WANA NDOA WOTE WANGE ELEWA HII,WANGE TATUA MENGI

  Рет қаралды 75,631

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

2 жыл бұрын

HII SIO MMOJA NDIYE TU AFAHAMU! INAPENDEZA WOTE WAJUE SAYANSI HII

Пікірлер: 90
@longheesanga7182
@longheesanga7182 2 жыл бұрын
Asante Sana pastor mungu Akubariki sana kama Umeniona nashukuru sana kwa masomo mazuri👏👏👍
@peterkerenge9207
@peterkerenge9207 2 жыл бұрын
Pr,kweli roho wa bwana ananena,na mimi nimeandaa somo la ndoa kidgo na nilikuwa naenda post week hi,alaf nakutana na ichi,kana kwamba Mungu anataka niongezea kitu au nirekebisha kitu
@rhinakiza
@rhinakiza 2 жыл бұрын
nafurahi kusikia massage hizi za wana ndoa kabwa sija olewa Asante Mungu unao Mpango mzuri kwa ajili ya maisha yangu ya ndoa hapo badae🙏🙏 thank you so much pastor
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 Жыл бұрын
Asante sana baba ujumbe umefika kwwnye udongo mzuri barikiwe sana 🙏
@yuyungoteya1731
@yuyungoteya1731 2 жыл бұрын
Nakuelewa sana pastor Mungu azidi kukupa hekima na mafundisho zaidi ili tupone
@rebeccasamuel3563
@rebeccasamuel3563 2 жыл бұрын
Nampenda San mtumishi wa mungu barikiwa saaan
@annamndambi1566
@annamndambi1566 2 жыл бұрын
pasta mmbaga shikamooo naomba hili somo ulitoe kwenye mikutano nazani litatusaidia sana
@enithanelson8418
@enithanelson8418 2 жыл бұрын
Asantee pastor kwa somo zuri Mungu wambingun atupatie hekima na maalifa wanandoa maana badala yafuraha imekuwa ni karaha kweny ndoa
@didashmessi2528
@didashmessi2528 2 жыл бұрын
pastor umenipunga sana yaani wewe unajua,mm niko hivo nikiitwa tu mpuuzi naunganisha yote naongeaaaa, naliaaaa, lkn umenipatia suluhisho 😢 asante
@matthieuisse1571
@matthieuisse1571 2 жыл бұрын
Aksanti pastor
@sarahbosibori6432
@sarahbosibori6432 2 жыл бұрын
Barikiwa sana pr. Ukweli mtupu huo
@nadinekatungu6987
@nadinekatungu6987 2 жыл бұрын
Asante mchungaji fundisho hili limenisaidia kabisa umeongelea yalio Nikita kabisa lakini nimeona yakurekebisha ni Nadine. Toka RDC/goma
@leawamukota9217
@leawamukota9217 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri pastor
@annamunuo7984
@annamunuo7984 2 жыл бұрын
Upo vizuri sanah.. karama ya ualimu unaitumia vyemaah be blessed more
@lebonbasimise6814
@lebonbasimise6814 6 ай бұрын
Jambo mchungaji nilitaka uliza kama kuna masikilizano ajili ya kupana Riba ni makosa ni Basimise Lebon kutoka Congo uvira
@jaredmayaka2993
@jaredmayaka2993 2 жыл бұрын
Amen pastor ubarikiwe
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 2 жыл бұрын
Daaah!!! Mchungaji unajua sanaaaaa. Mungu wambinguni akutunze
@teddyalex4592
@teddyalex4592 2 жыл бұрын
Mungu akubariki zaidi ya Sana,Sijawahi kupoteza muda ninapokusikiliza
@official_.swash_.
@official_.swash_. 2 жыл бұрын
Pastor mungu akuinue juu juu zaidi mafundisho yanaingia sana
@graciousmtaita6453
@graciousmtaita6453 2 жыл бұрын
Asante pastor ubarikiwe kwa somo
@estheroppi7664
@estheroppi7664 2 жыл бұрын
Barikiwa sn PR. For the powerful message. Blessed be though 2U
@mazemlejr9832
@mazemlejr9832 2 жыл бұрын
Barikiwa Pr. kwa masomo yenye kujenga familia zetu
@damarisangasa9757
@damarisangasa9757 2 жыл бұрын
Thank you so much pastor for the nice teachings.
@t7zkc5tpxgim28
@t7zkc5tpxgim28 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor
@leawamukota9217
@leawamukota9217 2 жыл бұрын
Amen wacha mungu atusaidie tu
@fatumasika9519
@fatumasika9519 Жыл бұрын
