KIONGOX BORA NI YULE ANAEJENGA URAFIK NA WATU WAKE TATIZO BAADHI YA VIONGOZ HAWAWEZ KUISH NA HAWA KWA SABABU WANATUMIA NGUVU❤
@pendomushi63513 ай бұрын
Sio nguvu tuu na kujipa ukubwa wanatumia cheo kunyanyasa watu
@rogerslwitiko39153 ай бұрын
@@pendomushi6351Manka umepiga kwenye mshono Swahiba
@bakarimasanga36343 ай бұрын
Big up mkuu wa mkoa Makonda, you nailed it the way it's supposed to be, Kazi iendelee!
@robertlary60073 ай бұрын
Congratulation RC Paul Christian Makonda 👏👏👏Kazi Iendelee 🇹🇿
@ibrahimsadick61373 ай бұрын
R.c Makonda big up Kiongozi wa kwanza kuwapa thamani watu wanaoonekana wahunu
@ashakijaji58692 ай бұрын
Atawarekebisha kwa kiasi kikubwa.
@gracemushi36683 ай бұрын
Yaani Mh Makonda, una akili ya ziada sanaaaaa,, hao ndo wanaochangia kuharibu mkoa, lakini umefanya jambo la busara kuanzia nao,, kwa kufanya hivyo umeupiga mwingiiiiii
@gracekiondo25413 ай бұрын
Ni kweli kabisa ulichosema.na hatuwezi kujua inawezekana wakabadilika kabisa.
@kivatirokitojo6573 ай бұрын
Makonda ni Future ya vijana kiukweli Mimi makonda namuelewa sana anasimamia nafasi yake kwa umakini Sana
@anorderick71623 ай бұрын
Big up ...Makonda uko vizuri ..psychology yako iko vizuri...!!
@jeraldjensen65043 ай бұрын
Du!!!! Makonda is a leader, MUNGU akutunze Paul Christian
@stephanopaul833 ай бұрын
Inapendeza sana. Mungu ni mwema...hongera RC makonda
@linnusaloyce65593 ай бұрын
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi uje kuwa rais wa hili taifa bro
Katika hili makonda nimemwelew sana kiongoz bora anapaswa kuw karibu na makund yote ya watu bila kubagua ..hawa vijana hawana shda ni mitazamo ya watu bad baadh inakuw negative..tu..
@user-xe2pu6un3z3 ай бұрын
Asa kenyonyo anataka kuwa nani😂😂😂
@CreatureIey-eh8nh3 ай бұрын
Arusha nd maisha
@pacomezouzoua91753 ай бұрын
Hapo Kenyonyo haelewi Wala nini😂😂
@user-hw7kz8rv2c3 ай бұрын
Ana maneno ya hekima
@AminaLibisa3 ай бұрын
Yani kinyunyu mpaka afundishwe kuongea 😂😂
@apostleagnes57693 ай бұрын
Kwa nijuavyo mimi hakuna watu wema kama hawa kwa Arusha ila tu usiwatibue
@israelkisaila84013 ай бұрын
Kabisa,watu hawajui tu,hawa vijana huwa hawana hat shida,mpaka uwakorofishe
@jumahamadomar91243 ай бұрын
Wema wao ni upi
@israelkisaila84013 ай бұрын
@@jumahamadomar9124 Hawa wapo na busy zao Wala hawadhulu mtu
@magigesabai86743 ай бұрын
Kweli kabisa mm nilipotea njia wakanielekeza vizur bila shda
@israelkisaila84013 ай бұрын
@@magigesabai8674hawana shida kabisa yani,mtu yeyote kwenye maisha ni mpaka umchokoze ndo anaweza kukufanyia vinginevyo,ila Hawa ni kikundi kama vikoba TU,wanatafuta ugali Wala hawana shida.
@GabrielSky643 ай бұрын
Muheshimiwa please tofautisha kipaji na bangi😂😂😂
@iddimngazija19573 ай бұрын
Huyo mdudu mrefu kuliko wote ndo ananichekesha zaidi😂
@ezesolo48613 ай бұрын
hahahahahaha
@user-ys3nm9pd9z3 ай бұрын
Kenyonyo
@saleheinnocent76363 ай бұрын
Acha kuwaset bana wanawezaje kuwa ata mmoja kati ya hao ulowataja. Ata km lengo ni inspiration umeenda mbali sana.
@upendokiwanga95383 ай бұрын
Hawana tofauti na hao aliowataja najua hata wewe unaweza
@SURASHY243 ай бұрын
Et makonda kama yesuu😅😅
@evanswinston51023 ай бұрын
Sura za system kabisa izo na mafala wawili watatu
@king_maik63753 ай бұрын
Umekubali
@FREDCHILUMBA-hf5dm3 ай бұрын
Akili ya kazi ,,
@mwanaidimavumba11863 ай бұрын
Safiiiiii
@evenajoseph41433 ай бұрын
Good🎉
@user-oh6wc8xr5w3 ай бұрын
Mungu azidi kukupa uzima pol makonda
@user-md3xx7rd9z3 ай бұрын
Huyu makonda hata kama asipopewa urais basi apewe uwaziri mkuu hii nchi anaijua sana na anajua namna ya kuongea na watu wa kila aina na kusaidia pasipo ubaguzi
@sadafrancis83093 ай бұрын
Kwel hawa n wadudu
@user-ye3xp1lf7i3 ай бұрын
Kuwauyaone yaurimwengu hayoo
@LuhobeFashion3 ай бұрын
Vijana wa Arusha Mna balaaa sana
@isacktemba5513 ай бұрын
Makonda bana km anakuja ivii km anakataaa
@user-tq5di6mv9c3 ай бұрын
😂😂😂halafu ww
@alunaali51053 ай бұрын
Aloooooooooo você me matou não sou de Tz mas quero tanto visitar Arusha
@Soundprobeats3 ай бұрын
Kenyonyo haelewiiii😅😅
@taufikisalumu76393 ай бұрын
😂😂😂😂 kenyonyo
@westcijosh3 ай бұрын
Wadudu eti nao wapo serious😂
@Laizer33 ай бұрын
Wadudu😂
@pendomushi63513 ай бұрын
😂😂😂nacheka kama mazuri huyo mdudu mdogo kabisa anaitwa nani na anavyo skiliza kwa makini
@shyfettymtunda46193 ай бұрын
Kenyonyo
@vickytango55913 ай бұрын
Mkuu umefanya vizuri kuwa karibu na watu wako ukienda hivyo busara zako zitabadili AR
@KiondoSingo2 ай бұрын
Wadudu wameumbwa kwa mfano wa Mungu
@user-di6jz9bm4v3 ай бұрын
Sasa hayo maviatu Mungu wangu
@DadialiDadi3 ай бұрын
Uyoooo mfupi kama kichupaa cha piko ndo anahitaj vibokooo zaid😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@agnesjohn93823 ай бұрын
😂😂😂😂 kichupa cha piko tena 😂😂😂apigwe kakosea nini jamani