Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏
@roseemmanuel44924 жыл бұрын
Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote
@husseinshabani95224 жыл бұрын
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Na nikupe pole sana kwa Majukumu Magumu sana Uliyonayo yakutatuwa kero za Watanzania.Mimi nashindwa kuelewa watendaji wanakwama wapi!!!,Wanakuumiza kichwa hivi!!!,kweli kutengeneza Gari la wagonjwa linakuwa shida.watuchukuwe Mafundi Mtaani waone. Yatapona yote.
@ismailmneka2967 Жыл бұрын
Daah hakika wewe ulikua Rais wa kweli😭😭😭😭pumzika Kwa hamani baba
@kerrykerry2549 ай бұрын
Am from Kenya lakini nikikumbuka kifo cha Magufuli huwa ninanusurika sana...very painful to us as Africans 😢
@maryoswad70224 жыл бұрын
Duuu raisi wetu Mungu akutunze upo vizuri sana mmmmm
@allymwilamba11804 жыл бұрын
Jamani huyu rais anafanya,kazi xna,yaan anauchungu na maendeleo ila baadhi ya mawaziri kichefuchefu na wakurungezi na DC wapo wapo tuuuuuuu
@gadinuru14544 жыл бұрын
Dawasco Tanesco Kila kitu yeye dah Mungu akubariki🙏🙏
@lovecorridor60394 жыл бұрын
Natumai Somalia tutawaikua na rais kama Rais maghufuli🙏🇸🇴♥️
@hamadshein4984 жыл бұрын
Nyie mlimfanyia fitna hussen Adid
@lovecorridor60394 жыл бұрын
@@hamadshein498fitna?? aje kakangu??
@husseinshabani95224 жыл бұрын
In sha Allah.Allah Awafanyie Wepesi.
@teychriss32484 жыл бұрын
Hussein Shabani Mungu atawapatia
@husseinshabani95224 жыл бұрын
@@teychriss3248 Mungu ni mwema kwa kila jambo jema.
@teychriss32484 жыл бұрын
Hatari sana ! JPM jembe langu kazi unayo! Wananchi wako umewapa ujasiri wa kujieleza mbele yako! Wanakuamini sana wewe unaewapa wananchi nafasi ya kukueleza ukaelewa! Unaamini wananchi wako! Kuliko viongozi uliowaweka! 🙏🏾 Mungu azidi kukuinua!
@Joseph-lu4yj Жыл бұрын
now days hali ni mbaya daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@peterminde4037 Жыл бұрын
Daah!!! Missing sana hii kazi ya anko. RIP dad /comrade JPM 😢
@SIMULIZIZONE4 жыл бұрын
Angalia hapa makala ya #King #Mswati na mila za kuoa mademu bikra. kzfaq.info/get/bejne/n7p3ZMKe15i0lmQ.html kzfaq.info/get/bejne/n7p3ZMKe15i0lmQ.html
@francissgodlove Жыл бұрын
R.I.P kitu kinachoniuma sana nikutokupigia kura 2020 Inaniuma sana, ingawa 2021 Nilianza kukupenda na kukuelewa shida moja tuu nikuchelewa kukuelewa "Pumzika mzee" ninajifunza
@dinapraygod35469 ай бұрын
Pole ndugu yangu
@shijandobehe49535 ай бұрын
😢😢😢 Tanzania yangu
@marley4210 ай бұрын
Ila hapa john alicheza kicuba kwenye majibu.😂😂
@edwingwesso68184 жыл бұрын
Huyu ni zaid ya mwanajeshi
@isaya43.124 жыл бұрын
Nakupenda Sana Rais wetu 2025 Mungu Atupe Tena Mtu kama wew
@Joseph-lu4yj Жыл бұрын
daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
@abdulmajiddhamirramadhan23644 жыл бұрын
Yaani Rais wetu alivokuwa serious,hadi mlinzi wake anasitasita kujieleza mbele yake,asante sana Rais wangu,hivi ndivyo tunavyotaka sie wananchi wako wanyonge
@josephmakalanga94534 жыл бұрын
Nakubali xna mkli taariza za uhakika your super nice
@sandrandai61804 жыл бұрын
Mh anafanya kazi sana tatizo watendaji wake. Yaani hadi kutengenezwa gari mpk raisi asimamie si awafukuze wote wasiowajibika wasomi wapo kibao mtaani hawana hta ajira
Sichokagi kumsikikiza huyu Mwamba ila na mshukuru Mungu kwa yote Maana hata kwa hili atabaki kuwa Mungu Jehova
@twahiruidd20474 жыл бұрын
Mungu mjali rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano
@HaleluyaTv4 жыл бұрын
KARIBU KUTAZAMA IBADA YA JUMAPILI YA LEO 02.08.2020 KUTOKA HAPA OMEGA MINISTRIES CHURCH OF ALL NATIONS- KWA MTU WA MUNGU NABII SS ROLINGA, MBEZI BEACH DAR ES SALAAM PIA USISAHAU KU SUBSCRIBE CHANNEL HII UBARIKIWE, GUSA LINK HII CHINI kzfaq.info/get/bejne/qMB2mN2E1cWVqoE.html
@elibarikinelsonnsenga39494 жыл бұрын
Naomba uniambie mheshimiwa ,, unamkubuka komba,, naomba unijib mheshimiwa. Rais huyu ni tunu. Mlinzi wake mwenyewe amepata tabu kujieleza
@namelessunknown13774 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁wabongo noma
@mjukuutvonline83734 жыл бұрын
Nameless Unknown Noma sana yani
@salem9874 Жыл бұрын
Naomb like sote tuliangalia mwaka 2023
@edigoldkhadija56804 жыл бұрын
I like Mr President God bless you and give you strong health
@robertpaul33154 жыл бұрын
Kazi yako inafaa sana
@liverpoolfootballclub998510 ай бұрын
Alhaji hoyee 🇰🇪
@swaggerizedninjagoseprocom85234 жыл бұрын
Magufuli kamanda aiseeeh
@wokovumwazembe35054 ай бұрын
Kupata rais kama huyu itachukua muda sana Tanzania Mungu naomba msamehe dhambi zake pia utusamehe na wengine tulio hayi
@ramamtetu23274 жыл бұрын
Ninachompenda JPM Mwananchi Akizungumza tu Hata kama Akizungumza Kwa daraja la darasa la saba Chap Chap anamuelewa Kwamba Kuna Jamba fulani Huyo Mwananchi Anamaanisha
That dude lamenting about water "maji tatizo" without elaborating further was not even polite in his tone. Some people lack basic manners of talking. The Late JPM is an ever hero and an excellent role model, not only for Africa, but the whole world. RIP.
@suleimanali52704 жыл бұрын
Hongera sana Mh Rais unajitahidi sana na lengo lako tunalielewa ila wakati mwengine kua na subra kidogo unatisha sanaaa hata ninapokuangalia najaa hofu
@mwiganemwakajinga53684 жыл бұрын
Baba yetu kazi unayo hao ndio wananchi wako wanauchungu Sana tusaidie sisi wanyonge.
@user-hx9fz7ee9r10 ай бұрын
V8 iwee🚑🚑🚑chap
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Gari ya Mkurugenzi!! Bado watendaji hawajakuelewa kwamba kipaumbele chako ni mwananchi wa chini kupata huduna
@khaldancarlos98593 жыл бұрын
Mungu amlinde Tundu Lissu
@teacherd4 жыл бұрын
Wanafunzi wote pita KWENYE CHANNEL yangu yapo MENGI mazuri uta yapata
@Joseph-lu4yj Жыл бұрын
Gari ya mkurugenzi ndoo iwe ambulance duuuuuuuuuu
@xbdbdgdgsbdbbxx42544 жыл бұрын
Yaani huyo kaka anahasira kweli, ana mrudishia kesi kwa m Rais 😂😂😂😂. Rais Magufuli oyee eee 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@careenjunior87114 жыл бұрын
Fanya kazi baba unaweza.
@elibarikinelsonnsenga39494 жыл бұрын
Embu Rais niambie inakuwaje hapo,, yaani hadi raha🤣🤣🤣
@roi25544 жыл бұрын
@@elibarikinelsonnsenga3949 🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@bjzee19814 жыл бұрын
Atakua Chadema huyu
@seifmtengela55964 жыл бұрын
Baba una kazi sana ... Inatakiwa sijui
@bjzee19814 жыл бұрын
Mafuriko yalichimba hadi makaburi mwaka huu
@rechrontv24534 жыл бұрын
BIASHARA 8 ZA KUFANYA CHUONI (gusa link 👇👇👇 kutazama) kzfaq.info/get/bejne/mMuaiKd7sLjFYGQ.html
@mohamedsuleiman25524 жыл бұрын
Mjomba magu kamshusha usalama duuh
@thierybien70514 жыл бұрын
Yaan ciwaelewi kabisa wanavyojielezea
@salmasoso98394 жыл бұрын
Rais kawaelewa
@josephmanyama4354 жыл бұрын
safi sana salma soso
@thierybien70514 жыл бұрын
@@josephmanyama435 oya manyama henry hapa
@martinemasanja16334 жыл бұрын
Mh.raisi ana uwezo mkubwa wa kuwaelewa Wana maanisha nini
@salmasoso98394 жыл бұрын
@@martinemasanja1633 fact
@omaryhathuman94444 жыл бұрын
Changamoto za maji ata Wilaya ya Masasi zimeenea kata ya Chiwata tunakunywa maji ya kushea na wanyama wakati mito iko mingi na maji yako mengi
@kingswebe32514 жыл бұрын
hili gari nikisema lije hapa litakuja? hapana mkuu, wewe unagari? hapana, mkurugenzi yuko wapi? yupo dar ameenda na gari lake, kuanzia sasa gari ya mkurugenzi ianze kubeba wagonjwa mpaka watakapotengeneza ambulansi 👊👊
@Kingnelbo4 жыл бұрын
Lol mungu azidi kumuongoza uyu mzee
@wannaproducts4 жыл бұрын
Natamani nikuelewe...