Baba, nashikuru kwa mafundisho mazuri. Sasa ikiwa mume haongei, namna gani mutapanda na kushuka kwenye wimbi ? Nakufata kutoka Congo DRC
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll 2 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki
@suysoni
@suysoni 2 жыл бұрын
You've spoken well Pastor. Very Practical.
@juliansowani1176
@juliansowani1176 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu
@gladysramadhan4008
@gladysramadhan4008 2 жыл бұрын
Ukweli kabisaa pastor mungu akubariki sana.
@neemasaidisaid1791
@neemasaidisaid1791 2 жыл бұрын
Nimepata kitu kikubwa mno hapa.
@matthieuisse1571
@matthieuisse1571 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@maureenkemei9254
@maureenkemei9254 2 жыл бұрын
Asante mch
@neemasaidisaid1791
@neemasaidisaid1791 2 жыл бұрын
Thanks.barikiwa sana
@jeanettegloria6244
@jeanettegloria6244 2 жыл бұрын
Hahah barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Basi wanaume wanaotuudhi tukiwa tunanyonyesha wanaharibu watoto wetu,Nashukuru Mtumishi najifunza mengi japo naona nilishapoteza vingi na sina hamu hata ya kuvirudisha nyuma ili nianze acha nisonge mbele tu
@doricengonyani3335
@doricengonyani3335 2 жыл бұрын
K0i
@silvesterryaga7365
@silvesterryaga7365 2 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa somo zuri.
@elimelickmbaka5133
@elimelickmbaka5133 2 жыл бұрын
Mungu atukuzwe
@eveliusrespicius6859
@eveliusrespicius6859 2 жыл бұрын
thank you God bless you
@enockmogaka8041
@enockmogaka8041 2 жыл бұрын
Nice advice
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll 2 жыл бұрын
Hiyo pending inaumiza sana…. Miaka…. .
@ritterswalehe2979
@ritterswalehe2979 2 жыл бұрын
Umeongea ukweli, Mungu akubariki sana
@goodnews.gracious
@goodnews.gracious 2 жыл бұрын
Pr. Ningekuomba uje siku moja kenya
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 2 жыл бұрын
Mungu akipenda nitakuja
@tricewilly5021
@tricewilly5021 2 жыл бұрын
Hahaha well said my Pastor,,👏👏👏💪
@salomedavid331
@salomedavid331 2 жыл бұрын
Well and nice pr
@marrykajange216
@marrykajange216 2 жыл бұрын
Barikiwa sana ujumbe mzuri
@gloryjesus4308
@gloryjesus4308 2 жыл бұрын
Mi ni mchungaji Umenena vyema saaana
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll 2 жыл бұрын
Ndiyo maneno yameshikana na vitu vingi!!
@mariathomas2333
@mariathomas2333 2 жыл бұрын
Be blessed
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 2 жыл бұрын
SIPENDI KUNYWEA CHAI KWENYE HIKI KIKOMBE CHENYE PENGO SIKIA MWANAMKE ULINUNUA????Hahahahahahaaaaa
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll 2 жыл бұрын
Ulimi ni muhimu!!! Kweli
@nicholaskiragu2797
@nicholaskiragu2797 2 жыл бұрын
Very true..
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 2 жыл бұрын
MTANI MIMI HUA NAKUELEWA SANA MUNGU AKUBARIKI SANA
@fastonngatulile6628
@fastonngatulile6628 2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll 2 жыл бұрын
Ndiyo…. Kunyamaza kwa mabishano
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 2 жыл бұрын
Safi sana
@gracekatani3669
@gracekatani3669 2 жыл бұрын
Somo zuri sanaaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mtumishi yaani Ndoa kweli ngumu mno
@Uzima-Tv
@Uzima-Tv 2 жыл бұрын
Ujumbe mzuri
@yasintamagavilo1996
@yasintamagavilo1996 2 жыл бұрын
Nataman baba Kelvin angeona somo hili 😌😌
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Mfowardie kwenye simu yake mpendwa
@shegashega2421
@shegashega2421 2 жыл бұрын
MUNGU akutunze kabisa.
