Nime furai #madebelidai kupata tunzo asinge pata ninge jisikia vibaya
@omanmuscat32675 жыл бұрын
Usinge patatunzo hata moja ningeandamana like kama unamkubali madebe
@luckyhaonga5535 жыл бұрын
Jamaa angu hatamm huyu jama namkubali SNA ila kale katoto kamecheza muvi gani.sjaelewa Lidai namkubali saaana
@sakinasheidhan46425 жыл бұрын
Madebe na gabo wangekosa tuzo mm pia ningeumia
@aishamohammed35475 жыл бұрын
@@luckyhaonga553 ingia instagram kuna video imepostiwa na tanasha Mond daily
@dinnahnyoni31885 жыл бұрын
Namkubali madebe
@kasimmukhenge89125 жыл бұрын
Napempenda madebe jinzi anavyo andaa filamu zake, anasitahili hiyo tuzo, Kenya watoto wangu uita filamu ya mwendaa
@zaynsalma34665 жыл бұрын
Nina Furahi kuona Madebe nae Alipata Tuzo 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@mwanashazingas39775 жыл бұрын
Mmi mwenzio
@zaynsalma34665 жыл бұрын
@@mwanashazingas3977 Huyu jama Akilizake sio za Tz 😂😂😂
@mwanashazingas39775 жыл бұрын
@@zaynsalma3466 bila shaka nakumbia nimelala vizuri nilipo ona amepewa tuzo
@ashminhaabdullah49635 жыл бұрын
Kweli
@mayusahussain80455 жыл бұрын
@@mwanashazingas3977 hahaaaa
@victorjunior20735 жыл бұрын
"Ukiolewa na mchekeshaji haitakufanya kuwa na furaha ya kudumu ".. Km umemsikia lidai mmakonde gonga like twende sawa ..
@yussufpeter41695 жыл бұрын
Ss Kenya mombasa tukushabikia sana Tema mashallah kwa uswail I lyk dat
@yussufpeter41695 жыл бұрын
+254 madebe wwe sio best comedian, plz hio iangalie sana wwe Ni best actor, hao wanakuita comedian ndio uache kufundisha uchekeshe ndio wachukue nafas plz hao wanakuuwa plz mm nakushauri kuwa kama twiga ona mbali
@yussufpeter41695 жыл бұрын
Makomedia wapo bongo, eg mafund, bwakila, kipupwe, tiny, Ringo, jengua, tabu, wapo kibao tuzo ingestail hata stanbakora, wapo wengi wwe Ni best actor madebe sio comedian chunga kuna mbinu nyingi zakuua mtu naeza kukusifu kwa mfano nikuite wwe mkali kama ngurue je nisifa nzur hio........ Amka baba madebe acha kushabikia ujinga
@yussufpeter41695 жыл бұрын
Omari makame #yes bro sifa au tuzo zingine nizakuvunja mtu moyo, kwa Wana fasihi hii sio tuzo hii Ni mtuso
Huyo sio comedian ila hiyo movie ilioshinda ndio ya comedy..Alright?
@hamadathuman69395 жыл бұрын
@@yussufpeter4169 Sikupingi Brozee
@sangoyaniyamati80085 жыл бұрын
Safi sana nabii mswahili hongera kwa tuzo
@kadijahhussen70725 жыл бұрын
Madebe unamke mzuri ivo mashallah mungu ailinde ndoa yko hongera pia kwa kupata tuzo ongeza bidii zaidi
@ayshabayun90144 жыл бұрын
Sema nini hawaridhiki kajikita kwa kimwanamke kibayaaa
@daprince75455 жыл бұрын
Madebe big up bro your comedy always amazing . We learn more things in your comedy. Mungu akupe maisha marefu na family yako. Halafu life style yako iko simple sio Kama wengine wako na marigo na ma bodyguard kabisa. God bless you madebe .
