Рет қаралды 6,066
Wamejizolea sifa na umaarufu kwa kucheza densi wakiwa wamebeba jeneza kwenye misiba. Na sasa muasisi ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi hili nchini Ghana ataka kufungua matawi katika mataifa mengine ili kutoa huduma zao. Je uko tayari kwa huduma zao? #VijanaMubashara #77Asilimia