EXCLUSIVE: JAMAA ABADILISHA DALADALA KUWA MGAHAWA - "POMBE MARUFUKU"

  Рет қаралды 61,509

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

EXCLUSIVE: JAMAA ALIYEIBADILISHA DALADALA KUWA MGAHAWA "POMBE MARUFUKU"
Ni Ripoti kutokea Kibaha mkoani Pwani, Camera za Wasafi Digital zimenasa moja ya tukio la ubunifu uliofanywa na fundi wa magari, Shabani Mboga, mkazi wa Visiga kwa Kipofu.
Mboga ameamua kuibadilisha gari ya abiria aina ya DCM iliyokuwa ikibeba abiria kutoka. Mlandizi kwenda Bagamoyo, kuigeuza kuwa mgahawa, jambo ambalo limefanya sehemu yake ya biashara kuwa kivutio kwa watu wengi na wapita njia.
Anasema katika mgahawa huo, ni marufuku kutumia kilevi cha aina yoyote kwakuwa ukiwa ndani ya mgahawa huo unakuwa kama upo juu ya ghorofa, hivyo lolote linaweza kutokea wakati wa kushuka.
@hamisimguta

Пікірлер: 60
@shabanimbenu2163
@shabanimbenu2163 2 жыл бұрын
Talented man Nice job🔥🔥
@wendelinkomba1890
@wendelinkomba1890 2 жыл бұрын
Hongera kwa ubunifu
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Safi sana ,, chakufanya apake rangi vizuri nje af afanye urekebishaji wa nje ili iwe na mwonekano bombaaa big up mzee
@angelageofrey9756
@angelageofrey9756 2 жыл бұрын
Mdogo mdogo kasema
@vero57
@vero57 2 жыл бұрын
Hii safi sana, hata Japan hakuna hii,👏👍👏
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
😃😃😂
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 2 жыл бұрын
Sio wengi hata, watu 10,000 tu ndugu zangu ! kzfaq.info/get/bejne/b9h7ZpxqydvVe4E.html Share the link na Ndugu/washkaji kwa Mitandao till we hit that ✊🏿 A new project will then be OUT ✊🏿
@missmwayway4704
@missmwayway4704 2 жыл бұрын
Unadhani ni Japan tu ndo hakuna hiv, Ni Duniani kote hamna hii kitu Ni Tz tu 😆😆😆😆😆
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Ufanyanya hivyo pia huko Japan na mataifa mengine yalioendelea, utofauti wake ni mazingira tu na jinsi huyo alivyolipachika hilo bus juu kienyeji 🤣
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 2 жыл бұрын
jirani zangu wa tz you don't disappoint 😂😂😂💕🇰🇪🇪🇺
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
😅😅😅
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 2 жыл бұрын
@@Mpakauseme nitakuja bongo nile hapo matembele 😂😂😂
@triplea3463
@triplea3463 2 жыл бұрын
Ghana wanebadili ndegevkuwa mgahawa
@eliamatinya2791
@eliamatinya2791 2 жыл бұрын
Visiga Hapo Kibaha... Jamaa namkubali Sana... Kaka yanguuu
@ukhtynaa1096
@ukhtynaa1096 2 жыл бұрын
Visiga sehem gan
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 жыл бұрын
Maswali ya waandishi jamani eti kilichokufanya ufanye hivi ni nini. Njaa mkono uende kinywani wajameni. Cha msingi ni usalama wa wateja Safety ndio cha msingi!!!
@kakamau0384
@kakamau0384 2 жыл бұрын
Visiga kwetu buana
@eddimwamba4208
@eddimwamba4208 2 жыл бұрын
Nzur ila ajaribu kufanya maboresho kdogo
@athumaniashimu1568
@athumaniashimu1568 2 жыл бұрын
Atar San duuh mzee unajua sana
@athumaniashimu1568
@athumaniashimu1568 2 жыл бұрын
BG up San mzee
@edinawilliam2943
@edinawilliam2943 2 жыл бұрын
Pak rangi nzr safisha pawe👍😘👌
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Silazima kuliweka juu hilo gali, hiyo ni poa sana, bus restaurant wapo waliotumia ndege kwawenzetu chamsingi ni utengenezaji tu wa ndani ya hilo bus nakuweka vizuri mazingira
@mcback4384
@mcback4384 2 жыл бұрын
Mbona huu ni uchafu?
@magrethmanintveld5477
@magrethmanintveld5477 2 жыл бұрын
Hata mimi nimewaza hivyo
@Entertainmen_tv2024
@Entertainmen_tv2024 2 жыл бұрын
Imeibana hata hainekan vizur huo mgahawa
@mmn7480
@mmn7480 2 жыл бұрын
hii nayo abari ✈️
@majaliwarajabu8869
@majaliwarajabu8869 2 жыл бұрын
Uyo broo mpambanaji, kila nikienda congo lazima nichukue mazaga ikiwemo oryx, gass, namkubari broo.
@aminamsimbe4034
@aminamsimbe4034 2 жыл бұрын
Happy nje ungeweka bustani nzuri it's watu wa garden ili kuweka mvuto
@hakimsashamusic
@hakimsashamusic 2 жыл бұрын
Play don't worry by hakim sasha
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
Bongo bhna
@zakhianzuki9348
@zakhianzuki9348 2 жыл бұрын
Ebwana mie nimpe ongera uyo jamaaa
@babujinga4511
@babujinga4511 2 жыл бұрын
Rekebisha kiswahili chako.. Sio fundi gereji.. Ni fundi magari
@mandelaenock7030
@mandelaenock7030 2 жыл бұрын
Fundi gari sio fundi magari maana gari halina wingi mfano gari yang au gari yetu,zile gari,umeleta gari zote gerage umeelewa bro gari zetu zipo salama mifano mini mno
@simaraphaellucas8469
@simaraphaellucas8469 2 жыл бұрын
Mkoani fani
@mukrimsuleiman6926
@mukrimsuleiman6926 2 жыл бұрын
dah haya maisha ndg zngu atutakiw tumkashfu san
@yusuphjuma728
@yusuphjuma728 2 жыл бұрын
Nchi ina watu wanavituko sio powa 😃
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Si vituko ni ubunifu pia ata na mataifa yalioendelea ufanya hivyo utofauti ni mazingira tu so angelifanya mzungu wala usingelisema ni kituko 🤣
@edinawilliam2943
@edinawilliam2943 2 жыл бұрын
Kuna mtu mwanza ana baba shop gar wateja kbao
@omarkhamis2203
@omarkhamis2203 2 жыл бұрын
Siku likianguka nani atalaumiwa
@ramadhanabdi4237
@ramadhanabdi4237 2 жыл бұрын
Ok
@praygodmtera9907
@praygodmtera9907 2 жыл бұрын
😰 uliesema uchafu kwanza wewe mwenyewe mchafu tu ,si ajabu Ilo gari apo na iyo idea ya mzee itaishi kuliko umri wako . Jifunze kufikiri ulizaliwa na uchafu ukasafishwa na uliowakuta duniani. It's Shameless to oppose kitu ambacho huna ata theluthi ya ujuzi wake😡
@husseinparco9640
@husseinparco9640 2 жыл бұрын
Umejitahidi iboreshe ivutie kwa zaidi mazingira yawe mazuri mauwa chini rangi
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 2 жыл бұрын
Ubunifu mzuli
@rinaldaoman7892
@rinaldaoman7892 2 жыл бұрын
Liahuahe litakija kuangulia watunhasa watoto .na wapita njia
@idrisatv5540
@idrisatv5540 2 жыл бұрын
Sasa ngoja lishuke ndiyo mtajua
@dominicjulius3108
@dominicjulius3108 2 жыл бұрын
Tunaweza tukiwa na mawazo huru
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 2 жыл бұрын
Ila kuwa makin na walevi wa maeneo ya Mbagala watakuwa wanapita madirishani
@jaswabe_tz
@jaswabe_tz 2 жыл бұрын
Vp mgambo hawajabomoa maana naona icho ni kibada tu kama vibanda vingine ambavyo avitakiwi
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Tuseme ni gorofa la bati ama chuma maana hapa mnanichanganya basi pakeni rangi livutie limekaa kama borongoto fulan kwa mbaali
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 2 жыл бұрын
Vp tunaruhusiwa kupita madirishani
@godwin5884
@godwin5884 2 жыл бұрын
Eti daladala ???? Kiswahili kigumu🤣🤣🤣
@drmussa1220
@drmussa1220 2 жыл бұрын
DAWA YA MVUTO MKUBWA m.kzfaq.info/get/bejne/kJuWjb15va3NY3k.html
@benjaminahadi5926
@benjaminahadi5926 2 жыл бұрын
Usitizame filamu iyi ukiwa na watoto 🤭kzfaq.info/get/bejne/gayRqtac0LzWiIE.html
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
🤮🤮🤮🤮🤮🤮
@ashirafkazinja1020
@ashirafkazinja1020 2 жыл бұрын
Ii
@MiaTheLathini
@MiaTheLathini 2 жыл бұрын
Sio wengi hata, watu 10,000 tu ndugu zangu ! kzfaq.info/get/bejne/b9h7ZpxqydvVe4E.html Share the link na Ndugu/washkaji kwa Mitandao till we hit that ✊🏿 A new project will then be OUT ✊🏿
@mesakajohn7303
@mesakajohn7303 2 жыл бұрын
Yani mil3 hata haionekan ulichofanya mzee hana maalifa
Атака ВСУ на Курскую область: что происходит?
24:16
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 1 МЛН
HOUSE GIRL EP 12 || SEASON 2 || Love Story💕💕
19:25
BUSATI TV
Рет қаралды 65 М.
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 197 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 9 МЛН
小宇宙竟然尿裤子!#小丑#家庭#搞笑
00:26
家庭搞笑日记
Рет қаралды 18 МЛН
KUMEKUCHA! NDARO AFUNGUKA KUACHANA NA TUNDA / KAFUTA PICHA ZOTE
5:53
Rais Magufuli afanya ziara ya ghafla Wizara ya fedha Nov. 6, 2015
14:29