Safi sanaaa, kuna watu jeuri ya vihela vyao inawazidi wanasahau kuwa kuna MUNGU mtetezi wa wa nyonge.
@winifridakasibu29003 ай бұрын
Ongea machache mungu yupo
@user-ry2ix2pv4q4 ай бұрын
Duuu! Huyu mwenye gorofa angekaa tu aelewane na mwenye kiwanja
@mfalmekaitaba24254 ай бұрын
Asante sana Mkuu hakikisha unabomolea wote wanaovamia aridhi za watu.
@nsiamasawe45784 ай бұрын
Kwa hasara hii, tukiona kiwanja kina mgogoro tusitishe ujenzi.
@Zuu6734 ай бұрын
Kwakweli
@adkajisi45364 ай бұрын
Point mkuu
@Maryc2G4 ай бұрын
Kweli kabisa, tusijenge mpaka mahajana au serikali iamue hiyo kesi
@alibachirofficial39394 ай бұрын
Wakati inajengwa walikuwap?
@RehemaJustine-co2kp2 ай бұрын
@@alibachirofficial3939ushaambiwa Mama alikuwa anafatilia haki yake,kwa kipindi cha miaka 20 hadi kupata haki yake! Hivyo inawezekana kesi iko mahakamani,yeye bado anaendelea na ujenzi
@divaidachboy23394 ай бұрын
Jmn hap sawa nimeewaelea viongozi kaz nzuri
@yukundapeter82004 ай бұрын
Msiseme ni wanadamu wamebomoa! Hapo ni Mungu kabomoa.Asanteni Sn.
Huyu si mtu bali ni malaika mlinzi katumwa dunian na MUNGU ❤🙏
@annamussa1854 ай бұрын
Nimempenda mbomoaji yuko vzr anabomoa palepale panapouma😅jamani Jerry ungeniuliza nikakuchagulia pakubomoa yani umebomoa panapouma😅❤❤❤❤
@ndongojrjr18084 ай бұрын
Nimekupenda bure
@dianajoseph66734 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@kudratkadawi68814 ай бұрын
❤❤😂
@SmilingBirdBath-uj3cg4 ай бұрын
Hahaaaa lazima tu abomoe pale pale panapouma
@ashurajengela39264 ай бұрын
Mungu akubariki waziri wenye hela wana dhulumu sana watu uku kisa pesa zao na ukipeleka kesi mahakamani hakuna ufuatiliaji wowote kisa kupewa rushwa 😢😢😢
@geofreykayombo4014 ай бұрын
Toa namba yakukupata waziri,na ucheki na pugu kinyamwezi kuna matatizo mengi sana ya ardhi,shida ni mjumbe na mwenyekiti wanausika kwa uuzaji wa mara mbili mbili wa viwanja.kuna baadhi ya wenye viwanja wanashirikiana na hawa wenyekiti kufanya mambo sio,sababu watu wale wale wanasaini hati ya manunuzi,kwa kiwanja kilekile na kipo karibu na office ya serikali ya mtaa,na mjumbe anajua kasaini hati hiyo kwa mnunuzi wa kwanza na mnunuzi wa pili anasaini tena.
@user-mf9tu4yu3p4 ай бұрын
Nahawa wenyeviti wa serikari za mtaa ni chanzo cha migogoro kabisa
@athumanfuko1994 ай бұрын
huko anakujua sana alikuwa mkurugenzi wa jiji,akawa mbunge,akawa now waziri
Safi sana ,nataman hata mimi nifikiwe kwenyehili maana nimezibiwa hadi mlango sijui nipae ama ila naimani mungu atatenda kwa wakati
@fundikilafundi69854 ай бұрын
SAFI SANA Wazir jer kila la kher kwako Bado Dodoma Jiji.
