Safi sana Milard Ayo, yaani tokea hilo daraja lizunduliwe sijawahi kuliona kwa vizuri kama ulivyofanya leo, wewe ndio umekio kioo chetu kwenye miradi msingi sana ya serikali, vyombo vyengine vya habari vipo kwa ajili ya umbea hakika umeviacha mbali sana, on a ulivyofanya coverage ya stand ya Dodoma hakuna chombo chochote kimefanya hivyo
Inshaallah Kuna mengine mengi marefu zaidi yanakuja ni swala la muda na utulivu ...Ila wangapi wameona uyo Jamaa 1:39 aliyedondoka baada ya kuogopa drone
@HASASON4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Alijua ni bom?
@Bagenzi4life4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@lucasmwaja34014 жыл бұрын
Mimi hapa
@polloz774 жыл бұрын
Mimi mwenyewe sijui Kama tuna daraja tefu TANZANIA na la Tisa Africa Big up CCM lazima wa Tanzania wafahamishwe maendeleo ya liyoletwa na viongozi wa chama cha mapinduzi . Kuwa na kipindi mahalumu kuhusu maendeleo yetu
@FoxeTv4 жыл бұрын
NIMEMLIPA PESA ENOCK BELA LAKINI AMEKIMBIA KUSHILIKII VIDEO AMENIOMBA SANA ELA ZA VOCHA KILA SIKU|NAIMBA KAMA MBOSSO LAKINI ANIWEZI PAMOJA NA ZUCHU NAWAKALISHA|KUTAZAMA FULL INTERVIEW CLICK LINK CHINI APO #SHARE 👇👇🙏 kzfaq.info/get/bejne/n8mpedeoxM_YZWg.html
@ismailyusuph7404 жыл бұрын
Doh’ aisee hiki kipande kimetesa sana Watu kipindi hicho’ mkapa alicheza hapa Zaidi ya PELE...!...yaani SALUTI kwake’...!
@shaqirhassan23524 жыл бұрын
Hilo daraja noma mzeee Ayo
@lucasmhagama81664 жыл бұрын
1:37 Jamaa kaona drone kidogo aanguke 😂😂😂😂😂
@Nufaila4424 жыл бұрын
😂😂😂😂🤓
@kambiibrahim4154 жыл бұрын
Ni yeyee....
@ahmetmwandu84994 жыл бұрын
Akitaka kukikmmbia asee
@bongosmart4 жыл бұрын
ilikua bado kidogo mwana arukie mtoni
@veeJesus4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@KhalidKhan-ud9cz5 ай бұрын
Tanzania mzuri Sana kweli 💖💕💖💕
@AbdallahHassan-vq9wq2 ай бұрын
mashaallah zuri
@cosmasdaud90884 жыл бұрын
Katika Jambo mkapa alilowafanyia watu wa kusini ni hilo daraja
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
HILO DARAJA SI LA MKAPA,DARAJA ALIJENGA MFALME WA SAUDIA ARABIA,LILIFAA LITEE KING ABDALLAH BRIDGE!! KILICHOFANYIKA NI WIZI WA FADHILA!!
@juliascherehani23304 ай бұрын
Sawa kwa hy alibun tu kuwa kuna takiwa kujengwa daraja au jitiada zake rais mkpa kipindi hicho
@hussenkyando23204 жыл бұрын
😂😂😂nmemuona mtu anaendesha baiskeli kaanguka kaogopadrone
@fadhilsanga28474 жыл бұрын
Kumbe na ww umeona hahahhahahaha
@yles22204 жыл бұрын
Haa haa haa! Itakuwa aliikimbia drone! Ha ha ha
@tousihhhh67654 жыл бұрын
alhamdulilah allah akulinde mkapa
@rehemaconeriocostance90114 жыл бұрын
Aha kwetu apa jmn karibuni kule samaki wapendwa wte
@minaside67174 жыл бұрын
Nimefika hapo, Mashallah
@floraantony25084 жыл бұрын
Daah Alie muona dereva baiskeli kataka kuikimbia camera like tujuane🤣🤣
@Shebbytvs3 ай бұрын
😂😂Tena cjui alifikiri ni uchawi umemfata
@ibrahimkibela80964 жыл бұрын
Dah mzee wawatu aliweka baskeli chini akimbie drone dah
@zayhimid2 жыл бұрын
Enzi hizo daraja hakuna tunavuka na mtumbwi hatar sana hofu yangu mamba kiboko
@rebekasembeli22654 жыл бұрын
R.I.P Mzee Mkapa, we gonna live your legacy.
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Nzuri sana
@emanuelmfanga52624 жыл бұрын
JONH Aitwe Musa
@elishamussa72614 жыл бұрын
Huyo jama mwenye bicycle alifikia kombora au naona alitaka kukumbia
@ikrissaidrissa86134 жыл бұрын
Ahahahahaaaa 😂😂😂😂 drone nzenu zinadondosha watu
@zuwaynamussa56294 жыл бұрын
Nimesoma bunguB mwaka 2008 tulichangishwa pesa kwaajil yakwenda kuliona dalaja ilo😁😁
@piusthomas57134 жыл бұрын
hili daraja aise nkipita najua tayari nishafika shulen abbey
@esilimwaisango84614 жыл бұрын
Jamaa wa baiskeli kaogopa drone ma kuanguka
@isamony584 жыл бұрын
Mtwara oyoooooo aPana chezeya mkapa ww wandengeleko walitaka kutuchezeya sana kuusu daraja hiko usicheze na wamakuwa kabisa mjipangeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤲🤲🤲🤲🤲😷
@FoxeTv4 жыл бұрын
NIMEMLIPA PESA ENOCK BELA LAKINI AMEKIMBIA KUSHILIKII VIDEO AMENIOMBA SANA ELA ZA VOCHA KILA SIKU|NAIMBA KAMA MBOSSO LAKINI ANIWEZI PAMOJA NA ZUCHU NAWAKALISHA|KUTAZAMA FULL INTERVIEW CLICK LINK CHINI APO #SHARE 👇👇🙏 kzfaq.info/get/bejne/n8mpedeoxM_YZWg.html
@ismailyusuph7404 жыл бұрын
Hahahaa ‘ Kwa hiyo WANDENGE wamezima FEGI Kwenu....hahaaaa WAMAKUA na nyinyi miyayusho....!...Ngoja aje mndenge akusikie hapo...hahahaaaa..!
@zakyahya46454 жыл бұрын
@@ismailyusuph740 yani kipindi cha nyuma wamewapa sana mimba Dada zetu apo kuvuka kutoka kusini kuja dar ilikua ni shida walikua wanajifanya wao ndo mabiti 🤣🤣🤣
@ommyakili5524 жыл бұрын
Nishalipita tamu sana
@millicentayangokunting37284 жыл бұрын
Mashalla
@twiseghekisilu88459 ай бұрын
Hizo mita ni kilometre ngapi???
@musasaid9644 жыл бұрын
Ayo kuna majanga mengi sana liwale waatu wadai pesa zao nawajui lini wanazipata korosho zimeuzwa wakulima awajalipwa wengi wao
@batromeonassoro32734 жыл бұрын
Kama nawewe umemuona mzee wa watu akiangu aka baiskeli tujuane
@asteriambwei33494 жыл бұрын
Nalijua zamani tulipavuka Kwa kivuko palikuwa panatisha Sana Bora hayo ndo maendeleo kumbe maji yanapunguaga hapo Enzo hizo sasa usipime
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Njia ya home boy nachingwea hiyo
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Huyu jamaa wa baiskeri kaanguka baada ya kuona drone inakuja kwa kasi duuh nimecheka sana
@hongeramgaya7144 жыл бұрын
Janani nafiri isengekua maji upande wa pili angeruka
@triplea34634 жыл бұрын
😆😆😆
@HASASON4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@fredducaunt17244 жыл бұрын
Alifikiri mizimu ya mto Rufiji ime-mind
@jambo37514 жыл бұрын
Mndengereko huyo watani zangu hao😂
@abuusix63204 жыл бұрын
Ametusaidia xan wtu kucni mkapa
@erickchitumbi13084 жыл бұрын
Moja ya kumbukumb kubwa ktk taifa hili ni hilo daraja.
@jimmycroud10274 жыл бұрын
Good
@sultantany60914 жыл бұрын
Mbona jembamba sana
@chandewaleo38534 жыл бұрын
huyo jamaa wa baiskeli alitaka kuimbia drone
@khalidngwembele90753 жыл бұрын
Jamaa alianza kulaza baiskeli chini baada ya kuona drone😂Angejirusha kwenye maji
@habibnjowele77514 жыл бұрын
Lindi na Mtwara hadi songea hiyo! Kusini route
@adamalfred93484 жыл бұрын
Du!
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Waendesha baiskeli, njia moja na waendesha magari huyo injinia ❌ ni kihiyoo wa kiwango cha kati.
@shabanishabanii62034 жыл бұрын
970.5mitre length
@mcpanadol18484 жыл бұрын
Hiv huyo jama a Angeanguka kwenye maj mnge mtoaje
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Walipiga pesa nyingi sana hiyo thamani sio ya Daraja hilo kbisaaa wabongo yaani duuuuuh njia mbili tu moja kwenda moja kurudi ndio Million 30 dólar duuuuuh hatariii mbona enzi hizo wizi mtupu
@mwemezieladius52612 жыл бұрын
DUH POLE SANA HILO DAARAJA NI REFU UNAJUA KUWEKA NGUZO MOJA MAJINI , HILO NJIA MBILI BIL 50 KWA KIPINDI HICHO , BISIS NJIA 4 UREFU KM 3 LINAJENGWA KWA BIL 730
@augustinomdoe15164 жыл бұрын
Ok
@lajo.4 жыл бұрын
Nan kaona kivuli cha drone kama mm
@manubei35744 жыл бұрын
Juhudi za rais magufuri
@khadijahali48374 жыл бұрын
Umeambiwa mkapa
@hongeramgaya7144 жыл бұрын
Mkapa
@abdhihariabdhallah7604 жыл бұрын
Acha ujinga kama lingejengwa na magufuli izo sifa tusingelala
@khadijahali48374 жыл бұрын
@@abdhihariabdhallah760 😂😂😂
@devidpanja1154 жыл бұрын
Kweli maaana alikua ni waziri
@Nedjadist3 жыл бұрын
maintainance tuko poor sana, wala si pesa ni utamaduni wa Kimaskini tu. Hata kupaka road marks hatuwezi! Kitu kikijengwa kizuuuuri, rudi baada ya miaka mitatu!
@adelinaadoloph53114 жыл бұрын
Zuri
@mtakamaonline77484 жыл бұрын
Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 22-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.
@asmarajabu57864 жыл бұрын
Du naogopa kupita hapo
@moshiomarymnyeda89074 жыл бұрын
Umesahau kama Kuna daraja jipya la salenda lenye urefu wa kilometer 1.3????
@Moresa1964 жыл бұрын
Limekamilika? Jibu ni hapana mpaka hilo la salander likamilike la Mkapa Bado linashikilia record. Kuwa Mpole
@user-io4gx5wo1r Жыл бұрын
Lina mitagapi
@renatusyuda42304 жыл бұрын
Mtu akifa, ndo mnakumbuka kuweka wazi mambo mazur aliyofanya enzi za uhai wake, je! Sifa hizo marehem anapata faida gan ama zinamfikiaje?
@devidpanja1154 жыл бұрын
Kumbukeni Magu alikua waziri alichangia sn lisimame hili
@hemedirajabu90104 жыл бұрын
Wastaafu(marais wetu) nao walifanya mengi mazuri.:@hawakututangazia (hawakuchi promote kwenye media)
@fredducaunt17244 жыл бұрын
@@hemedirajabu9010 wala magufuli
@deusmauka96264 жыл бұрын
Ulinzi unahitajika hapo wa massa 24
@kibasamohamedi80294 жыл бұрын
Kwa sababu gn
@listerkongola68723 ай бұрын
JE KWA MVUA HIZI NA MAFURIKO HAYA,DARAJA HILI LIPO SALAMA???
@halimahalima14883 ай бұрын
Ndio
@saidifundi2464 жыл бұрын
Hahahahaha nimemwona mtani wa kindengeleko ameanguka na baiskeri kwa kuogopa drone
Huyo jamaa wa baiskel hiyo drone alidhani kibuyu Cha wachaw🤣🤣🤣
@floraantony25084 жыл бұрын
Kabsa yaniii🤣🤣🤣
@abdilahijumanne14154 жыл бұрын
Ayo wewe ni mkweli ndo v2 ambavyo watz wanavitaka
@eddybrizzy764 жыл бұрын
hilo daraja haliruhusiwi watu wanaotembea kwa miguu??
@MariaCorneli3 ай бұрын
Mo
@juliusmaiko95574 жыл бұрын
Haloo mtaua watu.muwe mnawatahadharisha watu mnapokuwa mnashuti. Vitu hivyo hatujazaliwa navyo , hapo hata ingekuwa mimi ningeshtuka kwa sababu umemtishia makusudi kabisa...Je angejuaje kama ni kamera na sio bomu.? Je angejirusha mtoni mngemsaidiaje? Inachekesha lakini haifurahishi.
@Noname-gg6bx4 жыл бұрын
Mm nikajua kalijenga mjomba magu kumbe mkapa dahh ingekuwa limejengwa enzi hizi za mjomba magu mbona tungekoma
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Lakitambo sana
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Mngekoma nn
@uledimtumwa24064 жыл бұрын
Alikuwa Waziri wa ujenzi na alilipigania sana.
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 alipokuwa waziri,ni mambo mengi pia alipigania lkn alifungwa mdomo nahakuwa nasauti aliyaacha yapite
@nyarinkya61024 жыл бұрын
Sipati picha hili daraja kama lingejengwa awamu hii
@frankjoseph66094 жыл бұрын
Awamu ile hata simu hazikuwepo so ni swala la muda tu
@fredducaunt17244 жыл бұрын
Lingekufuata hadi mlangoni kwenu😁
@merrypoullemburistv77423 жыл бұрын
Sema picha ni chafu halafu inamaandishi pembeni Ayo sa ndo nn!? mtu akitaka kuiba video anaiba na pembeni anaandika ivyo hivyo kwenye juu ya hiuo maandish
@salummpango5250 Жыл бұрын
Nina kumbukumbu na Hilo daraja, 2012 tuliongezea shoulda za daraja Hilo! Camp tuliweka ikwilili! Na ukiwa katikat ndio unaona pande zote mbili! Ni kiwa Nina drive tipper selela
@sonyniceone96303 жыл бұрын
Niceone
@johnedward24894 жыл бұрын
Halafu tunaambiwa ni serikali ya awamu ya tano tu ndo imefanya maajabu
@TM.Sullusi2 жыл бұрын
Hilo neno "TU", kwenye sentensi yako ndo limepotosha kile wanachokisema baadhi ya watu juu ya awamu ya tano. Kama unajua logic vizuri hilo neno ni kubwa sana na linaweza kugeuza maana halisi ya Maelezo Fulani. All in all pongez kwa Mkapa (R.I.P) na waziri wa ujenzi wa kipindi hicho Magufuli ( R.I.P).
@isunga19644 жыл бұрын
Mkapa ana bahati sana uwanja kwa mkapa daraja la mkapa vp Kikwete jamni
@Mpakauseme4 жыл бұрын
daraja la kigamboni na barabara ya mwendokasi
@devidpanja1154 жыл бұрын
Udom
@jambo37514 жыл бұрын
Mlimani city sina hakika kama ni Kikwete au Magufuli?
@jacobkeleman80014 жыл бұрын
Taasisi ya Moyo Kikwete
@Nufaila4424 жыл бұрын
MTO Malagarasi kuna daraja kubwa LA kisasa linaitwa ☑Kikwete Bridge mkoa wa Tabora na Kigoma Pia taasisi ya Jakaya MOYO PIA UKUMBI WA KIKWETE CCM Dodoma Na kikwete hill Ikuku Dsm