toka kenya hapa. nimepatana na video zake kule facebook. ikabidi nimemsaka huyu mzee. yeye ni true comedian
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Jamaa mkweli sana. Hapo K9 kiumeni ni noma. Gari za tia maji tia maji usipeleke huko zinakula mzinga sana. Big up legendaryary.
@thetas082 ай бұрын
Mpeni deal mzee mkongwe comedy mzuri bila kufikiria anajibu hapo kwa hapo mpeni matangazo anapendwa sana na pia anaburudisha sana Kilubwa kwake code zake kuziielewa big up mkongwe bondei in air
@fahadfahmy9 күн бұрын
nikweli hana tofauti nababalevo
@abrahammichael6422 ай бұрын
Huyu jamaa angepata nafasi CHEKA TU ingekuwa poa sana
@rehemakanyere41882 ай бұрын
Hahaha
@solomondanny-15072 ай бұрын
Duuuh
@salimmalaka2562 ай бұрын
BABA LEVO ALIMPELEKA KUANGALIA HIVI MAJUZI NDARO NA LEONRALDO
@nancyg86642 ай бұрын
@@salimmalaka256nadhani ni Leonardo sio Ronaldo
@salimmalaka2562 ай бұрын
@@nancyg8664 YES NDIE HUYO LEONARDO
@EmmanuelMachupa-st4zh2 ай бұрын
Nimekubali sana hiyo ya mahimahu ya nairobi na hiyo ya Nakuru kweli nihatari sanaaa
@patrickkarugu71992 ай бұрын
It's called Mai mahiu.
@asawoasawo5172 ай бұрын
Kweli
@eleven-in5qw2 ай бұрын
@@patrickkarugu7199😊
@dubabaxakatv29932 ай бұрын
Na mazeras balaa pia
@fredkangethe74975 күн бұрын
Maze Kenya ni noma sio?
@theresialumato22812 ай бұрын
Daah uyu mzee kiboko yaan nilikuwa nime vurugwa lakin nimejikuta nacheka
@harunichambo46582 ай бұрын
KO Mzee kakutoa mvurugo😂
@raymondswed73582 ай бұрын
Huyu mzee fala san😂😂😂 Namkubali sana ana kipaji kikubwa sana😂😂😂
@fredkangethe74975 күн бұрын
Wacha kutuchambua huku Kenya banaa. Lakini dereva Mkongwe huku Kenya twakupenda sana kaka. Lala nayo...
@Kevworx2 ай бұрын
K9 balaa sana mzee hiyo unaelekea Kabanga sio mchezo ukishafika shuleni tu pale unaanza kuishuka ni hatari sana na hiyo ya rusumo inaitwa machinjioni nayo hailali na njaa mpaka gari ndogo zinakomaga hapo
@Heyumjunior1192 ай бұрын
Dah unyamaaa sana
@ramadhanurassa24102 ай бұрын
Mzee anaongea kwa code balaa eti ushuke na kaseja kama huna D 2 huwezi elewa
@kenrailzdutchman6359Ай бұрын
Bana hata sijaelewa . Kama kushuka na kaseja
@nicodemmabala190410 күн бұрын
Kaseja si Golkipa yaani mgongoni kachorwa namba 1 sasa hapo ndio gear No 1
@Mu_ALI2542 ай бұрын
Wow, I love the conversation. Huyu Mzee is So experienced. Why not Make him an Officer In Truckers association. He will do a Good Job
@bensonpaul36722 ай бұрын
Huyu jamaa kanikumbusha mbali sana,TULIKUWA STAFF 11, KUFIKA RUSUMO TUKASHTULIWA NA WATU WALIOKUWA WAKIPIGA KELELE WAKISEMA GARI INAUNGUA,kumbe ni Landcruiser yakwetu,wakati wa kushuka huo mlima ilishika break mpaka taili ikaanza kuwaka moto...