@remmygashumba98654 жыл бұрын
Millard ayo low quality
@lazarojohn6762 Жыл бұрын
Huyu jamaa alijua kucheza na akili za wajinga
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Magu na gari moshi mara atasema amerogwa, nchi mmeinajisi hakuna chochote zaid ya usanii milio 31 pesa ya (madafu) sasa mvua zikinyesha waizime mashine watumiye maji tope?.. Tatizo serikali imelaniwa hakuna kitakachokuwa. Mnatowa pesa mbili za madafu zitafanya nini buree tu.
@wannaproducts4 жыл бұрын
Umelaaniwa weye na ukoo wako bila shaka... Ni ujinga wa kiafrika kudhani kila jambo mnaloshindwa kuwajibika nalo kuwa ni laana, na laana iko Africa tu. Acha uwehu
@mr.theory58714 жыл бұрын
Huyu jamaa kama anaongelea mkundu
@gracethomas6834 жыл бұрын
sasha 2020 ni milioni 91
@hamisimussa22284 жыл бұрын
Uyu Sasha ni shoga
@omarylukindo53064 жыл бұрын
Wananchi sio watu wazuri kabisa.Daah wanakuchoma huku onaona😂😂
@baikokokangamoko4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@IronKing894 жыл бұрын
Kumbe maji tu ccm si mliichagua!
@kingswebe32514 жыл бұрын
binafsi nimengundua kumbe upinzani nikupinga kila kitu, pia inakubidi usione mazuri anayoyafanya mtawala wako yote ni kupinga tu.
@adrophwilliam32254 жыл бұрын
Uwezo wako wa kufikili ndio unao kusumbua tangu lini Raisi alipo tatua shida za watu kwa njia za haki akalaumiwa? mfano kama hili la leo nani kamlaumu?
@kingswebe32514 жыл бұрын
@@adrophwilliam3225 yanayonisumbua mengi sana, sio tu uwezo wa kufikiri.
@bone1024 жыл бұрын
@@adrophwilliam3225 ndege si mlimlaumu pale ubungo alivyokuwa anavunja majengo ili ajenge daraja si mlimlaumu leo daraja limekamilika mnaanza kumsifia nw ndege zinaleta mapato zmechukua ndugu zetu toka china kwa ndege mlizo sema watu hazitusaidii
@rhassanimkomwa4 жыл бұрын
watu wanachomoa betri mbele dc pole sana
@jacksonamos20084 жыл бұрын
Duu ajali yake sio ya kitoto.
@thabitmkuu19294 жыл бұрын
Huyu Mjomba magu ni hatari
@jacklinejohn71544 жыл бұрын
Rais mpambanaji kiongoz wa wanyonge
@baikokokangamoko4 жыл бұрын
🤣🤣
@muhalamihabibu84904 жыл бұрын
Mambo vp
@eischerschwederm78764 жыл бұрын
Tatizo ni uongozi mzima ivi tengeneza hayo magari jamani hadi huruma kwa rais
@andrewkilave35324 жыл бұрын
Huyu DC kafanana na jengua daah
@haikajohn75804 жыл бұрын
Wana,hila hao
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
Magufuli nikugombezwa kwa kwenda mbele na wananchi lol @4:50
@kalaluwakisaka32114 жыл бұрын
Maguuuuu
@manyotaskipper57654 жыл бұрын
Kumbe huyu ndio DC ALIOTUMBULIWA KAPELEKWA KANAL SASA HV
@diuskaganda51054 жыл бұрын
Jaribu sana ndugu zangu kutumia nafasi ,pili angalie na mtu mnaeongea nae.na ww unaongea vip,hakika huyu ni rais wa pekee.mungu ampe maisha marefu raisi wetu
@saimonseleka84784 жыл бұрын
Uyu msemaji muislamu uyo duh! Kama nyaya haziko sawa
@robarttarimo16964 жыл бұрын
Unazingua sasa unaona alivyoekeza alupewa nafas kwenda kunyenyekea m2 au kueleza
@selemankishema57804 жыл бұрын
Mzee magufuli bwana sasa walinzi wako mbona unawachanganya hawatakiwi kushughulika na mambo mengine zaidi ya kukulinda wewe.