@happykimaya66314 ай бұрын
Asante. Iwe fundisho Kwa matajiri wengine
@edlumala94284 ай бұрын
Hongera sana Mh Jerry Silaa, kaza
@aminangombo70484 ай бұрын
Asante baba mlezi, mkeo Bi. Hadija kafurahi mno kupata haki yake
@user-lk9fy9is5s4 ай бұрын
Ahsante sana mkuu 🤝🤝
@user-oe6du3ne3t4 ай бұрын
Hongela Sana mku malipo yako yapo kwamung
@user-pq1hy4gh4n4 ай бұрын
Hongera sana iwefundisho kwa wengine,
@fadymoses49944 ай бұрын
Nakubali Mr Operator 😅 kivunja vunja ni rahisi sana
@mshanibeatrice74494 ай бұрын
Daa nilivyoona linabomolewa moyo wangu uliumia sana kumbe huyu mtu ni mzulumaji ? Hongera wazir ww ndie Rais ujae big up
@josephatmathiasgalagalabuh7864 ай бұрын
WAZIRI NJOO MSUMI KUNA WAHUNI WAMEVAMIA SHMAB LA MTU NA KUJENNGA NGOME YA UHALIFU
@sadokikitankula30054 ай бұрын
Msumi sehemu gani boss
@joliapantaleo3494 ай бұрын
Mungu akulinde jerry slaa kazi nikubwa na njema
@safiaothman51754 ай бұрын
Hongera Mh.Waziri nami nimevamiwa kiwanja changu Makole Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamepandikiza hati katika kiwanja cha mmiliki mwingine wakidai eti CDA ndo walompa na c kweli kwani CDA ilivunjwa mwaka 2017 na kiwanja hicho kilikuwepo hadi mwaka 2020. Hapo kuna mianya ya Rushwa .
@petroyohana11264 ай бұрын
Hongera waziri
@santinosabugo21144 ай бұрын
safi sana mkuu wanyooshe wapumbafu wachache wanahalibu sifa ya Tanzania
@AmosJuma-wp2pe4 ай бұрын
Nimeipenda
@user-jg5yc9jn1u4 ай бұрын
Hongereni San haki saw Kwa wote
@ashanziku34984 ай бұрын
Safi sana. Wanasumbua. Sana na vihela vyao
@awadhally10523 ай бұрын
Kwel kabisaa safi sanaaa
@SalumSleiman4 ай бұрын
Asante Mama Samia Suluhu kwa kutugombania sisi wanyonge na kupata haki zetu
@happynesssamwel29174 ай бұрын
Kakugombia kwa kipi hapo Ovyooo
@user-uj5wg9mm2tАй бұрын
Mmmmh😢😢😢unaweza ukafa,Kwa Jin's ninavyofahamu gharama za ujenz
@user-ec8zv7lq8y4 ай бұрын
Demolition siyo sawa kwani watoa hati ni watumishi ndani ya wizard yako
@GersboyOfficial4 ай бұрын
Kuna viboss uwa vinadhani pesa inafanya kila kitu Sasa kazi ndo hii hapa
@OmanOman-dd5qk4 ай бұрын
Hawatosheki na halali halamu pia haitofaa
@LucyKapinga-fg4dk4 ай бұрын
Haswaa awatoshekii
@Yusudav4 ай бұрын
Mgeomba alipe pesa ya kiwanja ila sio kubomoa nyumba😢
@hamisaally9684 ай бұрын
Miaka karibia 20 anapigania haki yake kwa nini alijengaa kwenye kiwanja chenye matatizo
@AminiMsellem-gk3yy4 ай бұрын
Ameshaambiwa amegoma
@MasatuElly-kr4hj2 ай бұрын
Shida Nini tena🎉😊
@chidi_don4 ай бұрын
Dah sio poa kabisa bro 😮
@kheirdulla90464 ай бұрын
Kwann wasingekubaliana akamlipa pesa kuliko kutiana hasara hivi
No .. alitumwa ajenge?? Alivamia kiwanja akatumia ubabe akajenga bila kibali wala kujali haki ya mwenzake .. na hapo saa hizi amesharaiwa sana pengine wayamalize kama wewe ulivyo shauri ila itakuwa ameendelea kuonyesha ubabe na kutotoa ushirikiano na kutishia watu maisha .. mwache alinywe alilolikoroga.
@ernestsereli85594 ай бұрын
@@badmanno.1650 kwa upande mwngine ni sawa kabsaa
@hancemagembe62602 ай бұрын
Hataki hela anataka eneo lake ili ajenge akae kwenye ardhi yake
@issalyanali41194 ай бұрын
Safi sana
@ElizabethMkini2 ай бұрын
Jamani si wange msettle huyo Naomi wamlipe...kweli mnavunja nyumba yote hiyo duh😢
@RwegoshoraPatt-os2ik4 ай бұрын
Hongera wazir kumbuka pia uchawi upo afrika
@johnbenedicto89354 ай бұрын
Uchawi unadunda
@deodadeo20164 ай бұрын
Mbona Tenesko hawajatoa nyaya za umeme....😂😂😂😂😂....uuwii
@adkajisi45364 ай бұрын
Ngoja kiwalambe
@aaminaasljbgbvf7454 ай бұрын
Umemewenyee umezima😂😂😂
@user-yv1dw6cu9k4 ай бұрын
👋👋👋👋👊👊safi sana waziri safi sana
@jacksonmichael7994 ай бұрын
Safi sana!! Waziri ,I see the return of JPM💪💪 ,Piga kazi Baba maombi yetu yako na wewe.
@jacklinemolleli52384 ай бұрын
Jpm alivunja nyumba ngap
@mwanawetuamiri67474 ай бұрын
Safi sana kiongozi wetu sasa hivi hakuna tena janja janja
@CECILIAMAGANGA-sk8md4 ай бұрын
Yaan ingekuwaga hv Kila siku. Watu wangeacha kudhurumu watu
@vickysteven11724 ай бұрын
Kweli
@123kerim234 ай бұрын
Hio miak ishirin serikal ilikuw wapi kam sio rushwa zilikuw zinapita tu
@aminitu37664 ай бұрын
Duh ningependa maridhiano kati ya aliyejenga na mwenye eneo Sijui Kama Mlitoa tangazo Kama serikal kwamba tofauti Kati ya mwenye eneo na mjengaji kwamba jengo lake litabomolewa asipokubalikuridhiana na mwenye eneo ndipo ichukuliwe hatua ya kubomoa (serikali iwe ni hakimu kwa pande mbili maana hawa wte ni WA Tanzania Kama amekataa kuridhiana na mwenye eneo ndiposa hatua ka hizo zichikuliwe wazir nashauri Sana kwa waziri pande mbili zenye mgogoro wa ardhi ni vyema kuwakutanisha hao watu na mwenye Haki akibainika bac asiyehaki aombwe kuridhiana na mwenye Haki akikataaa bac zichikuliwe hatua hizo making tukiona majengo yanabomolewa hatusikii vizur tunapenda maridhiano kuliko hatua hizo maridhiano yakishndikana bac serial ifanye yake
@hamisaally9684 ай бұрын
Inaonekana watakuwa walimpa taarifa alavyo inavyoonekana ndo tabia yake sehemu zote tatu
@jovanafidelis28024 ай бұрын
Hawawezi kuvunja nyumba bila kukaa meza Moja:huenda majeuri
@Maryc2G4 ай бұрын
Mimi nafikiri Kingę fantoma kitu kingine zaidi ya kubomoa nyumba hiyo, for economical reasons kuna mambo mengi yangefanwa, hiyo haikuwa right decision kabisa, solution ziko nyingi sana, kubomoa nyumba ya Ghana I kama hiyo ingekuwa last result. Ni ushauri tu
@GeorgeMushi-ft4xm4 ай бұрын
Kwanini ukajenge kwamtu alafu utake Suluhu
@mgonasipapune13834 ай бұрын
Na huyo mtu inaonekana ni kawaida yake.
@hallin95614 ай бұрын
Bado sijaona ghorofa la kifahari apo, sema nyumba ya ghorofa moja
@jumas.sendekwa27884 ай бұрын
Sawa tajiri!
@wisperfect53204 ай бұрын
Kwa ww mwenye pesa ndio huoni
@njiaya68334 ай бұрын
kwa hili Mungu akubariki maana MUNGU apendezwi na dhuruma na dhuruma ni nyingi katika ameneo ya nchi hii hasa watu wanyonge wanaonewa na wenye nacho
@luizavankilasi90303 ай бұрын
Mungu akubariki waziri
@chackym44164 ай бұрын
Kwan broo hujaenda msibani
@Dipeson7004 ай бұрын
😂😂😂😂
@vikramlufunyo58324 ай бұрын
Tunamshukuru mh rais
@user-qm3pi7vx9u4 ай бұрын
Daaah siyo poa kbx aisee
@user-ou8sp5bb7n4 ай бұрын
Kwa kweli wenye nguvu wametuumiza sana
@ezrommussamusssa25404 ай бұрын
Mungu amemsikia mweny kiwanja chake
@aneth5203 ай бұрын
Mungu mkali sana, hasiye haki hataishi eneo hilo, maana litakuwa mateso na laana, Maana Mungu ndiye anayemjua mwenye haki
@jumatamimu68414 ай бұрын
Pole kwa dhuruma
@Immahjr4 ай бұрын
Duh mungu awasimamie 🙌
@Zaburi-4 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@EmmanuelMajele-ny2hk4 ай бұрын
Good sana
@DpN-rk8xz4 ай бұрын
Safi sanaMunguhakulinde
@user-xr5xx7bq3p4 ай бұрын
❤viziri,,sana,❤❤❤❤
@samsonkisanga85873 ай бұрын
Msibomoe nyuma yanguu...😂😂😂 ole wake
@bonabonala55594 ай бұрын
safi jisafisheni ccm inchi imekua ya matajiri mwenye psa atishwi na sheria za leo ndio maana tunaitaji katiba mpya mihimili iwe imara kuriko leo kuna memo wana sema unanijua mimi nani?? sababu mtu wa ccm inakua shida kama huku kinondoni kuna mama anasumbuliwa na try agein kiwanja chake
@yusuphjafarijr75834 ай бұрын
hiii serikali niya ajabu sana tena sana
@faustinedeogratias43374 ай бұрын
Ulitaka nin kifanyike apa.
@abujafarshaban68304 ай бұрын
The Next president of Tanzania ❤SILAA
@saidipara41342 ай бұрын
Tunajua na wewe watakuuwa.lakini habali wameipata 👍
@waukweelinikkon65554 ай бұрын
Safiiii, nimefrahi sana,kuna watu wamedhulumiwa mali zao jamani 😢😢😢
@user-mn5us5ln7t4 ай бұрын
Habari mkuu tunaomba uje uku mtaa wa darajani.mikocheniA ccm Kuna mtu amejenga katikati ya njia anasema ni kwake na mahakama imempa na ni barabara ya maji mvua zikinyesha saizi mvua zikinyesha maji yanaingia majumbani kwetu..kisa ana ela.
@JumaSetumbi-sq9hr4 ай бұрын
Safi sana iyooooimeenda kabisa
@user-yv7xg4em4s4 ай бұрын
Jamani greda si mngeongea akawanunulia enjoy nyingine😢😢
@user-ct1qv5cr6w4 ай бұрын
Ongera Tanzania. Kenya kama hauna pesa utateswa mpaka utoroke 😂
@aaminaasljbgbvf7454 ай бұрын
Nakweli 😂😂
@MKOLOSAIonlineTV-cn2vr4 ай бұрын
Msaada mimi nishaga poteza eneo la marehem mzee wangu huku mkoa wa shinyanga maeneo ya chembeli didia naomba msaada wenu niweze pata haki yangu pia mzee wangu aliwawa na watu miaka ya nyuma naomba msaada jamani please 😢😢
@tomasjilundumo8654 ай бұрын
Noma sana
@peterwanjohiwangirasta87344 ай бұрын
Bomoa nyumba kama izo kabisa Mataji wanajifanya juu wako na pesa uyo masiki amepa haki 🙏🙏🙏
@user-rr8sd2gx2e4 ай бұрын
Binafsi nafikili kingesaminishwa kwa fedha na kumlipa huyo mama mmiliki halali sio kubomoa, bora hata iuzwe na pesa akapewa mmiliki halali. Maana mwishoni mwa siku hata huyo mama naamini atakiuza hawezi kukaa hapo kwahicho kinachoendelea, maana mtu anaweza kupanga kisasi cha ulimwengu huu wa mwili au ulimwengu wa giza. Dunia hii.
@user-rr8sd2gx2e yani hatua ya kuvunja kitu ni yamwisho kati ya zote ikiwemo na vikao vy maelewano na muhusik kuto ikubali hatma sheria zote zinafatwa,anko wangu kibosho alijenga kwenye shamba la watu tangu mwaka 2016 vikao walikaa sana lkn yeye hakutaka chochote zaidi yakuendelea kuishi pale meisho hadi kwenye vikao vingine hakufika kabisaaa na serikali ilichukuwa sheria na ilivunjwa mmiliki akapewa haki yake ndo ivyo iyo ya miaka mingi ivyo walizungushana saaana ivyo wamemchoka hataki kushirikiana na wenzake
@yokimrossie35364 ай бұрын
Naumia 😢japo Hana haki😂
@user-tq5di6mv9c4 ай бұрын
Jamani singeongea mkalimaliza maisha yalivyo magumu nyumba ya vyumba vitatu naijenga kwa miaka nasijaimaliza 😢😢
@user-mz6lq3gr9l4 ай бұрын
Weeh Acha tu mimi nina kiwanja tu nataka tofali mia8 na sizipati japo nipate chumba na sebule
@ananiamwatebela31594 ай бұрын
Hapo Jerry inaonekana ana bifu na huyo aliyenga nyumba
@vickysteven11724 ай бұрын
Sio kweli @@ananiamwatebela3159
@user-ur7pw9ek6s4 ай бұрын
Hujadhulumiwa ndugu kwa miaka 20 mtu kang'ang'ania mali yako halali?hapana kwakweli hapo haki imetendeka @@ananiamwatebela3159
@darajalakidatukilomgi23624 ай бұрын
@@ananiamwatebela3159hakuna cha bifu kuna waporaji makatili wakivunjiwa mnajifanya kulia huruma na kusema bifu mfikirie aliyeporwa kabla hujasema
@abdull_hafidh4 ай бұрын
Waziri upo sahihi sana wenye pesa wengi wananyanyasa wanyonge
@warakawayohana28964 ай бұрын
Watu wamedhulumiwa sna viwanja hasa wajane mbezi beach
@salumjumaruhaga25134 ай бұрын
Mwalobaini umefika lilikuwa swala la mda ,
@warakawayohana28964 ай бұрын
@@salumjumaruhaga2513 sana
@p.phareskalalu59244 ай бұрын
Waziri ana mamulaka ayo ni mahakama pekee
@njemamehuna98214 ай бұрын
Huu ni ujinga wa hali ya juu sana
@user-rl8ft3cu2q4 ай бұрын
uwi
@patriciamakoye15464 ай бұрын
Mfalme suleimani aliomba apewe hekima,waziri angetafuta suruhu
@ireneanania97143 ай бұрын
Sasa na ww hapo kwa akili zako ulitaka afanyaje 🙄
@directordelpierrofilmz4 ай бұрын
Wengine tunataka nyumba kama hizi wengine wanabomoa😢😢😢😢
@mariandesario64684 ай бұрын
😂😂😂 yaani ingekuwa inabebeka😅
@vibetz99914 ай бұрын
Huyu katumwa na mungu kabisa
@FatumaMamlo-st8pj4 ай бұрын
Jiongeze uchaguzi huo acha wapate uone kama watatembea sehem nimekaa pale😢😢😢😢
@barakanatus56764 ай бұрын
Tumuombee
@lucynyalagu37994 ай бұрын
Mh.Waziri Jerry Slaa Barikiwa sana kwa kutenda haki ,karibu Kata ya Kwembe mtaa wa Kwembe kati kuna madudu Wilaya ya Ubungo ninakusubiri kwa hamu asante Mkuu
@jofreykilangila41184 ай бұрын
Hiyo ni laana ni bola wangekubaliana tu . Kuliko kibomoa
@hassanbukambu9314 ай бұрын
Wakati anajenga kadhulumu ilikuwa anafanya baraka
@Joliegal8344 ай бұрын
Jaman mama emmmy pole sana
@remidusmwanandenje-yy5gs4 ай бұрын
Awo wananyumba zaidi ya 20 ani apo ata plesha hana😂😂😂😂
@adkajisi45364 ай бұрын
Mama alivochanganyikiwa hivo, hata uwe na noti hiyo ni hasara.
@dudemussa67154 ай бұрын
Ya Kaisari apewe haki yake, na pilato pia apewe haki yake.
@sallysafisanakijanakazibut16883 ай бұрын
Subhanallah
@martinwangwe89664 ай бұрын
Tatizo linaanza kwenye sheria sio mtu.Mbona ulaya hatuoni mtu anaingia tu eneo la mtu
@Happy-yk3lv3 ай бұрын
Ulaya kuna viwanja dada 😂😂😂 U
@mtotowamanka4 ай бұрын
nasikia bunju, tegeta kasisitiza tena anarudi bunju na bado ila kinondoni lakini kwa sisi,huku mikoani hakuna😢😢😢
@joneydomin67084 ай бұрын
Hatimae shangazi yangu Naomi kwayu kapata haki yake .MUME wake ambaye ni MAREHEMU alinunua kiwanja MIAKA mingi mno .
@SmilingBoaSnake-hx3gp4 ай бұрын
Waaah! Sio poa walai
@nduwayesuwilson76384 ай бұрын
👏👏👏👏
@nicolauselias90844 ай бұрын
Nimekuelewa mkuu.tenda haki.nilikua sijaeleawa
@ananiamwatebela31594 ай бұрын
Kesho mmilik wa nyumba akishinda kesi mlipaji ni serikal hawa viongoz huwa wanakurupuka sana nasema me
@adkajisi45364 ай бұрын
Duh hawajaenda mahakamani?
@vampatz77954 ай бұрын
The power of Jesus❤ haki ya mtu ni ya mtu2
@hbmussa98254 ай бұрын
UYO DADA ANAVO; NGEA ANAFAA KUWA MUIGIZAJI RAMATA AJAMUONA😂