No video

MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''...

  Рет қаралды 52,805

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 41
@allymwamba
@allymwamba Ай бұрын
Misumari ya moto maoni mazuri
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta Ай бұрын
Omba omba ni tishio kweli,umeenda zako village supermarket umebeba kamkate Kako unakuta mabinti wazuri wako watatu na vikombe vyao wanaomba ,haohao wakifanyiwa vitendo vya kikatili ndio tunakuja kujua kumbe hata wazazi wapo
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l Ай бұрын
Kweli kabisa gwakisa nimtu kwa kutowa msaada
@thomastemu3332
@thomastemu3332 Ай бұрын
Safi Sanaa
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Hivi kunawaandishi wa habari tena. Mimi nilidhani Nyerere aliondoka na akafuta waandishi wa habari. Kwa sababu wakati huo waandishi walikuwepo. Lakini toka hapo naona wachawa tu.
@HumanBeing-pj4hm
@HumanBeing-pj4hm 20 күн бұрын
MBELE ya MAKONDA WAANDISHI WAMLIPUA RPC ARUSHA - ''HAPOKEI SIMU - INAITA TU - KIOO HAKIONI''... (TURUDI SHULE KUU YA UANDISHI WA HABARI TUKAJIFUNZE KUANDIKA CAPTION)
@DanielMasaki-q1m
@DanielMasaki-q1m Ай бұрын
Bwakisa ni mashine kweli kweli
@jonasmbala1326
@jonasmbala1326 Ай бұрын
Huyu Mwandishi ajue kwamba huyo mlemavu hakuomba ulemavu lakin pia nao ni binadamu hivyo jitafakarin sana kuwa zungumzia walemavu nao wengine walikuwa wazima kama yy hapo ni kuomba Mungu aepushe ajali na mengineyo ili kuwepo na uzima zaidi
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Ай бұрын
Hayo ndio maono yako sio? Walemavu kukaa barabarani kuomba omba umeona ni sawa na kuchafua taswira ya nchi si ndio? Je unaonaje wakatafutiwa utaratibu wa kujitegemea kuliko kuwa omba omba? Je unawazungumziaje wale walemavu waenda bajaji hapa dar feri mbona wao sio omba omba? Mtazamo wangu serikali iwatafutie vituo maalumu vya kupakia abiri kwa ajili yao tu kama vile feri na hata posta halafu wawe kwa vikundi wakopeshwe bajaji na walipe kwa mkataba usiopungua miaka miwili ili baada ya hapo hizo bajaji ziwe zao na wasiojiweza kabisa yaani vilema wa mikono na miguu wawezeshwe watu watu wao wahudumia mbadala wa hao walemavu na wawe na vibali maalumu vya kuweza kupakia sehemu za walemavu.
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt Ай бұрын
KilaHali.mwenyezimungu.ndyo.mwenye.makadirio.tuombetumunguHakunamjanja.mbeleyake
@cavoo4get649
@cavoo4get649 Ай бұрын
Wewe naona hujui unacho kitetea nyamaza tu, wenzako wanachukuliwa kutoka mikoani kwaaji yahiyo kazi, kwa ufupi nimitaji ya watu
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 Ай бұрын
Omba omba kwa ARUSHA ni kweli wamezidi sana
@user-xe4vh8nw3v
@user-xe4vh8nw3v Ай бұрын
Kaka makonda Fanya Kaz kama mungu alivyo kuagiza mana utabarikiwa zaid yahapo ulipo
@kibabysaid6692
@kibabysaid6692 Ай бұрын
Jamani na venye Faiza aliwasema wa Kenya kuwa wengi ni masikini...ety Tz nyinyi n matajiri ...sasa hao omba omba mnao wazungu mzia hpo wametokezea wapi?..
@BasiliClement-ql1yg
@BasiliClement-ql1yg Ай бұрын
Hawo jamaa kwenye hizo trafic lights ni tatizo kubwa wanaingia katikatia yamagari na bodaboda nijambo la hatari sana na ukiwaeleza km nimishawaeleza kwamba mtagongwa lakini wapi wala hawajali
@EmanuelIsaya-sg8bk
@EmanuelIsaya-sg8bk Ай бұрын
Kusags TV sijakusikia. Rpc hapokeagi sm .ungeenda kumtuanga
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Duuuh mtihani. Omba omba ni changamoto. Kamanda ujumbe wako hupokei cm. Yani viongozi wengi kupokea cm ni changamoto km hawaoni vile
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
Zunguuuu
@mpefu_4936
@mpefu_4936 Ай бұрын
Wawe na ustarabu mbona Kuna walemavu wanajishugulisha wamefanya kuomba ni sehema ya kazi
@JumaAthuman-bk6hx
@JumaAthuman-bk6hx Ай бұрын
Habari ya kutokupokea simu ni janga kubwa kwa watu waliopewa dhamana hasa ma_RPC karibu wote wanadharau sana hata ujumbe hawajibu mbaya sana.Sijui kwa nini wanatangaza namba zao!Vilevile baadhi ya ma_RC.wanatabia hiyo,badirikeni mpo kwa ajili ya wananchi.
