ELIUD AITIKISA CHEKA TU FESTIVAL, MAMA DANGOTE HOI KWA KUCHEKA...

  Рет қаралды 358,522

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

ELIUD AITIKISA CHEKA TU FESTIVAL, MAMA DANGOTE HOI KWA KUCHEKA...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 128
@siloomar7699
@siloomar7699 2 жыл бұрын
Huyu jamaaa ni Baba lao..ktk stand up commedy
@onlinemateustv1925
@onlinemateustv1925 2 жыл бұрын
Yaani huyu jamaa anapo anza kama anatania lakini anauwezo mkubwa hii ndio nasemaga kuchekesha mpaka (Msomi au mwenye hela ) Yupo vizuri sana sana anatoka juu kwani watu wa nahitaji bado yaani kunamuda unaweza toka hapo huja cheka ila ukifika njiani ukikumbuka unaanza kucheka tena
@gradnessshitindishitindi4881
@gradnessshitindishitindi4881 2 жыл бұрын
Kaka nlkuwa nakutafuta kwa mda mrefu! Bigup kakaangu Eliud, home sweet home #mbeya# home
@samwelbunzali1914
@samwelbunzali1914 2 жыл бұрын
Kuna watu Wana coment bila kuskia had mwisho bongo bna: noma sanaaa...
@002RYE
@002RYE 2 жыл бұрын
Mwanangu Sanaa...love from kenya🔥🔥🔥🔥🙌huyu ndiye mshindi wa cheka tu
@j.bjacobbasubi2187
@j.bjacobbasubi2187 2 жыл бұрын
We nimkali kuwakiko🇨🇩💪🇺🇬
@omaryathuman4755
@omaryathuman4755 2 жыл бұрын
Voice haijakaa sawa
@mwljuliuskiwovele223
@mwljuliuskiwovele223 2 жыл бұрын
Eliud ndio mtu pekee anayeweza kupangilia maneno na Mada wakati wa kuchekesha.alistahihili nafasi ya pili kwa kadiri ya wakati ule ,ila mpaka sasa Daaah sina cha kusema ni kama Aza boy vile
@gloriamsola6067
@gloriamsola6067 6 күн бұрын
Unajua Eliud hiyo ni karama mungu akujalie sana hutumii nguvu mdogo wangu
@witsonjames
@witsonjames 2 жыл бұрын
Anajua sana huyu jamaa
@barakakwanjula7634
@barakakwanjula7634 2 жыл бұрын
Yupo vizuri then watu wanamkubali
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Hahaha nipe mkono😂😂😂😂😂 kwa sauti chini
@ramayonline2281
@ramayonline2281 2 жыл бұрын
Eliud ameua sanaaaaa
@irenemassawe7102
@irenemassawe7102 2 жыл бұрын
Bro unajua sana......hongera
@deboraezekiel784
@deboraezekiel784 2 жыл бұрын
Hahahahaha eliudi ndo noma sana
@rukiaissa5180
@rukiaissa5180 2 жыл бұрын
Ila huyu kaka😀😀😀😀😀😀
@jayboy9552
@jayboy9552 2 жыл бұрын
Good 👍
@augustinenjesi3215
@augustinenjesi3215 2 жыл бұрын
Jamaa anajua Sana sio siri
@rangos4749
@rangos4749 2 жыл бұрын
Hii ndyo stand up comedy tunayoitaka,eliud wafundishe hao wengine, wajifunze jins ya kutengeneza na kupangilia story moja na sim vipandevipande kama watoto wadogo, we unakuta MTU ndani ya sentens mbili ameshaongea maada said ya 9, eliud wafundishe hao
@chybuwagwantaz8054
@chybuwagwantaz8054 2 жыл бұрын
Manina nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@gerrykhantz1800
@gerrykhantz1800 2 жыл бұрын
Huyu mshikaji anajua sana
@peterfujokalogi7821
@peterfujokalogi7821 2 жыл бұрын
Hakika wewe ndo ulistahili kuwa namba 1 aiseee unajua sema basi tu
@user-dq8nw3hx7g
@user-dq8nw3hx7g 4 ай бұрын
Mi nakupndaga tu kaka eliud yan unajuwa kunifulahisha,Ila mngu akusimamie sana
@user-gl8zm4mx6k
@user-gl8zm4mx6k 3 ай бұрын
