Viongozi wa ODM waunga mkono kauli ya Raila ya kuwataka wakenya kukumbatia mazungumzo

  Рет қаралды 24,602

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

27 күн бұрын

Baadhi ya viongozi wa chama cha ODM kutoka Nyanza wameunga mkono kauli ya kinara wa Azimio Raila Odinga kuwataka wananchi wakumbatie mazungumzo ya kitaifa yanayolenga kushirikisha watu 150 kutoka sekta mbalimbali wakiwemo vijana. viongozi hao wanasema kuw amasuala ambayo vijana wanapigania yatatuliwe ni yale yale ambayo viongozi wa kisiasa na hasa wa upinzani wamekuwa wakiyapigania.

Пікірлер: 46
@Toni-gh5dx
@Toni-gh5dx 26 күн бұрын
Raila is looking after himself with his dialogues...
@mrpain158
@mrpain158 26 күн бұрын
Raila is there for his personal interest apewe zake aende si tumbaki tukiumia but hii ni ile Kenya ukiongea unanyamazishwa....
@aaa64sa13
@aaa64sa13 26 күн бұрын
❤🇰🇪❤ Gen Z...🎉🤜👍
@Toni-gh5dx
@Toni-gh5dx 26 күн бұрын
Raila's dialogues ndio zimetueka kwa hii shimo. Akae kando
@hezronkwaso1927
@hezronkwaso1927 25 күн бұрын
Yeye ndio aloweka ruto kua president 😂😂 ni sisi wenyewe na kazi Iko kwetu
@Canduts2020
@Canduts2020 24 күн бұрын
All this political class have been in power for over 30 years and things have gotten worse! We need fresh-faced leaders maybe they will change this country for the better
@isaacogutu7837
@isaacogutu7837 26 күн бұрын
Ushenzi sana.
@josephmugo9112
@josephmugo9112 25 күн бұрын
Have done one step , waiting more and truth within given time ,kiunjuri mp laikipia finish your promise we lv you
@keboikipchumba
@keboikipchumba 18 күн бұрын
Power of the prayers God to glorified every time. God will not allow the devil to play with his children in Kenya. God never leaves is children. God love is unmeasurable. God never listens to those want bad things to happen to our country but listen those are praying for the good of country.
@thomasEdward-uy8jk
@thomasEdward-uy8jk 15 күн бұрын
BUT NOT JOINING UDA. AND KK
@jesloi.a8391
@jesloi.a8391 26 күн бұрын
1:59 There is always a time to hand over the mantle; let Raila do the right thing, handover to his mantee if he us any. We need justice, unity and love in this country not ODM blind support to what their leader wants ...who benefits out of all his dialogues, his immediate family members and close allies😊
@jabezjedidiah1429
@jabezjedidiah1429 26 күн бұрын
We the youths, majority in population we Reject Dialogues. We stand firm for Justice and Accountability and Services Delivery. You will not silence us through fake dialogues . Its new dawn for Kenya.
@khammadjeffa515
@khammadjeffa515 26 күн бұрын
Orengo unaota mtu wangu.
@Antoterror001
@Antoterror001 26 күн бұрын
Pia hawa ni wezi.
@user-jj4lb1zi9x
@user-jj4lb1zi9x 18 күн бұрын
Raila is a patriot and democrat....a believer in the rule of law and freedom fighter
@alekieKevinKevinalekie
@alekieKevinKevinalekie 26 күн бұрын
toka ndani
@ViceAdmiralVasilyArkhipov
@ViceAdmiralVasilyArkhipov 26 күн бұрын
watashtuka 2027 Kalonzo atengezee chama yake Na Riggy G they talk more sense
@khammadjeffa515
@khammadjeffa515 26 күн бұрын
Sense gani kwa water 🍉
@ViceAdmiralVasilyArkhipov
@ViceAdmiralVasilyArkhipov 26 күн бұрын
@@khammadjeffa515 gen Z just want Ruto gone they don't want dialogue that is what Kalonzo said
@khammadjeffa515
@khammadjeffa515 26 күн бұрын
@@ViceAdmiralVasilyArkhipov RUTO hakuna mahali anaenda before 2027, ambia water 🍉ache kujipea headache
@254wakilongo
@254wakilongo 26 күн бұрын
ODM taking advantage ya gen z
@254wakilongo
@254wakilongo 26 күн бұрын
Ruto sai Ni amekuwa dem atakatiwa
@nicholuskituku2903
@nicholuskituku2903 17 күн бұрын
What are we dialoguing about? Position's? You watu from Kisumu you mean Raila' is ever right? Continue serving your Master!!!!! We are not boarding 😭
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 24 күн бұрын
Raila ndiye huwa anazuia changes sasa muachieni kizazi kipya kileta mfumo mpya wa uongozi nyinyi odm mnataka kuturudisha kwa game yenyu ya kuinjoy wafrika
@kevinlukunga8029
@kevinlukunga8029 18 күн бұрын
Kizazi kipya kinaharibu zaidi
@duhhuskie2698
@duhhuskie2698 26 күн бұрын
Talk to who??
@davidmuiga4248
@davidmuiga4248 25 күн бұрын
Cs have been fired without Raila efforts or dialogue wasitupange sisi ndio tunapanga
@DaulaRooney
@DaulaRooney 26 күн бұрын
Hao upinzani ndo conmen number one. Those governors who have talked what av they done to their counties Ruto don't be lied to finish corruption and our country will be great.
@edu-pw7hu
@edu-pw7hu 26 күн бұрын
This fools are representing who.... This all must be voted out... and recalled urgently including the once wise Jimmy orengo
@rafaking2087
@rafaking2087 18 күн бұрын
Hii ujinga mumeanza tunawangalia sana dialogue when we have lost lives in the hundreds
@Elibuk
@Elibuk 26 күн бұрын
Dialogues deaths corruption and looting needs to end time for action is now
@SwalehSaleh
@SwalehSaleh 25 күн бұрын
Nusu mkatee hahahha,ni mazungumzo
@Mombasa-gz7rd
@Mombasa-gz7rd 23 күн бұрын
Hatutaki dialogue
@kaytwok2345
@kaytwok2345 25 күн бұрын
Kumbe hawa awana habari kwa hata raila atumtambua sasa
@boazogima
@boazogima 26 күн бұрын
He is trying to know the leader of gen z among the 150people he invited, zakayo know you,wajinga waliisha
@badarahmed1861
@badarahmed1861 17 күн бұрын
Raila is a traitor
@abassabass529
@abassabass529 16 күн бұрын
nyinyi wenye mnaongea negative apa coment section ndio goons mnataka country ikue mbaya ,,,tupatane street
@damaricekimonge7303
@damaricekimonge7303 19 күн бұрын
God is not in this
@MakenaOdongo
@MakenaOdongo 26 күн бұрын
Baas sahi wako wawili .. they can now talk to each other
@mohammedali1645
@mohammedali1645 26 күн бұрын
Rubbish
@oncharieric9437
@oncharieric9437 26 күн бұрын
You talk alot here because you don't understand the genesis of Genz,it was formed by opposition.
@FauziaJoseph
@FauziaJoseph 15 күн бұрын
Raila anataka mukate nuzu, amerundisha watu wa nyanza nyuma ,siku ile RAILA atakufa Kenya itakuwa vizuri yeye ndio kiini cha shida kila wakati akishidwa.
@Susanne-njoroge
@Susanne-njoroge 26 күн бұрын
Yes Dialog is the best 🙏 Vinjana wapate kazi 🙏 Waache kuhangaika 🙏 Na raisi wetu Williams Samui Ruto a heshimiwe 🙏✋✌️👏
@CliffOgada
@CliffOgada 26 күн бұрын
Ndio mpewe nusu mkate..
Prime Minister on the Run
14:00
NEXTA Live
Рет қаралды 383 М.
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 1,9 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 91 МЛН
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 4,5 МЛН
إسماعيل هنية وضربة إيران.. ماذا حدث في الساعات الأخيرة
8:06
Step News Agency - وكالة ستيب نيوز
Рет қаралды 1,9 МЛН
Makali Ya Gen Z: Kizazi cha Gen Z chasimama kidete na kuikosoa serikali
29:11
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 1,9 МЛН