VIGEZO VYA KUJUA WATU SAHIHI - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 47,987

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 131
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 10 ай бұрын
Kabla sijamkalibisha mtu kuwa rafiki angu. Nahakikisha kutofungua milango xana. So binadam ni watu wa kuwa nao mkini sana . AHSANTE 🙏 nazidi kuwa imala
@AshaKachapuka
@AshaKachapuka 2 ай бұрын
Nilikuwa nafanya biashara bila kujua ndio mana nilikuwa siendei ahsante kaka mafunzo mazuri nitajiunga na kikundi chako
@BinifaceDominick
@BinifaceDominick 23 күн бұрын
Mim nipo na rafiki yngu mmoja yeye anapenda sanaa kudidimiza kifedha. Pia mim nina hasira sanaa naitaji nibadilike nisiwe hvi napenda sanaa ila njia ndio sijuh nifanyeje
@prisilajohn2002
@prisilajohn2002 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa na tukizingatia haya ni rahisi kupata rafiki sahihi na kujiepusha na migogoro kwa kutokukaa na watu wasio sahihi.
@enosmwangondaofficial8589
@enosmwangondaofficial8589 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu,nimeumizwa sana na ukaribu wa urafiki kwa kufungua milango ya ndani kabisa ya moyo wangu pasipo kujiuliza au kufahamu mambo haya ambayo Brother umeyafundisha hapo.Sasa moyo umepona na amani nimeipata.Asanteh sana ubarikiwe kwa somo zuri
@user-gd8lw7vk4d
@user-gd8lw7vk4d 5 ай бұрын
Hii nzuri pia nilipitia kumchunguza mtu niliemueka karibu❤
@monicakauky8914
@monicakauky8914 2 ай бұрын
Ndiyo nimeshawahi kukutana na mtu nikamweka karibu lakini baadae alibadilika,niliumia Sana ila naomba Mungu anisaidie niwe nachunguza kwanza marafiki.
@user-ni5tc4rq6j
@user-ni5tc4rq6j Жыл бұрын
Kweli kanisa mafundisho unayofundisha tukiyashika na kuyatenea kazi yatatusaidia sana
@user-em6rw3vi5d
@user-em6rw3vi5d 8 ай бұрын
Brother nilitapeliwa pesa mingi.na watu niliowaingiza moyoni na kuniharibia kazini so niko makini sana kupitia somo hili sitafanya makosa tena hiyo imeenda.thanks brother Joe tunapona.be blessed
@OtavinaMsigala-xx5bl
@OtavinaMsigala-xx5bl 11 ай бұрын
Yaani Niko ivo kama umeniona
@AbubakariLigi
@AbubakariLigi 2 ай бұрын
Nikweli brother Joel nanauka hata mimi nimeshapitia namna ya ivyo nanilipata maumivu makalisana kwakusababishiwa na watu wangu wakalibu
@nurdininanjota4056
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Ushauri mzuri brother unazidi kutujenga akili Mungu awe karibu na wewe 🇹🇿🙏.
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen nashukuru sana
@salumhamis4735
@salumhamis4735 11 ай бұрын
@@joelnanauka Broooh UNAJUA hunaa bayaah
@mbanga6759
@mbanga6759 10 ай бұрын
@@joelnanauka Kaka mume wangu ananiuliza Sana nimekua mtu wakuliya Sana namaumivu Mali mpaka kidua kinawaka Moto nielekeze nifanye Nini kupona hili tatizo kwani mpaka BP IPO juu mda mlefu haishuki
@mbanga6759
@mbanga6759 10 ай бұрын
@@joelnanauka nisaidie Kaka ntakufa
@happynescostat7420
@happynescostat7420 10 ай бұрын
@@mbanga6759 Usiruhusu mtu yeyote akuvunje moyo,kwani ulikuja duniani kwa Ajili take? Jipe moyo na achana nae,
@user-iq1pd5rc4o
@user-iq1pd5rc4o 9 ай бұрын
Asante Cana boro nitaanza kuyafuata ambayo umetufunxa
@adofullmuvi5758
@adofullmuvi5758 10 ай бұрын
Uko vizuli mm naita chakula Cha mandeleo nilifata ushauli wako nimefanikiwa sana ile mada ya heshima ya feza❤
@ramadhankwilasa2371
@ramadhankwilasa2371 Жыл бұрын
Ahsante kaka
@esthernambeye4540
@esthernambeye4540 Жыл бұрын
Exactly kaka ni wengi muno walio nifanyia hivyo sina ata hamu nikahisi km mungu hayuko nami
@ImperialHotel-nc6pb
@ImperialHotel-nc6pb 3 ай бұрын
Wa kwanza Leo nipen likes zangu
@irenemchome8965
@irenemchome8965 Жыл бұрын
Kweli kabisa watu wanaumia sana,kukuta mtu hayuko kama alivyotarajia
@davidmlela3807
@davidmlela3807 9 ай бұрын
Mi nilishawahi kukutana na rafiki wa hivyo na nikaumia.kweli kaka huo ni ukweli
@salumnamjupa-sy6cm