Wallah uongo dhambi eliud fundi San wa comedy sjaona more than him on my side .... Broo ni fire 🔥
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 2 жыл бұрын
Kuna wa2 Wana kalama,hachekeshi lkn tunacheka
@user-wf1vk5eu5q
@user-wf1vk5eu5q 5 ай бұрын
This is best😍😍😍😍😍😍😍
@fralex_1276
@fralex_1276 2 жыл бұрын
Nampenda xna huyu
@happymackjacob3480
@happymackjacob3480 2 жыл бұрын
Sanaaaaaaaaa
@ambokilekanama9715
@ambokilekanama9715 2 жыл бұрын
Daaaah mungu aendeleee kukulinda brother pia endelea kupambana upo vizuri sanaaaaaaaaaaaaaa atakae sema hujui huyo anafitina nawewe
@selemanichristopher7188
@selemanichristopher7188 2 жыл бұрын
Tuwakilishe man Wana mbeya
@selemanichristopher7188
@selemanichristopher7188 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@shukranitv2971
@shukranitv2971 2 жыл бұрын
Nice sana
@MosesMamaya
@MosesMamaya 6 ай бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤ nakupenda buree kaka
@jessejulius9735
@jessejulius9735 2 жыл бұрын
Hatari sana 🔥🔥🔥🔥😆😆😆 ... Greeting from Mbeya
@eliudkwesigabo9321
@eliudkwesigabo9321 2 жыл бұрын
💯💯
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 2 жыл бұрын
Echoes
@meshackwilliam5626
@meshackwilliam5626 2 жыл бұрын
🔥 🔥🔥🔥🔥
@michaelreus8974
@michaelreus8974 2 жыл бұрын
🤘🤘🤘🤘🤘🤘
@malickkasuga4805
@malickkasuga4805 2 жыл бұрын
Ameuaa mbeya boy
@agripinakayumbo2365
@agripinakayumbo2365 2 жыл бұрын
Talented
@boazambokile2587
@boazambokile2587 2 жыл бұрын
🤣😂🤣🤣🤣 usiludi mbeya
@user-mk3pu3fe9l
@user-mk3pu3fe9l Жыл бұрын
Congrats bro👍
@NiceBiscuit-qo4dq
@NiceBiscuit-qo4dq Жыл бұрын
ahahahahahaahahahahahahahh mung n mwem akushindie kwa kila jmb ❤
@efransiafrank2560
@efransiafrank2560 5 ай бұрын
Nakupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@idrisahassani9700
@idrisahassani9700 2 жыл бұрын
Guuuuh
@aishamwaipopo6137
@aishamwaipopo6137 2 жыл бұрын
Unajua sana
@abrahamallen6348
@abrahamallen6348 2 жыл бұрын
unaweza mwamba ukoseii
@user-ub4rx9en3t
@user-ub4rx9en3t 4 ай бұрын
Noma❤❤❤
@laurentkashebanda1139
@laurentkashebanda1139 2 жыл бұрын
Huyu jamaa htr
@omodesigner
@omodesigner Жыл бұрын
Wow
@GiftFrank-bv6ws
@GiftFrank-bv6ws 2 ай бұрын
Ilovee you fanya uni aproch bas kak dhaa
@mwljuliuskiwovele223
@mwljuliuskiwovele223 2 жыл бұрын
Hyu jamaa hatumii nguvu kubwa kuchekesha
@amashamakweta8648
@amashamakweta8648 2 жыл бұрын
Nakubali
@happynessmathias4085
@happynessmathias4085 2 жыл бұрын
Eliudi umeua balaa broo
@salvatorymnyambugi5877
@salvatorymnyambugi5877 2 жыл бұрын
Dogo upo poa?hongera sana
@ntullyjanga33
@ntullyjanga33 2 жыл бұрын
Kaka ako huyo dgo muheshimu
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 2 жыл бұрын
😂😂😂🔥🔥🔥🙌
@yordanyona1234
@yordanyona1234 2 жыл бұрын
Hahaha
@mangapastortee3038
@mangapastortee3038 Жыл бұрын
Huyu jamaa 😃😅😅
@reginakishenyi9533
@reginakishenyi9533 2 жыл бұрын
Hahahahaha umepata kaka jaman😃
@kyelaonlinetv2
@kyelaonlinetv2 2 жыл бұрын
Home boy kabisa wewe una tukana kwamba hauna ukalibu na mond
@HaleluyaKalalu
@HaleluyaKalalu 5 ай бұрын
Jamani maana ya comedy Ni nini?