@Mtumish_sam5 жыл бұрын
Mungu ni mwema daim Kama umefuraishwa na mdebe kubeba tuzo lak apa
@rehemajohn25885 жыл бұрын
Safi sana
@morningfloe29835 жыл бұрын
Vizuri sana
@dazuuhmd8195 жыл бұрын
Unahaki ya kushinda madebe ww na gabo
@kelivincharles2265 жыл бұрын
Salut
@naimasaid77635 жыл бұрын
Kweli kabisa
@makasittt165 жыл бұрын
Wallah nimefurahi sana madebe hongera sana mungu akuongoze zaidi🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
waaaa na ana mke mzuri wallwahi hongereni mnoo
@fatmaomar76245 жыл бұрын
Walai yko simple tu....nawapenda na nawatakia maisha mema
@muddyville5 жыл бұрын
Huyu jamaa anajuaaa yaani anajua sana... Hongera sana Madebe...
@mayusahussain80455 жыл бұрын
Kweli
@jumamchapwaya79225 жыл бұрын
Ongera madebe
@georgempuya76235 жыл бұрын
Huko vizuri sana ila walikua wanambania
@moniedwese57785 жыл бұрын
Nakupenda cz unatufundisha mengi... Ongera Sana nimefurahi ulivo chukua tuzo🤞😍
@josephinemndolwa77835 жыл бұрын
Your da best actor not comedian; I love you kept it
@gakwayatresor20975 жыл бұрын
Madebe best actor kwanini best comedian?
@babamuratyiddy58585 жыл бұрын
frakwetu kwa kupa tzo badebe
@witineskikiwa19064 жыл бұрын
Nampenda sana madebe Yani ukiangalia movie za madebe unajifunza kitu👍👍👊👊👏👏sana
@jessydaktari52095 жыл бұрын
Nimefurahi mzee baba kapata tuzo
@missyabdull1425 жыл бұрын
hapo nimefurahi madebe kupata tuzo❤
@khadijasalum81645 жыл бұрын
hongera jembe usikate tamaa Fanya makubwa sisi mashabiki zako tutaendelea kuwa pmoja usiogope kulogwaa nakupenda sana saa daah ila siyo mbaya ilimladi umeambulia
@dianamwakitega61115 жыл бұрын
akili kubwa hongera madebe
@alexandrinadomaino98685 жыл бұрын
Bishost pembeni yuko vizuri
@frolencerugaimukamu60995 жыл бұрын
p w
@kakamau03845 жыл бұрын
Ninampenda sana huyu jamaa
@Ambweneonlinetv5 жыл бұрын
😂😂😂😂😁 _pale unapogundua kuwa sio comedian ila kumbe muvi zako zinachekesha_
@tatuatut75425 жыл бұрын
Usingeshinda ningeshangaa
@tatuyussuf75745 жыл бұрын
Kweli kabisa
@abduraufuyasini33965 жыл бұрын
Big point, akili mingi Madebe
@rahmaseleman16285 жыл бұрын
Hupitwi🙄
@salumabdallah92005 жыл бұрын
asinge shinda madebe tungeri andamana tanzania mzima ongela kaka madebe enderea kupambana zaidi uweze kutufulaisha bay salum mganga
@salvatoryboniface10895 жыл бұрын
Wamakonde kwenye jambo lao Ni hatari,,,, watu wengi hawajui kama Gabo pia Ni mmakonde ahhhaa Ni hatari kusini Moja,,
@justinanicolous38225 жыл бұрын
Mmkonde wap uongo uliza vzur uambiwe
@salvatoryboniface10895 жыл бұрын
Justina Nicolous issue nnn coz mwaka juzi alifanya intavyu pride fm88,1 yeye alisema hv, kiasili wazazi wake wametokea Tandahmba wakafika mikindani hapo mikindani ndpo walipo baadhi. Ya nduguze baadae alikuja DSM maeneo ya Tandka Kwa ajili ya shule Na mambo mengineyo, mwisho wa kunukuu tatizo lenu mnahsi wamakonde hawadizev Kuwa Bora acheni ukabila Na ubinafs Na mkumbuke mmakonde ndyo mtu ambaye hakuuzwa utumwani coz alishajitambua before, maana ya kuchora chale mwilini Na usoni ili asiuzike kabila gan lingine wamekuwa majasiri kushinda wao?