@husseinshabani95224 жыл бұрын
Analindwa na Mungu.Binadam Awezi kumlinda Mtu.Binadam Anakusaidia Usisumbuliwe na Watu.
@teychriss32484 жыл бұрын
Hussein Shabani safi
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Kwani kawauliza wote??? Si amemchukua mmoja tu kati yao.
@bobbiegatimu71244 жыл бұрын
21st century Africa this is shocking
@baikokokangamoko4 жыл бұрын
Kimempata
@bjzee19814 жыл бұрын
Lakini sasa utajuaje mafuriko yatatokea ilhali mvua za mwaka huu zilikua zakushtukizia.
@bone1024 жыл бұрын
Sio kujua mafuriko walitakiwa kutoa hzo mashine baada ya kuona mvua kubwa
@bjzee19814 жыл бұрын
@@bone102 . Wakati mwingine mvua hunyesha usiku ukiamka kila kitu kime sombwa
@josephmanyama4354 жыл бұрын
Unajua wanamchanganya sana raisi wetu anamambo mengi sana kwani viongozi wa huko chini wanafanya kazi gani jamani mbona madaraka hamyajui jamani
@haikajohn75804 жыл бұрын
Kweeli baba wanakuchanganya,kwani,kila,kitu raisi,afanye? Kwanii viongozi wangazi zachini kazi zao,nipi?
@eliasstafawa493511 күн бұрын
Magufuli 😅😅
@hamisimustafa44154 жыл бұрын
Nakubari
@agogojrtz65324 жыл бұрын
P1
@maalickbintarish66584 жыл бұрын
Jembe la ccm
@mrbenedicto56604 жыл бұрын
kzfaq.info/love/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*
@polycarpmicky41514 жыл бұрын
Duh huu wimbo mzuri shukuran kwa Mungukzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html
@videozaaj10694 жыл бұрын
We mheshmiwa weweeeee
@baikokokangamoko4 жыл бұрын
Haya kama unapenda mizigo mizigo 🍑🍑 njoo huku haraka
@selector7284 жыл бұрын
🖕🖕🖕🖕🖕🖕
@hajimizozo93134 жыл бұрын
T
@ernestdismaseryd16774 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/jbiepbqmvc6bk3U.html hatari sana
@reginasoki50254 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆 pumbavu kabisa
@jmnafaka94514 жыл бұрын
PETITMAN AANGUA KILIO MBELE YA WAANDISHI KISA ESMA KUOLEWA 😭💥💥🔥 LINK hapa 👇👇 kzfaq.info/get/bejne/o59haK2D2pq8c6c.html
@halfanmundo6224 жыл бұрын
ameshituka aliposikia mrad wa maj unasimamiwa na luwasa akahis lowasa.
@amanimgaya96234 жыл бұрын
😄😄
@anthonyzambi44154 жыл бұрын
Hujitambui wewe unashindwa kuandika hata RUWASA, ray man mkubwa sana weee
@selector7284 жыл бұрын
Hee we kwel boya hajasema luwasa,,,sema RUWASA
@husseinmkakile92064 жыл бұрын
YATAFURIKAJEEEEEE😂😂😂
@samsonkusupa81854 жыл бұрын
duuh kweli hapo mzee magu kakutana na wendawazimu
@martinemasanja16334 жыл бұрын
Lakini jamaa nimemkubali Sana kwani anajiamini na kingine jamaa kuna Jambo kalificha ndo maana akamwambia chunguza mwenyewe
@planmasta40834 жыл бұрын
Mtetezi wa wanyonge
@Amneamne-qi2du4 жыл бұрын
Ama kweli huyu mtetezi wetu wanyonge Allah akupe umri na afya njema
@roseemmanuel44924 жыл бұрын
Wanainchi wabaya Kama wajumbe ukiwatendea ubaya wanakupa ubaya nakupenda San Rais wangu Mungu akutunze maisha yote