@jonathanmapamba4807
@jonathanmapamba4807 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@selemanichristopher7188
@selemanichristopher7188 2 жыл бұрын
Xana man
@user-kh6ei4yp3v
@user-kh6ei4yp3v Жыл бұрын
💐💮🎉
@johnbrain3263
@johnbrain3263 2 жыл бұрын
Great storyteller comedian..
@user-wr6lc3jz6g
@user-wr6lc3jz6g 2 жыл бұрын
😁😁😂👏👊
@simba_de_leo5042
@simba_de_leo5042 2 жыл бұрын
🙌🙌🙌😁😁🤣🤣
@RockaChiOfficial
@RockaChiOfficial 2 жыл бұрын
😂😂😂
@rasakakaombwe
@rasakakaombwe 2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@peterbuju5216
@peterbuju5216 2 жыл бұрын
😃😃😃😃
@morebeatz44
@morebeatz44 2 жыл бұрын
Dah hyu jamaa nmecheka
@cashbamzotz9319
@cashbamzotz9319 2 жыл бұрын
Oyooooo
@franksiwale7148
@franksiwale7148 2 жыл бұрын
Unajua
@massimilianoraffadali5482
@massimilianoraffadali5482 2 жыл бұрын
Wasafi wanata kuleta mfano ya mama dangote kwa sababu wanapenda wanawake wote wawe kama yeye. Mwanamke anayolala na watu wengi ni malaya kubwa. Amezaa nye ya ndoa, anaishi na mwanaume siyo mume wake, amelala na watu weeengi. Akiendelea kufanya hayo mambo atachomwa motoni, na mtoto wake pia. Msifatene mfano yao.... aibu kubwa ya Tz.
@damianjeremia3821
@damianjeremia3821 2 жыл бұрын
Kila mtu anadhambi zake wew pambana na za kwako
@Momo_96
@Momo_96 2 жыл бұрын
Naomba Nikwambie Kitu Fuata Kile Kinacho Kufaa Hayo Mengine Zidhani Kama Yanakuhusu Waachie Wao..... You Ain't In A Position To Judge!!
@massimilianoraffadali5482
@massimilianoraffadali5482 2 жыл бұрын
Kila mtu aombe msamaha kwa dhambi zake na atapata msamaha. Lkn akitangaza dhambi hawezi kupata msamaha na atachomwa motoni
@reagankhalifa1416
@reagankhalifa1416 2 жыл бұрын
Acha kuhukumu we kuma so kaz yako
@massimilianoraffadali5482
@massimilianoraffadali5482 2 жыл бұрын
Ni kazi yangu kumhukumu
@kelkonkelkon4354
@kelkonkelkon4354 2 жыл бұрын
Big up saana
@annamwanyelele9084
@annamwanyelele9084 2 жыл бұрын
Hahahahhaha
@IbrahSalum-ok7xl
@IbrahSalum-ok7xl Жыл бұрын
Hatariiiiii 😂😅
@nahyyaomar7611
@nahyyaomar7611 2 жыл бұрын
Ovyoooo
@002RYE
@002RYE 2 жыл бұрын
Kojoa ulale
@boyochu1308
@boyochu1308 2 жыл бұрын
Nenda ukachekeshe wewe
@gloriamsola6067
@gloriamsola6067 6 күн бұрын
Roho mbaya na inavyoonekana huna maendeleo na uzidi kuwa maskini
@Onetakestudiotz
@Onetakestudiotz 2 жыл бұрын
Chiz sana
@abubakaribinaisa9812
@abubakaribinaisa9812 2 жыл бұрын
Iki kichwa hakipo saw
@nanceaidan6622
@nanceaidan6622 11 ай бұрын
Kiingilio huwa Bei gn kwani
@abrahamallen6348
@abrahamallen6348 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@KleofasiNchimbi
@KleofasiNchimbi 2 ай бұрын
Kaka unajua kutoa ujumbe
@saramwamita4295
@saramwamita4295 2 жыл бұрын
Hahahaahhahahha eliudiiiii
@muranisalim3572
@muranisalim3572 2 жыл бұрын
😂🤣