@salumnamjupa-sy6cm 6 ай бұрын
Thanks uncle j...i will always swim in your helpful advices
@annmulu934
@annmulu934 Жыл бұрын
Asante sana kaka J kwa kutuelimisha mambo ya muhimu katika maisha tunoyoishi Mungu hawe pamoja nawe
@BrasiusJackson-db9no
@BrasiusJackson-db9no 6 ай бұрын
Dah hii imenikutana kuna mtu akiwa na kitu huwa anajifanya yupo busy sana ila akiishiwa ndo anajifanya kuwa karbu nami😢😢
@faudhiaGombaeka-kf7oe
@faudhiaGombaeka-kf7oe 9 ай бұрын
Sijutii mada zako bro
@user-mv9fl4xs2f
@user-mv9fl4xs2f Ай бұрын
Friends nilikuwa nao na tumeishi mda mrefu sana but suddenly wamebadilika ni tofaut na nilivyowazoea
@SameJunior-xi1lw
@SameJunior-xi1lw Жыл бұрын
Ad leo sina rafiki sababu nawauliza malengo yako kwenye maisha yako vip Kama ujibu wewe n mwana mambo powa tu na sio rafiki ang naishi upweke saana nakosa mshirika ktk ndoto zangu😢
@annamungure4335
@annamungure4335 Жыл бұрын
Mungu akubariki,nilishakuwa kwenye mahusiano alafu sikuchunguza kati ya hayo mambo 4
@AdventJulius
@AdventJulius 6 ай бұрын
Kweli kaka ni kuwa makini Mimi mwenyewe nishakutana na hao marafiki
@user-lw6pp9qs6o
@user-lw6pp9qs6o Жыл бұрын
Ni ushauri mzuri kakangu. Mm nishatendwa na mwanadada mmoja nilie ona ni mshirika wangu katika mafanikio yangu na yeye
@AYUBMWANGOKA
@AYUBMWANGOKA Жыл бұрын
It's facts imenitesa sana up to This moment sijapata majibu nimeishia kumuachia Mungu Your a great leader
@MsombaAlpha
@MsombaAlpha Жыл бұрын
Daaaaah! MUNGU azidi kukupa maisha marefu ili tuendelee kukifaidi hicho ambacho MUNGU ameweka kwako🙏🙏
@daudmsigwa4860
@daudmsigwa4860 11 ай бұрын
Barikiwa kaka
@user-lo6us4ko2l
@user-lo6us4ko2l 9 ай бұрын
Big up!!
@salmazwallo5920
@salmazwallo5920 Жыл бұрын
Asateee sana kaka napendaa sana mafunzo yako mungu akubalikii
@sixberthcostantini9290
@sixberthcostantini9290 11 ай бұрын
Unachokiongea nichakweli na kimenitokea mara kadhaa namuamini rafiki kwa haraka nakumpa siri za maisha yangu kumbe amekuja kwa lengo latekeleza alichodhamiria kukifanya Ila huwez kumjuwa anavyokuja kwasababu anajiweka karibu sana had inafikia hatua unamuamini
@user-nr3qt8dk4i
@user-nr3qt8dk4i Жыл бұрын
Asante Kwa maarifa.
@stevenmatheo7134
@stevenmatheo7134 10 ай бұрын
Ni Kweli kaka nakubaliana na ww, hakika najifunza mengi kutoka kwako be blessed sana.
@RuthMomanyi-bh3ez
@RuthMomanyi-bh3ez 11 ай бұрын
Oh thanks a lesson learned
@farajamtifu4155
@farajamtifu4155 Жыл бұрын
Yaani mungu akubariki sana, kuna watu niliwasimulia magumu yangu mwisho wake wakaanza kuyatumia hayohayo kuniumiza,
@teklakibamtura2534
@teklakibamtura2534 Жыл бұрын
Pole sana
@joasitz9559
@joasitz9559 Жыл бұрын
Be blessed J, your doing a great job. Asante sana
@teklakibamtura2534
@teklakibamtura2534 Жыл бұрын
Asante sana kaka Jo unachozungumza ni kweli namba 4 ilinitenganisha na mtu namshukuru Mungu sana
@baboudeira9249
@baboudeira9249 Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙌
@user-rh6fb2tx9r
@user-rh6fb2tx9r Жыл бұрын
Da nikweli kabisa na Hadi leo nimepoteza mwelekeo,. Na kupoteza vitu vingi ambapo inanigharimu na sijaweza kurudi Tena maisha yangu .kweli nilazima kutafakari kwanza
@AshaKachapuka
@AshaKachapuka 2 ай бұрын
Nilimpata mtuhuyo
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 Жыл бұрын
Ahsante kwa mafundisho mweshimiwa!!!👍👍👏👏👏
@simionyona9122
@simionyona9122 10 ай бұрын
Ni kweli,nimewahi kutana nao sio mara moja 😊
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
Barikiwa zaidi kaka @Joel hakina unabariki wengi Mungu azidi kukubariki nakuzidi
@L2L-TZ
@L2L-TZ Жыл бұрын
Purpose is the function for what we're designed for. Joe is fulfilling his reason for why he was created for. God blessed you. I'm a professional therapist and life coach but each day I used to watch over and over your videos
@rizikimwaikugile6040
@rizikimwaikugile6040 8 ай бұрын
True.
@gerraldgready8051
@gerraldgready8051 Жыл бұрын
Asante sana kaka Joel nanauka somo zuri sana
@listonereuben4450
@listonereuben4450 Жыл бұрын
Nmepata kitu kizuri kwenye somo la leo,,,, thanks much my teacher of life
@user-nz3sd6tc3k
@user-nz3sd6tc3k Жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa mafunzo unayotupatia Mungu akubariki
@kelvinkasamya4361
@kelvinkasamya4361 Жыл бұрын
Goods things to know very appreciated 👍
@Msambyamashingwe
@Msambyamashingwe Жыл бұрын
Fact ❤🎉
@manfredmasiko4444
@manfredmasiko4444 Жыл бұрын
Aisee, nimeshajutia sana, Ahsante sana kaka Joel, sitarudia makosa
@user-cv9mx1uj3i
@user-cv9mx1uj3i Жыл бұрын
Asante bro Joël yani iyi dunia hayiishi mafunzo.
@fredyelisha2686
@fredyelisha2686 Жыл бұрын
Kaka joeli asante sana 😊😊😊 tufundishe zaidi
@josephmichael9555
@josephmichael9555 Жыл бұрын
Hakika mkuu sijawai kujutia kusikiliza ushauli wako wa youtube na vitabu vyako hakika najiona kabisa yule wa Jana sio wa leo balikiwa Sana
@Kabod-Bantu-Black-Pantera
@Kabod-Bantu-Black-Pantera Жыл бұрын
Asante sana mentor
@ambore610
@ambore610 Жыл бұрын
Hii imenikuta sana mwalimu,nashukuru sana kwa mafundisho haya,sasa najua pakuanzia
@user-pu8zk6du1o
@user-pu8zk6du1o 10 ай бұрын
Live brother I am under stand you
@user-hl5op9yp8w
@user-hl5op9yp8w Жыл бұрын
Be blessed 🙏I learned something
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 Жыл бұрын
Kabisaa nilifanyaga ujinga huu Ila kwa Sasa siwezi umenielimisha
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Amina
@tonytyson1019
@tonytyson1019 Жыл бұрын
Wakati naendelea kusikiliza nikawa kumbuka aina 4 za maadui katika topic iliyopita nazidi kuimarika💪 shukrani sir
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ni kweli kabisaaa
@ramanycore
@ramanycore 11 ай бұрын
Great point,,,,
@user-dm5gi8uu7z
@user-dm5gi8uu7z Жыл бұрын
Nilikuwa na mtu wangu nampenda sana lakini akaniumiza vibaya sana
@rachelraphael1355
@rachelraphael1355 11 ай бұрын
Kwakweli umenisaidia niliruhusu watu ambao sio sahihi kuingia kwenye maisha yangu
@user-nw8pq8vt8o
@user-nw8pq8vt8o Жыл бұрын
Thanks for good talk. Am duly impressed
@sumucalikamula2827
@sumucalikamula2827 10 ай бұрын
nishaipenda mrembo mwenye apendi mpira wa Miguu kama mimi.
@Elnathatz9749
@Elnathatz9749 Жыл бұрын
Naomba kujua kwanini mtu anakuwa unakupinga kila unachoongea au kila unachokifanya kwake wewe unakosea yaan huwezi kufanya kitu kikawa right kwake jamani hili jambo linaniumiza hata nikijaribu kukaa kimya bado namkosea ni kwanini lakini 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 NAOMBA MSAADA 😢😢😢😢😢
@Its_Tokyootz
@Its_Tokyootz Жыл бұрын
😂😂😂😂hii kwel kabisa
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 Жыл бұрын
Ana roho mbaya hapend kufanikiwa yupo kukukandamiza Ili usijiamini.
@emmanuelmkanyege1921
@emmanuelmkanyege1921 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@salmamasood2524
@salmamasood2524 Жыл бұрын
Habarkaka Joel nashkuru kwa ushauri kwakweli kuna mtu unakuta k
@MaadamNihan-sn9qn
@MaadamNihan-sn9qn Жыл бұрын
Kweli kaka mungu akubaliki sana unatufunza mengi❤❤❤❤
@mwakalukwafredy1990
@mwakalukwafredy1990 Жыл бұрын
Darasa langu ni channel Yako kaka Joel Nanauka tangu nianze kukufutilia huku hakika nimeona thamani ya maarifa Yako. Yamenisaidia pakubwa sana
@BinifaceDominick
@BinifaceDominick 23 күн бұрын
Huyu jamaa naitaji nifanye nae biashara kwasababu yeye yupo clear kibiashara hana hasira
@user-yt5ns2ek8u
@user-yt5ns2ek8u Жыл бұрын
Thank you j I learn more from you
@tebeswiper2307
@tebeswiper2307 11 ай бұрын
Ubarikiwe Joel 👊✊
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Yes sir 🌹
@salmakiti1517
@salmakiti1517 Жыл бұрын
Asante kwa ushauri wako
@haidaryart
@haidaryart Жыл бұрын
Wengi sana nishakuwa nao karibu kwa style hio
@lucymwanyika5608
@lucymwanyika5608 Жыл бұрын
Amina sana🔥
@saidjecha-mi5bh
@saidjecha-mi5bh Жыл бұрын
Nimekuelewa brother, nitalifanyia kazi
@Keyjop
@Keyjop 10 ай бұрын
Inafika wakati unaachana narafiki unaweka ukaribu na ndugu at the end unaanza kutafuta kasolo yako mwenyewe i mean unajikuta upo katika mgogolo na nafsi yako 😂😂😂 all in all nimejifunza kitu ku atofaut sana katika vitu hiv yaani love interest and intensions
@lucymwanyika5608
@lucymwanyika5608 Жыл бұрын
Amina sana 🔥
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Asante sana brother ubarikiwe siku zote
@gosaizaka1495
@gosaizaka1495 9 ай бұрын
Blessed bro you tourched me
@jenithandyetabula3805
@jenithandyetabula3805 Жыл бұрын
Nazidi kujifunza mengi kwako kaka, na Mungu akubariki
@erickathanas
@erickathanas Жыл бұрын
Thanks bro unatujenga vijana 🎉
@timothykengere2535
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Shukrani 📚📚📚
@johnmganga5107
@johnmganga5107 Жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 Жыл бұрын
Asante nazid kujifunza 🙏
@BinifaceDominick
@BinifaceDominick 23 күн бұрын
Pia nitumie nin kwa wingi ilinnipunguze hasira
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Asante sana
@user-rm3xd3dn4t
@user-rm3xd3dn4t Жыл бұрын
Asante sana kaka kwa mafundisho yako mazuri watu wengi tunajiingiza katika marafiki wabaya pasipo kujiuliza mungu awe nawe ili uzidi kutupatia maarifa?
@user-jt5co9oc1j
@user-jt5co9oc1j 10 ай бұрын
Asante
@lightnessmamuya3893
@lightnessmamuya3893 22 күн бұрын
❤❤❤
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Ahsante brother
@zawadiamuli4186
@zawadiamuli4186 Жыл бұрын
Yaani mimi naomba unisaidiye sana nataka ni kuongeleshe kwenye WhatsApp
@jamilaabdul5481
@jamilaabdul5481 Жыл бұрын
Asante kaka nazid kuelimika
@abdulkharimsaidy5323
@abdulkharimsaidy5323 Жыл бұрын
Ubarikiwe
@Janetijaneeh7465
@Janetijaneeh7465 Жыл бұрын
Ujumbe umefika baba
VITU VITAKAVYOFANYA UTAJWE - JOEL NANAUKA
8:55
Joel Nanauka
Рет қаралды 3,1 М.
LIFE WISDOM : FUNGA JERAHA, ZUIA DAMU - JOEL NANAUKA
11:54
Joel Nanauka
Рет қаралды 7 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 98 МЛН
UBONGO WA MWANADAMU - JOEL NANAUKA
13:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 69 М.
LIFE WISDOM : KWA NINI WANAKUCHUKULIA POA - JOEL NANAUKA
13:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 33 М.
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
SIRI KUBWA 6 ZA KUFANIKIWA KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.
23:41
Victor Mwambene
Рет қаралды 7 М.
Nini Ufanye Unapokosa Support? - Joel Nanauka
9:42
Joel Nanauka
Рет қаралды 121 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /22/ #love
38:39
BabaJoan
Рет қаралды 14 М.
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 117 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН