Ayo TV, millardayo.com inakuonesha baadhi ya Vivutio vinavyopatikana Dubai wageni wengi kutoka ulimwenguni hupendelea kutembelea maeneo hayo mara tu wanapoingia kwenye mji wa Dubai.
Пікірлер: 75
@abbyjustine79063 жыл бұрын
Natamani sana na Tz tungeanza kuplani mji mmoja wa kisasa da .Wenzetu wamewezaje
@omarshaaban13874 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@rashidbusanya71664 жыл бұрын
Duuuh kuna watu matajiri duniani asee kama watu duniani wanaishi kifahari namna hiyo je pepon tutaishije !!
@valentineevarist56284 жыл бұрын
hhah na kuna watu wana teseka duniani na peponi hawato ingia haha
@theodoremilenzo94204 жыл бұрын
Mnavyopenda kushabikia vitu vya watu wengine lakini ikija vya kwenu inabakia oh Magu anabana hela. Mnafikiria hivyo ving'amuzi vya Nchi za Watu vilikuja hivi hivi tu. Wenzetu walijibana na walikuwa na mipango thabiti ya kuvikamilisha hivyo mnavyoviona sasa. Hawakuwa na muda wa kuzichezea hovyo hovyo fedha zao kwa mambo ya kipumbavu pumbavu kama kufanya Umalaya ama kukesha kwenye MaBar na kunywa mipombe. Na ndio maana wamefika hapo walipo. Na wala hujawahi kuwasikia waki post mambo ya Nchi kama Tanzania. Wao wamekazana na maendeleo yao. Sasa hilo liwe fundisho kwetu sisi tunaojiita Watanzania. Badala ya kukalia kushabikia vitu vya watu. Tuanze na sisi kuvishabikia vitu vyetu
@henrysobrill3864 жыл бұрын
Iyo kweli teo nimekuelewa sana mwanangu wata hatuna shukulani
@henrysobrill3864 жыл бұрын
Iyo kweli teo nimekuelewa sana mwanangu wata hatuna shukulani
@henrysobrill3864 жыл бұрын
Iyo kweli teo nimekuelewa sana mwanangu wata hatuna shukulani
@nahianahia26354 жыл бұрын
Ma'shaallh
@lilymammpayo82992 жыл бұрын
Dubai is amazing 😍
@ahmedelalawi61434 жыл бұрын
Sio mti wa mnazi . Unapotangaza kitu lazima uwe na sifa za brdcast, ni mti wa mtende
@imkitailend98434 жыл бұрын
Sio mnazi bna ni mfano wa mtende
@valentineevarist56284 жыл бұрын
hahaha watanzania bwana hadi mwandishi wa habari msanii hahah
@hddhhddhdhhd74664 жыл бұрын
umesema kweli nashukuru Mungu nimepata boss ananitembeza Dubaï yote nayaona kwa macho Dubaï
@ramadhanijuma433824 күн бұрын
Mambo vp
@user-fx5gu6xs5o10 ай бұрын
Umetumia muda mchache kwenye mambo mengi ilitakiwa uende talatibu sio kwahalaka hio kaka😮😮😮
@abuumwichumu55204 жыл бұрын
Acha mzeee magu awe na hasira tu, ata nasi ndo tunajaribu jaribu lau tufanane nao
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Karibuni dubai tuje tupambane
@adamismailly17844 жыл бұрын
Malizia abu Dhabi huko ndo nouma
@johnbahame47944 жыл бұрын
Kwa nini usingeanza na uzuri wa Tanzania
@hemedyyusuf49733 жыл бұрын
Hatuna uwezo wakufika huko lakini sikatii tamaaa iko siku mungu atanipa uwezo wakufika huko
@biancaomari69184 жыл бұрын
Yaani ni shida watching from Qatar nawish kuwa hio place yarabi
@mudathirhussein26704 жыл бұрын
Tukaze buti huku huku Qatar... Huko tutafika tu 😂
@biancaomari69184 жыл бұрын
@@mudathirhussein2670 InshaAllah
@mudathirhussein26704 жыл бұрын
@@biancaomari6918 Una Miaka mingapi huku??
@omarymahege47933 жыл бұрын
@@mudathirhussein2670 kwan qatar na dubai wapi pazuri ni nchi gan imeendelea kati ya hizo
@naimasaid77634 жыл бұрын
Nashukuru nimepata kuiona hiyo mijengo kwa macho yangu
@OfficialJouma4 жыл бұрын
Mashallah, hongera
@jawaduyusuph90233 жыл бұрын
Mashallaah kumbe umefika
@tinamwasekaga9571 Жыл бұрын
Kwahiyo umeenda Dubai?
@alhajrahassan894 жыл бұрын
Dubai ya ki international duniani
@nurudovino2884 жыл бұрын
Kweli hujakosea hata junzi mm nilikuwa huko kwenye hio mijengo
@josepheriah59774 жыл бұрын
Aya tunaenda
@anitasamson78502 жыл бұрын
Nchi yoyote inayotumia dhahabu na almasi zao vizuri lazima itaendelea
@hassanpyallah87504 жыл бұрын
Sasa wenze2 ndo wpo dunian,, sisi tukifikia uko tutajua tupo pepon
@aiyaavibes76104 жыл бұрын
hahhahahahhahahahahhahahahha
@mussaabobakar75374 жыл бұрын
Sehem zote mm nishaenda izo mbona na kulala hotel zote moll na sehem jengine zote
@valentineevarist56284 жыл бұрын
bas wewe tajiri boss wangu mie hata kenya sjawahi fika
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Watu wanakula bata sana
@asiajuma83304 жыл бұрын
Me niko dubai mwaka wa pili sehemu niliyofika ni dubai mall tu hizo zingine sijajaliwa kufika natamani sana sema ubize wa kazi inshaallah nitafika kabla sijarudi tz
@niaanthony95884 жыл бұрын
InshaaAllah
@asiajuma83304 жыл бұрын
@EXTRA PLUS jafiliya
@OfficialJouma4 жыл бұрын
Inshallah.. Mi natamani sana kufika dubai. Ipo cku inshallah..
@roseeuphrase38534 жыл бұрын
Kaka nimekuelewa
@ahmedmwembo994 жыл бұрын
Hapa bongo kivutio cha kwanza kipo KIVULE
@fainnamvungi43644 жыл бұрын
😂😂😂
@sharifabdul60854 жыл бұрын
Dulla asante sana kwa ufafanuzi mzuri ila nikuweke sawa tu ni burji khalifa ndio jina sahihi,
@manyotaskipper57654 жыл бұрын
Hilo jina la BURJI KHALIFA LIMEKUFA BAADA YA DUBAI KUPATA MTIKISIKO WA KIUCHUMI NA KUSHINDWA KUENDELEA KULIJENGA SHEKH KHALIFA MFALME WA ABUDHABI AMBAE KWA SASA NI MGONJWA AKATOA PESA HILO JENGO LIENDELEE KUJENGWA ZAMANI LILIKUWA LINAITWA BURJ DUBAI
@janethmakyao81684 жыл бұрын
Mtangazaji unakwama anza Na mlima Kilimanjaro
@djb2kzer04 жыл бұрын
Si kama Dar tu
@mwanaidizumo63643 жыл бұрын
M
@niaanthony95884 жыл бұрын
Na Oman je tuonyeshe maana mm najua City center tu😆😆😆labda kunasehemu nyingine nipate kwenda
@swaumukareemu92474 жыл бұрын
🤣🤣🤣ukimalizia na murtah
@niaanthony95884 жыл бұрын
@@swaumukareemu9247 😂😂😂😂😂Umeona eee maana ndo sehemu zangu hizo
@marryngaa3195 Жыл бұрын
Oman hawajaruhusu kujenga majengo marefu lakini wapo vizuri kuna mall nyingi kubwa kuna oman mall pia nzuri sana hotel kubwa nyingi nzuri kuna Al mono ni sehemu nzuri sana ina kila kitu
@omaniallybakari23724 жыл бұрын
IPO sku Tanzania itakuwa Kama huko mungu ibaliki Tanzania
@nassorrashid25214 жыл бұрын
Mashudu
@salamamohammed54463 жыл бұрын
Aa subutuu
@yasertaleb41624 жыл бұрын
Sio mnazi mtendee
@oparetionmaalum90304 жыл бұрын
Tanzania sisi tunajenga sisa za chuki wenzetu wanajenga miji yao
@mwanaidyibrahimu32074 жыл бұрын
tuliopo PALM jumeira tujuane
@mwanaidyibrahimu32074 жыл бұрын
@EXTRA PLUS pamoja sana
@salimnjowoka43574 жыл бұрын
Mwanaidy Ibrahimu weka namba niutafute from Abu dhabi
@moussababanla3994 жыл бұрын
Sio suala dogo ujuw
@ali_ford Жыл бұрын
baada ya kuweka maduka ya chimbo we unaeka upuuzi.tuna beach free hapa kwetu.acha upuuzi