Huyu dada tunaomba bongo movie imchukue anajua kuigiza sana
@exclusvetztv901121 күн бұрын
Ni bonge movie tayari
@marryezekiel20 күн бұрын
Demu mwenyewe muigizaji huyu mbona Kuna tamthilia kibao yumo😅😅😅
@eliasndima713020 күн бұрын
Katika tamthilia ya HAIKUFUMA ya JB
@PriscaKiure19 күн бұрын
Mbn ni muigizaj huyu dada ameigiza kwenye tamthilia ya mwali dstv
@Ucheshi14 күн бұрын
Yupo kwenye gemu mbona ni muigizaji azam tv
@erickmagnus494517 күн бұрын
Crown ilibidi anze na wew Mwanetu Sanya sio Mchaga😢 Diamond afanye jambo kwako kabla mwaka haujaisha Inshallah....Uko talented Broh✊💯
@RashidiRehani-v1l6 күн бұрын
Uyu dada nimkal saaa❤ aaan
@jebajr21 күн бұрын
Demu linajua sana kuigiza
@BigZhumbe21 күн бұрын
Bongo Movie wangekua wanaigiza hivi tungefika mbali
@tuyisaberamadhan808420 күн бұрын
Dada ametisha sana salute 🫡 😊
@thecoolestkid64865 күн бұрын
Need more episodes with her She did very well, I enjoyed watching it
@user-wi8dm3bb9x21 күн бұрын
Daah na wakubali ila duh 😢😢muna zinguwa Sawa 😢Kaka yangu kaliya adi basi 😢😢
@antonyjuma256620 күн бұрын
Huy dem yupo kiwandan Sema ndo iv kiwanda hakion talent km hiz ila manzi anajua sanaaaaa 😂😂😂😂😂
@Isyourboy_nard13 күн бұрын
Mooo 🙌🏾🙌🏾 so talented
@mcbclassicboylegend281420 күн бұрын
Kitu kizuri ni iyo Sala ambayo Kinata MC ame sali kila kitu niku weka Allah mbele ya yote…….. big up Motown Sanya na team yote kwa hard work munayo fanya tuna penda saana kipindi…. We here from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@BarbaraPatience-qt9cc21 күн бұрын
Yaani nimecheka kwa nguvu leo eeeh komosava jamani!!! Hii kali!!! Zuchu imeishi
@ramadhanihot194518 күн бұрын
Daimond platinum ❤❤❤❤❤❤
@DemungaKisimba21 күн бұрын
Noma
@Chinaomary-rn3qf21 күн бұрын
Nimecheka mpaka macho jaman hawa jamaa wanavyopita hy nyimbo
@Lameckrichvsix21 күн бұрын
Tulizimiss sana kazi zako mo
@fredanthony74020 күн бұрын
Dada anajua sana 🎉🎉🎉
@faridakidoti673418 күн бұрын
Huyu dada ni bongo movie ndo maana kaweza
@giverliquid21 күн бұрын
Daaah mwanamke anajua sana kuigizaaa daaah
@matildamoris364120 күн бұрын
We mdada unamjua vzr kinata wew😂😂 sie tunaemjua amekustiri sana😂😂😂
@neyney190721 күн бұрын
This girl did it well❤❤ 🎉
@Almadrasatwaqf-ud7sv20 күн бұрын
Hii imeenda 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mg_panther21 күн бұрын
Daaah 😮😅 noma sana bhana sanya
@user-yi3mb4hn8y9 күн бұрын
Hii kubwa sanya😂😂😂😂
@bboyseck668019 күн бұрын
Kalia
@kitonekantasha168721 күн бұрын
Mimi nilishaa lia na mwamba pole sans😢🎉😂😂😂😂
@BasuleBasule21 күн бұрын
Kibaba Kimemwaga Chozi Manina😢😢😢😢
@LinnahLaizer-jg8ok20 күн бұрын
Daaaaaaah ase mmeua
@mosesobunde18 күн бұрын
Dada ana performance nzuri sana, nataman sikumoja tu play pamoja.
@teclanembuka19 күн бұрын
Alafu kinata anaheshimu wanawake mana hajampiga ht kofi jmn.
@Kilindimot6 күн бұрын
Nimecheka kinomaa😂😂😂
@Africanzigianeth-dt1il21 күн бұрын
Anaitwa aqwelina uyo ni noma wazee💥🐐
@BungahboyTZ20 күн бұрын
Daaah sema mwanangu mpole huyu kama ni mm lazima ale moja nzito kwanza ndy tiongee vizuri amanini
@user-kx3zy9eo2h20 күн бұрын
Kali kali kaka da hatar
@matatamwaipopo-rp4vz17 күн бұрын
Huyu dada kwa kweli hanaweza kuigiza yupo vizuri
@fredanthony74020 күн бұрын
Sister katisha sana
@user-kp1ns9dw4z20 күн бұрын
Jmn
@haidarymidevu621819 күн бұрын
Demu kawezaaa sanaaaaaaa❤❤❤❤❤
@NeemaKayugwa19 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉dada kajuaaa tenaa kawezaaaaaaa
@BilaliSwaleh10 күн бұрын
Was kumbusu kinata necessary??😢😢
@user-wd6tk2df6n19 күн бұрын
Hii kalii kuliko zote aisee uyo dada kauaa sanaaa😂😂😂😂
@d-vanmkigatz863720 күн бұрын
Shekhee sharifu majin
@AzizSultan-fc7rn17 күн бұрын
😅😅😅 tok hap nitakuharibu na sura yako nyeupe 😂😂😂😂
@ngido25519 күн бұрын
Dah kinata kalia damu yangu kusingiziwa kunauma sema mi nngempga kiti cha kichwa huyo dem angejuta kufanya prank😢
@JIGGABoy-my6qc20 күн бұрын
Dada katisha sana 😂😂
@omanqqwe406118 күн бұрын
Mungu wang wew kaka😢😢😢
@AbigalPeter19 күн бұрын
Sijapenda 😅
@juniorking712315 күн бұрын
Dah demu anajua sana
@theblackfiredancers905118 күн бұрын
Kinataaaa mtu wa dini❤❤❤
@BlackyNay20 күн бұрын
Anajua sna huyo dada 😅😊
@user-kx3zy9eo2h20 күн бұрын
Nimepaliwa KWA kucheka mo sanya soda yangu natakaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@elishabrand962521 күн бұрын
Hii pochi huijui😅😅😅
@fredsanga946120 күн бұрын
Dah huyo demu ameitendea haki nafasi yake😂 hadi master kamwaga chozi😂😂
@l.marley_254212 күн бұрын
Iyo ni unkwepecable thwings 😂😂😂
@HenryWisaka20 күн бұрын
Huyu dem alitegeka na Denny c tv kenya 😂😂😂 golddigger