@billionairetz256
@billionairetz256 2 жыл бұрын
Hayo maji vp Pr ,hapo kibiashara tayari ni tangazo kubwa hahahaha
@onesmoelias8509
@onesmoelias8509 2 жыл бұрын
Matangazo kiaje wewe tumia akil kufikilia umeshawahi kuhubil Apo anatumia nguvu Sana lazma apate maji ili koo lisikauke
@mosesmolel5391
@mosesmolel5391 2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@mosesmolel5391
@mosesmolel5391 2 жыл бұрын
Maubiri yanafundisha xana
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
@@onesmoelias8509 asinyweee??
@joycejumaa7181
@joycejumaa7181 2 жыл бұрын
Amen!mafundishi matamu sana
@mosesmanyama1773
@mosesmanyama1773 2 жыл бұрын
Pr ntakupataje nahitaji maombi yako ninashida sanaa
@ziadaziada1613
@ziadaziada1613 2 жыл бұрын
Kwahiyo hapo ndo talawanda?
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll 2 жыл бұрын
Powerful message
@puritychogoro
@puritychogoro 2 жыл бұрын
Somo nzuri Pastor Mmbaga,we love you
@jairossimchimba9197
@jairossimchimba9197 2 жыл бұрын
Nimejifunza Sana kupitia SoMo hili
@goodnews.gracious
@goodnews.gracious 2 жыл бұрын
Aki nitunie nambari yako ya simu
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll 2 жыл бұрын
Yapo!!!
@filorammbaga5710
@filorammbaga5710 2 жыл бұрын
Pr. David hbri za mbakweni mtumishi,barikiwa Sana kwa mahubiri.
@sarajoseph2131
@sarajoseph2131 2 жыл бұрын
Ila wanaume bhana 🤣🤣,,aa,,,
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
huyo mwandishi wa kichwa cha habari aliishia darasa la 3 au ?
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Testesterone wow hormone ya kiume hiyo
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 2 жыл бұрын
Mshenzi anazaa hahahahaha
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Wana makusudi tui
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 UKIWA NA MKE HASIRA TAFUTA SHIMO LA FUTI 100 UZIKE ARDHINI HAFU UFUKIE. KWENYE HII NYANJA ROHO WA SHETAN YUKO ANATESA WANA NDOA KWELI TUJITAHIDI KUKUA KIROHO KUGUNDUA SHETANI AMETEGA WAPI MTEGO WAKE
@christinaevaristo5510
@christinaevaristo5510 2 жыл бұрын
Paster ahsante kwa SoMo Ila bado changamoto zipo nying kwenye ndoa yaan Mungu atusaidie
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Kasema haziishi kwa siku moja amka
@nicholaskiragu2797
@nicholaskiragu2797 2 жыл бұрын
Very true..
KANUNI HIZI TANO ZITAKUSAIDIA WAKATI WA SHIDA KUBWA MAISHANI
48:39
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 34 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 59 МЛН
#SHERIAZETU:SHERIA INACHOSEMA KWA WATOTO WALIOZALIWA NJE YA NDOA.
29:29
AINA 3 ZA WANANDOA | PR. DAVID MBAGA
42:21
Makongo Juu SDA Church
Рет қаралды 96
#LIVE; Pr David Mbaga. Ndoa yenye Furaha.
17:39
Sanga Richa
Рет қаралды 2,4 М.
MABORESHO KATIKA TENDO LA NDOA KWA WANANDOA
15:50
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 815 М.
BADILI FIKRA!! MAJIBU YA SHIDA ZAKO HAYA HAPA!!!!
39:28
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 152 М.
Pr David  Mmbaga,TAMBUA SABABU KUBWA ZA MIGOGORO KATIKA NDOA
29:38
Pr. Paul Semba,NDOA AU FAMILIA INAPOKUWA NA DHORUBA
34:53
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 13 М.
WANA NDOA WANGEZINGATIA HAYA,MIGOGORO MINGI INGEISHA
1:08:58
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 145 М.
SIRI YA KUINUKA TENA BAADA YA HASARA
51:47
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 48 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42