@dicksongeorge7745Ай бұрын
Ikawaje, malizia stori basi
@gordonkadege25 күн бұрын
Namkubali sna Kosovo dereva mkongwe nikiwa na stress zinapungua anaweza
@emmanuelalfred1402 ай бұрын
Baba levo mtafutie kipindi huyo ana faida katika fani ya uchekezaji na atatoa elimu katika udereva kwa njia ya comedy 😎😎😎😎🙏🏿🙏🏿🙏🏿👍
@aminathaabubakarmasoud5652 ай бұрын
Sure ❤
@sportskijiwe7812 ай бұрын
Ebwaaaaa mzee epewe matangazo jaman apige mpunga kidogooo
@allahisone63862 ай бұрын
NDIOOOOOOO ALLAH AMRAHISISHIE ❤🎉
@fabianmainchanyangachika50172 ай бұрын
Huyu jamaa ni comedy anafaa sana udereva alivamia
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
😂😂😂Mb zangu zimeenda kihalali wallah nimejikuta nipo happy mwanzo wa interview mbk mwisho
@roseurio5032 ай бұрын
Haki huyu mzee mpeeni kazi yaani kuchangamsha kipindi😂😂😂😂
@khamisomary74282 ай бұрын
Hio K9 asee nikweli ngara hio nibalaa asee😂😂 nilikutana na lori speed yake nisawa na mtoto anavyo tambaa
@octavianbaragwiha38362 ай бұрын
Huyuu dereva kweriii . . . K9 hatariiii Sana pia Kuna pale panaitwa machinjioniii
@kelvinmuuwo67332 ай бұрын
Any other Kenyan who saw his reel on facebook and came here looking for him Kwanza niko hiyo taxin anasema😂😂😂😂
@wycliffatambo3614Ай бұрын
Share dereva Mkongwe’s number we appreciate his mastery in storytelling aisee.
@ramadhaniyahaya7286Ай бұрын
Nakukubali sana deleva mkongwe lakini unacho feli ni kuongelea masilahi ya madeleva pesa unayo pewa haifai tetea hilo kakanitakukubali sana
@EddyRajabАй бұрын
He is a good story teller...though exaggerating at some point ...😂😂😂
@FlyingWings-x8h11 күн бұрын
He's an entertainer
@WalterMagezi-xj1um9 күн бұрын
K9 Mimi nimesomeapo nimeshuhudia magar mengi yakihama njia yaani ni hatari
@Khalidniya3802 ай бұрын
Hiyo K9 naijua saana ni balaaa
@lukasjelamisanana67702 ай бұрын
Sawa lakin hiyo k9siyo Kama anavosema huyu mzee km 38 kweli labda kutoka Kona ya benako had ngara hapo sawa
@mwanaidimussa2 ай бұрын
@@lukasjelamisanana677038 ni nyingiiii sanaaa !!! Ila panaogopeshaaa jmb
@alisaadmohammed2 ай бұрын
Kongole sana dreva mkongwe
@emmanuelalfred1402 ай бұрын
Huyo mpeni kipindi cha usafiri na pia ni comedian 🎉❤😂
@aliiddmkomwa18043 күн бұрын
HILI LILEVI LA GONGO LIONGO SANA K9 HUU MLIMA UMEKAA KAMA 9 KM HIZO ALIZOTAJA HUU MLIMA HAUPUNGUI KM 2AU 3
@user-ju3nm8oc1c2 ай бұрын
Daah! Huyu dereva mcheshi sana.
@HamidaHamisi-ej8kz2 ай бұрын
Rusumo machinjioni kiboko sana
@bakarimusa629717 күн бұрын
Mteremko wowote teremka kwa heshima utavuka vikwazo vyote K9 pakawaida tu ukifata maelekezo.
@mrpullover39912 ай бұрын
#Ngarayiwachu #homesweethome #Ngara Kagera tz dah mzeee katembea aseee mteremko unaanzia sehemu inaitwa #lukole Kuna high school hapo shule yangu...
@ntegamaherezovenusteАй бұрын
Jina nivenuste mimini munyarwanda nime ku frow na tiktok namimi ni oparet wamashin focke rifut nakupend san mung akubarikiwe
@ngayaimkwe51752 ай бұрын
Daa mzee tunamkubali sasa sana
@AllanKisiasdg12328 күн бұрын
Swaali kabisa kabla ujaswaliwa,,, hahaha
@maigajohn58282 ай бұрын
Huyu Mzee uwa namkubali sana inabidi aandike kitabu cha historia ili Sisi madereva chipukizi tuendelee kupata muendelezo
@komboarts7110Ай бұрын
Aende kwa coy mzungu huyu jamaa lazma tucheke sana
Mkongwe umejichanganya mlima wa kilomita nyingi ni bugarama k9 ni mteremko mkali lkn kilomita chache
@user-qo6qv6mc5p2 ай бұрын
Ule mlima wa tznia kuingia Burundi siopowa😊
@mbaruksaid57752 ай бұрын
Namkubali sana huyu mzeee
@allahisone63862 ай бұрын
Me too 🎉❤
@hamisindaro3302 ай бұрын
Hio salgaa ukweli huo mlima mwamba
@nakundwamkubwe78232 ай бұрын
Nimecheka 😅😅
@SAKAYONZA2 ай бұрын
salgaaa hatari ....watu daily wazikwa pale
@festokemibala583214 күн бұрын
Huyu mzee hiyo K9 anayosema haifiki 38 Km anazosema! Ukitokea K9 unashuka down kisha baada ya hiyo down unatembea umbali kidogo ndo unapanda kuitafuta Ngara. Watangazaji nanyi mjitahidi kutembelea maeneo ili msiwe madodoki kubeba kila habari kwamba ni kweli!!
@FlyingWings-x8h11 күн бұрын
Huyo ni comedian hapo anafanya hivyo kunogesha story so kila kitu usichukulie serious sana
@celinaernst9652 ай бұрын
Yaani sijawahi kucomment .ila napenda kusema watu tunacheka tu huyu jamaa anavyotuchekesha ila watu wenye shule za driving wangemtumia huyu jamaa private kumfanyia mtu driving exam hawa madereva wa maroli hakuna kupita exam ya kuendesha maroli bila kufaulu mtihani huo watu wengi Tz wanatumia kufundisha tu utingo kesho anapewa roli . Hii ingesaidia madereva kuepuka pia ajali za barabarani. Nchi za wenzetu hakuna driving licence bila kupita exams kwa shule zilizodajiliwa siku ya exam kosa 1 tu la barabarani ukifanya na wasimamizi wa exam wakaliona utarudia Hakuna kupita hivi hivi. NA Maroli hayaruhusiwi kuovertake hovyo hovyo kisheria
@user-zb9mf3us2w2 ай бұрын
madereva tujitokeze midia zitasaidia kupeleka changamoto za rod
@ScopionScopion-zj9cd2 ай бұрын
dereva nakubali sana
@ukuvukiland23872 ай бұрын
Huyo mzee kanivunja mbavu zangu na story za nyani wa kitonga.
@CosmasSylivester-z8u16 күн бұрын
Babu lala nayo,lala nayo nakuaminiaaaaaa😅😅😅
@kabujeasukile54622 ай бұрын
MZEE comedian huyu🤣🤣🤣
@lukasjelamisanana67702 ай бұрын
Lakin pia mteremko mkar upo burundi huo wenyewe ukianza kushuka ni unashuka km zaid ya 30 bugarama hiyo
@rajabhassan69662 ай бұрын
Mzee mpeni kipindi coz kipindi kimenoga mwanzo meisho
@kwizeralajoie36192 ай бұрын
Mkogwe umenikumbusha k9❤❤
@zedekiahmagwega80442 ай бұрын
Mwanamke huyo yeye ANAWAZA HELA TU, kila muda yeye ni hela tu
@HamidaHamisi-ej8kz2 ай бұрын
K9 kiumeeni kabisa tena kabisa
@aminielimushi87092 ай бұрын
Aina mpya ya usanii TZ
@youseph-tz2 ай бұрын
Duuh nilichogundu kuwa madereva wengi wa gali ndogo hawazifahamu alama nyingi za barabaran mfano hapo baba leo swali alilo liuliza nimegundua kuwa angekutana na hiko kibango cha toxicna gia box asijejuwa nini kimemaanishwa
@innocentkimisha2 ай бұрын
Ni kweli wengi hawafahamu. Lakini hapo kwenye kipindi lazima mtangazaji aulize kwa faida ya wasikilizaji na watazamaji wake. So ilikua lazima aulize fuvu na gearbox na 1 low vinamaanisha nini ili hata ambaye si dereva aelewe.
@law93king2 ай бұрын
daaaah aisee
@ashahussen5538Ай бұрын
Mwambie congo imebadilika saizi mkongwe kanyaka unaijua! Kwa mjeshi unapajuaa😢
@user-um5uw9yo5q2 ай бұрын
Hapo kwenye k9 umetupiga inakilomita 9 tu Ila ni mporomoko mkali sana
@samidquiz63162 ай бұрын
Hiyo ni sifa ya fasihi simulizi inakuwa na chuku nyingi
@MarckyCholla2 ай бұрын
Kakosea wapi mbona hapo tunapajua wengi
@user-ul9df5ko2r2 ай бұрын
Si ndy k9 ww mbege
@Bruno4cus2 ай бұрын
K9 siyo kilometer 9 ni Kona 9 mzee
@namaraalexmbeikya14912 ай бұрын
Hata mm nimeshangaa Kutoka Benaco mpaka mjini Ngara ni 36Km halafu yeye anasema K9 ni 38Km 😂
@petergitau1632Ай бұрын
naomba nkutuishie,,, babu mkongwe,,,, usije kiamaiko,,, mathare valley ,,nairobi,,,, MAIRUNGI utatafuna cha lazma
@hassanmatata93352 ай бұрын
Baba Levo leo umekutana na chizi kuliko wewe
@feliudmasimba6252 ай бұрын
K NINE NOMA MZEE
@mwanaidimussa2 ай бұрын
Ken9 na loriiii😳 mbn hatariiiii !!!! Nimteremkooo mkal hatariiii
@user-tk4tc6bv5g2 ай бұрын
K9 ni hatari sana
@festokemibala583214 күн бұрын
Unasema K.9, umbali wake kutoka kileleni hadi huko bondeni ni kilomita ngapi ukilinganisha na Kitonga? Bado kuna Vikumburu, nayo unasemaje?
@user-wu9zh1hc3i2 ай бұрын
K9 nimepita jana balaa kwel
@omarylugojo99702 ай бұрын
K9 naijua babu
@salomewandya72572 ай бұрын
Kumbe mjomba wa Muheza Hahaha
@muhinabakali73772 ай бұрын
Nakubali dachi udevu
@georgehajji97902 ай бұрын
Duh!
@mwangamtoto658Ай бұрын
😅😅😅😅😅mzee mzee mzee nimekuita Mara 3 umetisha
@mwitajoseph83152 ай бұрын
Ngara ata gari dogo kama halina nguvu utakesha
@mariamhamissi44282 ай бұрын
Noomaa sanaa😅
@jumapiliissa48352 ай бұрын
😂😂 simchezo aisee
@egdldm4981Ай бұрын
Hivi Kinine au K9 huwa inaanzia wapi pale Ngara? Kutoka Ngara stendi mbele kuna junction, ukinyoosha utatokea Rusumo, ukipnda kulia kuna down moja hatari hadi daraja la Ruvubu kisha mpando wa hatari ... 😮 Ndio hiyo?😮
@amourgwabananga1543Ай бұрын
Kumyange
@AllyMngoya-ov8fs2 ай бұрын
apewe nafasi uyo ataokoa jazz madereva awana bb wala mama mtz ana saman katika kazi yake
@starjay30522 ай бұрын
😁😁🤣🤣 burundu inaiona ile lakini upo tanzania 🇹🇿 bado dah 😁😁🤣🤣
@Kevworx2 ай бұрын
Kobero hapo hatari
@rajabsaria8466Ай бұрын
Sasa iyo barabara ilitengezwa vipi kwenye iyo milima?????
@user-bl3rq8fj9u2 ай бұрын
Jamaa anakubalika sana ache udele anachekesha sana 😂😂
@kendwahamisi49032 ай бұрын
Lala nayo babu
@ernestmillinga71162 ай бұрын
Mate ya chumviii noma sana...usiombee aisee..
@VeredianaKalembi-gs4vs2 ай бұрын
K9 sio km 38 bwana tumepita huko acha uongo nimesomea ngara huo mlima naujua vizuri
@Kolongojr2 ай бұрын
Muongo Sana huyu mzee 😂😂
@MtessaAlly-rd4hf2 ай бұрын
Hayo makampuni matatu yaliyo tajwa halo na mzee dereva mkongwe wamuite wamlipe maana kawatangazia biashara.
@amourgwabananga1543Ай бұрын
Jamaa muongo k9 huu mlima hauna km 38
@FlyingWings-x8h11 күн бұрын
Usichukulie kila kitu serous
@adenmohamed-ew8xw2 ай бұрын
Astaghfurulaah; mitume hawasaidii na Bilal hasaaidii bali Mungu husaidia; ni Mungu tu si binadam
@HamadiBwakame2 ай бұрын
Nisawa anasema Mongok a ukila unasema pekeyako unajikuna kichwa
@stevewanga957Ай бұрын
Achana na mugokaaa huo 😂😂 mzee anasema ukweli
@haridimnimbo73772 ай бұрын
Hapo kwenye kucha kutoka jasho! Kubababake😂
@husseinmwedi71252 ай бұрын
Baba nakubal San mkongwe
@franktimothkisimbo535413 күн бұрын
😂😂😂suka mkongwe shikamoo
@lunangabenjamin31212 ай бұрын
Sijasikiya swali muhimu maswali zote zakiboya tu.ivi hao madereva wamalori wanapo zeeka bila shaka kunakustafu je?wanalipwa.
@godsonmngara57222 ай бұрын
Sasa akulipe nani sasa
@salomewandya72572 ай бұрын
Inategemea na company anapofanya
@lukasnyabuto55332 ай бұрын
Unataka swali gani,, we boya ama ni? Hii ni mambo za madereva sio wewe,, ama unataka wakuulizie bei ya bhachu??
@zedekiahmagwega80442 ай бұрын
Liomuita walikosa content ujue waulizaji wa maswali katika media hawakupi nafasi ukaongea au wakakuuliza cha maana hao wao wanauliza vitu ili kipindi kichangamshee kiende hewani, muda wa madai yako sijui shida za maderrva huo muda hawana
@hemedmwandaro12642 ай бұрын
Wanalipwa baadhi ya kampuni kama Simba limited, wanajiriwa maana kulipwa ni kuajiriiwa sababu pesa zako zitatiwa nssf utakatwa alsilmia 7na muajirii asilimia 13
@salimjumaa81802 ай бұрын
Ndio maana mombasa umepigwa marufuku huo mgukaa, unalemaza wa2 kwl kwl
@patrickkilongo32142 ай бұрын
Kwan uyu mzee ni cimedian au 😅
@charlesmwaipasi28842 ай бұрын
Mwamba namuona sana Morogoro
@davidchege3252 ай бұрын
😂😂😂lakini ndugu iyo kitu hailiwi na farasi Nairobi
@user-ju3nm8oc1c2 ай бұрын
Hahaha, dah ! Anachekesha.
@omarhamza99662 ай бұрын
Waniulize mimi maimai nitwawambia mlima wawanaume huo