@azhman4815
@azhman4815 2 жыл бұрын
Anajuaa xana
@geofreybenito6835
@geofreybenito6835 2 жыл бұрын
🤣🤣🙌🙌
@sevelinahinnocent6803
@sevelinahinnocent6803 Жыл бұрын
😅
@estherhayeshi2301
@estherhayeshi2301 5 ай бұрын
Iki kipindi kinaonyeshwa jumangapi na sa ngapi
@barakahtwinzi2884
@barakahtwinzi2884 2 жыл бұрын
Gwakaka ubombileee
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 2 жыл бұрын
Dogo leka ubhutungulu kha!kkkkkkk
@dogod8002
@dogod8002 2 жыл бұрын
Fundiiii
@princearamyog5816
@princearamyog5816 2 жыл бұрын
Hhahahaah kzfaq.info/get/bejne/q7mbidRov83Ph2w.html
@mhifadhi797
@mhifadhi797 2 жыл бұрын
Baambi ni chuma
@maikonuronu738
@maikonuronu738 2 жыл бұрын
Hamn kitu apo
@lastgospel706
@lastgospel706 2 жыл бұрын
Ata mm naona kaka amna kitu ani..kawaida yani sanaaa
@theresiacostantine132
@theresiacostantine132 2 жыл бұрын
Wivu
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 2 жыл бұрын
@@lastgospel706 wivu ni noma asee
@lastgospel706
@lastgospel706 2 жыл бұрын
@@theresiacostantine132 hapana sio wivu ssbabu hajafanikiwa bado ni mtaftaji ndo anaanza kwaio nikisema namuonea wivu ntakua namkosea. Mi nimesema kutokana na hisia zangu za kupokea kazi yake kwamba mm haijanichekesha..
@lastgospel706
@lastgospel706 2 жыл бұрын
@@yasiralkindi5332 @Theresia Costantine hapana sio wivu ssbabu hajafanikiwa bado ni mtaftaji ndo anaanza kwaio nikisema namuonea wivu ntakua namkosea. Mi nimesema kutokana na hisia zangu za kupokea kazi yake kwamba mm haijanichekesha..
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 2 жыл бұрын
#Fatinah sehemu ya nane msimu wa pili kzfaq.info/get/bejne/jtaqh9WHz7mnp2w.html
@paulmgoli4853
@paulmgoli4853 2 жыл бұрын
😂😂
@barakahtwinzi2884
@barakahtwinzi2884 2 жыл бұрын
Gwakaka ubombileee
@BetisebaLuoga
@BetisebaLuoga 8 күн бұрын
😂😂😂😂😂
MAISHA YA MAMA NYUMBANI by Mc Eliud
13:17
Eliud Samwel
Рет қаралды 820 М.
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 73 МЛН
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 29 МЛН
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 4,8 МЛН
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
ELIUD ALIVYOCHUANA KWENYE BATTLE EDITION
7:53
Cheka tu
Рет қаралды 430 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 59 М.
Mpoki, Mtanga, Eliudi | Mkutano wa wanakijiji
9:22
CHEKESHA
Рет қаралды 414 М.
ROHO INAUMA SANA DADA YANGU ANATONGOZWA KIRAHISI - MC ELIUD
10:51
Wasafi Media
Рет қаралды 333 М.
DAKIKA 5 ZA MC ELIUD (UTACHEKA)
5:21
Eliud Samwel
Рет қаралды 623 М.
Sion princess funny Haribo Donuts 🍊🚆😅🤣
0:35
SION /紫音
Рет қаралды 22 МЛН
Хитрая МАТЬ делит НАСЛЕДСТВО между ДЕТЬМИ 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 1,9 МЛН
Pringles chips 😱🤣 #demariki
0:25
Demariki
Рет қаралды 2,5 МЛН