@fatumashakoor9313
@fatumashakoor9313 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa afya njema na nguvu uzidi kutetea wanyonge👏
@deuskisabo3223
@deuskisabo3223 4 жыл бұрын
Nakupenda Rais wetu Mungu akupe maisha marefu uwe rais Wa nchi yetu miaka 50
@salimnassor687
@salimnassor687 4 жыл бұрын
"Fuatilia wote hata Kama ni kunguni kwenye kitanda, aende akatoboke huko, ni hatareee
@thulanicele7843
@thulanicele7843 4 жыл бұрын
HhahahHH. Noma
@salimalghannami3059
@salimalghannami3059 4 жыл бұрын
Absolutely, corruption is a cencer should be eliminated from the society to allow the development 👍
@dn.n4983
@dn.n4983 4 жыл бұрын
Baba ujazeeka bwana wewe ni jembe walipe watafutwe wengine wanaofanya kazi kweli maji ni shida kwa tz we love you rais wetu
@eliazarinyakiema1969
@eliazarinyakiema1969 4 жыл бұрын
Nakukubali sana Magufuli,, CCM Oyeeeee 👍👍👍👍👍
@madoidotv9103
@madoidotv9103 4 жыл бұрын
Umeyumba
@myself4128
@myself4128 4 жыл бұрын
Ccm uozo mtupu Ila maghufuli yupo sawa
@nassiromari8030
@nassiromari8030 4 жыл бұрын
Thanks my president that was my home land
@realchendex
@realchendex 3 жыл бұрын
Najisifia,najiamini pia nafurahia sana kuwa na kiongozi wangu mh raisi magufuli, nampenda pia namkubali sana ,mungu amlinde sana raisi wangu ,naipenda Tanzania nchi yangu
@danielmngujini1617
@danielmngujini1617 4 жыл бұрын
Keep on moving Mr President..
@jollykabatoro1525
@jollykabatoro1525 4 жыл бұрын
He is best African leader that cares about human being at this moment
@apostlealexyusuf2416
@apostlealexyusuf2416 Жыл бұрын
Ukweli hakuna raisi mwenye hekima na kupenda kweli kama makufuli
@geofreymsengi9971
@geofreymsengi9971 4 жыл бұрын
Hongera mkuu kwa uwazi na ukweli
@Bizmind472
@Bizmind472 8 ай бұрын
Mr.continue rip 😢from Kenya we loved you so much mchapa kazi wa africa
@joyprisy9114
@joyprisy9114 4 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania mungu mbariki RAIS wetu wa Tanzania Magufuli
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 4 жыл бұрын
Huyu ndo rais wa TANZANIA . TZ OYEEEEE
@imanuelynyelegeti7238
@imanuelynyelegeti7238 4 жыл бұрын
Ndio tz nia yetu
@Abubakar-po4fn
@Abubakar-po4fn 4 жыл бұрын
Hoiiiiii !!
@hjhj6230
@hjhj6230 4 жыл бұрын
Oyeeee
@vinjaoko8083
@vinjaoko8083 4 жыл бұрын
Very true
@mussakayanda3221
@mussakayanda3221 4 жыл бұрын
Khajum Khamis oh
@chongolee1426
@chongolee1426 4 жыл бұрын
Mungu akulinde kwa upendo wake
@hamedmweru6955
@hamedmweru6955 4 жыл бұрын
Ujazeeka mzee piga MTU makofi siku mijo watakuelewa vizuri
@zurahassan9447
@zurahassan9447 4 жыл бұрын
mashallah kazi nzuri
@labanonyango7747
@labanonyango7747 Жыл бұрын
I really miss you Mr President. ❤️❤️Continue Resting in Peace Sir
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 4 жыл бұрын
Baba hujazeeka bhado tusaidie nchi izid kunyoooka . Mungu akusaidie
@beutjason5888
@beutjason5888 4 жыл бұрын
jembe
@samsoncosmas2034
@samsoncosmas2034 Жыл бұрын
Dah😭😭😭😭😭😭najiskia kuliaaa kwa nguvu Kila nikikukumbuka baba nikiangalia na maisha tunayoishi kwasasa maharge kilo elf4 nazid kuumia hakuna wakusikiliza shida zetu pumzika kwa amani kipenzii Cha watanzania masikini umeenda umetuacha na wakati mgumu ila ipo siku Mungu atatusikia ulitusihi tumtegemee Mungu Kila wakati 😭😭😭😭😭
@DjTijay254
@DjTijay254 4 жыл бұрын
i wish kenya we had such a President....
@josephmlela9757
@josephmlela9757 4 жыл бұрын
dah am so proud to have u my President JPM
@jacksonmlay5257
@jacksonmlay5257 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana mheshimiwa Raisi. Naipenda kasi unayokwenda nayo! Tulicheleweshwa sana kufikia maendeleo haya. Big up President Magufuli.
@yunicondamo7590
@yunicondamo7590 Жыл бұрын
Watanzania tumwombe Mungu azidi kutulinda na kuilinda amani tuliyonayo
@elihaikamrema1693
@elihaikamrema1693 11 ай бұрын
I miss you sir. Ungekuwepo bandari zetu zisingefikia bei. Amka uongee na watu wako hata kwenye ndoto. RIP Rais wetu wa mioyo yetu Fighter.
@nazirnoor4160
@nazirnoor4160 4 жыл бұрын
John Pombe unatisha. Hongera sana. Ila naona bado hujapata dawa ya hayo majinga
@andallaathman3856
@andallaathman3856 4 жыл бұрын
Hongera hongera muheshimiwa magufuli mungu akueke akupe nguvu na uwezo wakuchapa kazi
@jamesmagate3320
@jamesmagate3320 4 жыл бұрын
Muheshimiwa mwanza ilemela kata ya kahama nayo shida wamefukia mabomba arthini maji hatupati na tunaona maji ziwani na hatuyapati mbunge yupo diwani yupo hamna maelezo ukija mwanza fika buswelu kata ya kahama
@wakandaictsolution8093
@wakandaictsolution8093 4 жыл бұрын
Mheshimiw atakusikia hapa au haha
@benardmpombo2448
@benardmpombo2448 4 жыл бұрын
James Magate wewe unafaa kutawala miaka yote yauhaiwako
@papaampondele1750
@papaampondele1750 4 жыл бұрын
Baba magufuri mungu akupe maisha malefuuu!
@yusufally6853
@yusufally6853 4 жыл бұрын
Waongo hao mzee hao walizoea na watu wanaokufa wanaona kama mbuz tu ndio kafa na wauaj baadhi yao wanaachiwa...dhulma sana RUKWA.... HAKIKA ARUBAINI ZAO ZIMEFIKA.hakika lenye mwanzo hapakosi mwisho...na mwisho wao umefika.acheni mungu aitwe mungu..wao ni nani.
@abdullyabasiabasi2375
@abdullyabasiabasi2375 4 жыл бұрын
Wemzeee mungu Akulinde Sana Tena Zaid Yasana Kiukweli Nawatukamahao Wanakwamisha juudizako Mh Watimue
@emmanuelsaida6164
@emmanuelsaida6164 4 жыл бұрын
Ivi kwann magufuri asitawale mpaka kifo chake???????
@antoinekatembo5316
@antoinekatembo5316 4 жыл бұрын
Emmanuel Saida Demokrasia itakuwa haipo ikifanyika hivyo!
@ahadimgedzi1910
@ahadimgedzi1910 4 жыл бұрын
Wanaojua democrasia ni nini. Kama ni maamuzi ya watu basi democrasia ni kuamua kuwa kiongozi anayetufaa kwa taïfa letu la Tanzania atawale muda mrefu zaidi
@doreenchiragwile3424
@doreenchiragwile3424 4 жыл бұрын
Aseee hapana
@mzenji
@mzenji 4 жыл бұрын
Kama umempangia kufa 2025, hatuna ugomvi.
@susanraphael5894
@susanraphael5894 4 жыл бұрын
yes
@samwelkavanga3151
@samwelkavanga3151 4 жыл бұрын
Rais wetu anapiga kazi sana nataman kumuangalia ten na tena simchoki ananifurahisha hataki janja janja kweli tulichagua kiongozi boraa
@prosperswenya5310
@prosperswenya5310 2 жыл бұрын
Asante kiongoz wawanyonge pumnzika kwaaman
@hamisihassan2620
@hamisihassan2620 4 жыл бұрын
Uhuru Kenyatta angalia kazi vile inafanywa na uncle magufuli
@robisontubili9466
@robisontubili9466 4 жыл бұрын
Mh; magufuri nakutakia maisha marefu na Mungu akuzidishe hekima.
@khamischichi7169
@khamischichi7169 4 жыл бұрын
I say nasema tna mm nimpinzani ila kwa kazi hiii ya Mh.Magufuli I promise to choose him hta kma tusipige kura SAWA andeleeeee tu
@wordoffaithanddeliverencem4365
@wordoffaithanddeliverencem4365 4 жыл бұрын
Asante baba
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 4 жыл бұрын
Uchunguz gn huo usio na mwisho anko magu wabane hivohvo muda hamna wa kupoteza
@malikkb6444
@malikkb6444 Жыл бұрын
2023 ..Miss you Sir. Nyakati kama hizi ambapo taifa letu linakosa kiongozi mwenye dira ni wakati tunakumiss sana JPM. Tunamiss matokeo kama haya ya kiongozi kujichanganya na wananchi na kuchukua maamuzi bila unafki. Continue resting in peace
@j_gh812
@j_gh812 4 жыл бұрын
Usizeeke mapema mkuu..wananchi wako watakufa....usikate tamaa...ww ndio mkombozi wa taifa hili kamanda wetu...kazi ni kubwa sana bado mbeleni....usituvunje nguvu kwa kuzeeka.....africa kwa ufupi imeoza kama mzoga...inahitaji ujasiri wako....
@abdulkareemlupepa7185
@abdulkareemlupepa7185 4 жыл бұрын
Mimi sko muTanzania ila huyu President naona ni number moja Rais mwenye kujali wana inchi wake 👍👍👍👍
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
hakuna ale salama mbele ya PREZ...BIG UP
@bahatidamiani8546
@bahatidamiani8546 4 жыл бұрын
Safi sana rais wetu , watanzania 99% tunakupenda
@iddihassani1081
@iddihassani1081 4 жыл бұрын
Sikuizi nimezeeka tuuu ingekuwa zamani hiiiiiii😂😂😂😂
@justinemweupe6653
@justinemweupe6653 4 жыл бұрын
Yaan had nmecheka aisee😂😂😂😂
@ezekielbadil8228
@ezekielbadil8228 4 жыл бұрын
May zumo
@amrimo6887
@amrimo6887 4 жыл бұрын
John mwiburi tena usiwaache mkuu
@rahmamazee2858
@rahmamazee2858 4 жыл бұрын
Mweshimiwa nakuonea mpaka uruma yaani kwanini awa watendaji wako awakuerewi?.
@hjhj6230
@hjhj6230 4 жыл бұрын
Kabisaaa inaumizaa sanaa
@klaragreen7999
@klaragreen7999 4 жыл бұрын
Wanamuangusha SN
@vaniaruta
@vaniaruta 4 жыл бұрын
Inauma sana ... Hongela Muheshimiwa Rais .
@asnasadck3772
@asnasadck3772 4 жыл бұрын
Naona awamuelewiii
@yusufally6853
@yusufally6853 4 жыл бұрын
rahma mazee ni wake kufukuza wote walizoea vya kunyonga.
@vinjaoko8083
@vinjaoko8083 4 жыл бұрын
Mungu akubariki Rais wa tz.
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
iiiiiiiiiiii....love that
@amrimadunda7821
@amrimadunda7821 3 жыл бұрын
Baba anaongea kwa Uchungu San Mpaka liniiiiiii Daah Mungu akuwekee sijui km ukimaliza mud wako Baba sijui km tutap Raisi km wew Baba etu
@godwinmpazi1560
@godwinmpazi1560 4 жыл бұрын
Naombeni mnichangie Watanzania nirudi nyumbani na mimi nifaidi kipindi cha Baba Maghufuli.Niliondoka enzi ya machungu makubwa kwa wananchi ikiwepo kinamama marooned pale Ocean road na Kansa akiwemo mama mzazi
@dolomentluge3918
@dolomentluge3918 4 жыл бұрын
ongea Baba nakukubari, atá kama umezeeka sisi tunakutegemea Baba usihurumie majizi tumbua sisi watanzania tunakuombea Mheshimiwa Rais
@subiramohd885
@subiramohd885 4 жыл бұрын
Mzee kes Nakupenda sana Wallah Umesema ukweli.Hao wanyongwe tuuu
@jumamgema3356
@jumamgema3356 4 жыл бұрын
Subira Mohd kituo cha afya kabeba mgongoni kakimbia nacho
@marymabubakary1561
@marymabubakary1561 4 жыл бұрын
hivi kupiga dili huku watoto Wa wenzsko wanakufa!
