Anataka kutuaminisha ndugu mtagazaji......Bado uwezi kuoji maswali.....utafikiri mau ndio mtagazaji amekuzidi sana upeo
@yusufchimera13645 жыл бұрын
Siri ya mtungi shahidi kata😂😂😂😂😂
@shaphyvuai68055 жыл бұрын
Mau unajua sanaaaaaa ibakishe Tuzo siku zote......zmeshapangiwa mshindi ndio tatizo LA Tanzania
@mwigakatumpula21755 жыл бұрын
Mchekeshaji ni mchekeshaji tu eti Mimi ni MTU wa promotion subiria nikamuulize alafu uje nikutajie hahahshsh mau kweli fundi
@makasittt165 жыл бұрын
Majibu kuntu mau hongera
@nocerinocarterabdalla42475 жыл бұрын
Jamaa kama kauwasha liquid.Ila Mau ni fundi kikweli
@deebrown79085 жыл бұрын
Mtangazaji utakutana nakichwa hicho Maufundi
@wilsonmcs33695 жыл бұрын
Huwaga inatokea bahati mbaya tuu si kwamba kunguru ana shabaaa🎈📌 🌍🚴🌓. Baaada
@daudpius30755 жыл бұрын
Hongera xana mau
@mariamukajiru18985 жыл бұрын
Kama umezoea kuwahoji mapoyoyo kwa Maufundi kaa mbali utaumbuka...aaahaaa... mana sharti kwa Research.. Duu mpaka mtangazaji kapata kigugumizi.
@BenCheck-jx9lo5 жыл бұрын
Seven o’clock. Yani naongea lugha saba mimi.
@ramadhanmanenolugome68825 жыл бұрын
Ndio maana kina Niki mbisshi awataki kuhojiwa na vilaza
@elizabethjoseph21165 жыл бұрын
Huyu mtangazaji anakurupukaaa
@abdulukwachu44475 жыл бұрын
BEST COMEDY #MAUFUNDI
@kulwangomale36305 жыл бұрын
Naelewaaaa sanaaa maundi
@happynessswai39225 жыл бұрын
Kunguru hana shabaha ila anabahatisha tuu🤣🤣
@mohamedinamdenga7725 жыл бұрын
Happyness Swai duu
@sangijamadukwa14865 жыл бұрын
Mtangazaji jnga kwel, hajui ktu kasome
@shekhekhandereizer5595 жыл бұрын
hahahahahaaaaaaaa etiii ngj nimpigie alie nivalisha ivi umuulize jumla ametumia shingapi ili akupe jumla nimevaaa kiasi gn mau ww kiboko hahahaaaaaa umemnyoaa vinyweleo mtangazaji mau amekukutaaa saaambovu amezan kina uwoya na dogo janja wanapayka mzee kumbe apo kakutana na konk master mau fund mwambie afanye research uyo Hahaha
hahahaaaaa kweli ww ni Mau fundi coz umemshika mtangazaji kwa maswali vigongo afanye research na sio kuropokwa ya kuckia tu
@dartimesonline55955 жыл бұрын
Mamaeeeee Fundiiiiiiiiiiiiiii umetisha aise
@thedaughterofthemosthighse59905 жыл бұрын
Aki ningekua mim ningemtema kiaina methali na nahau zote bado nahoji tu msweeeew mtangazaji gupapuchi kwel yan ha ha haa
@maloudamsemakweli82905 жыл бұрын
Jamani tin white ringo na kipupwe mbona wanawadharau 😃😃😃pamoja na hayo pole sanaa mau
@josephinemndolwa77835 жыл бұрын
Your da best maufundi
@mtaalamwamambo20995 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 mau kawa mtangazaji ghafla, mtangazaji ajiongezeeee
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Hahaha yan huyu jamaa usjekujitia hashuo la kumuhoji unaondoka bila maana dah nishida na majibu yake hahah mau wa ukweli
@mwigakatumpula21755 жыл бұрын
Ndugu mtangazaji acha kutuaminisha fanya research kwanza
@newall.5 жыл бұрын
Mwiga Katumpula nilkuwa nawish niome comment kama hii.... jamaa kama hajui anachokifanya
@jA-ox7vz5 жыл бұрын
😂😂
@sundaymathew79275 жыл бұрын
Xema mtangazaji unazingua we unauliza swal hku huna deep information
@erckbohol79713 жыл бұрын
5
@erckbohol79713 жыл бұрын
Colo.
@yohanadidas53655 жыл бұрын
Kama unamkubali maufundi gonga like zakutoshaaa
@raybintmaulid3415 жыл бұрын
shkamoo #Maufundi hyo ni mambo ya binadamu na mungu 😂😂😂😂
@ashaali71545 жыл бұрын
Ahsante Mau umempasha ki ukweli huyu bwana inaonekana.
@mageuzisalezi66675 жыл бұрын
Safi sana yuko vizur
@makasittt165 жыл бұрын
Daaah usijali bwana ckuyako itafika t nawe 😁😁😁😁😁
@damianmosoka82545 жыл бұрын
Mau kweli una akili Sana pia ipo haraka kufikiria,, big up Kaka, sijui huyu mtangazaji kazoea kuwahoji kina Nani!!
@aleemaalrahbi3385 жыл бұрын
Amba rutty na mume wake😂😂😂
@maulidyyusuph64665 жыл бұрын
P
@damianmosoka82545 жыл бұрын
Hahahha Aleem,,, yaweza kua
@calvinntinder37225 жыл бұрын
😁😁😁 Mau majibu yko saf san
@salmaelvina34635 жыл бұрын
Hongera
@hubertpaschal26045 жыл бұрын
Mtangazaji kasome kwanza
@hizamwaimu76345 жыл бұрын
Duuuuuuuh kauwa kwa majibu
@nassermsallem26155 жыл бұрын
Hawa watangazaji wanatokea wapi, hahaa kayakanyaga kwa mau hahaaa fanya research babaaaa
@husseinomary44665 жыл бұрын
Gonga like yako Kama umeyaona macho ya mau yalivopendeza na usingizi😂
@mussababu56235 жыл бұрын
Hapo ndo imeonesha kifra za watangazaji wa blogs.mtangazaji inapaswa awe na info kuliko unayemhoji cz ulifanya backgroud review.Mau yuko vizuri upstairs
@bukaone75075 жыл бұрын
Very nice Mau fundi, ume mkalisha jamaa
@manyamasteven46105 жыл бұрын
kiukwel tuzo iz awajazipanga fresh tuzo alio chukua madebe astahil japo ni mzur lakin co kwa uchekeshaj
@sadruhsnowwhite64835 жыл бұрын
Huyu jamaa fundi ila mbn wanambania man madebe hakupasw kuchukua tuzo y uchekeshaji Bora japo kwl madebe ni hodar ila co kwny kuchekesha ilipaswa iende kwa mau tanqu tuzo za mwaka jana
@cherrbaddest46955 жыл бұрын
Sadruh Snow White yes real
@harmonizwcb48135 жыл бұрын
Nihaki yake vitu anavofanya madebe nivya ukweri uyo maufundi aende shule kwa madebe bado mtoto usha nipata janja
@anthonyaloyce31785 жыл бұрын
Nimepewa ofaaa,,,tisha mau.
@faridahabibu52533 жыл бұрын
Mau fundi haswaa I like it
@godfreymaxwago64005 жыл бұрын
ahahaha eti kama ataingia mtoto aingie kwa displine majibu konk konk
@aksantedeborah79135 жыл бұрын
Hahaha 😂😂😂 mbona leo aongelei ulimi hahah Mau jamani
@ommyp7rajaa4155 жыл бұрын
Asantee mau fundi
@sureladykiba56085 жыл бұрын
😁😁😁huyu jamani
@amourzubeir73065 жыл бұрын
Amezoweya kuwahoji kina Mbosso ,walio na akili za kuweka nguo makalioni
@zaynsalma34665 жыл бұрын
Fala San #Mau 😂😂😂😂 Eti Hio nikazi yama jaji sas Unanipa 😂Siri ya Mtungi Shaidi Kata 😅😅😅😅😅
@khanadikhadeer23225 жыл бұрын
Maufundi nakukubali sana
@mwimbajinamwalimujaphetgeo17185 жыл бұрын
wachekeshaji wako juu sana na tunawategemea kuliko hawa akina Gabo
@mohammedmkomi90875 жыл бұрын
YAAANI #TUZO YA UCOMEDY BORA ANGEPEWA #RINGO MAKINI TOSHY
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Ringoo!!!!!sidhani wapo wengine
@fainnamvungi43645 жыл бұрын
Mau na Tin labda
@pendosamwel73473 жыл бұрын
Mh mau umenishinda Tabia sy kwahayo majibu Nahs mtangazaji hatorudia kumuuliza maufund maswal ya kipuuzi
@ashurajanta53735 жыл бұрын
umejibu kisomi sana hongr mau
@jumaaramadhani78195 жыл бұрын
we mau hufai haki vilee
@georgerwebembera15655 жыл бұрын
Dude is not only a comedian. He is also smart
@dullahshaaban90502 жыл бұрын
Mkojani ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@wilsonkaseha20345 жыл бұрын
Dah kumbe Mau ni muelewa eeh! Amegeuka kuwa mtangazaji maana maswali anapangua halafu anahoji mfululizo, safi sana nimependa huhuu
@victorsir-nga77085 жыл бұрын
madebe lidai alistaili kuwa muigizaji bora wa kiume kwenye tuzo
@mgongokaitira99705 жыл бұрын
Ndio maana kuna haja ya kuajiri watu ambao utangazaji ni taaluma yake siyo kuchukua tu MTU anayejua kuhoji na kutangaza hii imepelekea kwa Mara ya kwanza Source kampiga interview mwandishi wa habari, unamkurupukia tu source huna hata script, naumia sana kuona hii hali "Media service Act " hata kama una consequences naamini utasaidia
@edgarrwebangira41135 жыл бұрын
Dah amepoaaaaa kwel ani
@subrynerysegerow13235 жыл бұрын
Kunguru kumnyea binaadam ni bahat mbaya sio kama anashabaha hahahah nimeipenda
@joycendaki89695 жыл бұрын
Mau uko vzr umemjibu vzr sana
@jojo_linkissabiny52385 жыл бұрын
pole
@nassourhamad63915 жыл бұрын
mtangazaji wenu katikiswa 😂😂
@ebbyramadhani5 жыл бұрын
Kwaio mchango mpaka ushinde!!!! Ndo iwe na maana
@laurensiabenjamin11265 жыл бұрын
Unavijua sana kaza kaka
@edvenearpaschal69055 жыл бұрын
Wee kuku mbona sijacheka sasa???
@vincentauxerbius75545 жыл бұрын
Mafundi we nomaaa unamajibu ya kikomedy hatariii
@abdallahabibu83405 жыл бұрын
Uyu kweli fundi
@FatmaFatma-kt1or5 жыл бұрын
Ha ha ha ha nimecheka mau unavyo mjibu mtanqazaji safi sana mau
@emmanuelsimon85075 жыл бұрын
Mtangazaji kaxome kwanza unajiabixha
@sekeyifabian95175 жыл бұрын
Ha ha ha ha. Mau kweli Fundi. Halafu kama katupia liquid.
@patrickalfred83875 жыл бұрын
Siri ya Mtungi Shahidi Kata!
@ramadhanikunambi12695 жыл бұрын
#D_The_Msz,org sana Mau Nakubalii san
@mamachris68115 жыл бұрын
Kunguru kumnyea binadam,si kama anajua kulenga,in bahati mbaya Huyo ndo Mau ,hahahaaaa
@sadickrajabu11915 жыл бұрын
Mau nimekupenda umemchalleng mtangazaji kweli
@sungurahusseindjuma52553 жыл бұрын
Oh
@josephdimosopantaleomadegh75995 жыл бұрын
Nc
@armelmadogo58065 жыл бұрын
Kwani nani mtangazaji? 🤔🤔
@jA-ox7vz5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂nacheka tu nkimwona mau 😂😂😁🙌
@sharifmbulumulu30045 жыл бұрын
Mau fundiiiiiii
@karimswai11405 жыл бұрын
Kwani uyoo nanii
@fanuelngailo59775 жыл бұрын
Mauuuu ni fundi hatari
@wemakalam32335 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@mbarikiwalazarowatisa20865 жыл бұрын
Hahhahaa nimeelewa
@mussatwahilu30874 жыл бұрын
Mbona machomekundu hiv mau ujue amau anatumia vituvyetu vile
@andrewbajuta47505 жыл бұрын
Jamaaaa noumaaa kwa majbu nmeikubal
@sharayyamohd27445 жыл бұрын
Hahahahaha mau weeeee
@SaidSaid-xh2dt5 жыл бұрын
Mauuuu 😂😂😂
@zulfaomar57315 жыл бұрын
😂😂nakupenda bure
@mwalamikidisco12605 жыл бұрын
Safi xana
@songashaban13325 жыл бұрын
Duh kukunyima tuzo Ni hujuma mzee
@mohamedyshaban4095 жыл бұрын
Mtangazaji anaforce
@magynzioka11225 жыл бұрын
😂😂😂😂😂mtangazaji rudi shule hapa umepatikana
@goodluckbenny1235 жыл бұрын
utacheka ufe nikishakufa wat next???
@byagtv32775 жыл бұрын
Mtangazaji kajichanganya
@richardngendakumana28715 жыл бұрын
Eeh eti of 😃😃😃nakukubali bro
@angeljonathan77185 жыл бұрын
Mtangazaji mbovu hata me namshinda anapayuka kulko kuhoji mpka Jamaaa anamchka kwa dharau