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m Ай бұрын
Ukiona hushiki simu ni hofu tu wala sio bize...
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm Ай бұрын
Mworeka uko sawa omba omba wamezidi
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 Ай бұрын
Swala la uizi na vijana wanaoiba iba kila siku tatizo upande wa upelelezi wilayani kuanzia ocsd na wenzake upelelezi wahamishwe mara mmoja waje wengine wenye hari kubwa wataweza kuwaotokomeza kabisa lakini ikibaki hivyo kama ilivyo hakuna kitu kitabadilika maana ni rushwa sana
@pastoreliwkimaroni8332
@pastoreliwkimaroni8332 Ай бұрын
Ombaomba nitatizo sana
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 Ай бұрын
Upande wa kina bwakisa wote waondolewe wahamishwe waje wapya hapo itakuwa sawa wezi wote kwa sasa hawaogopi kabisa police kuna maswala ya rushwa sana upande wa upelelezi
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 Ай бұрын
Tanzania akuna waandishi wa abar akuna media zote zimeegemea upande frn
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 Ай бұрын
Kweli ombaomba wamezidi hasa Dar, ni mradi mkubwa, utaona mtu anamleta mtu ambaye asiyekuwa na ufahamu kabisa na huwatembeza barabarani
@pastoreliwkimaroni8332
@pastoreliwkimaroni8332 Ай бұрын
Ombaomba wanao wa sukuma ni vijana wenyenguvu wa naweza kufanya kazi na kuwa saidia
@alsam4881
@alsam4881 Ай бұрын
Badala ya Serikali kutatua matatizo ya Omba Omba na kuwapa mitaji ya biashara na kuwaweka sawa ili wasiwe Omba Omba tena na waondokane na umasikini, lakini badala yake wanapewa misaada wasanii na kwenda Korea na kugharamiwa mamilioni ya pesa.
@RobertLyimo-vj3up
@RobertLyimo-vj3up Ай бұрын
Omba Omba haiwezi kuacha kuomba hata akipewa mtaji utamkuta barabaran
@jamalibeya2527
@jamalibeya2527 Ай бұрын
Omba omba ni walemavu ni WA Tanzania wenzetu waondolewe waende wap tungelee jinsi ya kuangamiza tatu mzuka
@JumaAthuman-bk6hx
@JumaAthuman-bk6hx Ай бұрын
WEWE NWANDISHI UKISEMA MASHIRIKIANO WATU WA MTAANI WASEMEJE? JARIBUNI KUOGEA KISWAHILI SANIFU.HAKUNA NENO MASHIRIKIANO,BALI USHIRIKIANO.
@khadijakimana8809
@khadijakimana8809 Ай бұрын
Omba omba, watafutie vitega uchumi, wanaomba kwasababu ya shida!
@user-sj8hn7jt7g
@user-sj8hn7jt7g Ай бұрын
Sifa mnambaya
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u Ай бұрын
KWELI NIMEAMINI MBONA WAANDISHI WA HABARI HAWANA CONFIDENCE KABISA??????? YANI MIMI NIMEWAONA WOTE HAMNA KITU. MBONA WAANDISHI WA HABARI MMEMKUA WAOGA HIVO?? YANI HAMNA CONFIDENCE KABISA! Shenzi 😡😡😡🤬😠 yani Hapo nimemuona ni mwandishi Mmoja pekee wa Millard Ayo Ndio ameongea Kwa Confidence Wengine Wote Amna kitu Hovyoo hovyo kabisa 😁😠
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Ай бұрын
Waandishi wengi hawasema kadhia ya polis Barabarani kusimamisha daladala na kuomba ela hiyo ni nchi nzima
@VeredianaKalembi-gs4vs
@VeredianaKalembi-gs4vs Ай бұрын
Hilo halikuwemo kwenye KIKAO hicho
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Ай бұрын
Moleka umeongea point sana kweli ombaomba wamekuwa kero sana na kinachokera zaidi Ni Bora hata wangeomba watu ambao hawajiwezi,kwa sababu ingiangalia wengi wao ni wanaojiweza
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 Ай бұрын
Global mnaleta udwanzi
@karimmveyange280
@karimmveyange280 Ай бұрын
MSIWAFUKUZE OMBA OMBA MANJIANI,TAIFA LINA MALI NYIGI,ZINACHUKULIWA NA NANI? JIFUNZENI KWA BOTSWANA,SOUTHI AFRIKA NA LIBYA YA GADAFI. MMEWEKA VIONGOZI MASHTANI MATAIFA YANALAANIWA.
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 Ай бұрын
Miji mikuu yote dunian wameondoa hao watu, ndio wanashida lakin wanapunguza hadhi ya jiji
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 54 МЛН
MTANDAO ULIVYOMKUTANISHA NA MUME WAKE| WAZUNGU WANAZINGATIA NINI??
29:37
Official Dating Assistance
Рет қаралды 10 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /16/ #love
50:05
BabaJoan
Рет қаралды 621 М.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 7 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН