Mungu wakumbuke wafungwa wote Baba.Sema neno moja tu, na roho zao zitapona😢
@evajohn70015 жыл бұрын
ndiyo mana mimi huwa nakosa cha kumfanya mtu aliye nikosea.
@latefaafreca54865 жыл бұрын
Ee mwenyezi mungu wakumbuke watoto wako nazani watakua wamejifunza nawasio namakosa pia wafikiliwe nimeumia sana ila namlilia mungu awakumbuke Amen
@elizabethmwandoe24264 жыл бұрын
Mungu wasamee..kweli gereza n mahal pa kujirekebisha
@kaymyter79884 жыл бұрын
Huyo amefungwa sababu ya shamba anafaa kuachilia asap
@hamishemed91795 жыл бұрын
Kusema kweli inahuzunisha ingawa pia nifuraha bali Kenya mnafanya vizuri kuwakumbuka wafungwa
@priscasiame91795 жыл бұрын
Jera sio kaburi. hila nimeipenda hiyo kenya ndg zetu hongeren mno.serkali yangu ya tanzania please igeni kupitia kwa wenzetu wafungwa wetu wapate faraja
@lubatikoseme14465 жыл бұрын
Hongereni sana majurani zetu wakenya.. mna hutu na hofu ya Mungu
@ashab25375 жыл бұрын
Machozi yananitoka, haijulishi walifanya makosa gani, lakini wao wamekubali matokeo
@bethnduta61403 жыл бұрын
Oh my God feel mercy on them
@hannahmwaura71303 жыл бұрын
wuuuie. Mungu sikia kilio cha hawa wafungwa.....Mungu unisaidie nisiwai leta mtu huku na sikwa ubaya wuuuii.
@bnztechnologies26764 жыл бұрын
JAMANI KENYA NA NYIE MFATE NYAYO ZETU TANZANIA MRELEASE WAFUNGWA JAMANI
@carolmuchiri99214 жыл бұрын
That's a good to be visited by there Families, The Government should build too Special rooms where Couples can have Lugula and except the ones wa mefungwa Maisha! !
@dullahamoud60375 жыл бұрын
Nimependa wamefurahi Sana wanajiskia faraja kwa sbabu wameoana wamewajali na sisi tuige inshallah
@makatym61515 жыл бұрын
God will have A MERCY on them
@judithkatabaro32945 жыл бұрын
Eemungu wa mbinguni usiye shindwa jambo..sema kitu kwa raisi kenyata
@stevenfumbi95665 жыл бұрын
Yes good idea
@khadijamohammedsheheasemak13345 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@EmmanuelMwenda-cn6ps11 ай бұрын
Case ya shamba inafunga mtu Maisha
@azariasmercyline51343 жыл бұрын
God be with u till we meet again
@evanssagala45153 жыл бұрын
Woooi mungu ako nanyinyi
@jacklinamani75195 жыл бұрын
Wakenya ma handsome
@aminahasan35645 жыл бұрын
👍Kenyata...ila inauma sana
@anithagilibert68085 жыл бұрын
muuuu!!! Aisha Eliasi umetisha has haaa
@husseininteligence62345 жыл бұрын
Watu wakiwa jela huwa wanajifanya watakatifu sana
@lugomicheal6718 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@mutabazijustin24875 жыл бұрын
kbsa vizuri sana Kenya, wakolon waritutesa kweri sasa nasisi tugitese kweri?
@thomasbahati39974 жыл бұрын
Safi sana hiyo
@rukayasalafiyat52304 жыл бұрын
Maskini yaskitisha sana hadi machozi
@aishaelias38675 жыл бұрын
Wapewe private rooms wakatombane
@janekikoti21795 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@ashurakambangwa145 жыл бұрын
Kweli aisee
@alymohd67135 жыл бұрын
umeongea pwent dada
@mtotonimamainawumsanamct34485 жыл бұрын
Mungu teteya waja wako wawafunguwe apo nisusu yakifo kifungo chamaisha muwasame nalia sana
@ahmedhassan26195 жыл бұрын
Daaah asee we Aisha bhn umetisha kwa hio watu waunganishe nyaya umeme uwake sio
@jacklinamani75195 жыл бұрын
Mh jela mnanenepa hivyo
@allymohamedmkiwa85735 жыл бұрын
Hongereni serikali ya Kenya, na mm ntamwambia rais wangu JPM mageraza yetu yawe kama kenya
@leylasaid26165 жыл бұрын
Kenya wako vizuri saaaana
@agnesvintan15385 жыл бұрын
😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥
@user-kb6lx6mt1i5 жыл бұрын
Waa niuchugusana
@moodless65065 жыл бұрын
Really 😭 Allah make easy for them
@abdullmalik78475 жыл бұрын
😭😭😭
@faizasaid82625 жыл бұрын
Daa muna wakosesha haki zao inafika muda unafil kitu bwana