@mwanawetuamiri84265 жыл бұрын
Kama wewe wa kusini mwenzangu fanya kama unajijuna vile
@bakarimashi87115 жыл бұрын
Salvatory Boniface Gabo sio mmakonde ww kama hujui uliza
@ukhtysakinaa76645 жыл бұрын
Gabo sio mmakonde n mhehe mdigo
@abdulmalickyasin73795 жыл бұрын
Gonga like hapa kwa madebe
@hailatiselemani22925 жыл бұрын
abdulmalick Yasin hongera nabii mswahili nimefurah sana ww kupata tunzo
@mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Mr$Mrs Hongereni sana Mungu awazidishie zaidi ya hapo.
@thuvakonde25845 жыл бұрын
Doh best comedian 😂😂😂
@nishawangai11785 жыл бұрын
Watching from saudia Arab mm mkenya lakini nakupenda sana
@tyeuhsvsy18745 жыл бұрын
Niko Iraq naomba namba yako yangu n 0703181822
@nishawangai11785 жыл бұрын
@@tyeuhsvsy1874 +966599337308
@violethsamson5025 жыл бұрын
@@nishawangai1178 yan mwenyewe nmejiuliza hiyo rangi vp?
@nishawangai11785 жыл бұрын
@@violethsamson502 rangi gani
@fainnamvungi43645 жыл бұрын
haahaaa wifi umenena kwel mke ndiye anayecontro akil ya mume ukiwa mwehu utampa tabu ukiwa mnyenyekevu mambo mazur hutokea love you 😚😚😚
@neemamollel78585 жыл бұрын
Kwakweli ni mefurahi sana madebe lidai mungu akubariki Nakupenda sana
@kenedynashon97175 жыл бұрын
Hongera madebe,ila shemeji huo mkono ulioshika tuzo mbona kama sio wa kwako 😀😀😀😀😀😀,rangi yake haiendani na sura yake
@awadhimbarak23495 жыл бұрын
Hahahahahahahaah eti best comedian tangia lini
@shabanismaily57775 жыл бұрын
Beneficial
@muddyville5 жыл бұрын
We si unawajua kina kingwendu..
@razackkaguna90425 жыл бұрын
nakina pembe wataitwaje sasa
@jawadyrasheed68805 жыл бұрын
Nice madebe lidaoi am so happy for your trophy stay blessed am from china
@adow9musictz9315 жыл бұрын
hongera mzazi
@benadolphabiandustan41095 жыл бұрын
hivi kweli ww uwe best comedian na bro k unamuweka wapi?
@rebbylyanga40675 жыл бұрын
Hongera kaka Ila dada mkono na uso duh Mbona ni tofaut sana.... Hahahahaha
@zakhiamzenji60045 жыл бұрын
Sijafurahi Mungu atupe uhai mwakani tukupigie kura ushinde best actor In Shaa Allah
@effiekirui43125 жыл бұрын
You deserve kupata tuzo zaidi ya hapo hongera sana nakukubali.
@buruhanimandazi80005 жыл бұрын
Congratulations 🎉🎈👏👏👏 mr madebe lidai
@farashuumasuudi92804 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu yenye her na baraka ameeena pamoja na mkeo pia hongera kwa tunzo
@capitainrogers7415 жыл бұрын
Ongera sana kaka unastahili M.Mungu akuzidishie Kila LA kheri insha Allah
@FatmaFatma-kt1or5 жыл бұрын
Nimefurahi sanaaa madebe kushinda pamoja na qabo nazipenda sana kazi zenu 😍😍
@wemakalam32335 жыл бұрын
Alhamdullillah kashinda madebe lidai. Hongera
@japharrubbin2515 жыл бұрын
Nakukubar madebe
@zaiyzairi11075 жыл бұрын
Kaza baba tupo nyuma yako
@mayusahussain80455 жыл бұрын
Pamoja
@bonmarrow4925 жыл бұрын
Mama mwali
@benjaminfataki68985 жыл бұрын
kama ulipewa tuzo kama best comedia haikufai ila kama ulipewa kama best actor of est africa apo sawa.mau fundi ringo kipupwe tin with wao ni ma comedia
@footballarena50275 жыл бұрын
Benjamin Fataki hao ni comedian wanaojichekesha wao asilimia kubwa fatilia, comedian gan wanatumia nguvu mpk mishipa inawasimama
@TanzanianStars5 жыл бұрын
😂😂😂 Best Comedian or Best Misamiati😂😂 Kweli Bongo Bahati Mbaya
@tumajuma69175 жыл бұрын
MashaAllah hongera kwa tuzo na kwa mke mzuri kaka Madebe
@fettyRamadhani5 жыл бұрын
Mbona Mrs madebe langi mbili uwo mkono vepe hongera sana madebe
@soniacicura15915 жыл бұрын
Wewe ulikuwa nastahili kwa kweli madebe Mungu aendeleye nakubariki katika kazi zako kwa kweli
@fidelisyalodrick70495 жыл бұрын
fact ameongea point saana
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Hongera sana.hawakutegemea ila wajue rizki hupewa kila mtu anaajibija na utafutaji wake
@hassanimussa57765 жыл бұрын
Wewe ni best actor mzee baba,,achna na matokeo hayo
@ramzy52805 жыл бұрын
Kama unaangalia huku unasoma comenti gonga like 👇👇
@huldanjiro74195 жыл бұрын
uko sawa madebe
@harunimfaume62805 жыл бұрын
hongera sanaaa nabii mswahili unastair kuchukua tunzo hii
@sadickyusuph9695 жыл бұрын
Safi sana bibie mikono kachora piko
@kelvinmkoba36275 жыл бұрын
Big up bro
@simonfrancisjr65915 жыл бұрын
Huyu jamaa aliongea kipaji kitajionesha chenyewe na alisema wat mashabik xxiv wanatazama vipaji awatak wauza sura wale watoto kushnda awamu hii ni haki yao wat washazoea kuja na matokeo yao kichwan
@mzeebaba61495 жыл бұрын
Umeandika utumbo gani?? xxvi ndio nini??
@simonfrancisjr65915 жыл бұрын
@@mzeebaba6149 wa kuku uwo
@khadijaomar32995 жыл бұрын
@@simonfrancisjr6591 😂😂
@mzeebaba61495 жыл бұрын
Kwelii
@mariyaal53665 жыл бұрын
@@mzeebaba6149 🤣🤣🤣🤣🤣
@beatricengonani46405 жыл бұрын
Masebeeeeee nakukubalii sanaa
@bintisuleimani71245 жыл бұрын
Waaa na mke mzuri mashaallaah hongera sana
@marykates50015 жыл бұрын
Unastahili kaka na twatarajia mengi mazuri,hongera.
@food15735 жыл бұрын
Good job 👏
@josephinemakungu84475 жыл бұрын
apo sawa kuna master wengi sana enyewe waheshimu watu wengine
@evamganga96985 жыл бұрын
Madebee we ni the best more than best
@josephkapinga6525 жыл бұрын
Mzeeee baba hongera msimu ujao tuongeze kura kwa madebe ukitoka na kumi sio mbaya.
@alidingongo4435 жыл бұрын
Best comedia si Sawa, ila kupata ni kupata
@alexandrinadomaino98685 жыл бұрын
Aaah hongera sana kaka
@nurungangise98025 жыл бұрын
Nimeumia san yani tunzo zote lazima ww uchukue zote sio hao watoto bwanaaaaaaa
@FatmaFatma-kt1or5 жыл бұрын
Kabisa
@benignakomba6115 жыл бұрын
Wcb show
@rosejoseph93785 жыл бұрын
So nice mmependeza sana hongera kwako madebe
@neemamollel71385 жыл бұрын
Huyo Mke wake mbona ana rangi mbili au macho yangu
@genofevamichael67515 жыл бұрын
neema Mollel makeup hiyo
@hamzaseifrwambo56575 жыл бұрын
neema Mollel mmmh ilo nalo neno...
@manofgodbabazero92375 жыл бұрын
neema Mollel hiyo camera
@mariamkaaya2145 жыл бұрын
neema Mollel unaona mikononi mmmhhh
@hildababyabdullah56275 жыл бұрын
Mikononi kaweka piko iyo angalia vzr
@mayusahussain80455 жыл бұрын
Nimefurah sana kuona upeta tuzo hongera sana
@dativapaschal12905 жыл бұрын
hongera sana kaka hakika unaweza
@suleimankiumwa53285 жыл бұрын
Madebe unasitahili kaka ongera sanaa kaka
@seifhassan76525 жыл бұрын
hio zawadi ni haki yako madebe...hongera sana..+254 twakupenda
@BONGOINMOTION5 жыл бұрын
Aliyesema Wew ni comedian ndio anastahili hiyo tuzo maana amechekesha balaa....wew sio komedian wew ni muigizaji maarufu na bora.......npo hapa BONGO IN MOTION NAWAONA
@khanadikhadeer23225 жыл бұрын
Mashaallah furaha haiwezi kukosekana were kupata tuzo maana unastahili
@shakiraseif87145 жыл бұрын
Mikono na uso wa bi dada different between 🤣(kinge)
@mbwanaomary75375 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sana hongera zange nyingi
@givasmwananzumi59415 жыл бұрын
madebe msaniii mkubwa sanaaa na anastahili kupata tuzo kubwa mwakani asipochukua msanii bora dude juuuuuuu but madebe unajua babaaaaaaaa%%%%%%%%%%%%
@hamisikisongo34425 жыл бұрын
Hongera sana kk madebe lindai
@fabianfaustine4445 жыл бұрын
Ulistahili tuzo ya best actor
@mwakahassan87425 жыл бұрын
Honger sana mungu akuzidishie
@ngoniempire21815 жыл бұрын
Mchekeshaji
@paschalboniface83195 жыл бұрын
Hongera nabihi
@ladyyes43943 жыл бұрын
Mmmmm njamani ni mm tuh nimeona ama kuna mwengine hameona. Huyo mke mnzuri. Hila mbona mkono hafanani na uso. Lidai kuja huku uniambiye 😷😷😷
@mikestanslousah15885 жыл бұрын
Best comedian 😳😳 Duuh
@abdukalembo7885 жыл бұрын
Madebe wewe unajua sana mungu akuongzee uwezo zaidi
Punguza matusi kwenye movie zako broo kumbuka tunatazama na familia zetu
@daudipaulomatanga64795 жыл бұрын
madebe nakukubali sana
@denismakweba38705 жыл бұрын
Hongera madebe 👏👏👏
@ndolimanaamani12365 жыл бұрын
Hongera sana madebe
@beatricengonani46405 жыл бұрын
Madebeee oyoooooooo yan we nomaaaaa usingepata tuzo ningeandamana
@helmanikomba5765 жыл бұрын
Wamekuchezesha fldishi , mm sikubaliani nahiyo tuzo,wanakuuwa hao nduguyangu ww ulitakiwa upate hiyo na ya Gabo,2 ziwe, jiangalie.
@mbukishabani32585 жыл бұрын
Nakupenda bure 👌👌🎈
@rayrayroblox56635 жыл бұрын
Vizuri sana jamani siyo kila siku wema wema wema wengine nawo wapate
@shemurusekwa29855 жыл бұрын
Binafsi namkubali madebe big up
@saditone78085 жыл бұрын
bongo bana sasa weee comedi khaaaa noma san mahaji mmezinguwa
@hamzaseifrwambo56575 жыл бұрын
Safi sana ....
@naimasaid77635 жыл бұрын
Ila madebe nakumbuka kuna interview moja ulisema kwamba mwanamke anaogaje janaba haliyakua amevaa mfuko kichwani, sasa mbona hapo inaonyesha kabisa kuwa mkeo ndo wale wale wanaovaa mfuko kichwani, alivyo tu inajionyesha, maana sio kwa kujichubua huko, mm nilifikiri una mke mcha mungu mwenye kujistiri, basi upunguzege kutukosoa