@mulirohilary209
@mulirohilary209 4 жыл бұрын
Rais Lazima utakaa katika watakatif kwa moyo uu,ur fantastic for sure ww ni mtu sanaaaaaa
@isaachayes9783
@isaachayes9783 4 жыл бұрын
Fukuza wote kudadadeki wewe utadumu milelee, utawale miaka 30 ijayo
@yusufally6853
@yusufally6853 4 жыл бұрын
Amadou Ally ...atawale mpaka mwisho ndg yang huyu mean ye I my kamtoa kwa ajil ya wanyonge.
@jeremiahluki7896
@jeremiahluki7896 4 жыл бұрын
Baba wa Taifa wa pili
@kuluthumkalonga4757
@kuluthumkalonga4757 4 жыл бұрын
Baba wa taifa nyerere, magu atabaki kuwa mjomba wa taifa
@susanraphael5894
@susanraphael5894 4 жыл бұрын
milele 30 kidogo sana
@athumaniruwa1580
@athumaniruwa1580 4 жыл бұрын
Kenya tungekuwa na raisi kama magufuli nchi yetu ingekuwa ulaya
@ausihaji2398
@ausihaji2398 4 жыл бұрын
Masheikh mwaka wa 6 sasa wapow mahabusu upelelezi haujakamilika. Ewe Mungu wetu tuonyeshe njia iliyonyooka .Kweli Duniani ni Mapito
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 4 жыл бұрын
Nimekuelewa Baba piga kazi naomba pia wakumbushe watendaji wako wajitahidi kuifikia jamii na kuisikiliza siyo kila kitu ufanye mwenyewe wapo viongozi wanafanya kazi vizuri na tunatambua michango yao ktk jamii lakini wengi wao wanafanya maigizo tuu kwenye media wakumbuke kuwa wanakuangusha na kufifisha jitihada na kazi kubwa unayoifanya Mh.Rais wakumbushe tena na tena kuwa watanzania wanaona na wanaelewa. Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Raisi wetu Dr.John Joseph Pombe Magufuli
@adolphchilumba3466
@adolphchilumba3466 4 жыл бұрын
Endelea.kunyoo ii nchi tena ongoza mpaka mungu atakapo kuchukua ipo siku ii nchi kila mmoja atakuelewa Tu,ii nchi ina toa maziwa na asali
@ashsaii7431
@ashsaii7431 4 жыл бұрын
Ninakesi nzanziba nawaindi lazimawafukuzwe waludikwao India nitashitaki kwamagufuli lazima atanisaidia uyubaba
@dennisrwechungura8562
@dennisrwechungura8562 4 жыл бұрын
nakuelewa sana Mzee nataman utawale mpk kufa kwako
@agesag.m2476
@agesag.m2476 3 жыл бұрын
Kwa kweli Watanzania wamepoza kiongozi wa watu....poleni sana.....
@yusuphreonard7121
@yusuphreonard7121 4 жыл бұрын
Dah uko sahih mh rais
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
"RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
11:08
Global TV Online
Рет қаралды 3,7 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 105 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 24 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 40 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 8 МЛН
BREAKING: JPM Awasweka Wenyeviti Ndani Hadharani!
17:33
Global TV Online
Рет қаралды 108 М.
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
RAIS MAGUFULI AMTUMBUA MENEJA WA TENESCO MKOA WA MBEYA
11:53
barmedastv
Рет қаралды 342 М.
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
8:19
HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013
13:38
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 279 М.
MAGUFULI ATUMBUA JIPU MBELE YA WANANCHI
5:27
MLIMANI TV UDSM
Рет қаралды 2,8 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 105 МЛН